logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Sudan yaongoza kwenye orodha ya nchi zenye migogoro ya kibinadamu duniani

Sudan inaongoza kweye orodha ya chi zenye migogoro ya kibinadamu duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo, kulingana na ripoti iliyochapishwa sik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Madumu ya mafuta ya magendo yakamatwa Ubungo

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata madumu 23,755 ya mafuta ya kupikia yaliyoingizwa nchini Tanzania kinyume na taratibu kupitia Band . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mataifa ya Ulaya yaanzisha Kamisheni ya Madai ya Ukraine

Baraza la Ulaya ni shirika linaloongoza kwa masuala ya haki za binaadamu barani humuna na pia limepiga hatua muhimu kuelekea ulipaji wa fidi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Venezuela yautaka Umoja wa Mataifa kulaani uharamia wa Marekani

Venezuela imetuma malalamiko yake rasmi kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa juu ya kile inachokiita "wizi" wa Marekani iliyoiteka m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Lukashenko ataka hatua za haraka kukomesha vita vya Ukraine

Rais Alexander Lukashenko wa Belarus ametowa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha vita nchini Ukraine wakati huu Marekani ikiendele . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

M23 wajiondowa Uvira kwa agizo la Marekani

Imefahamika kuwa kujiondowa kwa kundi la waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutoka mji muhimu wa Uvira kumetokana n . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Watu 30 washitakiwa kwa jaribio la mapinduzi Benin

Mahakama ya Uhalifu wa Kiuchumi na Ugaidi nchini Benin imewashitaki watu wapatao 30 ambao wengi wao wakiwa ni wanajeshi kwa jaribio la mapin . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Yajue matunda 9 Yanayosaidia Kupunguza Mafuta ya Tumbo

Baadhi ya matunda kama zabibu (grapefruit), nanasi, parachichi na kiwi yanaweza kusaidia kupunguza mafuta ya tumbo kutokana na kuw . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Khalid Aucho Afungiwa Michezo 5 na Kutozwa Faini Sh. 1,000,000

wachezaji wa klabu ya Singida Big Stars Khalid Aucho amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kufanya kit . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Madereva watakiwa kuacha tabia ya kupokea simu kwenye vyombo vya usafiri

Afisa Mnadhimu wa  kitengo cha usalama barabarani Makao Makuu ya Polisi Dar-es- Salaam- SACP Butusyo Akim Mwambelo amewataka waendesha& . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Leo ni siku ya maridhiano nchini Afrika Kusini

Nchini Afrika Kusini kila ifikapo Disemba 16 huwa ni maadhimisho ya Siku ya Maridhiano kufuatia juhudi za upatanisho nchini humo zilizolenga . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mahakama yaamua PSG imlipe Mbappé zaidi ya dola milioni 70

Mahakama ya Paris inayohusika na masuala ya ajira imeamua kwamba Paris Saint-Germain lazima imlipe Kylian Mbappé zaidi ya euro milioni 60 ( . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Dawa za kulevya zateketezwa Mtwara

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya mkoani Mtwara imefanikiwa kuteketeza kilo 73 za dawa za kulevya aina ya bangi, baada ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Bunge la Zambia lapitisha mswaada wa sheria za uchaguzi

Bunge la Zambia limepitisha jana kwa wingi wa kura mswaada wa kurekebisha vifungu vya katiba vinavyohusiana na uchaguzi ambavyo upinzani una . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kamati Mambo ya Nje Bunge la Marekani kutembelea Tanzania

MWENYEKITI wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la Wawakilishi la Marekani, na Mbunge machachari wa Chama cha Republican katika Jimbo la Flori . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kesi ya wagombea wa ACT Pemba yaahirishwa hadi Desemba 23

Naibu Msajili wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, Kanda ya Pemba, Chausiku Kuya, ameahirisha kesi ya madai iliyofunguliwa na waliokuwa wagombea wan . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Polisi wapiga risasi washukiwa waliowakuta wakipora maduka usiku

WASHUKIWA wawili wa wizi wanauguza majeraha ya risasi baada ya polisi kutibua njama zao eneo la Likoni, Kaunti ya Mombasa.Walikuwa kwenye ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Narendra Modi kumtembelea Abiy Ethiopia

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anafanya ziara ya Kiserikali nchini Ethiopia leo Jumanne hii, Desemba 16 wakati India ikijaribu kuongeza . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amefanya ziara ya dharura katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Wilaya ya Kahama kukagua na kujionea . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Msamaha wa riba na adhabu kodi za forodha

Katika kuhamasisha matumizi ya msamaha wa riba na adhabu unaoelekea kukoma Desemba 31 mwaka huu Mamlaka ya Mapato Mkoa wa Mwanza imeandaa ki . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Watumishi Wawili Wasimamishwa Kazi Mafia Kufuatia Dosari Za Usimamizi Wa Fedha Za Miradi

Watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, ambao ni Mkuu wa Idara ya Fedha na Afisa Utumishi na Rasilimali Watu, wamesimamishwa kaz . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Kiongozi wa zamani wa waasi nchini DRC Roger Lumbala amepatikana na hatia ya kushiriki katika uhalifu dhidi ya binadamu siku ya Jumatatu, De . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Msichana aliyekumbatia mti kwa saa 72 ateuliwa kuwa balozi wa kupanda miti

Rais wa Kenya William Ruto amemteua Truphena Muthoni kuwa balozi wa kampeni ya taifa ya kupanda miti, kufuatia jitihada zake za kipekee kati . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mabasi yaendayo Mikoani na nje ya Nchi yakaguliwa: Madereva waonywa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limeendelea na zoezi la kutoa elimu kwa madereva na abiria sambamba na . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

M23 yawataka raia wa DRC waliokimbia warejee nchini mwao

Msemaji wa AFC/M23 Lawrence Kanyuka amewataka wakongomani kurejea nyumbani akitaja kuwa kwa sasa hali ya usalama ni shwari.Msemaji wa kundi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Jimmy Lai bilionea aliyekuwa akimiliki yombo vya habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa China ametiwa hatiani kwenye kesi ya aina yake kuhu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mshirika wa Embalo akamatwa na euro milioni 5 taslim

Mshirika wa karibu wa rais aliyepinduliwa nchini Guinea Bissau, Umar Sissoco Embalo ametiwa nguvuni nchini Ureno akiwa na kiasi cha fedha ta . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Trump aishitaki BBC akitaka fidia ya dola bilioni 10

Rais Donald Trump wa Marekani amefunguwa kesi mahakamani akidai fidia ya dola bilioni 10 kutoka Shirika la Utangazaji la Uingereza, BBC, aki . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Hizi hapa baadhi ya sababu Zinazopelekea Gari la Rais wa Marekani kuogopwa zaidi Duniani

Rais wa Marekani Donald Trump ni kiongozi wa taifa lenye nguvu kubwa zaidi kisiasa, kiuchumi na kijeshi duniani hivyo basi katika . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mafia Watumishi Wawili Wasimamishwa Kazi

Watumishi wawili wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia ambao ni Mkuu wa Idara ya Fedha na Afisa Utumishi na Rasilimali Watu  wamesimamishwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Mafunzo ya Madiwa yaleta mchakamchaka wa maendeleo Geita

Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini Eng. Chacha Wambura amesema mafunzo ya madiwani wa Mkoa wa Geita ni muhimu katika kuwawezesha viongozi kushir . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Elon Musk Atambulisha XChat mpya

Elon Musk mmiliki wa jukwaa la X (zamani Twitter) ametambulisha rasmi XChat mfumo mpya wa mawasiliano ulioundwa kuboresha faragha na kuongez . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Rais Samia Afungua Mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu  Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa An . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Nuhu aliyedai mwisho wa Dunia desemba 25 akamatwa

Nabli wa Ghana Nuhu Ebo anadaiwa kukamatwa kwa kosa la kuzua taharuki kwa kusambaza habari kuwa Mungu amemfunulia maono kwamba ataiagamiza D . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Aliyetemwa taifa Stars aongoza mabao ya vichwa Ligi Tanzania Bara

STRAIKA wa JKT Tanzania, Peter Paul, ambaye alienguliwa katika kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars), kilichoelekea Misri kuweka kambi ili . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

JKT Queens yaifuata Ceasiaa Iringa

KIKOSI cha mabingwa watetezi JKT Queens kimeondoka jijini Dar es Salaam jana kuelekea Iringa ili kuwafuata wenyeji Ceasiaa Queens kwa ajili . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Rushine aivuruga Simba

KLABU ya Simba imepiga hodi Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini ikisema inahitaji kumsajili moja kwa moja beki wa kati anayeichezea timu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Nchemba awasili Songea Kushiriki Ibada ya Mwisho ya kuaga mwili wa Jenista Mhagama

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Leo Desemba 15 mwaka huu amewasili Mjini Songea ambako atashiriki katika Ibada ya kutoa heshima za mwisho . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Naibu Waziri akagua karakana ya kisasa ya bidhaa za ngozi DIT Mwanza

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Wanu Hafidh Ameir amekagua karakana ya kufundishia na kujifunzia iliyojengwa katika Taasisi . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Kesi ya Mwambe kusikilizwa Leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo Jumatatu Desemba 15, 2025, inatarajiwa kusikiliza maombi Na. 289778/2025 yaliyofunguliwa . . .

Kurasa 2 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category