logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Dkt. Mwinyi" Nitaendelea Kuimarisha Udhamini Na Miundombinu Ya Michezo"

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Tamko la UDASA sio msimamo wa UDSM-Prof. Anangisye

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimesema hakitambui wala kuhusika kwa namna yoyote na tamko lililotolewa na Jumuiya ya Wataaluma wa Chuo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Rais Samia apokea ujume maalumu wa Rais Tshisekedi

Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, umewasilishwa na Mjumbe Maalum na Waziri wa Ushirikiano wa Ki . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wawili Wahukumiwa Kifungo Cha Miaka 35 Jela Kwa Unyang’anyi Wa Kutumia Nguvu Na Kujaribu Kubaka

Mahakama ya Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam Oktoba 22,2025 imewahukumu kutumikia kifungo cha miaka 35 jela Mohamed Aloyce Mtangile mwenye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wajerumani wengi waunga mkono kauli ya Merz kuhusu uhamiaji

Raia wengi wa Ujerumani wanakubaliana na matamshi ya hivi karibuni ya kansela wa Ujerumani Friedrich Merz yanayopendekeza kwamba matatizo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

LUKUWI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MWANZA.

‎‎Naibu Kamishna wa Uhamiaji (Utawala), DCI Elizabeth Lukuwi Oktoba 23 mwaka huu amefanya ziara ya kikazi katika Ofisi ya Uhamiaji Mkoa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Tathmini ya elimu ya mwaka wanafunzi wapaza sauti

Wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wameipongeza Serikali kwa kuboresha miundombinu ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari, wakisema h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Meta Yapanga Kuondoa Wafanyakazi 600 Katika Kitengo cha AI

Kampuni ya Meta, hapo awali inayojulikana kama Facebook, imepanga kuondoa takriban wafanyakazi 600 kutoka katika kitengo chake cha AI, hatua . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Waziri mkuu atoa wiki moja kituo cha polisi Nandagala kianze huduma

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 23 mwaka huu amekagua ujenzi wa kituo cha Polisi Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi na kuagiza kituo hi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wananchi wajiandaa kupîga kura siku ya Jumamosi

Wananchi wa Cote Dvoire, kesho watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu ambao rais Alassane Ouattara, anatarajiwa kushinda muhula wa nne, baada ya . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

COPPER yakabidhiwa mbegu ya kisasa ya Choroko tani 1.5

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi Mbegu ya kisasa ya Choroko tani moja na nusu kwa Wakulima wa Mkoa wa . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

MSIGWA AWAKABIDHI UMSOTA MILIONI TANO ZAWADI YA “GOLI LA MAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amekabidhi kiasi cha shilingi mi . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Wapima udongo watakiwa kuzingatia weledi na uadilifuu

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Wizara ya Kilimo, Bw. James Kibamba, amewataka Wataalamu wa udongo nchini kutekeleza majukumu ya . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Matumizi sahihi ya Mbolea kuchochea agenda 10/ 30

Tathmini iliyofanyika hivi karibuni imeonesha kuwa matumizi ya mbolea nchini yamefikia wastani wa kilo 21 kwa hekta moja. Hatua hii imechan . . .

DINI
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Masheha Zanzibar wakumbushwa Kuhusu Usalama na Maadili ya Mtandaoni

Wataalamu wa usalama mtandaoni kutoka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WMTH) kwa kushirikiana na wizara na taasisi za umma, wa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Yatoa TSh Bilioni 2.1 kwa Makundi Maalum

Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imetoa jumla ya shilingi bilioni 2.1 kwa ajili ya mikopo kwa makundi maalum ya wanawake, vijana na watu we . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Kilimo, madini na umeme vyachangia kukuza uchumi wa nchi

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) David Kafulila amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi w . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Wazazi kujengewa Wodi mpya Handeni kwa Sh milioni 530

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Salum Nyamwese amesema Serikali imetenga Shilingi milioni 530 kwa ajili ya ujenzi wa wodi mpya ya wazazi katika Ho . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Polisi Mbeya yapokea magari manne mapya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limepokea magari manne mapya aina ya Robur Armored TLC300 ukiwa ni mgao kutoka kwa Mkuu wa Jeshi hilo nchini.A . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Kahiga alazimika kujutia maneno yake

KATIKA kipindi cha miezi minane pekee, Gavana wa Kaunti ya Nyeri, Mutahi Kahiga, amelazimika kujutia maneno yake ya kugawanya baada ya k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Trump Atangaza Vikwazo Vipya kwenye Kampuni za Urusi

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza rasmi vikwazo vipya dhidi ya baadhi ya makampuni makubwa ya mafuta kutoka Urusi, hatua inayolenga . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Serikali Yaongeza Mikopo kwa Wanafunzi

David Kafulila ambaye ni  Mkurugenzi wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri DART, kupiti . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Dkt,Mataragio aagiza vifaa vyote vya Jotoardhi katika mradi wa Ziwa Ngozi kufika kwa wakati

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni yake Tanzu ya Uendelezaji . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Serikali kuongeza fursa za elimu kwa wenye mahitaji maalum

Mkurugenzi wa Idara ya Elimu Maalum Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Magreth Matonya amesema Serikali inaendesha programu mbalimb . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Wahamiaji haramu 23 wakamatwa Geita

‎‎Idara ya uhamiaji  Mkoa wa Geita imeendelea na jitihada zake za kupambana na wahamiaji haramu kupitia misako na doria mbali mbali . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Maafisa 2 wa DCI Wakamatwa kwa Madai ya Kumuibia Mwanamume KSh 2m

Maafisa wawili wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai wametiwa mbaroni kufuatia kisa cha wizi katika eneo la Kasarani. Kulingana na r . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Umoja wa Mataifa wahofia kutofanyika uchaguzi nchini Haiti

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewaonya viongozi wa Haiti kuwa muda wa kurejesha usalama na kuandaa uchaguzi mkuu nchini humo unaso . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Jera miaka 20 kwa kupatikana na silaha

Mahakama ya Wilaya ya Kasulu imewahukumu washitakiwa wawili Alphonce Gwalide ( 45) mkulima na mkazi Mvinza wilayani Kasulu na Jastine Yoramu . . .

Burudani
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Basata yashiriki kikao cha EACLC kujadili mradi wa michezo ya watoto

Mnamo Oktoba 22 mwaka huu wajumbe kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) walishiriki kikao cha kimkakati kilichofanyika katika ofisi kuu z . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

DC,Lawou kuelekea uchaguzi mkuu hali ya ulinzi na usalama ni shwari

Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 Mkuu wa Wilaya ya Magu Mh. Jubilate Lawuo amewahakikishia wananchi kuwa ha . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Khartoum wafunguliwa tena

Ndege kutoka Port Sudan imeitua alasiri ya Jumatano, Oktoba 22, mjini Khartoum, ambapo Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vilifurushwa miezi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Baraza la Katiba kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais Jumatatu, Oktoba 27

Baraza la Katiba limetangaza tarehe hiyo baada ya kupitia na kukataa rufaa zote zinazohusiana na uchaguzi wa Oktoba 12. Kwa upande wake, Iss . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 23, 2025

Brigadia Jenerali Ngoy Wa Kabila John akamatwa

Wakili Mkuu Mteule katika Mahakama Kuu ya Kijeshi baada ya kuwa karibu na rais wa sasa wa Kongo, afisa huyu wa zamani wa Joseph Kabila alika . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

RMO Mwanza afanya ziara ya ufuatiliaji wa huduma za Bugando

Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba pamoja na timu yake ya usimamizi wa huduma za afya mkoa (RHMT) leo Oktoba 22 mwaka huu wamefany . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

Serikali yakabidhi magari sita kwa jeshi la Zimamoto

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekabidhi Magari pamoja na Vifaa vya Uokozi kwa Jeshi la Zimamoto na na Uokozi Mkoani humo na akatu . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

Mafunzo ya Polisi ya DPA yafungwa rasmi leo

Mkuu wa Chuo cha Taaluma Ya Polisi Dar es Salaam Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dkt. Lazoro B. Mambosasa, amewataka maofisa wakaguzi na aska . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

12 wakamatwa kwa kufanya vurugu Tarime

Jeshi la Polisi limethibitisha kuwakamata watu 12 ambao ni waendesha pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda katika Mkoa wa Kipolisi Tarime Ro . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • October 22, 2025

Mahakama yaweka pingamizi la kukataa ushahidi wa video

Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo Dar es Salaam imekubaliana na pingamizi la tatu lililowasilishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse?Modest amefariki dunia

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse Modest amefariki dunia.Modest alicheza kwa timu za kikanda ikiwa ni pamoja na Si . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Waliopoteza vitambulisho kupigia kura leseni

wapiga kura waliopoteza kadi za kupigia kura, Anamary amesema wanaweza kutumia pasi zao za kusafiria, au leseni ya udereva.Msimamizi wa ucha . . .

Kurasa 2 ya 202

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category