Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) umeendelea kutambua na kuthamini mchango wa askari kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wana . . .
Waziri wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa amesema Wizara imekamilisha taratibu za kuanza upanuzi mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam wenye lengo . . .
Halmashauri ya Manispaa ya Geita tarehe 29 Januari, 2026 ilifanya kikao cha tathimini ya mkataba wa Lishe katika Ukumbi wa EPZ – Bombambil . . .
Marekani lazima itathmini upya ushirikiano wake wa usalama na Uganda Jim Rish kutoka chama cha Republican, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya . . .
Karoti zinajulikana sana kwa maudhui yake ya juu ya vitamini A, virutubisho muhimu kwa afya ya macho. Vitamini A ni vitamini mumunyifu wa ma . . .
Usiku wa Februari mosi mwaka huu ulimalizika kwa mwangaza mkubwa katika Grammy Awards tukio kuu la muziki duniani lililoandaliwa katik . . .
Licha ya ugunduzi mkubwa ulioibuliwa kwenye kile kiitwacho Nyaraka za Epstein Naibu Mwanasheria Mkuu wa Marekani, Todd Blanche ameondosha uw . . .
Mwanasiasa mashuhuri wa Uingereza Peter Mandelson amejiuzulu kutoka chama tawala cha Labour kukwepa kile alichokiita "fedheha zaidi" kufuati . . .
Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la Walinzi wa Mapind . . .
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na amani kat . . .
Akipokelewa katika Ikulu ya Élysée Januari 29 mwaka huu wakati wa ziara yake mjini Paris Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby ambapo al . . .
Kufuatia vikwazo vilivyotangazwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), siku kumi na moja baada ya mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya . . .
Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na Rais Don . . .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji . . .
Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Young Africans SC na Al Ahly ya . . .
Rais Donald Trump wa Marekani amesema siku ya Alhamisi kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin amekubali kusimamisha mashambulizi kwa wiki moja . . .
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 150 vya Majimbo 10 Mkoani Mtwar . . .
Utawala wa kijeshi nchini Burkina Faso umevivunja vyama vyote vya siasa nchini humo pamoja na kufuta sheria zinazosimamia vyama hivyo, hii i . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapanga kufanya mazungumzo zaidi na Iran kuhusu uwezekano wa kupata makubaliano ya nyuklia na kusema . . .
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James, amewataka wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano kwa Wakandarasi wa miradi ya Wakala wa Nishati Vij . . .
SERIKALI imesema Maendeleo ya Taifa lolote inategemea malezi na makuzi kwa watoto ili kujenga Taifa imara lenye uzalendo upendo kwa Nchi na . . .
Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia, na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo, Satena, lim . . .
Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafi . . .
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limechukua hatua kali dhidi ya timu za Senegal na Morocco kufuatia vurugu zilizojitokeza katika mc . . .
Arteta aliongeza kuwa mazungumzo hayo yalikuwa ya kutia moyo na yamewapa wachezaji imani mpya, akibainisha kuwa Arsenal ipo katika nafasi nz . . .
Iran imesema itajibu vikali shambulizi lolote litakalofanywa na Marekani. Ujumbe wa Iran kwenye umoja huo umetoa onyo hilo jana Jumatano lik . . .
Umoja wa mataifa siku ya jumatatu umeonya vikali kuhusu kitisho kinachowakabili zaidi ya watu milioni 4 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ko . . .
Idadi ya wanajeshi wa Urusi na Ukraine waliokufa, kujeruhiwa ama kupotea maisha huenda ikafikia milioni 2 katika majira ya machipuko h . . .
Imeelezwa kuwa muigizaji maarufu wa filamu duniani Jackie Chan, tayari ameandaa wimbo maalum wa kuchezwa siku atakayofariki pamoja na siku y . . .
Msemaji wa Simba Sports Club, Ahmed Ally ametoa wito mzito kwa Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko huu akisisitiza kuwa huu ni wakati wa . . .
Vidonda vya tumbo ( kitaalam Peptic Ulcer) ni majeraha au vidonda vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa tumbo au sehemu ya kwanza ya utumbo . . .
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo jijini Dar es Salaam kutotumika kwa michezo ya Ligi kuu baada y . . .
Rwanda imeishitaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya . . .
Saudi Arabia imesema haitoruhusu anga wala ardhi yake kutumika kwa oparesheni yoyote ya kijeshi kuishambulia Iran.Saudi Arabia imesisitiza k . . .
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wa . . .
Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko amesema uhusiano na Morocco ni "imara zaidi kuliko hisia" siku chache baada ya vurugu zilizozuka wakati . . .
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na roli, iliyotokea katika . . .
Ubongo wa mwanadamu ni kiungo muhimu kinachohitaji usambazaji endelevu wa damu ili kupata oksijeni na glukosi kutokana na mtatizo wowote una . . .
Waliokuwa Marais wa zamani nchini Marekani Barack Obama na Bill Clinton, wamewataka Wamarekani kusimama na kulinda kile walichokiita maadili . . .
Morocco haitakuwa tena mwenyeji wa mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la FIFA kwa mwaka 2030 kufuatia matukio yaliyojitokeza . . .