logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

UNMISS yaendelea kutambua mchango wa Tanzania katika ulinzi wa amani Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) umeendelea kutambua na kuthamini mchango wa askari kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wana . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Serikali kuanza kufanya upanuzi mkubwa wa bandari Dar, Juni mwaka huu

Waziri wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa amesema Wizara imekamilisha taratibu za kuanza upanuzi mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam wenye lengo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

KAMATI YA LISHE GEITA MANISPAA YAKUTANA, MKAZO WAWEKWA KWA AFUA ZA LISHE KWA MAMA NA MTOTO

Halmashauri ya Manispaa ya Geita tarehe 29 Januari, 2026 ilifanya kikao cha tathimini ya mkataba wa Lishe katika Ukumbi wa EPZ – Bombambil . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Uganda: Washington yaghadhabishwa na kauli za mkuu wa jeshi ambaye ni mtoto wa rais

Marekani lazima itathmini upya ushirikiano wake wa usalama na Uganda Jim Rish kutoka chama cha Republican, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya . . .

Makala
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Fahamu umuhimu wa Kula Karoti kwa Afya ya Macho

Karoti zinajulikana sana kwa maudhui yake ya juu ya vitamini A, virutubisho muhimu kwa afya ya macho. Vitamini A ni vitamini mumunyifu wa ma . . .

Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Hii hapa orodha Kamili ya Washindi wa Grammy Awards 2026

 Usiku wa Februari mosi mwaka huu ulimalizika kwa mwangaza mkubwa katika Grammy Awards tukio kuu la muziki duniani lililoandaliwa katik . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Marekani kutofungua mashitaka kashfa ya Nyaraka za Epstein

Licha ya ugunduzi mkubwa ulioibuliwa kwenye kile kiitwacho Nyaraka za Epstein Naibu Mwanasheria Mkuu wa Marekani, Todd Blanche ameondosha uw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Mandelson ajiuzulu Labour kwa kashfa ya Epstein

Mwanasiasa mashuhuri wa Uingereza Peter Mandelson amejiuzulu kutoka chama tawala cha Labour kukwepa kile alichokiita "fedheha zaidi" kufuati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC Kupinga EU

Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la Walinzi wa Mapind . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Waziri Mkuu Asisitiza Umuhimu wa Maadili na Mshikamano Katika Jamii

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na amani kat . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Ufaransa na Chad zafungua ukurasa mpya katika uhusiano wao wa pande mbili

Akipokelewa katika Ikulu ya Élysée  Januari 29 mwaka huu wakati wa ziara yake mjini Paris Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby ambapo al . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Senegal: Serikali inapanga kukata rufaa dhidi ya vikwazo vya CAF dhidi ya kocha Pape Thiaw

Kufuatia vikwazo vilivyotangazwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), siku kumi na moja baada ya mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na Rais Don . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Serikali Yatenga Sh. Bilioni 2 Kusaidia Watengeneza Maudhui Mitandaoni

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Jeshi la Polisi Latoa Taarifa Kuelekea Mchezo wa Yanga na Al Ahly Kesho

Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Young Africans SC  na Al Ahly ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Putin akubali kusitisha vita kwa wiki moja Ukraine

Rais Donald Trump wa Marekani amesema siku ya Alhamisi kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin amekubali kusimamisha mashambulizi kwa wiki moja . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2026

REA yamtaka mkandarasi Nothern Engineering Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 150 vya Majimbo 10 Mkoani Mtwar . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 30, 2026

Utawala wa kijeshi wa Burkina faso wavunja vyama vya siasa

Utawala wa kijeshi nchini Burkina Faso umevivunja vyama vyote vya siasa nchini humo pamoja na kufuta sheria zinazosimamia vyama hivyo, hii i . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2026

Rais Trump apanga kufanya mazungumzo na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapanga kufanya mazungumzo zaidi na Iran kuhusu uwezekano wa kupata makubaliano ya nyuklia na kusema . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

RC Iringa asisitiza wananchi kuwalinda wakandarasi na vifaa vya ujenzi

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James, amewataka wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano kwa Wakandarasi wa miradi ya Wakala wa Nishati Vij . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

Dk Jingu" Mtoto ni msingi wa maendeleo na ustawi wa taifa lolote"

SERIKALI imesema Maendeleo ya Taifa lolote inategemea malezi na makuzi kwa watoto ili kujenga Taifa imara lenye uzalendo upendo kwa Nchi na . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

Ndege ya abiria yaanguka Colombia watu wote 15 wafariki dunia

Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia, na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo, Satena, lim . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

Brazil yaruhusu kilimo cha bangi kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi

Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafi . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

CAF Yawaadhibu Senegal, Morocco kwa Vurugu

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limechukua hatua kali dhidi ya timu za Senegal na Morocco kufuatia vurugu zilizojitokeza katika mc . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Arteta Awaomba Mashabiki Utulivu

Arteta aliongeza kuwa mazungumzo hayo yalikuwa ya kutia moyo na yamewapa wachezaji imani mpya, akibainisha kuwa Arsenal ipo katika nafasi nz . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Iran yaionya Marekani dhidi ya uvamizi wa aina yoyote

Iran imesema itajibu vikali shambulizi lolote litakalofanywa na Marekani. Ujumbe wa Iran kwenye umoja huo umetoa onyo hilo jana Jumatano lik . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Punguzo kubwa la misaada laongeza hali mbaya nchini Kongo

Umoja wa mataifa siku ya jumatatu umeonya vikali kuhusu kitisho kinachowakabili zaidi ya watu milioni 4 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ko . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Vifo na majeruhi wa Urusi na Ukraine huenda wakafika mil.2

Idadi ya wanajeshi wa Urusi na Ukraine waliokufa, kujeruhiwa ama kupotea maisha  huenda ikafikia milioni 2 katika majira ya machipuko h . . .

Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Jackie Chan Ajiandalia Wimbo wa Mazishi

Imeelezwa kuwa muigizaji maarufu wa filamu duniani Jackie Chan, tayari ameandaa wimbo maalum wa kuchezwa siku atakayofariki pamoja na siku y . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Simba Yawataka Mashabiki Kuungana Dhidi ya Esperance ya Tunisia

Msemaji wa Simba Sports Club, Ahmed Ally ametoa wito mzito kwa Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko huu akisisitiza kuwa huu ni wakati wa . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Fahamu vinywaji na Vyakula Vinavyosababisha Vidonda vya Tumbo na Jinsi ya Kutibu

Vidonda vya tumbo ( kitaalam Peptic Ulcer) ni majeraha au vidonda vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa tumbo au sehemu ya kwanza ya utumbo . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Uwanja wa KMC Wafungiwa na TFF kwa Kukosa Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo jijini Dar es Salaam kutotumika kwa michezo ya Ligi kuu baada y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Rwanda Yaishtaki Uingereza kwa Kukiuka Mkataba wa Wahamiaji

Rwanda imeishitaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Saudi Yasema Haitaruhusu Ardhi Yake Kutumika Kushambulia Iran

Saudi Arabia imesema haitoruhusu anga wala ardhi yake kutumika kwa oparesheni yoyote ya kijeshi kuishambulia Iran.Saudi Arabia imesisitiza k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Kim asema mipango ya nyuklia itawekwa wazi hivi karibuni

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wa . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Senegal yasema uhusiano na Morocco "umepindukia hisia"

Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko amesema uhusiano na Morocco ni "imara zaidi kuliko hisia" siku chache baada ya vurugu zilizozuka wakati . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Mtu Mmoja Afariki, 12 Wajeruhiwa Ajali ya Basi Shinyanga

 Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na roli, iliyotokea katika . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Kiharusi cha Ubongo: Dalili, Sababu na Matibabu

Ubongo wa mwanadamu ni kiungo muhimu kinachohitaji usambazaji endelevu wa damu ili kupata oksijeni na glukosi kutokana na mtatizo wowote una . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Obama na Clinton Wakemea Mauaji ya Raia Minneapolis

Waliokuwa Marais wa zamani nchini Marekani Barack Obama na Bill Clinton, wamewataka Wamarekani kusimama na kulinda kile walichokiita maadili . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Morocco Yapokonywa Fursa ya Kuandaa Fainali ya Kombe la Dunia 2030

Morocco haitakuwa tena mwenyeji wa mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la FIFA kwa mwaka  2030 kufuatia matukio yaliyojitokeza . . .

Kurasa 2 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category