MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Simanjiro mkoani Arusha, James Ole Millya amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo kipaum . . .
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema wananchi wakimchagua ataunda serikali jumuishi . . .
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) imetoa elimu ya kitaalamu kuhusu changamoto ya hati chafu zinazojitokeza kwenye . . .
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Ismail Ussi amesema kuwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali imeleta mabadiliko ya kiuchumi na . . .
Sarah Agustino Ilomo, mmoja wa watoto wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa Iringa, marehemu Mzee Augustino Ilomo, amemuomba Mkuu wa Mkoa w . . .
Wabunge nchini Chad, Jumatatu ya wiki hii walipitisha marekebisho ya katiba yanayoongeza muda wa rais kukaa madarakani kutoka miaka 5 hadi 7 . . .
Zaidi ya watu 50 waliuawa wiki iliyopita katika mfululizo wa mashambulizi ya magenge nchini Haiti, kulingana na ripoti iliyotolewa siku ya J . . .
Raia wa Malawi, hivi leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, Wabunge na madiwani, uchaguzi ambao unatarajiwa kuamua mustakabali wa t . . .
JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, leo Septemba 16 2025 katik . . .
Utawala wa Gavana Gladys Wanga umemchukulia hatua afisa mkuu anayedaiwa kumpiga mwanahabari.Katika taarifa kwa vyumba vya habari mnamo Jumat . . .
WAKILI Charles Kanjama amesema kuwa kisheria, aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua anaruhusiwa kuwania urais mnamo 2027 kama kesi yake maha . . .
Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la afya duniani WHO, kuna ongezeko kubwa la unene kupindukia miongoni mwa watoto wenye umri wa miaka 5 hadi . . .
MIRADI ya maendeleo ambayo Serikali Kuu inatekeleza katika eneo la Gusii inachukuliwa kama ya chambo cha kuwavutia wakazi wamuunge mkono Rai . . .
UENDA Kenya ikakumbwa na uhaba mkubwa wa mchele kutokana na uhaba wa maji ya kutosha katika mashamba makubwa ya mpunga katika Mpango wa Kili . . .
SERIKALI imewataka Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi nchini kuhakikisha miradi wanayoisimamia inakidhi viwango ili kuwa mfano kwa viza . . .
USALITI ni jambo baya katika uhusiano. Usaliti si ujanja, japo wengi wanaowaza kusaliti huwa wanajiona wajanja. Wanajiona wamewini pale . . .
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Ya . . .
Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikikumbukwa kupitia mashujaa wake wa riadha kama Filbert Bayi, aliyewahi kuvunja rekodi ya dunia na kushin . . .
Serikali ya Burkina Faso imewasilisha muswada wa kupunguza idadi ya sikukuu za kitaifa kutoka 15 hadi 11, hatua inayolenga kuokoa takr . . .
Jeshi la Polisi limetangaza kuwa linafanya uchunguzi kuhusiana na tuhuma za makosa ya kijinai zilizotolewa na Humphrey Herson Polepole. Tuhu . . .
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuondoa jina la Luhaga Joelson Mpina, mgombea wa urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, kat . . .
Ikiwa kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika Ngao ya Ja . . .
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkinga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Twaha Mwakioja amewahidi wananchi wa eneo hilo kuwa endapo watamc . . .
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kenyana iliyopo kijiji cha Kenyana Kata ya Ring’ani Wilaya ya Serengeti mkoani Mara wameelezwa madhara ya ndo . . .
Staa wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva @luludivatz amefungukia tuhuma za kutoka kimapenzi na aliyekuwa X wa Hamisa Mobetto, Kel . . .
SERIKALI ya Sudan Kusini imesema ipo katika mazungumzo na baadhi ya nchi za kigeni ili kuwarejesha wahamiaji waliopokelewa kutoka Mare . . .
SERIKALI ya Burkina Faso imetangaza kufuta ada za viza kwa raia wote wa nchi za Afrika, hatua inayolenga kurahisisha usafirishaji wa w . . .
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini, Riek Machar, amefunguliwa mashtaka mazito ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu, hatua in . . .
MAHAKAMA Kuu ya Kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) inatarajiwa leo kutoa uamuzi wa kwanza kuhusu mashtaka yanayomkab . . .
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Ismail Ali Ussi amewashauri wananchi wa wilayani Kyerwa mkoani Kagera kuacha tabia ya kutunza fed . . .
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imethibitisha wagombea 11 wa urais wa Zanzibar kati ya 17 waliochukua fomu za uteuzi, baada ya kukidhi . . .
Mwananchi day ni tamasha la vibe duniani ndani ya uwanja wa Mkapa leo ni vibe kama lote, na tayali mashabiki wa Yanga SC washaanza kuingia u . . .
Mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amevitaka vyombo vya dola Nchini kutenda haki kwa vyama vyote vya s . . .
Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro amehukumiwa kifungo cha miaka 27 na miezi mitatu jela saa chache siku ya jana Alhamisi baada ya kuku . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Kardina . . .
Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) umelainisha kanuni yake ya usajili kwa timu zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya, uamuzi amba . . .
Kamati ya Utendaji ya Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) imeamua Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2025/2026 itachezwa . . .
Kila mwaka duniani kote kuna vifo 138,000 kutokana na kuumwa na nyoka.Nchini India kila mwaka zaidi ya vifo elfu 60 hutokea kutokana na kuum . . .
Afisa Ustawi wa Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Bw. Baraka Makona ametoa wito kwa jamii kutumia fursa mbalimbali zilizopo ili kuondok . . .
Rapa Fat Joe amesema kuwa “Bifu” lake kubwa dhidi ya 50 Cents na Jay Z lililotokea katika miaka ya 2000, lilimgharimu mabilioni ya fed . . .