logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Boris Johnson kujiuzulu kama kiongozi wa chama cha Conservative

Waziri mkuu Boris Johnson anarajiwa kujiuzulu kama kiongozi wa chama tawala cha Conservative baadaye leo, lakini atandelea kuhudumu kama waziri  hadi baadaye mwaka huu. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

UN "Dunia inashindwa juhudi zake za kutokomeza janga la njaa"

Umoja wa Mataifa ulionya Jumatano kwamba dunia inashindwa katika juhudi zake za kutokomeza njaa kwani zaidi ya watu milioni 828 walikuwa na uhaba wa chakula hapo mwaka 2021 ikiwa ni milioni . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

M23 wamedhibithi sehemu zaidi ya 14, Kagame na Tshisekedi wamekubali kupunguza uhasama

Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame wamekubaliana kupunguza uhasama na hali ya wasiwasi ambayo imekumba nchi hizo kutokana na mashambulizi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Jaji Werema" Wananchi washirikishwe utungaji sheria"

Mwanasheria Mkuu mstaafu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amesema kutoshirikishwa kwa wananchi katika utungaji wa sheria ndiyo chanzo cha wananchi kulalamikia sheria hizo.Werema ameishauri Serik . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Utamu wa Lamu ni kutembea peku

NI kawaida kutembea bila viatu kwenye fuo za bahari katika visiwa vingi ulimwenguni. Lakini katika Kaunti ya Lamu, ni kawaida kukumbana na wanaume wakitembea bila viatu hadi katikati ya mji na vichoc . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Katibu Mkuu wa OPEC Barkindo afariki ghafla akiwa na umri wa miaka 63

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani - OPEC, raia wa Nigeria Mohammed Barkindo, amefariki dunia ghafla akiwa na umri wa miaka 63. Kifo hicho kimetangazwa na afisa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

MAWAZIRI WAWILI WAJIUZULU .

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson atakabiliwa na maswali bungeni Jumatano na baada ya hapo adadisiwe na wakuu wa kamati za bunge huku wadhfa wake wa waziri mkuu ukiwa hatarani.Hii ni kufuatia . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Waziri amsweka ndani aliyesema hajali hata akifukuzwa kazi

Naibu Waziri wa Afya, Godwin Mollel ameagiza kuondolewa madarakani kwa Mkuu wa Idara ya Ujenzi wa wizara hiyo, Paul Koroso kutokana na mgogoro ulioibuka katika mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wila . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ana wakati mgumu kutetea wadhifa wake kisiasa

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson alikuwa akipigania uhai wake wa kisiasa siku ya Jumanne baada ya Waziri wa Fedha Rishi Sunak, na waziri mwingine mwandamizi kujiuzulu ghafla kutokana na ka . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

Monusco wanajua kuhusu waasi wa FDLR kuwa ndani ya jeshi la DRC

Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema kwamba amejiandaa kwa mabaya wakati uhusiano kati ya nchi yake na Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ukiendelea kuharibika, lakini anaitakia Congo mazuri namna a . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

WABUNGE VINARA WA MAPAMBANO YA TB WAENDELEA KUTOA ELIMU

Mtandao wa Wabunge Vinara wa Mapambano dhidi ya Kifua Kikuu wametakiwa kuendelea kutoa elimu kuhusu ugonjwa huo wanaporudi majimboniHayo yamesemwa na Naibu Mwenyekiti Mhe. Sebastian Kapufi wakat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

Jeshi lakanusha madai ya kuunga mkono waasi wa Tigray

Jeshi nchini Uganda, limekanusha taarifa ya baadhi ya vyombo vya habari vya Ethiopia, kwamba serikali ya Uganda inaunga mkono waasi wa jimbo la Tigray, kuipindua serikali ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

ECOWAS yaziondolea vikwazo Mali na Burkina Faso

Viongozi wa Afrika Magharibi waliokuwa wakihudhuria mkutano wa kilele wa kanda hiyo wameamua kuziondolea vikwazo vyote vya kifedha na kiuchumi Mali na Burkina Faso.Haya yamesemwa na Jean Claude Ka . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Rais wa China amwapisha kiongozi mpya Hong Kong

Rais wa China, Xi Jinping leo amemwapisha kiongozi mpya wa Hong Kong huku akionya kuwa China haitavumilia upinzani wowote dhidi ya mamlaka yake katika eneo hili.Kiongozi huyo ni wa kwanza mwanamke . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Tunisia imechapisha rasimu ya katiba mpya inayompa Rais mamlaka zaidi

Tunisia siku ya Alhamis ilichapisha rasimu ya katiba mpya inayompa Rais mamlaka makubwa zaidi rasimu hiyo inatazamiwa kupigiwa kura ya maoni Julai 25 mwaka mmoja baada ya Rais Kais Saied kunyaku . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Maajenti wa kazi Uarabuni kuchunguzwa

SERIKALI imepanga kufanya msako dhidi ya makampuni yanayotafutia Wakenya ajira katika nchi za ughaibuni, hasa zile za Uarabuni. Kulingana na Waziri wa Leba, Bw Simon Chelugui, Wakenya takriban 97 w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Polisi yavunja maandamano dhidi ya hali ngumu kiuchumi Ghana

Polisi nchini Ghana walilazimika kuingilia kati kuyavunja maandamano ya kupinga kupanda kwa bei za mafuta, kodi ya malipo ya kielektroniki na ushuru mwingine wakati nchi hiyo ikikumbwa na mtikisik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Uturuki yaridhia Sweden, Finland kujiunga na NATO

Uturuki imekubali kuondoa upinzani wake kwa Sweden na Finland kujiunga na Jumuiya ya Kujihami ya NATO, hatua inayomaliza mkwamo ambao ulikuwa umeiugubika ufunguzi wa mkutano wa kilele wa viongozi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Mahakama ya Misri yatoa hukumu ya kifo kwa wanamgambo 10 wa kiislamu

Mahakama moja ya Misri Jumanne imewahukumu kifo wanamgambo 10 wa kiislamu waliokutwa na hatia inayohusiana na vitendo vya ugaidi chanzo cha mahakama kimesema. Wanaume hao ambao walishtak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

Korea Kaskazini yakabiliwa na mafuriko katikati ya mlipuko wa Covid-19

Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kuwa raia wa nchi hiyo wanaendelea na juhudi za kuyalinda mazao na vifaa vyao kufuatia mvua kubwa inayonyesha nchini humo. Waangalizi wa kimatai . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

Afisa Mkuu wa Polisi Apatikana Ameuawa Nyumbani kwa Mpenzi Wake

Maafisa wa polisi eneo la Mikindu, Kaunti ya Meru wameanzisha uchunguzi baada ya afisa mkuu wa polisi kupatikana akiwa amefariki dunia katika nyumba ya mpenzi wake Jumamosi, Juni 25.Sajenti mkuu Moses . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

Urusi yalemewa kulipa madeni yake ya kigeni

URUSI imeshindwa kulipa deni lake la kitaifa kwa mara ya kwanza katika karne moja iliyopita. Hali imetajwa kuchangiwa na vikwazo vingi vya kifedha ilivyowekewa na mataifa ya Magharibi. Taifa hilo li . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia Hamadi Jebali ameachiwa huru lakini anaendelea kuchunguzwa

Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia na afisa mkuu wa chama cha Ennahdha chenye kufuata misingi ya kiislam, Hamadi Jebali aliachiliwa huru siku ya Jumatatu ikiwa ni siku ya nne baada ya kukamatwa kw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

WAKUTANA NACHO WAFANYA BIASHARA

Muswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2022 unaoanza kujadiliwa leo umependekeza faini ya Sh100,000 kwa kampuni itakayoshindwa kuwasilisha taarifa za wamiliki wanufaika au kuwasilisha ritani.Adhabu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 27, 2022

Viongozi wa G7 waahidi dola bilioni 600 za kujenga miundo mbinu

Viongozi wa nchi 7 tajiri duniani wameahidi kutenga kiasi cha dola bilioni 600 kwa ajili ya kujenga miundo mbinu ya kupamabana na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. Mradi huo unazing . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 27, 2022

Lifti ya gari ilivyofungua mlango kwa Rais Samia

“Hapa kuna watu wametoa ushuhuda na mimi nataka nitoe wangu. Mimi mwenzenu nilijiunga na EOTF mwaka 1997 nikiwa kama mmoja wa Bodi ya Wadhamini ni kiwa kijana kisichana machachari sana lakini ni . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 27, 2022

Rais wa Niger Mohamed Bazoum amepongeza mafanikio ya mapambano dhidi ya Boko Haram

Rais wa Niger Mohamed Bazoum siku ya Jumapili alipongeza maendeleo katika kupambana na Boko Haram na wapiganaji wa kundi la Islamic State West Africa Province akisema wanashinda vita hivi. Bazou . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 27, 2022

Serikali yapunguza tozo ya ving’amuzi

Serikali imepunguza tozo ya ving’amuzi nchini kufikia Sh500 hadi Sh2000 kwa kadri ya matumizi ya mteja baada ya majadiliano na Kamati ya Bunge ya Bajeti.Kabla ya majadiliano hayo tozo iliyopen . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 26, 2022

Jacob Zuma kupinga ripoti ya ufisadi dhidi yake

Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma anapanga kupinga ripoti ya mahakama kuhusu uchunguzi wa ufisadi mwingi uliojitokeza katika utawala wake wa miaka tisa. Msemaji wa Zuma amewaambia waandis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 26, 2022

Wanaharakati Morocco wataka uchunguzi kuhusu vifo vya wahamiaji

Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wa Morocco AMDH, wametaka uchunguzi ufanywe kufuatia vifo vya wahamiaji 23 wa kiafrika walipokuwa wakijaribu kuingia katika uzio wa Melilla nchini Uhispani . . .

Kurasa 102 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

    • saa moja lililopita
  • Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

    • 2 masaa yaliopita
  • Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode