logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Biden kuzuru Saudi Arabia na Israel

Rais Joe Biden wa Marekani amethibitisha kufanya ziara nchini Saudi Arabia mwezi ujao kwa ajili ya mazungumzo na viongozi wa taifa hilo ikiwa ni hatua ya mabadiliko makubwa yanayoonesha kugeuka kw . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Somalia iliishutumu Kenya kwa kukiuka mamlaka yake ya kujitawala

Somalia iliishutumu kenya kwa kukiuka mamlaka yake ya kujitawala baada ya mwakilishi wa eneo lililojitenga la Somaliland kualikwa Jumanne kwenye mkutano wa kidiplomasia mjini Nairobi. Balozi w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Uingereza imefuta safari ya ndege ya waomba hifadhi wahamiaji kurudishwa Rwanda

Uingereza imefuta safari ya ndege iliyokuwa imepangwa kuwapeleka waomba hifadhi nchini Rwanda siku ya Jumanne jioni baada ya mahakama ya ulaya ya haki za binadamu kuingilia kati ikisema mpango h . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Deni la Serikali lafikia trilioni 69.44

Hadi kufikia mwezi Aprili mwaka huu deni la serikali lilikuwa shilingi trilioni 69.44.   Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi kama hicho mwaka 2021 deni la S . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Serikali itakavyookoa matumizi ya Sh500 bilioni

Katika mkakati wa kubana matumizi, Serikali inatarajia kudhibiti mambo kadhaa ikiwemo ununuzi na matumizi ya magari.Hayo amebainisha  jana Jumanne Juni 14, 2022 bungeni mjini  Dodoma waka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Mahakama ya Cambodia yawatia hatiani wapinzani 60

Mahakama moja ya mji wa Phnom Penh nchini Cambodia imewakuta na hatia takriban wanasiasa 60 wa upinzani, akiwemo mwanaharakati na mksoaji mkubwa mwenye uraia wa Marekani na Cambodia Theary Seng.Hu . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Bunge la Kenya laahirisha vikao vyake Leo

Bunge la Kenya liliahirishwa kwa muda usiojulikana kabla ya uchaguzi wa Agosti 9 bila kuzingatia miswada muhimu inayohusiana na shughuli za uchaguzi mkuu. Mswada wa marekebisho ya sheria ya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Kipindupindu kimeibuka tena Cameroon na kusababisha vifo takribani 150

Zaidi ya watu 150 wamefariki kutokana na kuibuka tena kwa ugonjwa wa kipindupindu nchini Cameroon katika kipindi cha miezi minane iliyopita Umoja wa Mataifa ulisema Jumatatu. Wizara ya afya ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Deni la taifa lafikia Sh69.44 trilioni

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili 2022, deni la Serikali lilikuwa Sh69.44 trilioni ikilinganishwa na Sh60.72 trilioni kwa kipindi kama hicho mwaka 2021, s . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Zaidi ya watu laki nane wakimbia ukame Somalia

Shirika la Umoja wa mataifa lenye kuhusika na usaidizi wa dharura OCHA limesema ukame ulioikumba Somalia umesababisha zaidi ya watu 805,000 kuyahama makazi yao hadi mwishoni mwa Mei.Rekodi zinaone . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Waziri Mkuu wa zamani wa Urusi: Simtambui tena Putin

Mikhail Kassianov alikuwa waziri mkuu wa kwanza wa serikali ya Vladimir Putin. Lakini hata hivyo, Mikhail Kasyanov hakuweza kufikiria kiongozi wake wa zamani kweamba anaweza . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Hatma ya Sakaja Kujulikana Leo

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa makataa kwa Seneta wa Nairobi Johnson Sakaja kujibu kesi nne dhidi yake kufikia 12pm Jumatatu, Juni 13.Uamuzi huo umetolewa na mwenyekiti wa Kamati ya Kus . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Maseneta Marekani wametangaza muundo wa pande mbili unaohusu umiliki wa bunduki

Maseneta wametangaza muundo wa pande mbili siku ya Jumapili katika kujibu mashambulizi ya bunduki kwa umma ya mwezi uliopita ikiwa mafanikio ya kawaida yanayotoa hatua za udhibiti wa bunduki na . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Jaji Mkuu wa Kenya Ataka Rais Uhuru Kenyata Ang’olewe Madarakani Kwa Kukiuka Katiba

Jaji Mkuu wa Kenya Martha Koome anataka mahakama ya rufaa kutangaza kwamba Rais Uhuru Kenyata amekiuka katiba ya nchi hiyo kwa kushindwa kuwateuwa majaji sita katika ya majaji 40 walioteuliwa na T . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Tanzania yasaini mkataba wa kuuza gesi yake asilia

Tanzania imetiliana saini mkataba wa gesi na kampuni za Shell ya Uingereza na Equinor ya Norway ili kuutekeleza mradi wa dola bilioni 30 wa kuiwezesha nchi hiyo ya Afrika mashariki kuuza gesi yake . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Korea Kusini kuboresha uwezo wa ulinzi kukabiliana na vitisho vya Kaskazini

Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini Lee Jong-sup amesema leo kwamba nchi yake itaboresha uwezo wake wa ulinzi na kufanya kazi kwa karibu na Marekani na Japan kukabiliana na tishio la nyuklia na makom . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Bashungwa Awasimamisha Kazi Afisa Manunuzi Na Mkaguzi Wa Ndani Halmashauri Ya Wilaya Karagwe.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa Kagera, Prof. Faustine Kamuzora kuwasimamisha kazi Afisa Manunuzi wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Wavamizi Waliojihami kwa Bunduki Waua Raia 32 na Kuteketeza Nyumba za Wakaazi Read more

Wahalifu waliojihami kwa bunduki wamewaua kwa kuwapiga risasi watu 32 na kuteketeza makumi ya nyumba katika shambulizi la hivi punde katika eneo tete la Kaduna, kaskazini magharibi mwa taifa la Nigeri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Rais mpya wa Somalia aapa kukabiliana na ugaidi

Rais mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud, ameapa kukabiliana na ugaidi katika nchi hiyo iliyokumbwa na mzozo, huku pia akiiomba jumuiya ya kimataifa kuisaidia nchi hiyo dhidi ya kitisho cha njaa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Rais wa Senegal na mwenyekiti wa AU aisihi Ukraine kutegua mabomu ya ardhini kurahisisha usafirishaji wa nafaka

Rais wa Senegal na mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Macky Sall Alhamisi ameisihi Ukraine kutegua mabomu ya ardhini kwenye maji ya bahari kando na bandari ya Odesa, ili kurahisisha usafirishaji wa n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Rais Ramaphosa amsimamisha kazi mkuu wa taasisi ya kupambana na ufisadi

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Alhamisi amemsimamisha kazi mkuu wa taasisi ya kupambana na ufisadi wakati bunge linaandaa kikao kilichocheleweshwa kwa muda mrefu kusikiliza mashtaka yanay . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Biden aunga mkono kuanzishwa upya mazungumzo kati ya Maduro na upinzani

Rais wa Marekani Joe Biden amezungumza kwa njia ya simu na kiongozi wa upinzani wa Venezuela Juan Guaido na kueleza uungaji mkono wa Marekani wa kuanzishwa upya mazungumzo kati ya serikali ya Rais . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Wagonjwa 1000 wakutwa na homa ya nyani katika nchi 29 ikiwemo Ulaya

Shirika la afya duniani WHO limetahadharisha juu ya hatari ya kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani hasa katika mataifa ya Ulaya, huku kukiwa na zaidi ya watu 1,000 waliokutwa na homa hi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Sudan iko kwenye mazungumzo ya kutatua mzozo wa kisiasa

Sudan Jumatano imeanzisha mazungumzo ya moja kwa moja na makundi hasimu chini ya upatinishi wa Umoja wa mataifa ikitumai kutatua mzozo wa kisiasa uliochochewa na mapinduzi ya kijeshi ya mwaka ja . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

TikTok yashtumiwa kusambaza matamshi ya chuki na habari potofu kabla ya uchaguzi wa Kenya

Kanda zenye matamshi ya chuki, habari potofu za kisiasa na vitisho vya ghasia za kikabila zinasambaa kwenye mtandao wa TikTok kabla ya uchaguzi muhimu nchini Kenya, ripoti mpya imesema Jumatan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Tanzania Na Marekani Zajadili Ushirikiano Katika Michezo Na Sanaa

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Mohamed Mchengerwa wakiambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Hassan Abbasi wamekutana na Balozi wa Marekani hapa nchini leo Juni 8, 2022 wameku . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

matumizi ya gesi vyatajwa kuleta unafuu

akati bajeti ya Serikali kwa mwaka 2022/23 ikitarajiwa kusomwa wiki ijayo (Juni 14, 2022), baadhi ya wadau wamesema wanatarajia kuona ruzuku katika mafuta ikiendelea ili mwananchi apate ahueni.Wam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

Mataifa yenye nguvu duniani yaikosoa Iran kwa kutoshirikiana na IAEA

Marekani, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zimewasilisha azimio kwa shirika la Umoja wa Mataifa la kudhibiti matumizi ya nishati IAEA na kuikosoa vikali Iran kwa kutoshirikiana na shirika hilo. Ka . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

Wagonjwa 161 waripotiwa kuugua uviko 19

Wizara ya Afya imesema idadi ya maambukizi mapya ya Ugonjwa wa Virusi vya Uviko-19 imeongezeka na kufikia 161 ikilinganishwa na maambukizi 68 kwa kipindi cha Aprili 2 hadi Mei 4, 2022.Kwa mujibu w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Ashraf Ghani hakuimbia Afghanistan na mamilioni ya pesa

Ripoti ya shirika la Marekani linalofuatilia jinsi mabilioni ya dola yanavyotumiwa na Marekani kwa ujenzi mpya wa Afghanistan SIGAR imesema rais wa zamani wa Afghanistan Ashraf Ghani hakuikimbia n . . .

Kurasa 104 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

    • saa moja lililopita
  • Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

    • 2 masaa yaliopita
  • Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode