logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Ramaphosa, Putin wateta

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa nchi hiyo imeombwa kuwa msuluhishi wa mgogoro unaoendelea kati ya Russia na Ukraine. Rais Ramaphosa hajaweka wazi ni nani aliyewasilisha omb . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Makombora ya Urusi yashambulia mji mwingine Ukraine

Mashambulizi ya Urusi leo hii yanaelezwa kuyalenga maeneo ya raia huko katika mji wa katikati wa Ukraine Dnipro, huku vikosi vya wanajeshi hao wakiujongolea mji mkuu, Kyiv ambapo maafisa wamesema . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Wanawake Afrika hatarini zaidi kuugua Ugojwa wa Figo

Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Aifello Sichwale amesema kuwa wanawake wanaonekana kuwa na hatari kubwa ya kupata matatizo Sugu ya Figo ukilinganisha na wanaume. Dkt. Sichwale amebainisha hay . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Bibi Mwenye Umri wa Miaka 339 Gumzo Mitandaoni

ukiambiwa kuna mzee nchini Uturuki amegonga miaka 339 duniani utaamini? Basi ishu iko hivyo; ila ukiamini utaungana na wenzako wasioamini na usipoamini utakuwa sehemu ya wasiaomini kwani ndivyo il . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

WATU WAWILI WAFARIKI WAKIWA KWENYE MAANDAMANO

Waandamanaji wawili waliuawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano nchini Sudan siku ya Alhamis huku maafisa wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika wakionya kuwa nchi hiyo iko hatarini. Mamia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Biden aimarisha uhusiano na Colombia

Rais wa Marekani Joe Biden ameimarisha uhusiano na Colombia kwa kuiteuwa nchi hiyo ya Amerika Kusini kuwa mshirika mkuu wa Marekani asie mwanachama wa NATO, na hivyo kufungua milango kwa ushirikia . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Tanzania yazindua chanjo ya homa ya manjano huku kukiwa na mlipuko wa ugonjwa huo

Wizara ya afya ya Tanzania imezindua zoezi la utoaji chanjo ya homa ya manjano baada ya mlipuko wa ugonjwa huo kuripotiwa katika nchi jirani ya Kenya.Waziri Ummy Mwalimu amewaagiza watendaji wa hos . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Urusi yakanusha kulipua Hospitali ya watoto.

Naibu wa kwanza wa balozi na mwakilishi wa kudumu wa Urusi Dmitry Polyanskiy amekanusha taarifa kuwa Urusi ilihusika kwenye shambulizi la kulipua hospitali ya watoto, katika mji wa Mariupol nchini . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Iran yasema Marekani yatatiza kufikiwa makubaliano Vienna

Katibu wa Baraza Kuu la Kitaifa la Usalama la Iran, Ali Shamkhani, amesema Marekani haina nia ya kufikia makubaliano ya kuufufua mkataba wa nyuklia wa 2015 na Iran. Shamkhani amesema kwamba Mareka . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Ujerumani yarekodi maambukizi mapya ya COVID-19 .

Maambukizi ya virusi vya corona nchini Ujerumani yamepindukia watu laki mbili na elfu hamsini (250,000) kwa siku moja kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa janga hilo. Haya ni kwa mujibu wa taasisi . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa wa Libya alenga makubaliano ya uchaguzi mwezi huu .

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya Libya Stephanie Williams anajaribu kutafuta makubaliano mwezi huu kuhusu sheria za uchaguzi na mipango ya kikatiba nchini Libya, huku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Ukraine kuunda hifadhi ya chakula cha serikali

Serikali ya Ukraine imesema itaanzisha hifadhi kubwa ya chakula cha kutosha kuwalisha watu na vikosi vya jeshi wakati huu wa uvamizi wa Urusi.Chombo cha habari cha serikali kimemnukuu Waziri Mkuu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Muhimbili yalaani video ya Prof. Jay akiwa ICU.

Hospitali ya Taifa Muhimbili imetolea ufafanuzi taarifa inayosambaa kwenye mtandao wa kijamii kuhusu Joseph Haule Joseph Haule maarufu Prof. Jay.  “Kuna video inayosambazwa na Mtandao wa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Waziri Kagwe Adokeza Kuondoa Sheria ya Lazima ya Kuvaa Maski Hivi Karibuni.

Serikali sasa inawazia kulegeza masharti ya afya yaliyowekwa kufuatia mlipuko wa janga la COVID-19 miaka miwili iliyopita. Waziri wa Afya Mutahi Kagwe alidokeza kwamba ataondoa sheria ya lazima y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

“Tupatieni ndege” Rais wa Ukraine.

Rais wa Ukraine Volodymir Zelensky ametoa wito hii leo wa kupata suluhu ya dharura kuhusu mvutano ulioibuka ya ombi la Poland la kuipelekea Ukraine ndege za kivita wazo ambalo Ujerumani, Canada na . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Duterte atia saini sheria umri kufanya ngono

Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte ametia saini sheria ya kuongeza umri wa Msichana kutoa idhini ya kufanya mapenzi kutoka miaka 12 hadi miaka 16 ikiwa ni juhudi za kuwalinda Watoto dhidi ya ubakaj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Mawaziri Ukraine Na Urusi Kukutana Leo Uturuki.

KUFUATIA  shambulio la hospitali ya wajawazito na watoto katika Mji wa Mauripol nchini Ukraine kutoka kwa majeshi ya Urusi, mawaziri wa mambo ya nje wa pande zote mbili leo Alhamisi, Machi 10 . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Waziri Bashe awapa maagizo wakurugenzi ”Dawa hizi ni bure”

Wizara ya Kilimo imegawa jumla ya lita laki moja za dawa ya kudhibiti viwavijeshi kwa wakulima wa maeneo yote yaliyoripotiwa kuwa na mlipuko wa viwavijeshi nchini. Akizungumza na wananchi w . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

MABASI YA MWENDOKASI YAJA

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) Amesema mwaka huu Ataongeza mabasi mengine mapya 95 ikiwa ni sehemu ya hatua za kupunguza msongamano wa abiria kwenye vituo vya mabasi hayo. Mtendaji . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Trillion 1.3 kuwekezwa kwenye Elimu

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema Serikali ya Awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan imetoa kipaumbele kwa sekta ya elimu ambapo imeweka msukumo katika kuongeza b . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Wabunge Waitwa Dodoma Kwa Ajili Ya Shughuli Za Kamati Za Kudumu Za Bunge

Ofisi ya Bunge inawajulisha Wabunge wote kufika Dodoma siku ya Alhamisi tarehe 10 Machi, 2022 kwa ajili ya Shughuli za Kamati za Kudumu za Bunge kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Bunge wa Bajeti. . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Afrika yagawanyika katika azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Ukraine

Siku ya Jumatano, Machi 2, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha kwa wingi azimio la kutaka Urusi isitishe mara moja matumizi ya nguvu dhidi ya Ukraine. Nchi 141 ziliidh . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Mbowe ateta na RC, RPC Iringa

Iringa. Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (RC), Queen Sendiga na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Serikali kuifumua sheria ya ndoa

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema serikali ipo katika majadiliano na mapitio ya sera ili kubadili sheria ya ndoa ambayo imekua ikileta . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Wanawake waaswa kuhimiza wanaume kupima ukimwi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maswala ya Ukimwi, Kifua Kikuu, Dawa za Kulevya na Magonjwa yasiyoya kuambukiza imetumia Siku ya Wanawake Duniani kuhamasisha wanaume nchini kujitokeza kupima ukimwi n . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

‘Slay Queen’ anayechumbiana na wanaume wote wampao pesa.

Mrembo mmoja raia wa Zambia mwenye umri wa miaka 24, anayejulikana kwa jina Teresia, amefichua kuwa yeye huchumbiana na wanaume wote ambao hugharamia maisha yake ya kifahari.  Teresia alisema . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani yakataa pendekezo la Poland kutuma ndege Ukraine

Marekani imelikataa pendekezo la Poland la kutowa ndege za kijeshi za enzi za Kisovieti ili zikabidhiwe kwa Ukraine katika kuisaidia kwenye mapambano yake dhidi ya uvamizi wa Urusi, ikisema haliwe . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Ndege za Urusi zauwa 17 Ukraine

Mamlaka nchini Ukraine zinasema kuwa ndege za kijeshi za Urusi zimefanya mashambulizi mapya kwenye makaazi ya raia katika sehemu za kati na mashariki mwa nchi hiyo. Maafisa hao wanasema kuwa watu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani yasisitiza mpango wa Morocco kujitawala Sahara magharibi

Marekani siku ya Jumanne ilisisitiza kuunga mkono mpango wa Morocco wa kujitawala kwa Sahara magharibi ili kusuluhisha mzozo wa miongo kadhaa wa ufalme huo na vuguvugu la kudai uhuru la Polisari . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Vikosi vya usalama Sudan vimemkamata kiongozi mkuu wa upinzani

Vikosi vya usalama vya Sudan vilimkamata kiongozi mkuu wa upinzani hapo Jumanne huku maafisa wakifyatua gesi ya kutoa machozi kuwazuia maelfu ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana kupinga mapin . . .

Kurasa 118 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 19 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 2 siku zilizopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode