logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 11, 2022

Aliyemnyima jirani kitanda cha kulala avunjiwa nyumba.

Mwanamme mmoja aliyefahamika kwa jina la Daniel Ooko Alego wa nchini Kenya amefikishwa Mahakamani kutokana na kujihusisha na tukio la wizi nyumbani kwa jirani yake ambaye alimnyima nafasi ya kulal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 11, 2022

CCM wamjulia hali Prof. Jay

umemuona Ndugu yetu (Prof Jay) hali yake inazidi kuimarika, tumshukuru Mungu lakini niwashukuru madaktari kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kumhudumia, pamoja na mchango huu wa kuwezesha matatibu lak . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 10, 2022

Marekani yaomba Iran kufufua mkataba wa nyuklia kwa haraka

Ikulu ya Marekani Jumatano imeshinikiza Iran waziwazi kwamba ifufue kwa haraka mkataba wa nyuklia wa 2015, ikiongeza kwamba itakuwa vigumu kwa hilo kufanyika, wiki chache kuanzia sasa. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 10, 2022

Magazeti manne yafunguliwa

Serikali imetangaza rasmi kuyafungulia magazeti manene ya Mwanahalisi, Mawio, Tanzania Daima na Mseto miezi kadhaa tangu Rais Samia Suluhu Hassan aagize vyombo vya habari vilivyofungwa kufunguliwa . . .

Kilimo
  • Na JZ The Brand
  • February 10, 2022

Ofisi ya Rais-TAMISEMI,Wizara ya Kilimo kuimarisha ushirikiano kuboresha kilimo nchini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa amesema wataendeleza ushirikiano na Wizara ya Kilimo ili kuhakikisha kuwa wanaimarisha Se . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 10, 2022

WILDAF,TGNP WASISITIZA UMUHIMU WANAWAKE KUENDELEA KUPATA NAFASI ZAIDI ZA UONGOZI

IMEELEZWA lengo la kufikia 50 kwa 50 katika uongozi na nafasi za kufanya maamuzi nchini litafanikiwa tu endapo wanawake zaidi wataendelea kupata nafasi za uongozi kuanzia katika vyama vya siasa, . . .

Uwekezaji
  • Na JZ The Brand
  • February 10, 2022

Waziri Dkt Mabula Kuanza Ukaguzi Na Utambuzi Maeneo Ya Uwekezaji

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema wizara yake itaanza ukaguzi na kuyatambua maeneo yote yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji nchini.Dkt Mabula alisema hayo . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 10, 2022

Utafiti: Samaki Wa Ziwa Victoria Hawajaathirika Kwa Zebaki

Waziri wa Nchin Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema tafiti zinaonesha samaki na dagaa wanaopatikana katika Ziwa Victoria hawajaathirika kwa zebaki.Am . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 9, 2022

Boaz Okoth Amtimua Spika kwa Utovu wa Nidhamu

Wawakilishi wadi katika Bunge la Migori (MCA) walimtimua Spika wao Boaz Okoth siku chache baada ya kukamatwa kwake. Jumla ya MCAs 46 walijitokeza kwenye kikao hicho, 11 walikosa kuhudhuria, wawili haw . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 9, 2022

Kilimanjaro: Nyumba 20 Zasobwa na Maji, Mmoja Afariki

MVUA  kubwa zilizoambatana na upepo mkali zinazoendelea kunyesha baadhi ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro, zimeezua  mapaa na kubomoa nyumba  20 zilizoko katika Kijiji cha Munge  . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 9, 2022

Milionea wa Czech aliyeendesha gari kwa kasi ya kilomita 417 kwa saa Ujerumani sasa anakabiliwa na mashtaka

Milionea kutoka Jamhuri ya Czech Radim Passer anakumbwa na uchunguzi wa ofisi ya mwendesha mashtaka wa Ujerumani.Mmiliki huyo wa gari aina ya Bugatti Chiron alichapisha video ya jinsi alivyoongeza . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 9, 2022

Korea Kaskazini yajigamba kuwa na uwezo wa kuitikisa dunia kwa mamkombora yanayofika Marekani

Korea Kaskazini ilijigamba siku ya Jumanne kwamba ni mojawapo ya nchi chache tu duniani zenye uwezo wa kuweka silaha za nyuklia na makombora ya hali ya juu na ndiyo pekee iliyosimama kidete kwa "ku . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 9, 2022

Marekani yatangaza vikwazo vya viza dhidi ya maafisa wa Somalia

Marekani imetangaza vikwazo vya viza dhidi ya maafisa wa sasa au wa zamani wa Somalia wanaotuhumiwa kuhujumu michakato ya kidemokrasia.Hatua hiyo inawadia wakati ambapo Marekani inasukuma kufanyika . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 9, 2022

ATCL yaagizwa kufanya mapitio ya nauli zake

Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeiagiza Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) kufanya uchunguzi wa nauli zinazotozwa na mashirika washindani katika safari za ndani, na kuweka nauli ambazo zitawavutia . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 9, 2022

Balozi Liberata Mulamula akutana na Wajumbe wa Timu ya Usimamizi wa Benki ya Standard Chartered

Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, Balozi Liberata Mulamula (wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Timu ya Usimamizi wa Benki ya S . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awapongeza Wajumbe Kamati Kuu Ya Taifa Ya Sensa Ya Watu Na Makaazi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amewapongeza wajumbe wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya watu na Makaazi kwa hatua waliyofikia katika maandalizi ya Se . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Mabadiliko ya hali ya hewa kusababisa hasara ya kifedha kwa mataifa

Benki ya dunia Jumatatu imesema kwamba uchafuzi wa hewa mashariki ya kati pamoja na kaskazini mwa Afrika unasababisha hasara ya dola bilioni 141 za kimarekani kila mwaka.Kiasi hicho ni takriban as . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

WATUMISHI WAMPONGEZA WAZIRI JENISTA KUUNDA TIMU YA WATAALAM ITAKAYOPENDEKEZA MFUMO MPYA WA KUPIMA UTENDAJI KAZI WAO

Watumishi wa Umma mkoani Mwanza wamempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama kwa hatua yake ya kuunda kikosi kazi maalum cha wata . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Watu 22 mbaroni kwa tuhuma za mauaji Mbeya

Kufuatia kuwepo kwa wimbi la matukio ya mauaji jijini Mbeya, Jeshi la Polisi mkoani humo limewatia nguvuni watu 22 kwa tuhuma za kuhusika na vitendo hivyo, huku likitoa mwelekeo wa namna ya kumal . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Mazungumzo ya nyuklia na Iran kuendelea Vienna

Mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran yanatarajiwa kuendelea tena Jumanne (08.02.2022) mjini Vienna, Austria baada ya kusitishwa mwishoni mwa mwezi Januari.Marekani imesema inawezekana mkata . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Kesi ya maofisa saba wa polisi wanaodaiwa kuua yapigwa kalenda

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara imeahirisha kesi ya mauaji inayowakabili maofisa saba wa polisi mkoani Mtwara imeahirishwa hadi Februari 22, 2022 itakapotajwa tena.Watuhumiwa hao saba wanadaiwa k . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Agizo la Rais Samia lazua kilio upya

Agizo la Rais Samia Suluhu la kumtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda kamati kuchunguza matukio ya mauaji mkoani Mtwara na Kilindi, Tanga limewaibua ndugu wa askari mwingine, Linus Mzema aliye . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Wezi waiba kompyuta za wanafunzi wakati wanasoma

Majambazi wawili waliokuwa na visu waliingia katika shule ya upili nchini Uswidi siku ya Jumatatu na kuiba kompyuta za wanafunzi, vyombo vya habari vya ndani vimeripoti.Watu hao waliojifunika nyuso . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Zaidi ya watu milioni 10 wanakabiliwa na njaa kali katika Pembe ya Afrika - UN

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linasema watu milioni 13 kote katika Pembe ya Afrika wanakabiliwa na njaa kali kutokana na kuendelea kwa ukame.Mavuno yaliyoshindikan . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Wakuu wa Idara wa Hospitali watakiwa kuweka mkakati wa kuboresha huduma za afya

Wakuu wa Idara wa hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwl.JK Nyerere wametakiwa kuweka mkakati wa kuboresha huduma za afya kwenye hospitali hiyo.Hayo yamesemwa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya A . . .

Elimu
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

TAMISEMI kuboresha elimu Nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Innocent Bashungwa  amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassani kwa kuwezesha ujenzi . . .

siasa
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Wasira: "Sitaki Tena Urais , Mama Samia Suluhu Hassan Anatosha 2025"

Mwanasiasa   mkongwe nchini, Stephen Wasira, amesema Rais Samia aachwe amalizie vipindi viwili vya urais kama ilivyo utamaduni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).Aliyasema hayo jana mkoani Mara a . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Kalonzo Akanusha Kuweka Masharti ya Kujiunga na Azimio la Umoja

Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amepuuzilia mbali tetesi kuwa muungano wa One Kenya Alliance (OKA) umetoa masharti ya kujiunga na mrengo wa Azimio la Umoja.Akizungumza mtaani Huruma, Kaunt . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Watu 206 wathibitika kuwa na Virusi vya Corona ndani ya wiki moja

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hali ya UViKO-19 nchini katika kipindi cha tarehe 29 Januari hadi 4 Februari, 2022, jumla ya 6,938 walipimwa na watu 206 walithibitika kuwa na Virusi vya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Profesa Makubi ahimiza mikakati Bora hospitali ya rufaa Mwl Nyerere

Wakuu wa Idara wa hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwl.JK Nyerere wametakiwa kuweka mkakati wa kuboresha huduma za afya kwenye hospitali hiyo. Hayo yamesemwa leo Februari 7, 2022 na Kati . . .

Kurasa 123 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 11 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode