logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Jinsi Marekani inavyotumia msafara wa magari kumlinda rais wake

Mojawapo ya mambo ambayo watu wengi huwa na hamu ya kujua ni masuala yanayohusiana na ulinzi wa viongozi .Katika hili Marekani ni mojawapo ya nchi ambazo zimetenga kiasi kikubwa cha fedha katika . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Kituo cha anga cha kimataifa kuanguka katika bahari ya Pasifiki mwaka 2031

Kituo cha Kimataifa cha Anga za Juu (ISS) kitaendelea kufanya kazi hadi 2030, kabla ya kutumbukia katika Bahari ya Pasifiki mapema 2031, kulingana na Nasa.Katika ripoti ya wiki jana, shirika l . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Kwanini majasusi wa Israel wanapenya na kuingia Iran kwa wingi

Mnamo Novemba 2020, msafara uliokuwa umembeba Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi mashuhuri zaidi wa nyuklia wa Iran, ulishambuliwa. Aliuawa kwa bunduki iliyoelekezwa kwa njia ya teknolojia.Kufany . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Mapya yaibuka sakata la mauaji nchini

Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumwagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda kamati maalum ya kuchunguza mauaji ya aliyekuwa mfanyabiashara wa madini, mama wa mfanyabiashara huyo a . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali umeridhia na kupitisha ombi la Tanzania la kutaka Kiswahili kuwa lugha ya kazi katika Umoja huo.

Mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali umeridhia na kupitisha ombi la Tanzania la kutaka Kiswahili kuwa lugha ya kazi katika Umoja huo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Namna Maboresho ya Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta yatakavyochochea Ukuaji wa Sekta ya Mawasiliano Tanzania

KATIKA kuboresha mazingira ya utoaji huduma za mawasiliano nchini Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wiki hii imetangaza maboresho ya Kanuni za Miundombinu ya Utangazaji . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Mauaji mengine, Mwalimu akutwa ameuwawa Dodoma

Mwalimu Albert Kaguli (43) wa shule ya Msingi Kisokwe wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma amekutwa ameuwawa kwa kupigwa nan a kitu kizito kichwani."Tukio la leo kwa kweli ni tukio la huzuni na ote . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Rais Samia akiweka jiwe la Msingi mradi wa miundombinu ya kusafisha na kutibu maji bunda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi katika mradi wa miundom . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Waziri Mkuu wa Ujerumani ahimiza taifa hilo kuacha kutegemea gesi kutoka Urusi

Waziri wa uchumi wa Ujerumani Robert Habeck amelihimiza taifa hilo kupunguza utegemezi wake wa gesi asilia kutoka Urusi wakati kukiwa na wasiwasi kuhusiana na mzozo wa Ukraine.Matamshi yake yali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

TMA Yasema kimbunga kikali hakitafika Pwani ya bahari ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa Kimbunga Batsirai katika maeneo ya kusini Magharibi mwa bahari ya Hindi. TMA imesema Kimbunga hicho tangu kilipojitokeza kati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Urusi yapiga marufuku DW kuendesha shughuli zake nchini humo

Shirika la Utangazaji la Ujerumani - DW limeapa kuchukua hatua ya kisheria baada ya Urusi kulipiga marufuku kuendesha shughuli zake nchini humo. Wizara ya Mambo ya Kigeni ya Urusi imetangaza jana kuwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Wabunge wahoji mikataba kupelekwa bungeni

 Mbunge wa Bunda Vijijini, Mwita Getere ameibua tena sakata la wabunge kudai mikataba ya miradi mikubwa ipelekwe bungeni ili waipitie.Katika swali la msingi mbunge huyo ameitaja mikataba ya m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Marekani yadai ina ushahidi Urusi ina mpango wa kudanganya kuwa imeshambuliwa na Ukraine

 Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema inao ushahidi kuhusu mpango wa Urusi kutoa mkanda bandia wa video, ikionyesha kitakachoelezwa kuwa ni shambulizi la Ukraine, ili iutumie kama kisingizi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

VIJANA WANAHITAJIKA KATIKA MAKUMBUSHO YA AZIMIO LA ARUSHA .

Vijana na wananchi mbalimbali nchini wameshauriwa kwenda Makumbusho ya Azimio la Arusha kujifunza misingi muhimu iliyowekwa na waasisi wa nchi hii wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwl Julia N . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

WASAMBAZAJI WA VIFAA VYA UJENZI WAONYWA KUPANDISHA BEI BILA SABABU YA MSINGI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Prof. Godius Kahyarara amewaonya wasambazaji wa bidhaa za vifaa vya ujenzi kutokupandisha bei kwakuwa ni kosa la kisheria kupandisha bei z . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 3, 2022

Hali ya utulivu yarejea Bissau baada ya jaribio la mapinduzi

Hali ya utulivu imeonekana kurejea katika mji mkuu wa Guinea-Bissau, wakati serikali ikianzisha uchunguzi wa kile ilichokitaja kuwa jaribio la mapinduzi lilolenga kumwondoa madarakani rais Uma . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 3, 2022

Cocaine yawauwa watu 17 nchini Argentina, huku wengine wakilazwa hospitalini

Maafisa katika mji wa Argentina wa Buenos Aires, wanajaribu kuzuwia mauzo ya mihadarati aina ya kokeni baada ya kuwauwa watu wapatao na wengine 70 kulazwa hospitalini baada ya kutumia dawa hiyo . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 3, 2022

Makomando wa Marekani watekeleza uvamizi mkubwa Syria

Vikosi maalum vya Marekani vimefanya uvamizi dhidi ya ugaidi katika eneo linaloshikiliwa na upinzani kaskazini-magharibi mwa Syria, karibu na mpaka wa Uturuki, Pentagon imesema.Msemaji alisema k . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 3, 2022

Mwanamume akamatwa kwa kuiba biblia mbili dukani

Image caption: BibliaMwanamume ambaye amekamatwa na kushtakiwa kwa kuiba biblia mbili kwenye duka kubwa jijini Nairobi anasema alichokuwa akitaka ni kumjua Mungu tu. Augustine Wanyonyi, 35, alia . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

WIZARA YA AFYA YAPOKEA VIFAA TIBA KUTOKA PHARM ACCESS FOUNDATION

Wizara ya Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Zanzibar imepokea msaada wa wa vifaa tiba ya mama na mtoto  vyenye thamani ya Tsh milioni 92 kwa lengo la kuimarisha afya bora nchini.Ak . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UENDESHAJI WA MTIHANI WA AWALI KWA MADAKTARI WATARAJIWA

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI ATEMBELEA MRADI MKUBWA WA MAJI LONGIDO.

Naibu Katibu mkuu wizara ya maji ,Mhandisi Nadhifa Kemikimba ametembelea mradi wa maji wilayani Longido na kusema wameridhishwa na mradi huo unavyotekelezwa.Aliyasema hayo wakati alipotembele . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Mwanajeshi apandishwa cheo kwa kumsaidia mwanamke kujifungua Zambia

Mwanjeshi wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi.Humphrey Mangisani amepadishwa cheo kutoka askari alisiye na cheo hadi ko . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Mwanajeshi apandishwa cheo kwa kumsaidia mwanamke kujifungua Zambia

Mwanjeshi wa Zambia amepandishwa cheo cha kijeshi kwa kumsaidia mwanamke mjamzito kujifungua mtoto katika shamba la mahindi.Humphrey Mangisani amepadishwa cheo kutoka askari alisiye na cheo hadi ko . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Waziri Gwajima Apokea Ugeni Wa ‘un Women’, Waonesha Utayari Kuboresha Miongozo Ya Wizara

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maaum, Dkt. Dorothy Gwajima, amepokea ugeni wa Shirika la kupigania haki za wananawake na usawa wa kijinsia katika nafasi za uongozi, UN . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Serikali Kupima Utendaji Kazi Wa Taasisi Zake Kielektroniki-Waziri Mhagama

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Jenista Mhagama amesema Serikali inaboresha Mfumo wa Uwazi wa Kupima Utendaji Kazi wa Taasisi unaojulikana ka . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Rwanda - Uganda: Kwa nini mpaka haujafunguliwa kikamilifu

Furaha ya wengi ilitoweka wakati watu wachache tu waliruhusiwa kuvuka mpaka wa Gatuna/Katuna, ambao ulipangwa kufunguliwa tena Jumatatu.Kwa sababu ya mzozo wa kisiasa mamlaka nchini Rwanda ziliamu . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Sakata la mtoto kumuua mtoto mwenzake, familia yatoa kauli

Familia ya Marehemu Ally Khalifa Bakari, Mtoto mwenye umri wa miaka tisa ambaye amefariki mara baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali kichwani na mwenzake hadi kupelekea kufariki Dunia, imeiomb . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 2, 2022

Kesi ya Mbowe:Shahidi Mwanajeshi akana kukamatwa

Shahidi wa 12 upande wa Jamhuri Luteni Denis Urio katika kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu amekataa kuwa aliwahi k . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Mwanamke Aolewa na Ndugu yake wa Damu Bila Kujua na Kumzalia Watoto 3

Mwanamke Mrwanda, Mukandamage Domitila aliwashtua wengi baada ya kufichua alikuwa ameolewa na ndugu yake wa damu moja.Domitila alizaliwa mnamo mwaka 1978, lakini mwaka mmoja baadaye mama yake alifarik . . .

Kurasa 124 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 9 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode