logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC

Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tchisekedi kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa yaliyoitishwa na sehemu ya upinzani na kuhimizwa na washirika . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Serikali Yaendelea Kuimarisha Upatikanaji wa Haki Mwanza

Serikali imeendelea kusisitiza ushirikiano wake na mhimili wa Mahakama kama nguzo muhimu katika kulinda haki, kudumisha amani na kuchochea maendeleo ya Taifa.Kauli hiyo imetolewa wakati wa Maadhimisho . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

VISIWA VYA BEZI NA TEFU KUNUFAIKA NA UMEME WA JUA MWANZA

Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Mhe. Kafiti William Kafiti amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanzisha mradi wa kusambaza umeme wa mfumo wa jua majumbani (Stand Alone Solar Home S . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

UNMISS yaendelea kutambua mchango wa Tanzania katika ulinzi wa amani Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) umeendelea kutambua na kuthamini mchango wa askari kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoshiriki katika operesheni za ulinzi wa amani nchini humo.Ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Serikali kuanza kufanya upanuzi mkubwa wa bandari Dar, Juni mwaka huu

Waziri wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa amesema Wizara imekamilisha taratibu za kuanza upanuzi mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam wenye lengo la kujenga magati 10 pamoja na matenki 15 ya mafuta.Ujenzi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

KAMATI YA LISHE GEITA MANISPAA YAKUTANA, MKAZO WAWEKWA KWA AFUA ZA LISHE KWA MAMA NA MTOTO

Halmashauri ya Manispaa ya Geita tarehe 29 Januari, 2026 ilifanya kikao cha tathimini ya mkataba wa Lishe katika Ukumbi wa EPZ – Bombambili kwa lengo la kujadili utekelezaji wa Afua za Lishe ndani y . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Uganda: Washington yaghadhabishwa na kauli za mkuu wa jeshi ambaye ni mtoto wa rais

Marekani lazima itathmini upya ushirikiano wake wa usalama na Uganda Jim Rish kutoka chama cha Republican, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Mahusiano ya Kigeni ya Baraza la Seneti, ametangaza kwenye . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Marekani kutofungua mashitaka kashfa ya Nyaraka za Epstein

Licha ya ugunduzi mkubwa ulioibuliwa kwenye kile kiitwacho Nyaraka za Epstein Naibu Mwanasheria Mkuu wa Marekani, Todd Blanche ameondosha uwezekano wa kufunguwa mashitaka ya uhalifu kwa wale waliotajw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Mandelson ajiuzulu Labour kwa kashfa ya Epstein

Mwanasiasa mashuhuri wa Uingereza Peter Mandelson amejiuzulu kutoka chama tawala cha Labour kukwepa kile alichokiita "fedheha zaidi" kufuatia kuibuliwa tena taarifa za urafiki wake na Jeffery Epstein. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC Kupinga EU

Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), kama ishara ya kupinga na kujibu uam . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Waziri Mkuu Asisitiza Umuhimu wa Maadili na Mshikamano Katika Jamii

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na amani katika jamii, huku akitahadharisha dhidi ya wanaoingilia masual . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Ufaransa na Chad zafungua ukurasa mpya katika uhusiano wao wa pande mbili

Akipokelewa katika Ikulu ya Élysée  Januari 29 mwaka huu wakati wa ziara yake mjini Paris Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby ambapo aliambatana  na Emmanuel Macron, amerasimisha mwanzo wa e . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Serikali Yatenga Sh. Bilioni 2 Kusaidia Watengeneza Maudhui Mitandaoni

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Putin akubali kusitisha vita kwa wiki moja Ukraine

Rais Donald Trump wa Marekani amesema siku ya Alhamisi kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin amekubali kusimamisha mashambulizi kwa wiki moja kwenye miji ya Kyiv.Trump amesema wakati wa kikao cha baraza . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2026

REA yamtaka mkandarasi Nothern Engineering Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 150 vya Majimbo 10 Mkoani Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha Mradi kwa wakati.M . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 30, 2026

Utawala wa kijeshi wa Burkina faso wavunja vyama vya siasa

Utawala wa kijeshi nchini Burkina Faso umevivunja vyama vyote vya siasa nchini humo pamoja na kufuta sheria zinazosimamia vyama hivyo, hii ikiwa ni kulingana na amri iliyodhinishwa na serikali siku ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2026

Rais Trump apanga kufanya mazungumzo na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapanga kufanya mazungumzo zaidi na Iran kuhusu uwezekano wa kupata makubaliano ya nyuklia na kusema huenda asitumie nguvu ya kijeshi dhidi ya taifa hilo.Baada y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

RC Iringa asisitiza wananchi kuwalinda wakandarasi na vifaa vya ujenzi

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James, amewataka wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano kwa Wakandarasi wa miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ikiwemo kulinda miundombinu na vifaa vya ujenzi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

Dk Jingu" Mtoto ni msingi wa maendeleo na ustawi wa taifa lolote"

SERIKALI imesema Maendeleo ya Taifa lolote inategemea malezi na makuzi kwa watoto ili kujenga Taifa imara lenye uzalendo upendo kwa Nchi na uchapa kazi.Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendele . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

Ndege ya abiria yaanguka Colombia watu wote 15 wafariki dunia

Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia, na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo, Satena, limethibitisha.Katika taarifa, shirika hilo lilisema ndege yake . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2026

Brazil yaruhusu kilimo cha bangi kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi

Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi.Uamuzi huo umetokana na maelekezo ya Mahakam . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Iran yaionya Marekani dhidi ya uvamizi wa aina yoyote

Iran imesema itajibu vikali shambulizi lolote litakalofanywa na Marekani. Ujumbe wa Iran kwenye umoja huo umetoa onyo hilo jana Jumatano likijibu kitisho cha Rais Donald Trump cha kuiingilia kijeshi.U . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Punguzo kubwa la misaada laongeza hali mbaya nchini Kongo

Umoja wa mataifa siku ya jumatatu umeonya vikali kuhusu kitisho kinachowakabili zaidi ya watu milioni 4 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ufadhili wa kiutu kupunguzwa kwa kiasi kikub . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Vifo na majeruhi wa Urusi na Ukraine huenda wakafika mil.2

Idadi ya wanajeshi wa Urusi na Ukraine waliokufa, kujeruhiwa ama kupotea maisha  huenda ikafikia milioni 2 katika majira ya machipuko huku Urusi ikiwa imeathirika zaidi tangu Vita vya Pili vya Du . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Rwanda Yaishtaki Uingereza kwa Kukiuka Mkataba wa Wahamiaji

Rwanda imeishitaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya wahamiaji ambayo London imeyatelekeza yapata miaka miwili il . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Saudi Yasema Haitaruhusu Ardhi Yake Kutumika Kushambulia Iran

Saudi Arabia imesema haitoruhusu anga wala ardhi yake kutumika kwa oparesheni yoyote ya kijeshi kuishambulia Iran.Saudi Arabia imesisitiza kuwa haitaruhusu ardhi yake kutumika kutekeleza shambulizi lo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Kim asema mipango ya nyuklia itawekwa wazi hivi karibuni

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wakati wa mkutano mkuu wa chama tawala utakaofanyika wiki kadh . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Mtu Mmoja Afariki, 12 Wajeruhiwa Ajali ya Basi Shinyanga

 Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na roli, iliyotokea katika eneo la Mnada wa Tinde, wilayani Shinyanga.Ajali hiyo ilito . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Obama na Clinton Wakemea Mauaji ya Raia Minneapolis

Waliokuwa Marais wa zamani nchini Marekani Barack Obama na Bill Clinton, wamewataka Wamarekani kusimama na kulinda kile walichokiita maadili na msingi ya taifa, kufuatia mauaji ya muuguzi wa chumba ch . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Tume ya Vurugu za Oktoba Yapiga Marufuku Vyombo vya Habari Kutangaza Ushahidi wa Waathirika

Tume huru ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeagiza vyombo vya habari nchini Tanzania kutotoa moja kwa moja ushahidi au taarifa zinazotolewa na waathiri . . .

Kurasa 2 ya 138

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • jana
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • jana
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode