logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 13, 2024

Donald Trump Amteua Elon Musk Kuongoza Idara Hii Serikali ya Marekani

DonaldTrump amewateua Elon Musk na Mgombea Urais wa zamani wa chama cha Republican, Vivek Ramaswamy, kuongoza Idara ya Ufanisi wa Serikali.Trump alisema kwenye taarifa kwamba Musk na Ramaswamy "watafu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 12, 2024

Mtendaji mbaroni tuhuma rushwa ya laki tatu

TAKUKURU wilaya ya Bukombe mkoani Geita, imemfikisha mahakamani Rashid Musalika ambaye ni Afisa Mtendaji wa kata ya Runzewe Mashariki kwa tuhuma za kujipatia shilingi laki tatu kutoka kwa wafugaji wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 12, 2024

Rais Samia Amteua Mhandisi Peter Rudolf Ulanga kuwa Mkurugenzi ATCL

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Peter Rudolf Ulanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL). Mhandisi Ulanga anachukua nafasi y . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 12, 2024

Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi watakiwa kurejea kazini mara moja

Wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma kwa kipindi cha wiki tatu zilizopita wamekuwa wakigoma kushikiniza serikali kutimiza ahadi yake ya kuwaongezea mshahara kwa asilimia kumi kama ilivyokubaliwa katika ma . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 12, 2024

Gachagua ajigeuza ‘mhubiri’ kujijenga

ALIYEKUWA Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anaonekana kubadili mkakati wake wa kisiasa kwa kulenga kudumisha umaarufu wake katika ngome yake ya Mlima Kenya siku chache baada ya kuondolewa mamlakani.Bw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 12, 2024

Wanawake Wanaongoza BONGO Kuvuta Bangi Aina ya Skanka

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA imesema uchunguzi uliofanyika umebaini kuwa Wateja wengi wa skanka ni Wanawake ambao hudai kuvuta bangi hiyo ili kupunguza msongo wa mawazo n . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 11, 2024

William Ruto Azuru Mlima Kenya Siku Chache baada ya Rigathi Gachagua Kuondolewa Madarakani

Rais William Ruto amezuru eneo la Mlima Kenya wiki kadhaa baada ya aliyekuwa naibu wake, Rigathi Gachagua, kubanduliwa na nafasi yake kuchukuliwa na Kithure Kindiki. Katika juhudi za kufufua umaa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 11, 2024

Baraza la mpito la Haiti lachagua Waziri Mkuu mpya

Baraza la mpito la Haiti, ambalo liliundwa ili kurejesha mfumo wa demokrasia nchini humo,  Jumapili limetia saini amri ya kiutendaji ya kumfuta  kazi kaimu waziri mkuu Garry Conille, na kute . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

Takukuru Kinondoni Yataja Idadi ya Watoto Wanaobakwa kwa Siku

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Manispaa ya Kinondoni leo imetoa taarifa miezi mitatu katika kupambana na vitendo vya rushwa ikitaja idadi ya watoto wanaobakwa na kulawitiwa kwa si . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

Hali mbaya ya hewa yazuia ziara ya Rais Samia Cuba

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushorikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema kuwa ziara ya kitaifa ya siku mbili ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Cuba iliyopangwa kufanyika Novemba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

Trump amteua mkuu wa wafanyakazi White House

Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, amemteua Susie Wiles, aliyekuwa meneja wa kampeni yake ya ushindi, kuwa mkuu wa wafanyikazi wa White House, na kuwa mwanamke wa kwanza kushikilia nafasi hiyo yen . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

Waziri Mkuu Atoa Wito Kwa Watendaji Serikalini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watendaji wote Serikalini wahakikishe vipaumbele vilivyoanishwa kwenye Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2025/2026 vinatafsiriwa vema kwenye mipango ya Taasis . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 7, 2024

Msumbiji: Polisi wakabiliana vikali na waandamanaji wa upinzani

Taifa hilo la kusini mwa Afrika limekuwa likishuhudia machafuko tangu tarehe tisa ya mwezi Oktoba, wakati chama tawala cha Frelimo ambacho kimekuwa madarakani kwa kipindi cha miaka 50 kupata tena ushi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 6, 2024

Viongozi waanza kumpongeza Trump anapoelekea kutawazwa mshindi

VIONGOZI wa mataifa mbalimbali ya ulimwenguni wameanza kumtumia Donald Trump jumbe za kumpongeza anapoelekea kuibuka mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Amerika uliofanyika Novemba 5, 2024.Waziri . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 6, 2024

Donald Trump Ashinda Uchaguzi Marekani

Fox News imetangaza Donald Trump amemshinda Makamu wa Rais Kamala Harris katika uchaguzi wa urais wa 2024, hatua ambayo inampa muhula wa pili na kubadili rekodi iliyowekwa na Grover Cleveland, rais wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 5, 2024

Wabunge wa Pakistan waongeza muda wa kuhudumu jeshini

Wabunge wa muungano unaotawala nchini Pakistan, waliidhinisha msururu wa miswada Jumatatu inayoongeza muda wa wakuu wa vikosi vya usalama, ikiwa ni pamoja na jeshi, kutoka miaka mitatu hadi mitano, li . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 5, 2024

Russia imekataa kuthibitisha kama Korea Kaskazini inaisaidia

Russia ilikataa kuthibitisha mipango yake kwa wanajeshi wa Korea Kaskazini ambao inasemekana inapanga kupeleka katika mapambano yake dhidi ya Ukraine, wakati wa makabiliano na Marekani Jumatatu kwenye . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • November 4, 2024

Watahiniwa watatu wafanya KCSE wakiwa hospitalini baada ya kujifungua

WASICHANA watatu katika Kaunti ya Narok wanaendelea kufanya mitihani ya kitaifa ya sekondari (KCSE) wakiwa hospitalini baada ya kujifungua saa chache kabla ya kuanza kwa mtihani Jumatatu.Mkurugenzi wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 4, 2024

Tanzania yatajwa kuwa na barabara bora Afrika

Tanzania imetajwa kuwa kati ya mataifa 10 bora barani Afrika ambayo yana miundombinu bora zaidi ya barabara. Taarifa hizo zinakuja ikiwa serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ikiwa imewe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 4, 2024

Rais wa Iran, asema kusimamishwa mapigano kutaathiri muitikio wao

Rais wa Iran, Jumapili amesema uwezekano wa kusimamishwa mapigano baina ya washirika wake na Israel, kunaweza kuathiri kiwango cha mwitikio wa Tehran, kwa mashambulizi ya karibuni ya Israel katika mae . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 4, 2024

Siri ya Wakurya kuwa wababe

Hata hivyo, Wakurya wengi wanapatikana katika wilaya za Tarime, Serengeti na sehemu za wilaya za Rorya na Butiama lakini pia wanaishi katika wilaya zingine za mkoa huo.Mbali na kupatikana mkoni humo p . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • November 4, 2024

Polisi "Faini Milioni 5 Mpaka 20 Ukibainika Kupekua Simu ya Mwenza Wako"

Mkuu wa Polisi wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Selestin Luhende amewataka wanandoa kuacha kupekua simu za wenza wao ili kuepuka madhara yanayoweza kupatikana ikiwemo ugomvi unaoweza kuvunja ndoa pamoja . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 1, 2024

BENKI YA DUNIA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA HEET CHUO KIKUU MZUMBE

Ujumbe kutoka Benki ya Dunia umeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) unaoendelea Chuo Kikuu Mzumbe, baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 1, 2024

Ujerumani kufunga ubalozi wa Iran kufuatia kuuwawa kwa Sharmahd

Ujerumani Alhamisi imesema kuwa itafunga ubalozi wa Iran nchini humo yakiwa majibu ya tangazo la Iran la kuuwa Jamshid Sharmahd, mjerumani mwenye asili ya Iran, na aliyekuwa mkazi wa Marekani mapema w . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • November 1, 2024

Kindiki aapishwa rasmi kuwa Naibu Rais

Aliyekuwa Waziri wa Usalama wa ndani, Prof. Kithure Kindiki ameapishwa rasmi kuwa Naibu Rais mpya wa Kenya, akichukua nafasi ya Rigathi Gachagua ambaye aliondolewa madarakani, huku akiapa kuwa mtiifu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 31, 2024

Mwamba Ajaza Mchanga Magunia 115 Kuwatapeli Wakulima wa Mahindi

Wananchi wa Palangawanu, halmashauri ya wilaya ya Wanging'ombe, mkoani Njombe, wamekumbwa na huzuni baada ya kubaini kuwa wametapeliwa fedha zao za mahindiKatika godauni lililokuwa na mahindi, walikut . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 30, 2024

Zuhura Yunus Awataka Madereva Kuzingatia Tija, Ufanisi Katika Utendaji Kazi Wao

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Zuhura Yunus, amewataka Madereva kuzingatia tija na ufanisi katika utendaji kazi wao ili kuhakikisha jamii inafanya kazi . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • October 30, 2024

watahiniwa 23 wa KPSEA wakifanyishwa mtihani feki Eldoret

HATIMA ya watahiniwa 23 wa mtihani wa Gredi ya Sita (KPSEA) katika Kaunti ya Uasin Gishu haijulikani baada ya kubainika kwamba walikalia mtihani feki.Shule hiyo, Silver Bells Academy eneo la Kimumu, E . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 30, 2024

Guterres alalamikia sheria mpya zilizopitishwa na bunge la Israel

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameandikia barua Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, akielezea wasi wasi wake kutokana na sheria mpya ya Israel iliopitishwa, ikuzuia Umoja huo k . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • October 29, 2024

Jamaa Atumikia Kifungo cha Miaka 10 Jela Sababu ya 'Kumuambukiza' Mpenziwe Ukimwi

Mwanamume Mkenya ambaye amekuwa akitumikia kifungo cha miaka 10 jela amesimulia kuwa alimficha mpenzi wake kuhusu hali yake ya Ukimwi kwa sababu alikuwa na wasiwasi angemwacha.Arthur Wachira, ambaye a . . .

Kurasa 40 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 2 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 2 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 2 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode