logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

Uchaguzi kufanyika Oktoba 30 Brazil

Maafisa wa tume ya uchaguzi nchini Brazil wamesema kuwa duru ya pili ya uchaguzi itafanyika Oktoba 30, baada ya wagombea wawili wakuu kushindwa kupata zaidi ya asilimia 50 ya kura zinazohitajika. Bara . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 2, 2022

Damiba awataka waliofanya mapinduzi ''kuwa na fikra pevu''

Waandamanaji wenye hasira wameshambulia ubalozi wa Ufaransa katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou jioni ya Jumamosi. Hii ni baada wa wafuasi wa wanajeshi waliofanya mapinduzi mapya kuituhumu Uf . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 2, 2022

Hatimaye mwili wa marehemu Hellen Wendy Aliyefariki Akiogelea Live Wawasili Kenya

Hatimaye mwili wa marehemu Hellen Wendy Nyabuto (24),binti wa Kikenya aliyefariki kwa kuzama kwenye bwawa la kuogelea nchini Canada umewasili Nairobi leo.Hellen ambaye alikuwa muuguzi na mwanafunzi al . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 30, 2022

Rais Ruto Awahimiza Wabunge Kuwahoji Mawaziri

Rais William Ruto ametoa wito kwa bunge kubuni mikakati ya kuwahoji Mawaziri Bungeni, ili kufafanua sera za serikali na kujibu maswali kuhusu miradi yake.Wakati wa hotuba yake alipofungua rasmi Bunge . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 30, 2022

NPSC Yateua Kaimu DCI Mpya

Tume ya Kitaifa ya Huduma kwa Polisi Kenya (NPSC) imemteua Massa Hamisi Salim kuwa kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Idara Upelelezi wa Jinai (DCI) hadi mshikilizi kamili ya cheo hicho atakapoteuliwa.Salim ali . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 30, 2022

Rais Samia "wanahangaika na supu ya pweza"

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema matatizo mengi yanayiowakumba vijana nchini kwa sasa kiafya yanatokana na lishe duni huku matatizo hayo yakiendelea kuwa siri.Rais Samia amewataka watafiti . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 30, 2022

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani ashawishi vikwazo dhidi ya Iran baada ya kifo cha Amini

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amesema anafanya kila lililo chini ya uwezo wake ili kufanikisha vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya wale wanaowakandamiza wanawake nchini Iran, w . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 30, 2022

Sababu za kifo cha Malkia Elizabeth II za wekwa wazi

Chanzo cha kifo cha Malkia Elizabeth II wa Uingereza, ambaye alitawala kwa muda mrefu zaidi ya malkia au mfalme mwingine yeyeote wa nchi hiyo, kimetolewa rasmi.Kulingana na cheti cha kifo kilichochapi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

MUSEVENI" HAKUNA HAJA YA ‘LOCKDOWN’, EBOLA HAISAMBAZWI KWA HEWA"

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amesema hakuna haja ya kuweka vikwazo ikiwemo marufuku ya kutoka nje katika maeneo yenye mlipuko wa Ebola kwasababu Ugonjwa huo hausambazwi kw . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Asilimia 33 ya Watanzania wana uzito uliopitiliza

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), imesema kwamba asilimia 30 ya Watanzania wana tatizo la shinikizo la juu la damu na asilimia 33 wana uzito wa juu wa kupitiliza jambo linaloashiria kwamba wap . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Waziri Mkuu awataka wana-Diaspora kuwa mabalozi wa kuitangaza Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wana-Diaspora wote wawe mabalozi wazuri wa kuitangaza Tanzania kokote waliko na wawe tayari kuainisha fursa zilizopo nchini.“Ninyi ni mabalozi wetu, itangazeni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

Urusi kuitisha kikao ha Baraza la Usalama

Urusi inapanga kuitisha mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili uharibifu uliofanywa katika mabomba hayo mawili. Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Urusi Maria Zakharova amesema ha . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 27, 2022

Ummy Mwalimu "Hakuna atakayekamatwa kwa kukosa bima ya afya"

 Wakati Serikali ikiwasilisha muswada wa Bima ya Afya kwa Wote bungeni, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema hakuna mtu atakaye kamatwa au kupigwa faini kwa kutokuwa na bima ya afya.  Wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 27, 2022

Canada kuwawekea vikwazo raia wa Iran

Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau alitangaza Jumatatu kwamba serikali yake itawawekea vikwazo "dazeni" ya watu na mashirika ya Iran, ikiwa ni pamoja na maafisa wa polisi wanaowaitwa "wa maadili," w . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • September 27, 2022

Wanafunzi Waliopata Ufaulu Wa Juu Waziri Mkenda Awaita

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amefungua rasmi dirisha la ufadhili wa masomo ya elimu ya juu (Samia Scholarship) ambapo wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 27, 2022

Kenya yachunguza kifo cha wakili aliyetuhumiwa kwa hongo

Polisi nchini Kenya wanachunguza kifo cha mwanasheria aliyetuhumiwa kuwahonga na kuwatishia mashahidi katika kesi iliyotupiliwa mbali na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu - ICC dhidi ya Rais William Ru . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 27, 2022

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA MZEE NYAMKA, ALA KIAPO CHA UJUMBE TUME YA UTUMISHI KWA JESHI LA POLISI, MAGEREZA, UHAMIAJI, ZIMAMOTO NA UOKOAJI

KAMISHNA Jenerali wa Magereza, Mzee Ramadhani Nyamka Septemba 26, 2022, jijini Dodoma akila kiapo cha uadilifu mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma, Mhe. Gerson Mdemu ku . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • September 27, 2022

Mwanafunzi ateketeza nyumba yao baada ya kupewa pesa kidogo

Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Kaunti Ndogo ya Marakwet Magharibi ameingia mitini baada ya kuchoma nyumba ya familia kutokana na kutofautiana na babake kuhusu pesa za matumizi ya shuleni ambazo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Saratani Yaua Watu 25,000 kwa Mwaka

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema ugonjwa wa saratani umeua watu 25,000 mwaka 2020 na kuufanya ugonjwa huo kuwa tishio zaidi ya Uviko-19 iliyoua watu chini ya 1,000 hapa nchini.Waziri Ummy amesema . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Vifo Vya Ebola Vyafika 21 Uganda

Idadi ya watu waliofari dunia kutokana na ugonjwa wa ebola nchini Ugenda imefikia watu 21 huku zaidi ya 30 wakiwa wameambukuzwa.Ripoti iliyotolewa na Wizara ya Afya nchini Uganda imesema kuwa kuwa wiz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Tren Ya SGR Yaanza Safari Kutoka Dodoma Hadi Dar es salaam

Kamati za Bunge za Miundombinu na Hesabu za Serikali (PAC) wameanza safari ya kutoka Dodoma kwenda Morogoro kwa njia ya treni wakipita reli mpya ya kisasa (SGR). Wabunge hao wanapitia reli hiyo k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

hizi ni nchi zisizo na furaha duniani

Ripoti ya Dunia ya Furaha imetumia uchanganuzi wa takwimu kubaini nchi zenye furaha zaidi duniani. Katika sasisho lake la 2021, ripoti ilihitimisha kuwa Finland ndio nchi yenye furaha zaidi ulimwengun . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Ruto Aita Wahubiri Ikulu Kwa Maombi

RAIS William Ruto jana Jumapili aliruhusu viongozi wa makanisa kufanya maombi spesheli ya kutakasa ikulu ya Nairobi huku akijiandaa kuanza kutumia makao hayo ramsi ya kiongozi wa nchi.Rais Ruto alisem . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

James Mbatia Adai Mkutano Uliomfukuza Umeingila Uhuru wa Mahakama

 Ikiwa ni siku moja imepita tangu mkutano Mkuu wa Dharura wa Chama Cha NCCR -Mageuzi kumfuta uanachama aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, James Mbatia na kumvua uongozi Makamu Mwenyekiti, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 25, 2022

Waziri mkuu wa muda wa Mali aishtumu Ufaransa

Waziri mkuu wa mpito nchini Mali kanali Abdoulaye Maiga, ameishtumu Ufaransa kwa kulitelekeza taifa hilo. Wakati wa hotuba yake kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Maiga amesema kuwa Mali imesaliti . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 23, 2022

Spika wa Zamani wa unge la Gabon Akamatwa na Dola Milioni 2

 kiongozi wa upinzani na Spika wa zamani Guy Nzoube Ndama wa Bunge la Gabon, amekamatwa katika mji mkuu wa Libreville akiwa na takriban dola milioni 2 (bilioni 1.19 za FR CFA) zilizopatikana kwen . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 23, 2022

Zanzibar yakataza watu wa jinsia moja kuvishana pete kwenye ufukwe

Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kupitia Kamisheni ya Utalii Zanzibar imelaani kitendo cha Watalii wawili wa jinsia moja (Wanaume) kuvishana pete katika ufukwe wa Hoteli iliyopo Jambiani Mkoa wa Kusi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 23, 2022

Wanajeshi wa Cameroon wakamatwa kwa mauaji

Mamlaka za Cameroon zimesema Alhamisi kwamba zimezuilia wanajeshi watatu kutokana na kupiga risasi na kuuwa wanawake wawili wasiokuwa na silaha kwenye kijiji kimoja kaskazini magharibi mwa nchi.Makund . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • September 22, 2022

Iran Yazuia WhatsApp Na Instagram

Iran imezuia upatikanaji wa mitandao ya kijamii ya Instagram na WhatsApp huku kukiwa na maandamano ya kupinga kifo cha mwanamke aliyekuwa chini ya ulinzi wa polisi kwa mujibu wa wakaazi na shirika la . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 22, 2022

Magonjwa yasiyoambukiza husababisha asilimia 74 ya vifo duniani

Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema magonjwa yasiyoambukiza kama saratani, kisukari na matatizo ya moyo yamechangia asilimia 74 ya vifo vyote duniani, na kushauri kuwa kupambana na maradhi hayo k . . .

Kurasa 94 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Utaratibu wa mapitio ya kesi ya Waziri Mkuu Ousmane Sonko wafunguliwa

    • 13 dakika zilizopita
  • Ndege za Marekani zafanya ukaguzi juu anga ya Nigeria

    • 17 dakika zilizopita
  • TANZANIA NA UGANDA ZAANZA AFCON 2025 KWA KICHAPO

    • 40 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode