logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Jamii
  • Na Asha Business
  • November 27, 2024

Jamaa Ajisalimisha Polisi Baada ya Mzigo Alioiba Kumkwama Begani Mchana Kutwa

Jamaa mmoja jijini Dar es Salaam, Tanzania amejikuta pabaya baada ya mzigo wa mahindi aliokuwa ameiba kumkwama mabegani.Frank Japhet, 23, mkazi wa Mbezi, jijini Dar es Salaam, amelazimika kujisalimish . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 25, 2024

Mtahiniwa wa KCSE Azimia na Kukata Roho Akijiandaa Kufanya Mtihani Wake wa Mwisho

Hali ya sintofahamu imetanda Friends School Womulalu katika Kaunti ya Vihiga baada ya mtahiniwa wa KCSE, aliyetambulika kama Snider Undisa, kuaga dunia kabla ya kukamilisha mtihani wake wa mwisho.&nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2024

Iran yatangaza mazungumzo na Ufaransa, Ujerumani na Uingereza siku ya Ijumaa

Iran imetangaza hivi punse siku ya Jumapili Novelba 24, 2024 kwamba majadiliano juu ya mpango wake wa nyuklia yatafanyika katika siku zijazo na Ufaransa, Ujerumani na Uingereza, nchi tatu ambazo ziliw . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 24, 2024

Mume Adaiwa Kumuua Mkewe Kisa Kunyimwa Unyumba

Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma linamsaka Martin Hyera kwa kosa la kumuua mke wake Luciana Kapinga kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani chanzo kikiwa kunyimwa unyumba.Akithibitisha kutokea kwa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 22, 2024

Simanzi mtahiniwa wa KCSE akifariki katika hali tata Turkana

MTAHINIWA wa Mitihani ya Kitaifa ya Shule ya Upili (KCSE) amefariki katika hali tatanishi katika Shule ya Upili ya Turkana Talent, Kaunti ya Turkana.Chanzo cha kifo cha John Ekalale kilichotokea Jumat . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 22, 2024

Mapigano yazuka Juba

Mapigano makali ya bunduki yalizuka Alhamisi jioni, katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba, baada ya vikosi vya usalama kwenda kumkamata mkuu wa idara ya ujasusi kwa mujibu wa shirika la habari la Reut . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 20, 2024

Wafuasi wa magenge wauwawa Haiti

Polisi na makundi ya kiraia ya kujilinda yamewauwa watu 28 wanaodaiwa kuwa wanachama wa genge katika mji mkuu wa Haiti, Port au Prince katika operesheni ya usiku kucha, serikali imesema Jumanne, wakat . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 19, 2024

Kiambu: Mtoto Apatikana Hai Huku Polisi Wakigundua Miili ya Wazazi Wa Mtoto Huyo Yakutwa Imeoza

Polisi katika kaunti ya Kiambu wanachunguza kisa ambapo mtoto mchanga aligunduliwa akiwa amelala kando ya mwili wa mama yake uliooza mnamo Jumapili, Novemba 17. Baba yake mtoto huyo pia alipatika . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 17, 2024

Tumewapa Maji na Clucose, Tunawasiliana nao Bado, Zima Moto Wafunguka

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji CGF John Masunga, amesema bado kuna mawasiliano kati ya Jeshi hilo na Watu walionasa chini ya jengo la ghorofa lililoporomoka Kariakoo jijini Dar es s . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 14, 2024

Akutwa amejinyonga mkoani Kilimanjaro

Mwanaume anayefahamika kwa jina la Hassan Ali anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Pasua mkoani Kilimanjaro, amekutwa amefariki dunia kwa kile kinachohisiwa kuwa ni kujinyonga kwa kamba za . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 13, 2024

Shambaboi wa Miaka 21 Atiwa Nguvuni na DCI Kufuatia Mauaji ya Ajuza wa Miaka 78

Polisi wanamzuilia kijana mmoja anayeshukiwa kuhusika katika mauaji ya ajuza wa miaka 78. Catherine Waceke alitoweka Jumamosi, Novemba 10, siku moja kabla ya mwili wake kugunduliwa ndani ya tanki . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 13, 2024

Katibu wa CCM Kilolo apigwa risasi

Aliyekuwa Katibu wa chama cha mapinduzi wilayani Kilolo Mkoani Iringa Christina Kibiki amevamiwa na watu wasiojulikana na  kuuwawa nyumbani kwake kwakupigwa risasi kifuani.Tukio hilo lakuvamiwa n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 11, 2024

Rais Guinea Ateua Mrithi wa Baltasar Aliefanya Mapenzi na Wanawake 400

Rais wa Guinea Ikweta, Obiang Nguema Mbasogo amemteua Zenon Avomo kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Kitaifa la Upelelezi wa Fedha (ANIF).Zenon anachukua nafasi hiyo baada ya mtangulizi wake, Bal . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • November 10, 2024

Jirani Aliyemchoma Mtoto Moto Kisa Chenji Adakwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Juma Afyusisye (38), Dereva Bodaboda, Mkazi wa Iwambi Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili Mwanafunzi wa kiume wa darasa la pili . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • November 8, 2024

Mwanamke Asiyejulikana Kumuibia Mtoto Akiwa Saluni

Mwanamke mmoja kutoka Mji Mema, Songea, Tanzania, amejawa na huzuni baada ya mtoto wake kupotea akiwa kwenye sehemu yake eneo la kazi. Gabriella alikuwa akifanya kazi kwenye saluni yake Jumatatu, . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 7, 2024

Mheshimiwa Ampasua Mwenzake Ngumi kwa Kukalia Kiti Chake Bungeni

Mzozo kati ya wanasiasa wawili ulisababisha hali ya mtafaruku katika Bunge la Uganda, na kusababisha kusimamishwa kazi kwa wabunge 12. Kulingana na Monitor, pambano lilizuka kati ya Mbunge wa Man . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 7, 2024

takribani watu 40 wafariki shambulio la israel beirut

Watu takriban 40 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya Israel mashariki mwa Lebanon siku ya Jumatano, kwa mujibu wa wizara ya afya ya Lebanon.Afisa wa Israel alisema mashambulizi hayo, yaliyofanyika . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • November 5, 2024

Wasiwasi Watanda Baada ya Mume, Mkewe na Mwanawe Kufariki Ndani ya Siku 3

Kijiji cha Ugenya, Kaunti ya Siaya, kimepigwa na mshangao kufuatia kifo cha watu wanne wa familia moja katika muda wa chini ya wiki mbili. Wanafamilia watatu, akiwemo mama, mwanawe na mumewe, wal . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • November 1, 2024

Kalameni akiri alijifanya mgonjwa ili amkatie nesi hospitalini

KALAMENI  alishangaza watu alipofichua kuwa alijifanya mgonjwa ili akutane na nesi mmoja amrushie mistari.Jamaa huyo anadai lengo lake lilikuwa kukutana na nesi huyo ili apate nafasi ya kumweleza . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • October 31, 2024

Jamaa Awavamia Wakwe Kudai Mahari Baada ya Kutambua Bi Harusi Ana Mimba ya Mtu Mwingine

Baada ya kukutana na mwanamke kwenye mtandao wa kijamii, Muhammed alimpenda sana na kuchukua hatua kubwa ya kuwatembelea wazazi wake na kulipa mahari.Hata hivyo, nia yake ya kumuoa mwanamke huyo ilivu . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • October 31, 2024

Uhispania yaanza maombolezo ya kitaifa ya siku tatu

Maombolezo ya kitaifa ya siku tatu yanaanza leo Alhamisi nchini Uhispania, nchi iliyokumbwa usiku wa Jumanne kuamkia Jumatano na mafuriko mabaya zaidi tangu miaka ya 1980. Pedro Sanchez anatarajiwa ku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 30, 2024

Aua Familia yake ya watu 6 kisas kukataliwa kulala na mpenzi wake

Majaji walimtia hatiani kijana wa Indianapolis Raymond Ronald Lee Childs kwa kuua watu 6 wa Familia yake huku kukiwa na mzozo juu yake kuondoka nyumbani bila ruhusa.Raymond Ronald Lee Childs anashtaki . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 30, 2024

Bibi harusi afariki Ukumbini akimuimbia Mumewe

Sherehe ya harusi iliyofanyika siku ya Jumamosi Oktoba 26 Nchini Cameroon imegeuka kuwa vilio na huzuni baada ya Bibi harusi anayejulikana kama Sorelle Manuella kuanguka akiwa anaimba na kucheza wimbo . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 21, 2024

Gaza: Wanawake na watoto zaidi ya Elfu Moja kupokea matibabu barani Ulaya

Wanawake na watoto karibia Elfu Moja wanaohitaji huduma za kimatibabu wanatarajiwa kuondolewa katika Ukanda wa Gaza na kupelekwa barani Ulaya kutibiwa, kwa mujibu wa WHO barani Ulaya.Taarifa ya Hans K . . .

Kurasa 12 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 16 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • 2 siku zilizopita

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 16 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode