logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Afya
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Wanaume Nchini Uingereza Hawafui Mashuka

UTAFITI uliofanywa na Shirika la Utafiti la Bedding Company la nchini uinereza umegundua kuwa zaidi ya nusu ya wanaume nchini humo hawafui na kutandika mashuka yako hadi kufikia kipindi cha miezi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Mexico yamkamata kiongozi wa kundi lenye nguvu la wauza madawa ya kulevya

Mamlaka ya Mexico imemkamata kiongozi anayeshukiwa kuwa wa kundi lenye nguvu la wauza madawa ya kulevya la Jalisco New Generation. Francisco Javier Rodriguez Hernandez, anayejulikana kama "El Seno . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Dar yajipanga kupambana na ‘Panya Road’

Kufuatia matukio ya uporaji yanayofanywa na vijana wanaojulikana kwa jina la Panya Road jijini hapa, baadhi ya wakazi wameweka mikakati ya kupambana nao.Juzi vijana hao walisababisha taharuki b . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Machafuko yazuka upya Al Aqsa Jerusalem

Machafuko yamezuka upya hii leo kati ya Wapalestina na polisi wa Israel katika eneo la msikiti wa Al-Aqsa mjini Jerusalem na watu 40 wamejeruhiwa 22 kati yao wakihitaji matibabu. Shirika la Hilali . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Kenya yamuaga Mwai Kibaki.

Kenya leo inamuaga rasmi rais wa zamani wa nchi hiyo Mwai Kibaki aliyefariki wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka 90. Viongozi mbalimbali kutoka barani Afrika wanatarajiwa kushiriki shughuli hiyo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Raia mzungu wa Afrika Kusini ampiga risasi mwanamke mweusi akidai alidhani ni kiboko

Raia mzungu wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 77, ambaye ni mmiliki wa shamba, amefikishwa mahakamani Alhamisi kwa kumpiga risasi na kumjeruhi mwanamke mweusi akidai kuwa alidhani mwanamke h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Urusi yaushambulia mji wa Kyiv wakati Katibu Mkuu wa Umioja wa Mataifa akiwa ziarani kwenye mji huo

Urusi imeyashambulia kwa makombora maeneo kadhaa ya maakazi kwenye mji mkuu wa Ukraine, Kyiv wakati Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akiwa ziarani kwenye mji huo. Guterres na ujumb . . .

Biashara
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

S.H Amon alivyopoteza jengo la ghorofa nane Kariakoo

Mbunge wa zamani wa Rungwe, Sauli Henry Amon amepoteza jengo la ghorofa nane lililoko Kariakoo jijini hapa, baada ya Mahakama ya Rufani kueleza kuwa nyumba hiyo ilijengwa kwenye kiwanja kilichouzw . . .

Afrika mashariki
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Imam afungwa miaka mitano kwa kuua nguruwe msikitini Rwanda

Mahakama moja mashariki mwa Rwanda imemhukumu Imam Mwislamu kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kuua nguruwe msikitini.Sadate Musengimana alikubali kumuua nguruwe huyo 'kwa bahati mbaya' mwez . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Mwizi Avamia Kambi ya Kijeshi Kiambu na Kuiba Bunduki Wanajeshi Wakioga.

Polisi mjini Thika katika kaunti ya Kiambu wameanzisha msako wa kumsaka mwanamume asiyejulikana ambaye alivamia kambi ya Thika Barracks na kuiba bunduki.Kisa hicho kilitokea Jumatatu, Aprili 25, katik . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Sudan yawaachilia huru wanaharakati waliopinga mapinduzi ya kijeshi

Sudan Jumatano imewaachilia huru viongozi kadhaa wa kiraia na mjumbe wa zamani wa Baraza kuu la uongozi, waliokamatwa katika miezi iliyofuata mapinduzi ya kijeshi mwaka jana, wakili wao amesema. . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 28, 2022

Polisi, mahabusu wafariki kwa ajali Mwanza

Watu wanne wakiwemo askari polisi wawili na mahabusu wawili wamepoteza maisha kwa ajali ya gari iliyotokea jana Jumatano jioni Aprili 27, 2022 Kijiji cha Ibanda barabara ya Geita-MwanzaKamanda wa . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Marekani yaahidi dola milioni 10 kwa atakaetoa habari kuhusu wadukuzi 6 wa mtandaoni kutoka Russia

Marekani Jumanne imesema itatoa kiasi cha hadi dola milioni 10 kwa atakaetoa habari kuhusu watu 6 wanaotambulishwa kama maafisa wa ujasusi wa jeshi la Russia, ambao waliendesha mashambulizi ya m . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Muandaaji wa mashindano ya urembo nchini Rwanda akamatwa kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono

Muandaaji wa mashindano ya urembo nchini Rwanda na mwanamuziki mashuhuri wa zamani amekamatwa Jumanne kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono, polisi wamesema. Dieudonne Ishimwe kwa jina la . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

TRUMP ATOZWA FAINI

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, amekutwa na makosa ya kutoheshimu amri ya mahakama, baada ya kushindwa kuwasilisha nyaraka alizotakiwa kuzifikisha katika uchunguzi kuhusiana na biashara . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Lavrov aonya kuhusu kitisho cha kuzuka vita vya nyuklia

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amezionya nchi za Magharibi kutopuuza hatari inayoongezeka ya kuzuka mzozo wa nyuklia kuhusu Ukraine. Amesema kimsingi anaiona Jumuiya ya Kujihami . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Watu 16 wamefikishwa mahakamani kwa kuwauzia silaha wanamgambo huko DRC

Watu 16 wakiwemo wanajeshi tisa walifikishwa mahakamani siku ya Jumatatu nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wakituhumiwa kuuza silaha kwa kundi la wanamgambo huko kaskazini-mashariki m . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Mwanaharakati ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela kwa kumtusi mfalme Mohammed

Mahakama moja ya Morocco Jumatatu imemuhukumu kifungo cha miaka minne jela mwanaharati aliyemtusi Mfalme Mohammed wa sita kwenye mitandao ya kijamii, wakili wake amesema. “Rabie Al Abla . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Waislamu kusherehekea Eid Mei 2 au 3

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limesema waumini wa dini na wananchi watashehekea sikukuu ya Eid el-Fitri Mei 2 au Mei 3 kulingana na mwandamo wa mwezi.Katika taarifa yake kwa vyombo vy . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Familia ya mlinzi anayedaiwa kuuawa na mfanyabiashara yataka uchunguzi

Familia ya mlinzi anayedaiwa kuuawa na mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite, Pendael Molllel imeliomba Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina na kuchukua hatua za kisheria kwa wote watakaobain . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Watu 8 Wafariki na Wengine 19 Kujeruhiwa kwa Ajali Mkoani Njombe

Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu 8 na 19 kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya Coaster T 287 CCY mali ya kanisa Katholiki Njombe iliyogongana . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

MFUNGWA MWANAMKE AMPACHIKA MIMBA MWANAMKE MWENZAKE.

Wafungwa wawili katika gereza la wanawake pekee wamepata ujauzito baada ya kulala na mfungwa aliyebadili jinsia. Kwa mujibu wa Mirror, wanawake hao ni miongoni mwa watu 800, wakiwemo wanawake 27 walio . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Watu 168 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

Mapigano kati ya makundi hasimu katika jimbo la Sudan la Darfur yamesababisha vifo vya watu 168 Jumapili, kundi moja la misaada limesema. Ghasia zilizuka kwa mara ya kwanza siku ya Ijumaa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Zaidi ya watu 100 wamekufa katika mlipuko wa kiwanda cha mafuta Nigeria

Zaidi ya watu 110 wameuawa kufuatia mlipuko uliotokea katika kiwanda haramu cha kuchakata mafuta kusini mashariki mwa Nigeria. Shughuli ya kutafuta miili inaendelea katika eneo hilo pamoja na kuwa . . .

Kurasa 47 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 18 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • 2 siku zilizopita

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 18 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode