logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Ukraine yaapa kutosalimu amri kwenye mji wa Mariupol

Ukraine imeapa kupambana hadi dakika ya mwisho katika mji uliozingirwa wa Mariupol baada ya kumalizika kwa muda uliowekwa na Urusi kwa kuwataka wapiganaji wake kuweka chini silaha na kujisalimisha . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Watu 47 Wafariki Nchini Afghanistan Baada ya Shambulio la Anga Kutoka Pakistan

JUMLA ya watu 47 wameripotiwa kufariki nchini Afghanistan katika majimbo ya Khost na Kunar yanayopatikana mashariki mwa nchi hiyo na hiyo ni baada ya shambulio la anga lililotekelezwa na majeshi ya Pa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

FARDC yapoteza wanajeshi watatu waliouawa na mwenzao Bambu

Watu wanane wakiwemo wanajeshi watatu wameuawa katika mji wa Bambu, Kilomita 40 kutoka mji wa Bunia, mkoani Ituri baada ya kupigwa risasi na mwanajesha aliyekuwa amelewa.&nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Marekani Ya fyatua risasi wikiendi ya Pasaka

Maafisa wa jimbo la South Carolina nchini Marekani wanasema wanachunguza tukio la ufyatuaji risasi katika klabu moja katika kaunti ya Hampton mapema Jumapili tukio ambalo lilisababisha watu tisa . . .

Dini
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Vurugu zazuka kanisani Mbeya, Polisi wakamata viongozi

Wakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, leo baadhi ya waumini wa usharika wa Mbalizi wamemzuia mchungaji wao, Atupele Mlawa kuingia ka . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Kikosi cha pamoja cha kijeshi kimeua zaidi ya waasi 100 eneo la ziwa Chad

Kikosi cha pamoja cha kijeshi kutoka Nigeria, Niger na Cameroon kilisema Jumapili kwamba kimewaua zaidi ya waasi 100 wa kiislam wakiwemo makamanda 10 katika wiki chache zilizopita huku wakizidis . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Idadi ya watu waliofariki kwa mafuriko Afrika kusini imefikia 440

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyotokea Afrika kusini, iliongezeka hadi 440 siku ya Jumapili huku mvua ikipungua na kuruhusu shughuli za uokoaji kushika kasi baada ya moja ya . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Vipigo kwenye ndoa tishio jingine kwa familia

Wiki iliyopita simanzi iliwakumba watu wengi barani Afrika, hasa wafuatiliaji wa muziki wa injili baada ya kifo cha muimbaji wa nyimbo za injili Nigeria, Osinachi Nwachukwu (42) kilichodaiwa kuhusishw . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

MWANAMKE ANYWA MKOJO BADALA YA BIA

Huku wengine wakisumbuliwa na uraibu wa pombe na dawa za kulevya, basi kuna wengine ambao wana uraibu wa kunywa mkojo wao. Daah! ama kweli kila soko na wazimu wake.  mwanamke mwenye umri wa miaka . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

MACHINGA APORWA MALI ZAKE MWANZA

Kufuatia Video iliyosambaa mitandaoni ikionyesha Mjasiriamali mdogo wa ndizi akichukuliwa bidhaa zake na mgambo wa Halmashauri, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Innocent Bashungwa amese . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Nigeria yasema shambulizi la anga limeuwa wanamgambo 70

Jeshi la anga la Nigeria limesema limewauwa zaidi ya wapiganaji 70 wenye mafungamano na kundi linalojiita Dola la Kiislamu katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo uliko mpaka na taifa jirani la Nig . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Urusi yawataka wanajeshi wa Ukraine walioko Mariupol kujisalimisha

Jeshi la Urusi limevitolea mwito vikosi vya Ukraine katika mji wa bandari uliozingirwa wa Mariupol kuweka chini silaha na kujisalimisha likionya kutakuwa na "taathira kubwa" baada ya muda uliowekw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Korea Kaskazini yafanya jaribio la makombora chini ya usimamizi wa Kim

Korea Kaskazini imefanya jaribio jingine la aina mpya ya makombora katika tukio ambalo limeshuhudiwa na kiongozi wa taifa hilo, Kim Jong Un, usiku wa kuamkia leo. Taarifa hizo ni kwa mujibu wa shi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Meli ya mafuta yazama pwani ya Tunisia

Meli iliyobeba tani 750 za mafuta ya dizeli ikitokea Misri kwenda kisiwa cha Malta imezama nje kidogo ya pwani ya kusini mashariki mwa Tunisia, lakini maafisa wanasema inawezekana umwagikaji mkubw . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Wakristo duniani washerehea sikukuu ya Pasaka

Mamilioni ya waumini wa dini ya Kikristo duniani leo wanasherehekea sikukuu ya Pasaka kukumbuka kufufuka kwa Yesu Kristo baada ya kusulubiwa msalabani zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Kiongozi wa Ka . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • April 15, 2022

Nyumba Yanusurika Kuungua Baada ya Gari Kuteketea kwa Moto Nje ya Nyumba Hiyo

YUMBA moja mali ya Bw. Rashid Adam mkazi wa Dodoma, imenusurika kushika moto kutokana na gari iliyokuwa imepaki nje ya nyumba hiyo kuteketea kwa moto. Nyumba hiyo iliyoko jirani na jengo maar . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Russia yatishia kutumia silaha za nyuklia ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na NATO.

Mmoja wa washirika wa karibu wa Rais wa Russia Vladimir Putin Alhamisi ameionya NATO kwamba ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na ushirika wa kijeshi unaongozwa na Marekani, basi Russia itapelek . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Miaka minane tangu utekaji nyara wa wasichana wa Chibok huko Nigeria

April 14 imetimia miaka 8 tangu kundi la kigaidi la Boko Haram lilipofanya shambulizi mwaka 2014 kwenye shule ya sekondari ya wasichana huko Chibok katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Bunge lanusa matumizi mabaya fedha za Uviko

Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (Usemi) imesema ufuatiliaji umeonyesha kuwa zipo dalili za baadhi ya halmashauri kutotekeleza miradi ya maendeleo kwa kutumia bajeti badala yake kut . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

WAISLAMU KUFUNGA MARA MBILI MWAKA 2030

Kalenda ya Saudi Arabia ya mwaka 2030 inaonesha kwamba Waislamu katika mwaka huo watafunga mara mbili kwa mwakakwa mujibu wa mtaalamu wa Nyota Khalid al-Zaqaq, tofauti ya siku za hesabu hizo ina . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Mamia wapoteza maisha katika mafuriko nchini Afrika Kusini

Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mafuriko kwenye maeneo ya mji wa Durban nchini Afrika Kusini imepanda na kufikia 259. Mamlaka nchini humo zinasema watu wengi zaidi bado wanahofiwa kupotea. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Macron, Scholz waepuka kutaja mauaji ya Ukraine kuwa "halaiki"

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamekataa kurejelea kauli aliyoitoa rais wa Marekani Joe Biden kwamba Urusi inatekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Ukraine na kuonya kwamba kauli kama hizo haziwe . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Nchi mbili za Kiislamu ambazo ni Marufuku Kuoa wake Wengi.

Katika dini ya Kiislam, wanaume wanaruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja kutokana na maandiko katika kitabu kitukufu cha Uislamu, Kurani.Wanaume Waislamu wanaruhusiwa kuoa hadi wake wanne, japo kwa masha . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Maunda Zorro Afariki Dunia kwa Ajali ya Gari Usiku wa Kuamkia Leo Dar

MSANII wa Bongofleva, Maunda Zorro amefariki dunia kwa ajali ya gari, usiku wa kuamkia leo, April 14, 2022 baada ya gari alilokuwa amepanda aina ya VITZ kugongana uso kwa uso na lori la mchanga Kigamb . . .

Kurasa 49 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 11 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • 2 siku zilizopita

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 11 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode