Mahakama ya Hakimu Kisutu imetoa maelekezo kwa askari wa Jeshi la Magereza kumuacha huru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu akiwa kizimbani badala ya kumlinda kwa kumzingira ili apate nafasi ya kufuatilia kesi yake kwa uhuru.