WANA KESI YA KUJIBU

Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi imemkuta na kesi ya kujibu Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu katika mashitaka matano kati ya 6 ambapo sasa watapaswa kuanza kujitetea.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii