Watu 7 Wajeruhiwa Ajali ya Lifti Millenium Tower, Ilianguka Kutoka Ghorofa la Kumi

Watu saba wamejeruhiwa baada ya 'lift' katika jengo la Millenium Tower - II Makumbusho, kuporomoka kutoka ghorofa ya 10

Chanzo cha ajali hiyo kinatajwa kuwa ni 'lift' kuzidiwa uzito baada ya watu zaidi ya 10 kuingia kwa wakati mmoja

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii