Kimi Antonelli Ashinda Monaco GP kwa Mara ya Tano Mfululizo, Lewis Hamilton Atajwa

Mashindano ya Monaco Grand Prix mwaka 2026 yameendelea kuvuta hisia za mashabiki wa Formula One duniani baada ya kijana wa Mercedes, Kimi Antonelli, kuibuka mshindi wa mbio hizo za kifahari zilizofanyika katika mitaa ya Monaco.

Antonelli mwenye umri wa miaka 19 aliweka historia kwa kuwa dereva mdogo zaidi kushinda Monaco GP baada ya kuongoza mbio hizo kwa ustadi mkubwa licha ya vurugu za ajali, safety car pamoja na red flag zilizotokea mwishoni mwa mashindano.

Nafasi ya pili ilichukuliwa na Lewis Hamilton wa Ferrari huku Isack Hadjar wa Red Bull akimaliza wa tatu.

Antonelli, ameendelea kuandika historia baada ya kushinda Monaco Grand Prix 2026 na kuongeza ushindi wake wa mfululizo hadi mbio tano (5) mfululizo.


Matokeo ya Monaco GP 2026 (Top 10)

</p>

                            
                                <div class=

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii