logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 16, 2023

Manchester City haikamatiki England

Klabu ya Manchester City imeweka rekodi ya mapato ya Premier League kufikia Pauni 712.8m kwa mwaka wa fedha wa 2022-23.Hii inazidi rekodi ya Pauni 648.4m iliyowekwa mwezi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 14, 2023

Klabu ya Manchester United Hali inazidi Kuwa Mbaya

Klabu ya Manchester United imepata pigo baada ya majeruhi wapya ya Rasmus Hojlund na Christian Eriksen baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Luton Town, juzi Jumamosi (Nov . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 13, 2023

Djokovic mchezaji namba 1 kwa ubora 2023

Novak Djokovic amejihakikishia kumaliza nafsi ya kwanza kwenye viwango vya ubora wa wachezaji wa tenisi Dunia upande wa wanaume mwaka 2023. Djkovic anamaliza mwaka akiwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 12, 2023

Mshambulizi wa Ghana Afariki Wakati wa Mechi huko Albania

Mchezaji soka wa Ghana Raphael Dwamena amefariki dunia kwa masikitiko baada ya kuzimia wakati wa mchezo wa Albania Superliga kati ya FK Egnatia na KF Partizani. Mche . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 10, 2023

Man City wanakabiliwa na mtihani wa Chelsea huku presha ikiongezeka kwa Ten Hag

Viongozi wa Ligi ya Premia Manchester City watasafiri hadi Chelsea Jumapili huku Erling Haaland akiwa katika hali ya kutisha huku Arsenal na Tottenham zikijaribu kupata n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

De Bruyne, Osimhen kutimkia Saudi Arabia

Kuna uwezekano mkubwa kwa timu ya A-Etifag ya Saudi Arabia ikawasilisha ofa ya kuwasajili kwa pamoja Kevin de Bruyne wa Man City na Victor Osimhen wa SSC Napoli katika di . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

Viongozi washinikizwa kujiuzulu Simba SC

Baadhi ya Mashabiki na Wanachama wa Simba SC wameanzisha kampeni katika mitandao ya kijamii wakishinikiza baadhi ya viongozi wa klabu hiyo waondoke (kujiuzulu) kwa kile w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

Arsenal yajuta kumsajili Kai Havertz

Imefahamika kuwa Uongozi wa Klabu ya Arsenal unajutia uamuzi wa kumsajili Mshambuliaji kutoka nchini Ujerumani, Kai Havertz kwenye dirisha lililopita la majira ya kiangaz . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 7, 2023

Simba Wavunja Mkataba na Kocha Mkuu Robetinho

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho).Taarifa iliy . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 3, 2023

Beki Wydad Casablanca Afariki Dunia

Nyota wa klabu ya Wydad Casablanca Oussama Falouh amefariki Dunia baada ya kupata majeraha yaliyotokana na ajali ya gari aliyoipata wiki kadhaa zilizopita.Oussama alikuwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 3, 2023

Manula Awagawa Mabosi Simba Kuelekea Mchezo Wa Kariakoo Dabi

PRESHA imezidi kuongezeka kuelekea mchezo wa Kariakoo Dabi, ni baada baadhi ya viongozi kumtaka kipa namba moja Aishi Manula akae golini kuchukua nafasi ya Ally Salim.Dab . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Droo ya robo fainali ya Kombe la Carabao

Mbio za changamoto za Newcastle katika Kombe la Carabao zitaendelea baada ya vijana hao wa Eddie Howe kutolewa ugenini na Chelsea katika robo fainali.The Magpies walipata . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Kiungo wa zamani wa Leicester na Chelsea Drinkwater anastaafu

Kiungo wa zamani wa Leicester na Chelsea Danny Drinkwater alitangaza kustaafu siku ya Jumatatu baada ya kukiri kuwa alikuwa "katika hali ya sintofahamu" kwa muda mrefu sa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Messi anatarajiwa kutwaa tuzo ya Ballon d'Or ya nane huku Bonmati akikaribia kushinda tuzo ya wanawake

Lionel Messi ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d'Or ya nane katika maisha yake ya ajabu wakati sherehe za mwaka huu za kutwaa taji la mwanasoka bora . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Kocha Azam FC hajakata tamaa na Ubingwa

Baada ya timu yake kupoteza mechi ya pili mfululizo, Kocha Msaidizi wa Azam FC, Bruno Ferry amesema wachezaji wake hawakuwa na kiwango bora lakini wataendelea kujifunza k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 27, 2023

Mama Mbappe amuanika hadharani Mwanaye

Mama wa Mshambuliaji wa Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa PSG Kylian Mbappe amefichua siri ya mwanaye kwa kusema, aliwahi kuvaa jezi za Manchester United zilizoandikwa jin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 26, 2023

Barca na City washinda mechi za awali za Champions

Manchester City ikiongozwa na Erling Haaland ilishinda mabao 3-1 dhidi ya Young Boys na kuongoza kundi G, ikifuatiwa na RB Leipzig iliyopata ushindi dhidi ya Red Star Bel . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 25, 2023

Aziz Ki ashindwa kuchagua bao bora

59 mins agoBaada ya kufanikiwa kufunga ‘Hat Trick’ dhidi ya Azam FC Kiungo Mshambuliaji wa Young Africans, Stephane Azizi Ki ameyachambua mabao yake hayo matatu.Aziz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 23, 2023

Kinda wa miaka 17 aiokoa FC Barcelona

Kinda wa FC Barcelona Marc Guiu ameweka rekodi ya kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi kufunga bao kwenye mchezo wake wa kwanza kucheza kwenye kikosi cha kwanza cha timu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

Arteta "Pochettino alinishauri nisiende kwenye ukocha"

Mikel Arteta alifichua Ijumaa kwamba "mfano wa kuigwa" Mauricio Pochettino alimshauri kutojihusisha na ukocha anapoitayarisha timu yake ya Arsenal kuivaa Chelsea.Wanaume . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

Jordan Henderson: Nimefuata pesa Saudi Arabia

Kiungo wa kimataifa wa England, Jordan Henderson amekiri pesa ndio ilikuwa sababu mojawapo ya kujiunga na Al- Ettifaq kutoka Saudi Arabia.Kiungo huyo wa zamani wa Liverpo . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 18, 2023

Jamii kuwaunga mkono wanamichezo wenye Ulemavu

Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya michezo nchini wametakiwa kushirikisha watu wenye Ulemavu katika programu zao za mashindano, mazoezi na katika kuandaa timu ya Taifa. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 16, 2023

Andrè Onana kusugua benchi Man Utd

Imeripokuwa kuwa Kocha Mkuu wa Manchester United, Erik ten Hag, anafikiria kumuweka nje kipa namba moja wa timu hiyo, Andrè Onana.Hatua hiyo imekuja baada ya kuonekana O . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 13, 2023

Taifa Stars Yatupwa Kundi Gumu AFCON2023

Tanzania imepangwa Kundi F pamoja na Morocco, Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani nchini Ivory Coast.Kat . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2023

Blatter apinga maamuzi ya FIFA 2030

Rais wa zamani wa Shiriksho la Soka Duniani (FIFA), Sepp Blatter, amekosoa uamuzi wa shirikisho hilo kubariki Fainali za Kombe la Dunia la mwaka 2030 kuandaliwa katika ma . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 5, 2023

Uhispania, Morocco na Ureno kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2030

Morocco, Uhispania na Ureno zimetajwa kuwa wenyeji wa Kombe la Dunia la soka mwaka  2030, huku Uruguay, Argentina na Paraguay wakiwa wenyeji wa mechi za ufunguzi kua . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 4, 2023

Arsenal wamuita mezani Ben White

Uongozi wa Klabu ya Arsenal umeanza mazungumzo rasmi na beki wake Ben White, ili kufanikisha mpango wa kumsainisha mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya Kaskazini . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 3, 2023

Mwanasheria afichua siri za Mohamed Salah

Mwanasheria na mshauri wa Mshambuliaji Mohamed Salah amedokeza  kuwa nyota huyo wa Liverpool anaweza kuwa anapata kiasi kikubwa mno cha mapato ya jumla kwa mujibu wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 27, 2023

Afrika Mashariki wenyeji AFCON 2027

Hatimaye Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ limeipa nafasi Afrika Mashariki kupitia nchi za Tanzania, Uganda na Kenya kuwa mwenyeji wa Fainali za Mataifa ya Afrik . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 25, 2023

David de Gea atishia kustaafu soka

Mlinda Lango David de Gea anaweza kustaafu soka ikiwa hatapokea ofa ifaayo ya kurejea kwenye mchezo, huku akisisitiza kutokuwa tayari kwenda Ligi ya Saudi Arabia.Mhispani . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 24, 2023

Manula is back!

Mlinda Mlango wa Klabu ya Soka ya Simba, Aish Salum Manula ameonekana kuimarika zaidi baada ya kuwa nje ya Uwanja kwa Muda Mrefu kutokana na jeraha la lake.Kipa huyo ameo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 22, 2023

Taarifa kutoka Yanga ni kuhusu majeruhi ya Lomalisa

Mlinzi wa kushoto wa Yanga Joyce Lomalisa Mutambala anatarajiwa kuwa nje kwa wiki moja baada ya kupata majeraha kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo FcMchezo huo ul . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 21, 2023

Bosi Tottenham Hotspur afichua usajili wa Kane

Bosi wa Tottenham Hotspur, Daniel Levy amesema wameweka kipengele cha kumrudisha Mshambuliaji, Harry Kane kwenye kikosi chao, endapo FC Bayern Munich itachoka huduma yake . . .

Kurasa 12 ya 27

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Afrika Kusini yatangaza kuwaondoa wanajeshi wake Kongo

    • 3 masaa yaliopita
  • Uchaguzi wa Japan: Chama cha Takaichi chatabiriwa ushindi

    • 3 masaa yaliopita
  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode