logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Maamuzi mabovu ya waamuzi ligi kuu Tanzania, Mwigulu aahidi kuleta VAR

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema atakaa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohammed Mchengerwa ili waongee uwezekano wa kutenga bajeti y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Nizar Khalfan. "Tuliibana Simba kweli kweli"

Kocha Msaidizi wa Mbeya Kwanza FC Nizar Khalfan ametoa pongezi kwa wachezaji wake kwa kazi kubwa walioifanya kwenye mchezo wa jana Jumapili (Februari 06) dhidi ya Mab . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 7, 2022

Ubingwa wa Senegal umeweka historia hii kwenye taifa hilo

Timu ya taifa ya Senegal imeshinda ubingwa wa michuano ya AFCON kwa mara ya kwanza kwa mikwaju ya penati 4-2 dhidi ya mabingwa mara 7 na wakihistoria timu ya taifa ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2022

Jack Wilshere akata tamaa Arsenal

Kiungo Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Jack Wilshere amefuta uwezekano wa kusajiliwa tena klabuni hapo, baada ya kusisitiza meneja wa sasa wa The Gunners Mikel Arte . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Salah Vs Mane:Nyota wawili wa Anfield watamenyana katika AFCON leo, je ni nani atachukua kombe kati ya Cameroon na Misri?

Ni lala salama ya AFCON leo katika dimba la Olembe unaopatikana kwenye mji kuu wa Cameroon, Yaounde.Nyota wawili wa Anfield ya England watakutana kuoneshana ubabe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Misri watinga fainali AFCON, ni vita ya Mo Salah Vs Sadio Mane

Mafarao wa Misri wamefanikiwa kutinga hatua ya fainali baada ya kutoka sare dhidi ya wenyeji Cameroon dakika 90 na zile za nyongeza na hivyo mchezo huo kuamuliwa kwa . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 3, 2022

Mabosi Simba waapa sasa ni mwendo wa kugawa dozi

SIMBA haina matokeo mazuri katika mechi zake tatu za Ligi Kuu Bara ingawa wikiendi iliyopita walirejesha ubabe wao nyumbani wakiipasua Dar City na kudhihirisha bado j . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 3, 2022

Kocha Young Africans aitamani Mbeya City

Kocha Mkuu wa Young Africans Nasreddine Nabi, amesema anafurahi kuona kikosi chake kimeendelea kuimarika kwa ajili ya kutimiza malengo ya kuibuka na ushindi katika mc . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Straika Mkongo Aanza Nyodo Simba

MARA baada ya kufunga bao lake la kwanza tangu kuanza kwa msimu huu, mshambuliaji Mkongomani ndani ya kikosi cha Simba, Chris Mugalu, ameibuka na kutamka kuwa sasa hivi k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Kibwana Anahesabu Siku Yanga

BEKI kiraka wa Yanga, Kibwana Shomari na mwenzake Abdallah Shaibu ‘Ninja’, wanahesabu siku tuza kurudi uwanjani mara baada ya kupona majeraha yao. Kibwana anayemudu . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Aubameyang ajiunga Barcelona bure

Pierre-Emerick Aubameyang amejiunga na Barcelona kwa uhamisho wa bure baada ya kuondoka Arsenal, uhamisho huo unatarajiwa kutangazwa leo Jumanne. Mshambuliaji huyo w . . .

news
SOKA
  • Na Gsengo
  • January 29, 2022

MASHABIKI WA YANGA WAITEKA MWANZA KWA BURUDANI V MBAO FC

 LEO Januari 29 Yanga itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya Mbao FC ambayo nayo pia inaska ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora, Uw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

Zaidi ya watu 6 wafariki katika mkanyagano kwenye michuano ya AFCON

Maafisa wa Cameroon wamesema kwamba takriban watu 6 wamekufa baada ya mkanyagano nje ya uwanja mmoja wa mpira kunakofanyikia michuano ya kombe la Afrika la AFCON. . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

Michezo FC Porto kumuacha Mbemba kisa kudanganya umri

. . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC leo Januari 23, 2022

Sasa kutoka Msimbazi hadi Jangwani ‘gap’ ni pointi 10, wakati huo Coastal Union wanashuka kwa nafasi moja huku Namungo wakipanda kwa nafasi tatu kutoka nafasi y . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

Yanga yazidi kung'ara Ligi Kuu Ya NBC Tanzania bara

Vinara wa Ligi Kuu Ya NBC Tanzania bara timu ya Yanga imeendelea na wimbi la ushindibaada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Tanzania Polisi mchezo uliopig . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

PENATI YA KAMARA YASABABISHA NYUMBA YAKE KULINDWA

Nyumba ya mshambuliaji wa Sierra Leone Kei Kamara bado iko chini ya ulinzi wa polisi baada ya mshambuliaji huyo kukosa penati dhidi ya Guinea ya Ikweta kwenye michu . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • January 19, 2022

Comoro Yawaduwaza Ghana kwa kuwatupa nje ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)

Timu ya taifa ya Comoro imeitupa Ghana nje ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kuichapa mabao 3-2 katika mchezo wa mwisho wa Kundi C usiku wa Juman . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • January 18, 2022

ROONEY ATAJWA KUINOA EVERTON

Nyota na mkongwe wa Manchester United, Wayne Rooney anatajwa kuwa huenda akarithi mikoba ya Rafael Benitezndani ya Goodison Park.Everton siku ya Jumapili ilimfuta kazi al . . .

news
Top Story
  • Na Suzuki
  • January 3, 2022

SIMBA WATAMBULISHA JEZI MPYA.

Saa chache Mara baada ya wekundu wa msimbazi Simba kumtambulisha Ahamed Ally Kama msemaji wao mpya vilevile  Klabu ya Simba imezindua jezi mpya zitakazotumika kwenye . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • January 2, 2022

LUKAKU AONDOLEWA KWENYE ORODHA YA KIKOSI EPL LEO DHIDI YA LIVERPOOL.

Chelsea wamemuondoa Mshambuliaji wao Romelu Lukaku katika list ya wachezaji watakaowatumia katika mchezo wa EPL leo dhidi ya Liverpool.Sababu hasa ya kufanya hivyo haijaw . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • January 1, 2022

KOCHA PABLO AONYWA VIKALI.

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Pablo Franco amepewa Onyo Kali kwa kosa la kushindwa kuzuia hisia ama mihemko yake hali iliyosababisha aoneshe vitendo visivyo vya kiuanamic . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 30.12.2021

Borussia Dortmund wanatazamia kuweka pamoja mpango wa kujaribu kumshawishi mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland kusalia nao, huku mustakabali wa mchezaji huyo mwen . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Hili hapa picha zima Yanga kwa Mshery

ALIYEKUWA kipa wa Mtibwa Sugar, Aboutwalib Mshery sasa rasmi ni mali ya Yanga baada ya mabosi wa Jangwani kutumia jeuri ya pesa na umafia kumpata jana.Mshery alisaini mka . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Azam Yapata Mrithi wa Sure Boy, Wamtangaza Ibrahim Ajib

KIUNGO wa mpira Ibrahim Ajib baada ya kusitisha mkataba wake na mabosi wake wa zamani Simba ametambulishwa ndani ya kikosi cha Azam FC.Ajib alikuwa akicheza ndani ya kiko . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 29.12.2021

Mshambulizi wa Ufaransa Kylian Mbappe anasema hatahamia Real Madrid mwezi Januari na atasalia Paris St-Germain hadi angalau mwisho wa msimu. Mkataba wa mchezaji huyo mwen . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Hitimana ndio basi tena Simba

Thierry Hitimana amevunja mkataba wake na klabu ya Simba kama kocha msaidizi baada ya makubaliano ya pande zote mbili.Hitimana jana Disemba 28 amewaaga wachezaji wa timu . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Hatma ya Sakho, Wawa leo Simba SC

HATMA ya kiungo mshambuliaji, Ousmane Sakho na beki Pascal Wawa na wenzao watatu itajulikana leo, ya kuendelea au kubakia kukipiga Msimbazi.Wachezaji hao ndiyo wanaotajwa . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

YANGA wagawa Dozi kwa Biashara 2-1

Kutoka pale Uwanja wa Mkapa, Wenyewe wanajiita ni Wananchi, Yanga SC, hii leo imeshuka Dimbani kuivaa Biashara United, huku Biashara United wakitangulia kutikisa nyavu za . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Fraga anarudi Simba SC.

Baada ya kula sikukuu ya Krisimasi huku wakiwa na shangwe za mataji wa Bao 4 - 0 dhidi ya KMC katika mechi yao iliyopigwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Simba SC wameleta & . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Nabi afanya mikakati kabambe ya Dirisha Dogo la Usajili

MABOSI wa Yanga wako katika vikao vya siri wakipiga hesabu za usajili kupitia dirisha dogo lililofungwa Desemba 16, lakini ripoti ya kocha wao Nesreddine Nabi imewekwa ba . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Metacha, Kakolanya kupishana Msimbazi

Unaambiwa mabosi wa Simba na Polisi Tanzania wapo hatua nzuri ya kubadilishana makipa, Metacha Mnata akiingia Msimbazi, huku Beno Kakolanya akitoka kwa Wekundu hao kwenda . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.12.2021

Mchezaji anayelengwa na Arsenal, Chelsea na Manchester City Dusan Vlahovic huenda akaondoka katika klabu yake katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari kwasababu mshamb . . .

Kurasa 26 ya 27

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode