logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Urusi haitaki vita na Ukraine

Waziri wa Mambo ya kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amesema leo kuwa Moscow haitaki vita na Ukraine, huku akionyesha matumaini kuhusu map . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Wahamiaji sita wafa maji na makumi wapotea Tunisia

Takriban wahamiaji sita wamekufa maji na wengine 30 hawajulikani walipo baada ya mashua waliyokuwa wamepanda kupinduka katika pwani ya T . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Marekani yaipiga marufuku kampuni kubwa ya mawasiliano ya China kwa madai ya ujasusi

Kampuni ya Unicom ya China imekuwa kampuni kubwa ya hivi punde zaidi ya mawasiliano ya simu nchini China kupigwa marufuku kutoka Marekan . . .

Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 28, 2022

JIMMY CHANSA:NIMECHAGUA KUONYESHA NINACHOTAKA MIMI

Masanii Ambaye Anataaluma Ya Udaktari Kutoka Nchini Tanzania Amabye Pia Amewahi Kuingia Katika Vichwa Vya Habari Vingi Kuwa Katika Mahusiano . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Ubalozi wa Ufaransa waonya kuhusu tishio la shambulizi la kigaidi Kenya

Ubalozi wa Ufaransa nchini Kenya umeonya kuhusu tishio la shambulizi la kigaidi dhidi ya raia wa Magharibi wanaoishi nchini Kenya. Katik . . .

Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 28, 2022

B GWAY:WAMENINUKUU VIBAYA KUHUSU HARMONIZE

B Gway Ambaye Mwaka Jana Alifanya Vizuri Na Wimbo Wa Mwaka Huu Wimbo Ambao Pia Ulimvutia Msanii Wa Muziki Diamond Platnumz Kutokana Na Ubuni . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Rwanda kufungua mpaka wa Gatuna kati yake na Uganda

Mpaka baina ya Rwanda na Uganda ulifungwa mwaka 2019 kufuatia mzozo huo, na kukwamisha shuguli za kijamii na kibiashara baina ya mataifa hay . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

NAPE ATOA MAELEKEZO KWA KATIBU MKUU

Waziri wa habari,mwasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye amemuagiza katibu mkuu wa wizara hiyo Dkt Jimmy Anazi kuhakikisha mameneja w . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

NAPE ATOA MAELEKEZO KWA KATIBU MKUU

Waziri wa habari,mwasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye amemuagiza katibu mkuu wa wizara hiyo Dkt Jimmy Anazi kuhakikisha mameneja w . . .

Matukio
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Waziri Gwajima awa mkali kwenye Mazishi ya Kijana aliyechomwa kisu

Waziri wa Maendeleo . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Ridhiwani aanza kazi ya Unaibu Waziri wa Ardhi afika Arusha, atoa maagizo haya

Naibu Waziri wa Ardhi Ridhiwani Kikwete amefanya ziara Mkoani Arusha ambapo amempongeza Rais Samia katika siku yake ya kuzaliwa nakuzungum . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Kampuni ya Mtanzania Benjamin imepata uwekezaji wa Bilioni 23.1 za kitanzania

Application ya Nala iliyotengenezwa na Kijana Mtanzania Benjamin Fernandes imeweza kupata uwekezaji wa Bilioni 23.1 ($10 Million) kwa aj . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Siri 13 za St.Francis girls kufaulisha na kushika namba 2 Tanzania nzima

Kitendo cha Shule ya Wasichana ya St. Francis Mbeya kuendelea kuvunja rekodi ya kufaulisha na kushika namba 2 Tanzania nzima kwa matokeo ya . . .

Afya
  • Na Gsengo
  • January 27, 2022

RAIS SAMIA AWATAJA WANAOMTULIZA UBONGO WAKE.

 @Jembefmtz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Roketi ya Elon Musk Kugongana na Mwezi

Roketi iliyorushwa na kampuni ya uvumbuzi wa anga za juu ya bilionea Elon Musk inakaribia kugonga ndani ya mwezi na kulipuka. Chombo kina . . .

Matukio
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Kikongwe wa Miaka 80 Ajinyonga

Mkazi wa Njedengwa mkoani Dodoma, Edward Lusito anayekadiriwa kuwa na zaidi ya umri kati ya miaka 80 hadi 90 amekutwa amejinyonga kwa ku . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Rais Samia atimiza miaka 62, Hivyo ndivyo alivyoikata keki Ikulu Chamwino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata keki kama ishara ya kusherehekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Serikali ya Tanzania yazindua mradi wa akili bandia

 Serikali ya Tanzania imezindua mradi wa maabara ya akili bandia (artificial intelligence) utakaosaidia kurahisisha shughuli za mae . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Watanzania tushikamane kuipa thamani Tanzanite – Waziri Mkuu Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watanzania kushirikiana na kushikamana ili kuyapa thamani madini ya Tanzanite na kuifanya dunia nz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Rais Kenyatta anatarajiwa kutia saini mswaada wa Marekebisho ya Vyama vya Siasa

Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa wiki hii kutia saini muswaada wa Marekebisho ya Vyama vya Kisiasa kuwa sheria baada ya bunge la Seneti . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

WATU MATAJIRI BARANI AFRIKA

Licha ya mlipuko wa virusi vya corona, watu matajiri barani Afrika wameongeza utajiri wao zaidi ya walivyokuwa miaka minane iliopita.Mab . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

Waandamana kuliunga mkono jeshi lililofanya mapinduzi Burkina Faso

Wafuasi wa jeshi nchini Burkina Faso wameandamana katika mji mkuu jana Jumanne, siku moja baada ya maafisa jeshi kumkamata rais Roch Kabor . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

Asilimia 95 ya walioumwa Uviko-19 hawakuchanjwa

Serikali imesema watu 3,147 walilazwa hospitalini kutokana na Uviko-19 kati ya Septemba 2021 mpaka Januari 23, 2022 a . . .

Matukio
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

Mstaafu wa Polisi ajinyonga bafuni

 Mstaafu wa Jeshi la Polisi nchini, Omary Charema Msangi amejiua kwa kujinyonga bafuni kwake kwa kutumia waya wa pasi.Tukio la kujiny . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

MZEE MIAKA 55 AFIA GESTI AKIFANYA MAPENZI NA BINTI WA MIAKA 25.

Polisi wameanzisha uchunguzi katika kisa ambacho mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 55, amefariki katika chumba cha hoteli nchini Kenya, ba . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Hifadhi ya Mikumi kuboreshwa

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amesema Hifadhi ya Taifa Mikumi ni miongoni mwa hifadhi iliyotengewa fedha za . . .

Makala
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Kesi ya ulanguzi wa dawa za kulevya ilivyozima ndoto za Frida

Frida Ismail mwanamke wa miaka 35 kutoka Dar es salaam Tanzania japo anatabasamu la kupendeza , nyuma ya tabasamu hilo amebeba majuto na mac . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Marekani inaweza kumuwekea vikwazo Putin iwapo Urusi itaivamia Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden anasema ataangalia uwezekano wa vikwazo binafsi dhidi ya Vladimir Putin iwapo Urusi itaivamia Ukraine. Bw . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Tuzo ya BBC ya Komla Dumor ya 2022 yazinduliwa

BBC inamtafuta nyota anayechipukia katika uandishi wa habari barani Afrika kwa ajili ya Tuzo ya BBC World News Komla Dumor, ambayo sasa . . .

Matukio
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Askari ajiua kisa mauaji ya Mfanyabiashara

Afisa wa Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Greyson Mahembe ambaye ni miongoni mwa maafisa saba wa jeshi hilo wa . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Kufunga kula kwa vipindi kuna faida gani mwilini?

Lishe ya kufunga kwa kipindi fulani imewavutia watu mashuhuri na wakurugenzi wakuu kwa kusaidia kupoteza uzito na faida za kiafya.Ingawa . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Umati wa watu wenye furaha washerehekea mapinduzi Burkina Faso

Zaidi ya watu 1,000 wamekusanyika katika uwanja mkuu katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou, kusherehekea mapinduzi ya Jumatatu, h . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Agizo la jaji laishinikiza meli ya watalii kubadili mkondo ghafla

Abiria waliokuwa wakiabiri meli ya abiria walishangazwa baada ya meli hiyo kubadili mkondo wake kwa ghafla wikendi hiina kutia nanga kati . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Museveni akanusha kuunga mkono uchaguzi wa Kenya - ripoti

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema hataegemea upande wowote katika uchaguzi wa urais wa Kenya utakaofanyika Agosti 9, zinasema ripot . . .

Mastaa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Rapper Cardi b ashinda kesi dhidi ya Tasha K

Ni January 25, 2022 ambapo Mahakama imetoa uamuzi wa kesi iliyomkabili rapper Cardi B dhidi ya Mwanadada Tasha K. Mahakama hiyo imemkuta ha . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Home HABARI MSEMAJI JESHI LA ZIMAMOTO AENDELEA NA ZIARA ZA KUBORESHA UHUSIANO MSEMAJI JESHI LA ZIMAMOTO AENDELEA NA ZIARA ZA KUBORESHA UHUSIANO

MSEMAJI na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) P . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Kutana na rubani mwenye umri mdogo, kaiweka rekodi hii mpya ya kuzunguka dunia

Ni Mrembo mwenye umri wa miaka 19 Zara Rutherford ambae time hii ameweka rekodi baada kuzunguka na ndege duniani akiwa peke yake ndani ya mi . . .

Matukio
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Bounser akiri kupewa Milioni aue guest

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia Watu wawili wanaodaiwa kula njama na baadaye kumuua Mwanamke mmoja aliyejul . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Maneno ya Rais Samia kwa Wamachinga ‘mioto DSM’

“Dar es salaam mmeeonesha mfano wakati wa kupangana, nafahamu kuna Watu walikuwa wanasubiri vurugu zitokee Nchi iharibike lakini mmekuwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

MADAKTARI BINGWA KUTOKA SAUDIA ARABIA WAFANYA UPASUAJI UKEREWE, 50 WAFANYIWA UPASUAJI

madaktari  bingwa kutoka saudia rabia na madaktari wa tanzania wamefenye upasuaji  wa wagonjwa 50 katika wilaya ukerewe mkoani mwa . . .

Kurasa 199 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category