logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

WANANCHI 1000 WAHUDUMIWA NA BRELA NDANI YA SIKU TANO KATIKA VIWANJA VYA MLIMAN CITY

WAKALA wa Usajili wa Biahara na Leseni (BRELA) umesema katika kipindi cha siku tano za mwanzo ambazo wamekuwa wakitoa elimu kuhusu umuhi . . .

Burudani
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Taarifa Kwa Umma Kutoka Jeshi La Polisi Mbeya Kuhusu Tukio La Mauaji

Mnamo tarehe 31/01/2022 majira ya saa 04:30 alfajiri huko Mtaa wa Hasanga uliopo Kata ya Uyole Tarafa ya Iyunga Jijini Mbeya, mtu mmoja . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Citi Bank Yamwahidi Makubwa Rais Samia Suluhu Hassan-kusaidia Upatikanaji Fedha Kujenga SGR

Na Benny Mwaipaja, WFM, DodomaCITI BANK imeahidi kuisaidia Tanzania kupata mikopo yenye masharti nafuu kutoka katika Benki hiyo pamoja n . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Tanzania Na Misri Zakubaliana Ushirikiano Kuimarisha Uwekezaji Sekta Ya Kilimo, Usafiri, Miundombinu Ya Umeme, Maji Na Usafiri

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amekutana na balozi wa Misri nchini Tanzania Mhe. balozi Mohamed Gaber . . .

Matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

KUTEKETEA KWA SOKO LA MBAYUNI MOSHI

Soko la matunda na mbogamboga Mbuyuni lililopo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo feb mosi 2022 na . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Dr. Tulia ajiuzulu Unaibu Spika

Dr. Tulia Ackson amejiuzulu n . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

MLIMBWENDE AFARIKI BAADA YA KUJIRUSHA KUTOKA GHOROFANI

Aliyewahi kushika taji la Miss USA Cheslie Kryst amefariki siku ya Jumapili akiwa na umri wa miaka 30 baada ya kuruka kutoka katika jen . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Harakati ndogo mpakani mwa Rwanda na Uganda baada ya kufunguliwa tena

Kuna harakati kidogo kwenye mpaka wa Gatuna wa Rwanda na Uganda, ambao umefunguliwa tena baada ya karibu miaka mitatu ya kufungwa. Mpaka . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Gari la umma lalengwa katika shambulio la bomu kaskazini mwa Kenya

Gari la uchukuzi wa umma limekumbwa na shambulizi la bomu kaskazini mwa Kenya, karibu na mpaka wa Somalia.Waandishi wa habari wa eneo hilo . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Tuzo 52 kuwaniwa, vipengele 19, wadau wa sanaa wapewa siku 3 na BASATA

Baraza la Sanaa la Taifa @basata.tanzania limetoa siku tatu kwa wadau wa muziki nchini kutoa maoni yao juu ya vipengelee (Categories) v . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Alikiba atoa shukrani baada ya kupokea fedha za mrabaha

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Alikiba ameandika kuwa: “20 years in the game, jana nimepata mrabaha wa kwanza, imechukua muda lakini . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Ida Odinga Aomba Msamaha kwa Matamshi yake Kuhusu Kanisa

Mkewe kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga, Ida Odinga, ameomba radhi kwa matamshi aliyotoa kuhusu kudhibitiwa kwa makanisa nchini. Re . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • January 31, 2022

SHENSEEA :MEGAN STALLION NI MTU MWENYE UPENDO WA KWELI

Mwanadada mkali wa muziki wa dancehall kutoka nchini Jamaica ambaye amefanikiwa kwa asilimia kubwa kuliteka soko la muziki nchini marekani s . . .

Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 31, 2022

VIDEO VIXEN WA WIMBO WA UTU WAKE ALIKIBA ADAI DIAMOND ALIWAHI KUMUITA ILA HAKUSTAHILI

Nasma Ambaye Ni Mrembo Aliyefanikiwa Kupendezesha Video Mpya Ya Wimbo Wa Utu Wake Alikiba Kutoka Katika Album Yake Wimbo Ambao Umekuwa Na Ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Polisi Watoa Ufafanuzi Tukio La Kujinyoga Askari huko Mtwara

. . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Tume Ya Madini Yaagizwa Kutafuta Madini

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wakubwa wa madini ya Vito ndani na  . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Masauni Aitaka UNHCR Kufuata Sheria, Mwakilishi Mkazi Mpya Ajitambulisha Kwa Waziri

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amelitaka Shirikika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Siku 10 za Maumivu, Ratiba Nzima ya Mgao wa Umeme Hii Hapa

WAKATI ratiba ya mgao wa umeme katika baadhi ya maeneo nchini wa siku kumi ikiwa haijatoka, wananchi, wakiwamo wafanyabiashara wadogo na . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

CCM Kubariki Dkt. Tulia Amrithi Job Ndugai

KAMATI ya Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo inakutana jijini Dodoma kuridhia, Dk Tulia Ackson agombee uspika wa Bunge la Tanzania . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Takriban magaidi 60 wauwawa Burkina Faso

Takriban magaidi 60 wameuwawa nchini Burkina Faso na vikosi vya ndani vikisaidiwa na vile vya Ufaransa vilivyo pelekwa nchini humo kwa m . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Local chanel ambazo ni Clouds Tv, ITV, Chanel Ten, Star Tv na zingine zarudishwa DStv rasmi

Waziri Nape ameyasema hayo leo januari 31 alipotembelea ofisi za kampuni ya Multichoice Tanzania DStv ikiwa ni sehemu ya ziara zake kwa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Mahakama ya DRC yawahukumu kifo watu 51 kwa mauaji ya wataalam wa Umoja wa Mataifa

Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewahukumu adhabu ya kifo watuhumiwa 51 waliokabiliwa na kesi ya mauaji ya . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Fahyma: Wameachana Kanye na Kim itakuwa mimi

BABY mama wa staa wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa almaarufu Rayvanny ambaye ni Fahyma, anasema kuwa, kama wameachana rapa wa Marekani, Ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Bodi Ya Utalii Tanzania –TTB Yapokea Maandamano Ya Vijana Wa Ccm Ya Kuhamasisha Utalii Wa Ndani

Bodi ya utalii Tanzania (TTB)  imeapokea maandamano ya Wanachama wa Umoja wa Vijana –UVCCM Tanzania Kata ya Saranga iliyopo katik . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Marufuku wajawazito kutozwa fedha hospitalini

Waziri Ummy ametoa kauli hiyo jijini Tanga mara baada ya kutembelea kituo cha afya cha Makorora na kujionea hali ya utoaji huduma.“Naomb . . .

SOKA
  • Na Gsengo
  • January 29, 2022

MASHABIKI WA YANGA WAITEKA MWANZA KWA BURUDANI V MBAO FC

 LEO Januari 29 Yanga itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya Mbao FC ambayo nayo pia inaska ushindi kwenye mchezo wa Kombe la S . . .

Matukio
  • Na Gsengo
  • January 28, 2022

TANESCO YATANGAZA MGAWO WA UMEME NCHI NZIMA KUANZIA KESHO

Jengo la Shirika la Umeme nchini (TANESCO)**SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco) limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 12 nchi nzima k . . .

Viwanda
  • Na Gsengo
  • January 28, 2022

TFRA YAWASHAURI WAKULIMA KUNUNUA MBOLEA KWA PAMOJA

SHEHENA: Shehena ya mbolea ikiwa katika moja ya maghala yaliyopo mkoani Mbeya tayari kwa matumizi wakati wa msimu wa kilimo.Mkaguzi wa mbole . . .

Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Gsengo
  • January 28, 2022

SERIKALI YAUHAKIKISHIA MGODI WA NYANZAGA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI.

 Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko amefanya mazungumzo na ujumbe wa viongozi kutoka mgodi wa Nyanzaga (Nyanzaga Mining Company Limited . . .

Muziki
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Mkali wa afropop kutoka Nigeria, Skales auanza mwaka 2022 na ‘No body to Somebody’

Msanii Skales kutoka Nigeria ambaye tangu aingie kwenye tasnia Huu ni mwaka wake wa 12 , Skales ameongeza thamani kutoka kuwa Msanii Mdogo . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Museveni apingana na askofu kuwazuia wasichana wajawazito kurudi shule

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepinga uamuzi wa Askofu wa kanisa la Uganda la kuwazuia wasichana wajawazito kurudi shuleni baada ya shul . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

PAKA AKUTANA NA MMILIKI WAKE BAADA YA MIAKA 11

Paka huyu anaitwa Fergus aliyetoweka nyumbani zaidi ya miaka 11 iliyopita kaskazini-mashariki mwa Scotland, ameunganishwa tena na wamil . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Xiomara Castro aapishwa kuwa rais wa Honduras

Xiomara Castro Alhamisi ameapishwa kama rais wa kwanza mwanamke wa Honduras, kwenye hafla iliyohudhuriwa na maelfu ya watu waliokuwa w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Denmark kuondoa vikosi vyake Mali

Denmark imesema Alhamisi kwamba itaanza kuondoa vikosi vyake nchini Mali baada ya utawala wa kijeshi uliofanya mapinduzi nchini humo map . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Bashungwa awaagiza ma-RC, atoa siku 14

 Wakuu wa mikoa nchini wamepewa siku 14 kupeleka taarifa za halmashauri zao ambazo zimeshindwa kufikia malengo katika makusanyo ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Tanzania Itaendelea Kushiriki Kikamilifu Kutekeleza Mkataba Wa AfCFTA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Prof. Godius Kahyarara amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Sekretarieti . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Radi yaua mwanafunzi mmoja, yajeruhi 16

Katavi. Mwanafunzi mmoja amefariki dunia na wengine 16 wamejeruhiwa baada ya kupigwa radi katika shule ya msingi ya Sokoine iliyopo kata . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Wawili wafa, nane wakijeruhiwa ajali ya Kimara

 Watu wawili wamefariki dunia papohapo na wengine nane kujeruhiwa katika ajali iliyosababishwa na lori lililowafuata abiria katika . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Karibu watu 80 wauawa katika Dhoruba Ana Kusini mwa Afrika

Idadi ya watu waliokufa kutokana na dhoruba kali iliyopiga kwenye nchi tatu za kusini mwa Afrika imeongezeka. Hadi kufikia leo jumla ya . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso aahidi usalama na utulivu

Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Burkina Faso ameahidi kurejesha usalama, utulivu na umoja katika nchi hiyo iliyomo katika mgogoro. . . .

Kurasa 198 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category