logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Tanzania na Japan zaweka hati ya makubaliano sekta ya ujenzi

Tanzania na Japan zimesaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano (MoU) katika uendelezaji wa rasilimali watu katika sekta ya ujenzi. Wazi . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Mvua yasababisha maafa nchini Pakistan

SERIKALI ya Pakistan imeamuru kufungwa kwa biashara, shule na ofisi za umma mjini Karachi baada ya mvua kubwa kusababisha vifo vya watu 10.T . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Moto wateketeza nyumba ya mchungaji Tabora

Moto umezuka na kuteketeza nyumba yenye vyumba tisa ambayo anaishi mmoja kati ya wachungaji wa iliyotokea usiku wa Agosti 20 mwaka huu hakun . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Afghanistan 79 wafariki kwa ajali wakitokea Iran

Watu 79 wakiwemo watoto 19, wamefariki dunia baada kutokea ajali ya basi  katika Jimbo la Herat kaskazini magharibi mwa Afghanistan iki . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Tisa hatiani utapeli wa Facebook na WhatsApp

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu tisa kwa tuhuma za utapeli na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kupitia mitandao ya . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Watatu wafariki kwa jiko la mkaa Simiyu

Watoto watatu wa familia tatu, wawili wakiwa wa kitongoji kimoja wamefariki kwa kukosa hewa baada ya kujifungia kwenye hema ambalo ndani y . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Sugu yataka Lissu aachiwe bila masharti yoyote

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi (Sugu), ametaka Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa Tu . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Chaumma yaweka vipaumbele 10 kuelekea Uchaguzi mkuu 2025

UBWABWA kwa wote, kilimo kwanza na nishati safi ndiyo baadhi ya ahadi zinazobeba ilani ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kuelekea Ucha . . .

Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

DC Songwe aongoza Baraza la Biashara la wilaya

Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mh. Fadhili Nkurlu na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara,Viwanda na kilimo Tanzania Wilaya ya Songwe ameongoza Mkutan . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Morocco yawasili rasmi Tz kukabiliana na stars CHAN 2024

Kikosi cha wachezaji pamoja na viongozi wa timu ya Taifa ya soka ya Morocco, inayofahamika kama 'Simba wa Milima ya Atlas', kimewasili Dar e . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Umeme wa jua kuchochea uchumi vijijini

SERIKALI chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepeleka Mkoani Lindi Mradi wa Umeme Jua wenye thamani ya Sh milioni 801.74 katika visiw . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Yanga na Simba kukutana Septemba 16 Ngao ya Jamii

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ngao ya Jamii kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025/26 utapigwa Septemba 16 . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Rais Mwinyi awasili Dodoma vikao vya uteuzi Wagombea

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwas . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • August 20, 2025

Zaidi ya wananchi 10,000 kupatiwa miwani ya macho bure

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Charles Mkombachepa amesema zaidi ya wananchi 10,000 watapatiwa bure miwani za macho wakati wa Tamasha l . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

Rais wa Ukraine akosoa masharti ya Putin

Kuelekea mkutano baina yao ndani ya siku chache zijazo kufuatia mazungumzo baina ya viongozi hao na rais wa Marekani, Donald Trump na wale k . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

Bobi Wine achukua fomu kuwania urais Uganda

Kiongozi wa Upinzani wa chama cha NUP nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu, almaarufu Bobi Wine, amethibitisha nia yake ya kuwania urai . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

Daktari feki aliyekamatwa Muhimbili akamatwa tena hospitali ya Amana

Agosti 18 mwaka huu Mamlaka ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ilimshikilia anayedaiwa kuwa 'daktari feki', akifahamika kwa jina la Mussa, . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

Wataalam mipangomiji watakiwa kujisajili kabla ya Septemba 23

Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipango Miji (TPRB) imewataka wataalam wa mipangomiji na kampuni za upangaji miji nchini wenye sifa lakini ha . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

Jela miaka 20 kwa kosa la shambulio la aibu

Mahakama ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga  imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela, Idd Shelugwaza (26) ambaye ni mkulima na mkazi wa Kij . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • August 19, 2025

CHAN kundi D laja na mlinganyo wa point

Kundi D kweye mashindano ya CHAN ambalo linajumuisha nchi za Kongo Brazaville, Sudan kasikazini, Nigeria pamoja na Senegal limekuwa kundi gu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

MASHINDANO YA THE ANGELINE CUP YAZINDULIWA ILEMELA

Mashindano ya The Angeline Cup yamezinduliwa rasmi kwa msimu huu katika Jimbo la Ilemela, mkoani Mwanza, yakibeba kauli mbiu isemayo “Shir . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Zanzibar yatoa ratiba ya kura za mapema Oktoba 28

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kumchagua Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Mahakama yatupilia mbali shauri la Lissu

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amesema Chama hicho hakijaridhishwa na maamuzi yaliyotolewa na Mahak . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

WAUMINI WA DINI YA KISLAAM WAASWA KUPELEKA WATOTO SHULE

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Amir Mkalipa, amewaasa waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na jamii kwa ujumla kuhakikisha wanawapeleka watoto shu . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

TMDA yagundua uwepo wa Dettol za maji bandia

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),imesema kuwa  kupitia mifumo ya ukaguzi na ufuatiliaji wa bidhaa katika soko iliyowekwa imebaini u . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Apandishwa kizimbani mashtaka ya kubaka, kulawiti mwanafunzi

MKAZI wa Kijiji cha Magugu, John Claude (24), maarufu 'mdogoo" amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Babati, mkoani Manyara, akikabiliwa na mash . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Wataalam wahimiza kufua taulo angalau mara mbili baada ya kujipangusa nayo

JE, wewe hufua taulo yako baada ya kuitumia mara ngapi?Iwapo wewe huoga mara moja kwa siku, basi siku ifuatayo unapaswa kufua taulo yako.N . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Harusi yakumbwa na taharuki baada ya nywele kupatikana kwa sufuria

Watu walikimbia ovyo huku wakipiga mayowe na wengine wakipoteza fahamu baada ya harusi iliyokuwa imepangwa kwa miezi kadhaa kuvurugika ghafl . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Wasomi wa Kiswahili wamuomboleza Profesa Hamu Habwe

WAPENZI wa Kiswahili nchini na kanda nzima ya Afrika Mashariki wanaomboleza kifo cha msomi na mwandishi Profesa John Hamu Habwe ambaye alifa . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Wasomi wa Kiswahili wamuomboleza Profesa Hamu Habwe

WAPENZI wa Kiswahili nchini na kanda nzima ya Afrika Mashariki wanaomboleza kifo cha msomi na mwandishi Profesa John Hamu Habwe ambaye alifa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Watu 300 wapoteza maisha Pakistan

 IDADI ya vifo imefikia karibu watu 300 kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha kuporomoka kwa majengo katika Wilaya ya Buner, K . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Syria yataka amani

 RAIS wa Syria, Ahmed al-Sharaa, amesema juhudi za kuunganisha taifa hilo baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe hazipaswi kufanyik . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Askari wanne mbaroni kwa kuua raia

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia askari wanne wa Hifadhi ya Kigosi iliyoko Wilaya ya Bukombe kwa tuhuma za mauaji ya kijana Hezr . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Zaidi ya watu 40 wafariki katika ajali ya boti

Idara ya huduma za uokoaji zinajaribu kutafuta zaidi ya watu 40 ambao hawajulikani waliko baada ya ajali ya boti kaskazini magharibi mwa Nig . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Wagombea wote watakiwa kuwasilisha gharama za kampeni kabla ya siku husika kufika

Wagombea wa nafasi za Rais, Wabunge na Madiwani katika Uchaguzi Mkuu wa 2025 wametakiwa kuzingatia masharti ya Sheria ya Uchaguzi, ikiwemo k . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Kesi ya Lissu yaendelea leo mahakamani

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu inatarajiwa kusikilizwa leo katika Мahakama уа Hakimu Mkazi Kisutu, huku i . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Wagombea wahimizwa kufuata Sheria za uchaguzi

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi, amewataka viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa kutumia nafasi ya mafunzo ya Sheria . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • August 18, 2025

Manara kuchukua fomu ya udiwani katika kata ya Kariakoo leo

Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kinatarajia kushuhudia tukio kubwa la kisiasa baada ya msemaji maarufu wa michezo na kada wa chama hicho, @haj . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2025

Tanzania yapongezwa juhudi za amani SADC

TANZANIA imepongezwa kwa utendaji mzuri wa kushughulikia changamoto za kiusalama katika Kanda ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusi . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • August 16, 2025

Urusi ilirusha makombora na ndege zisizo na rubani 85 kuelekea Ukraine

Urusi ilirusha makombora na ndege 85 zisizo na rubani nchini Ukraine usiku wa kuamkia leo kulingana na taarifa ya Kyiv.Taarifa ya Kyiv  . . .

Kurasa 29 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category