logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani yasisitiza mpango wa Morocco kujitawala Sahara magharibi

Marekani siku ya Jumanne ilisisitiza kuunga mkono mpango wa Morocco wa kujitawala kwa Sahara magharibi ili kusuluhisha mzozo wa miongo kadhaa wa ufalme huo na vuguvugu la kudai uhuru la Polisari . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Vikosi vya usalama Sudan vimemkamata kiongozi mkuu wa upinzani

Vikosi vya usalama vya Sudan vilimkamata kiongozi mkuu wa upinzani hapo Jumanne huku maafisa wakifyatua gesi ya kutoa machozi kuwazuia maelfu ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana kupinga mapin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Maandamano dhidi ya shambulizi dhidi ya dereva wa kike Kenya huku 200 wakikamatwa

Polisi nchini Kenya wamewakamata zaidi ya waendeshaji 200 wa boda boda katikati mwa jiji la Nairobi huku msako mkali dhidi ya sekta hiyo ukizidi kufuatia unyanyasaji wa kingono wa dereva wa k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Mfalme wa zamani wa Uhispania Juan Carlos aamua kuishi UAE

Mfalme wa zamani wa Uhispania Juan Carlos amesema ataishi mjini Abu Dhabi licha ya kukamilika kwa uchunguzi kuhusu shughuli zake za kifedha zilizosababisha kujipeleka mwenyewe uhamishoni katika Um . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Wakimbizi wa Ukraine kufikia milioni 2 leo au kesho: UN

Idadi ya wakimbizi wanaokimbia vita nchini Ukraine inatarajiwa kufika milioni mbili katika siku mbili zijazo. Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa Filippo Grandi amesema leo mjini Oslo . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Ujumbe wa Marekani wafanya mazungumzo na ujumbe wa Maduro

Ujumbe wa maafisa waandamizi wa Marekani ulikwenda nchini Venezuela Jumamosi kwa mazungumzo na wajumbe wa serikali ya Rais Nicolas Maduro kuangalia uwezekano wa kupunguza vikwazo vya Marekani dh . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Kanisa katoliki huko Malawi linaishutumu serikali yao kwa rushwa

Kanisa katoliki nchini Malawi limeishutumu serikali kwa kuwa dhaifu juu ya ufisadi katika barua nadra ya ukosoaji iliyotolewa Jumapili kwenye makanisa kote nchini humo. Mamlaka inasema wamepokea . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

HAPPY WOMEN DAY RAIS SAMIA

MWAKA mmoja! Mwaka mmoja wa Utumishi uliotukuka, uzalendo, upendo na utu. Mwaka mmoja wa ushujaa kwake na kwa watanzania. Mwaka mmoja wa historia.Tutarudi hapa kwenye mwaka mmoja siku nyingine, Tu . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Maua yaacha hasara ya mabilioni, wafanyakazi maelfu wakosa ajira

Kufungwa kwa mashamba 11 ya maua mkoani Arusha katika miaka ya hivi karibuni, kumesababisha hasara ya mabilioni na zaidi ya wafanyakazi 4,000 kukosa.Licha ya wamiliki waliopoteza mtaji, Serikali n . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 7, 2022

Utaratibu tiketi za SGR huu hapa

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema tiketi zitakazotumika wakati wa safari za treni ya kisasa ya umeme SGR zitatumia mfumo wa kielektroniki katika hatua zote za ukaguzi wa kuingia, ndani ya tr . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Mwili wa mjamzito wafukuliwa, wakatwa kizazi.

Jeshi la polisi wilaya ya Nkasi limefika katika Kijiji Cha Mpasa kilichopo Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa na kufukua mwili wa Marehemu Ambaye alikuwa ni Mama mjamzito miezi 7 aliyefariki kwa kipigo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

DERAVA AMUUA MWAJIRI WAKE

Makachero wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wameanzisha msako dhidi ya mwanamume mmoja aliyemshambulia kwa kisu mwajiri wake kabla ya kutoweka na kiasi cha pesa kisichojulikana.Benjamin Munene Ndia . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Macron atangaza rasmi kuwania muhula wa pili wa urais.

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza rasmi kuwa atawania muhula wa pili katika uchaguzi wa rais wa mwezi Aprili. Kwa muda sasa rais Macron alikuwa ameashiria kuwania kiti hicho katika uchag . . .

Hali ya hewa
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Miji ya Australia yajiandaa kwa mvua zaidi mwishoni mwa juma.

Mamlaka nchini Australia zimeonya hii leo juu ya ongezeko la mvua zaidi mwishoni mwa juma katika mikoa kadhaa iliyokumbwa na mafuriko mashariki mwa nchi hiyo. Mvua hizo huenda zikatatiza juhudi za . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Mtoto azaliwa kwenye handaki Ukraine

Wakati maelfu ya watu wakiendelea kujificha katika mahandaki kukwepa vita na kutafuta usalama nchini Ukraine, mwanamke mmoja amepata uchungu na kujifungua mtoto chini ya ardhi. Tatiana mkaa . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

HALMASHAURI YA JIJI LA ILALA 'DAR ES SALAAM' YATOA TUZO KWA SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI NA BINAFSI

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imesema  imejipanga kuhakikisha inaongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuwafikia  wale wenye mahitaji maalum ili waweze kunufaika . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

SUA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI WAWAJENGEA UWEZO WAGANGA WA TIBA ASILI NCHINI.

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kupitia mradi wa VaSPHARD kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wamefanya mafunzo kwa Waganga wa tiba asili na kisha kupima dawa zao ili waweze . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Viongozi wa ECOWAS wafuta ziara yao nchini Burkina Faso

Viongozi wa Jumuiya ya kiuchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS wamefuta ziara yao nchini Burkina Faso iliyokuwa na lengo la kukutana na kiongozi wa kijeshi Paul-Henri Damiba. Taarifa ya ECOWAS imesema . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Watanzania wapewa siku 55 Poland

Wakati Serikali ikituma maofisa wa ubalozi wa Tanzania kwa nchi za Ujerumani na Sweden kuwafuatilia Watanzania waliokimbia vita nchini Ukraine, Serikali ya Poland imewapa siku 55 wawe wameondoka . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Vituo, MSD kupimwa kwa upatikanaji wa dawa aina 290

Wakati Serikali ikitoa jumla ya Sh333 bilioni kwa ajili ya manunuzi ya dawa, vifaa tiba na vitendanishi, Serikali imesema kuanzia sasa vituo vya afya na Bohari ya Dawa (MSD) vitapimwa kwa upatikan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Ruto ashutumiwa kuanza harakati za kukataa matokeo ya uchaguzi

Kampeni zimeshika kasi ikiwa imesalia miezi 5 kabla ya uchaguzi mkuu nchini Kenya. Wapinzani wa naibu wa rais William Ruto sasa wanadai anachelea kushindwa na ameanza harakati za kuyakataa matokeo . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Kizungumkuti cha serikali mpya nchini Libya

Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake juu ya ripoti kwamba kura iliyopigwa katika bunge la Libya kuidhinisha serikali mpya nchini humo haikutimiza masharti yanayokubalika kisheria.Matamshi hayo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Mkuu wa IAEA Grossi kwenda Iran Jumamosi

Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki - IAEA, Rafael Grossi, atakwenda Iran siku ya Jumamosi kufanya mikutano na maafisa waandamizi wa Iran. Msemaji wa shirika hilo la Umoja wa Mataif . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Nchi za UN zaunda mkataba wa kupambana na platiki

Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimekubaliana kuunda mkataba wa kisheria utakaoshughulikia uchafuzi wa mazingira kutokana na taka za plastiki baharini, mitoni na ardhini. Baraza la mazingira la . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Wanajeshi wa Urusi waingia katika bandari muhimu ya Kherson, Ukraine

Wanajeshi wa Urusi wameingia leo katikati ya mji wa bandari wa Kherson nchini Ukraine, siku moja baada ya madai yanayokinzana kuhusu kama Moscow imeukamata mji wowote mkubwa nchini humo kwa mara y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

UN Yamchagua Betty Murungi Kusuluhisha Mzozo wa Ethiopia.

Rais wa Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa(UNHRC), Balozi Federico Villegas alitangaza uteuzi wa watu watatu kuchunguza na kutoa taarifa kuhusu mzozo wa Tigray, Ethiopia.Katika taarifa J . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Watanzania 2 Wafungwa kwa Kumuua Bosi Wao, Kutupa Mwili Wake.

Mahakama kuu ya Migori imewahukumu raia wawili wa Tanzania kifungo cha miaka 35 kila mmoja kwa kosa la mauaji ya mwajiri wao.Marwa Magige Kieusi na Makonge Wangwi Maseti wote walipatikana na hatia ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Kilio cha Watanzania waliokwama Ukraine

Wakati majeshi ya Russia yakiendelea kushambulia miji nchini Ukraine, baadhi ya Watanzania wanaoishi nchini humo wameeleza machungu ya vita hivyo wasijue hatima yao.Tayari Serikali ya Tanzania ime . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Rais wa Msumbiji awafukuza mawaziri sita

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi mawaziri sita akiwemo waziri wa fedha.Tangazo hilo lilitolewa katika taarifa ambayo haikutoa sababu zozote za kufukuzwa kazi kwa mawaziri hao wala kuto . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Ridhiwani Kikwete Ataka Mipaka Ya Ardhi Iheshimiwe Kuepuka Migogoro

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete ametaka kuheshimiwa kwa mipaka ya ardhi baina ya kijiji na kijiji ili kuepuka migogoro.Alisema, mipaka ya vijiji imewekwa . . .

Kurasa 119 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Wayahudi watakiwa kuhamia Israel kuepuka chuki

    • 2 dakika zilizopita
  • AFCON yafunguliwa rasmi Rabat, Morocco waanza kwa kishindo

    • 9 dakika zilizopita
  • Wanafunzi waliotekwa nyara Niger waachiwa huru

    • 43 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode