logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Elimu
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Mhadhiri wa Chuo Matatani Kwa Rushwa ya Ngono

Mhadhiri wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Adam Semlambo ameingia matatani, akihusishwa na rushwa ya ngono ambapo uongozi wa chuo hicho, umemsimamisha kazi kuanzia jana, machi 2, 2022 kupisha uchu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 3, 2022

Jamaa Aoa Pacha Watatu Wanaofanana katika Harusi Maridadi "Nawapenda Wote"

Mwanaume wa DR Congo aliyetambulika kwa jina Luwizo ndiye ameingia kwenye rekodi ya mfalme Solomoni hivi punde.Luwizo, mwanamume mwenye wake wengi kutoka Kalehe, Kivu Kusini, DR Congo, hivi majuzi ali . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Mwanafunzi wa Kenya alivyoshuhudia ubaguzi na mateso kwenye mpaka wa Ukraine na Poland

Fatma Abou ni mwanafunzi anayesomea udakitari nchini Ukraine. Huu ulikuwa mwaka wake wa sita na wa mwisho kabla kumaliza masomo na kuhitimu kama dakitari. Lakini mashambulizi nchini humo yali . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Geita wadai ‘shangingi’ lao lililonunuliwa Sh400 milioni

Halmashauri ya mji wa Geita imeiomba Jumuiya ya Serikali za Mitaa nchini (ALAT) kupeleka kilio chao kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) ili warudishiwe gari lao la ki . . .

Uwekezaji
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

WIZARA YA NISHATI NA DP WORLD YA DUBAI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO

Wizara ya Nishati na kampuni ya DP World ya Dubai zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika kuendeleza miundombinu ya kupokea na kuhifadhia mafuta na gesi itakayojengwa nchini Tanzania . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

bora kwa wanafunzi

Wazazi na walezi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wametakiwa kuzingatia lishe bora kwa watoto wao ili kuboresha ustawi wao pamoja na kuongeza ufaulu shuleni kupitia upatikanaji wa chakula kat . . .

matukio
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Wanafunzi Waafrika wabaguliwa Ukraine

Wanafunzi Waafrika wanaosoma nchini Ukraine wamedai kuwa wanabaguliwa na vikosi vya usalama wanapokuwa katika harakati za kuikimbia nchi hiyo kuelekea nchini Poland.Mmoja wa wanafunzi hao wa Afrik . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mwalimu Amuoa Mwanafunzi wake wa Zamani Katika Karamu ya Kufana.

Aliyekuwa kiranja mkuu wa Orient Academy Group of School, Boji-Boji, Stephanie Ebere Odili amefunga pingu za maisha na mwalimu wake wa zamani wa shule ya upili, Sammy Anslem Chuks.Mapenzi Kipofu: Mwal . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mwanasiasa wa Kawangware Atekwa Nyara na Mwili wake Kutupwa Nyeri.

Familia ya Joseph Ochieng almaarufu Obude ambaye alitekwa nyara na kisha mwili wake ukapatikana katika makafani moja mjini Nyeri, inalalamikia kujivuta kwa upelelezi wa mauaji ya mtoto wao.Ochieng, mw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Urusi, Ukraine wafanya mazungumzo

Siku ya tano baada ya majeshi ya Urusi kuingia Ukraine, wajumbe kutoka nchi hizo mbili wameanza mazungumzo yenye lengo la kumaliza vita. Ofisi ya rais wa Ukraine inasema inataka kusitishwa ma . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Umri wa Watanzania kuishi waongezeka

Makadirio ya ukomo wa umri wa kuishi kwa Watanzania yameongezeka kutoka miaka 67 na miezi mitatu mwaka huu hadi kufikia ukomo wa miaka 74 ifikapo 2035, ikiwa ni ongezeko la miaka saba na miezi miw . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Madiwani Korogwe wampa wiki mbili DED, menejimenti

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe limemuagiza Mkurugenzi na menejimenti ya Halmashauri hiyo kupeleka taarifa ya mapato na matumizi ya Julai hadi Desemba 2021 baada ya kutor . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

BALOZI KOMBO AKUTANA NA WADAU WA NGO’s JIJINI ROMA

Balozi wa Tanzania nchini Italia Mhe. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mkutano na wadau wa NGO’s takribani sitini na nne zinazofanya shughuli zake nchini Tanzania mwishoni mwa wiki Ji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

India Yaahidi Kuisadia Ukraine

WAZIRI  Mkuu wa India Narendra Modi amejitolea kuisaidia Ukraine katika juhudi za kuleta amani, Modi ameyasema haya wakati wa mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Ukraije Volodymyr Zelens . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Radi yaua 7 Rukwa

Watu saba wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi katika maoneo tofauti katika wilaya zaNkasi na Sumbawanga mkoani Rukwa.Akizungumza na Jembe FM leo 27, Ofisa Mtendaji wa Kata ya Nkandasi, Given . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Waziri Jafo atoa siku 14 tatizo hili lipatiwe ufumbuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo ametoa siku 14 kwa Uongozi kwa Wilaya ya Kinondoni kuhakikisha wanatatua tatizo la mfumo wa majitaka katika Mtaa wa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Mfalme Zumaridi akamatwa kwa Usafirishaji haramu wa binadamu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Diana Edward Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa kosa la usafirishaji haramu wa Binadamu na Unyonyaji. Akizungumza na waandishi wa habari Mkoani . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Takriban watu elfu 150 watoroka Ukraine

Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi, UNHCR, limesema takriban watu laki moja na nusu wamekimbia kutoka Ukraine kuingia katika mataifa jirani kutafuta usalama wakati Urusi ikish . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Nigeria yanasa tani za ngozi zinazouzwa kama chakula

Mamlaka ya Nigeria inasema kuwa imekamata tani 120 za ngozi za wanyama zilizoagizwa kutoka nje katika jiji la Lagos.Zilinaswa kwa tuhuma kwamba tayari zilikuwa zimechakatwa na kemikali kwa ajili ya . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Baba ambaye alitoa watoto wake watatu kwa serikali ya Korea Kaskazini

Mtengeneza filamu wa Kikorea Yonghi Yang alikulia Japani miaka ya 1960, kama sehemu ya jamii kubwa ya wahamiaji kutoka nchi yake ya kuzaliwa ambayo ilikuwa na makazi katika jiji la Osaka.Wakiwa . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Putin, Macron na Zelensky wajadili mgogoro wa eneo la mashariki ya Ukraine

Ikulu ya rais wa Ufaransa ya Élysée imetangaza kuwa, baada ya kuzungumza na Rais Vladimir Putin wa Russia, rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron amezungumza kwa njia ya simu pia na mwenzake wa Ukr . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Tanzania Bara, Zanzibar Kutekeleza Kwa Pamoja Anwani Za Makazi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa pamoja zinashirikiana kutekeleza mfumo wa anwani za makazi nchini kwenye mikoa yote 31 ya Tanzania Bara na Za . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Malkia Elizabeth aambukizwa virusi vya Corona.

Malkia Elizabeth wa Uingereza amekutwa na maambukizi ya virusi vya corona hii leo. Kasri la Buckingham limesema, Malkia ana dalili za kawaida kama za mafua. Kasri hilo limesema kwamba kion . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Spika Justin Muturi Aanika Familia yake Mara ya Kwanza.

Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi kwa mara ya kwanza, ametambulisha familia yake kwa Wakenya akielekea kutawazwa mgombeaji wa urais wa chama cha Democratic Party katika Ukumbi wa Bomas of KenyaM . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Moses Kuria Ataka Livondo Akamatwe kwa Kudai Kulikuwa na Njama ya Kumuua Uhuru.

Mbunge wa Gatundu Kusini, Moses Kuria amejitenga na madai ya mwanasiasa Stanley Livondo kwamba kulikuwa na njama ya kuangamiza maisha ya Rais Uhuru KenyattaAkizungumza katika sherehe ya Kuria kutoa sh . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

DP Ruto " Ataendelea Kujipigia Debe kwa Ufanisi wa Miradi ya Serikali ya Jubilee."

Naibu Rais William Ruto anasema kuwa ataendelea kujipigia debe kwa ufanisi wa miradi mbalimbali ya serikali ya Jubilee katika miaka kumi ya uongozi wao.Akijibu tuhuma za wapinzani wake wa kisiasa kuwa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Wakenya Wazindua Kampeni Mitandaoni Wakitaka Serikali Ipunguze Bei ya Chakula.

Sehemu ya Wakenya wenye hamaki wametumia mitandao ya kijamii kupinga bei ghali ya bidhaa muhimu.Katika siku za hivi majuzi, Wakenya wamelazimika kujifinya zaidi kumudu bei ya vyakula.Kupitia alama ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Putin na Biden wakubaliana kufanya mkutano wa kilele kuhusu Ukraine

Rais Joe Biden wa Marekani na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin wamekubaliana umuhimu wa kufanyika kutano wa kilele kuhusu Ukraine, ambao unaweza kufanyika tu endapo Urusi haitaivamia Ukraine.Kwa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Ethiopia yaanza kuzalisha umeme katika bwawa la mto Nile

Bwawa lenye utata la Ethiopia kwenye mto wa Nile lilianza kuzalisha umeme kwa mara ya kwanza Jumapili, kulingana na runinga ya serikali. Bwawa hilo lenye thamani ya $4.2bn (£3.8bn), lililoko m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 21, 2022

Akamatwa kwa kuoa wanawake 17

Polisi katika jimbo la Bhubaneshwar nchini India wamemkamata mwanaume anayedaiwa kuwalaghai wanawake 17 kwa kujifanya daktari na wakati mwingine hata afisa mkuu wa afya. Ramesh Chandra Swai . . .

Kurasa 120 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 16 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode