logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Juhudi za kidiplomasia zaendelea

Urusi imesema inaendelea kuviondoa vifaru na magari mengine ya kivita kutoka kwenye maeneo ya karibu na mipaka ya Ukraine, baada ya kumaliza luteka za kijeshi zilizoibua wasiwasi mkubwa kwa mata . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Waasi wa Ukraine wadai kushambuliwa na wanajeshi wa serikali

Waasi wanaoiunga mkono na Urusi nchini Ukraine wamevituhumu vikosi vya serikali kwamba vimeshambulia kwa makombora kijiji kimoja hii leo. Tuhuma hizo zimetolewa wakati vyombo vya habari vya Urusi . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Wafahamu wanawake watano Afghanistan waliokataa kunyamazishwa

Ni theluji tu. Wakati baridi likiwapiga idadi kubwa ya watu wa Afghanistan wenye njaa, theluji yenye muonekano wa binadamu inaonekana inaleta furaha kwenye kona moja ndogo ya mji wa Kabul.Kundi . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

IGP Sirro afunguka sakata la Mtwara

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amesema haikuwa kazi rahisi kuchunguza, kuwakamata na kufikishwa kortini maofisa saba wa jeshi hilo mkoani Mtwara kwa tuhuma za kumuua mfanyabias . . .

Dini
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Makamu wa kwanza wa Rais akiongoza waumini wa Kiislamu katika Hauli ya Maalim Seif

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman, jana ameongoza Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, waumini wa Kiislam na wananchi mbali mbali katika Hauli ya kumkumbuka na kum . . .

siasa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Rais Dkt. Mwinyi atengua uteuzi wa Kamishna wa Mapato Z'bar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Salum Yussuf Ali, ili kupisha uchunguzi wa kina w . . .

UTALII
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Tumepokea Kauli Ya Wakazi Wa Ngorongoro

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepokea kauli ya wakazi wa Ngorongoro kwamba wako tayari kupokea maelekezo ya Serikali na kushirikiana pamoja katika kuulinda utalii na uhifadhi wa . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Wizara Ya Afya Yapokea Vifaa Vya Tehama Vyenye Thamani Zaidi Ya Mil. 105

Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea vifaa vya Tehama na machapisho vyenye thamani zaidi ya Mil. 105 kwa ajili ya kusambazwa kwenye vituo vya Afya ili kuboresha huduma za ufuatiliaji na udhi . . .

Hali ya hewa
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

TMA- KUTAKUWA NA MVUA ZA MASIKA ZA KUTOSHA KWA MACHI HADI MEI

 MAMLAKA ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri kuwa kutakuwa na mvua za kutosha kwa msimu wa Mvua za  Masika wa Machi hadi Mei, 2022 kwa mikoa inayopata mvua mara mbili kwa mwaka.Mku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Mkuu wa Umoja wa Mataifa apinga unyanyasaji unaofanywa Jamhuri ya Afrika ya Kati

Katika ripoti yake ya hivi punde iliyowasilishwa mbele ya Baraza la Usalama, Antonio Guterres amevinyooshea kidole cha lawama vikosi vya usalama na jeshi nchini Jamhuri ya Af . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Wachunguzi wadai mshairi aliyetoweka Innocent Bahati aliondoka kuelekea Uganda

Mamlaka ya Rwanda imetangaza hitimisho la kwanza la uchunguzi wake kuhusu kutoweka kwa mshairi Innocent Bahati, ambaye familia yake haijasikia habari zake kwa mwaka mmoja. Ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

DRC kukabiliwa na janga la njaa.

Mzozo wa kibinadamu bado unaendelea kutatanisha nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Umoja Mataifa, mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na mamlaka wanatangaza kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

WFP yasema eneo la Sahel barani Afrika linakabiliwa na njaa

Shirika la mpango wa chakula Duniani la Umoja wa Mataifa linasema eneo la sahel barani Afrika linakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula ambao haujawahi kushuhudiwa unaosababishwa na kupanda . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Mwanamke wa kwanza Duniani aponywa UKIMWI

Mwanamke wa kwanza Duniani amefanikiwa kuponywa na ugonjwa wa Ukimwi kwa kupandikizwa seli shina katika mwili wake ambaye alikuwa anaugua saratani ya damu. Mwanamke huyo alipandikizwa seli . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

RC Makalla hakuna shule iliyouzwa Kurasini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amemaliza hali ya taharuki juu ya uvumi wa taarifa zilizodaiwa kuwa eneo la Shule ya Sekondari Kurasini linauzwa kwa Mwekezaji ambapo amethibitisha kuwa . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Uandikishwaji wanafunzi wa awali wafikia 92%

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), imetekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan la uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Mkutano wa kilele baina ya AU na EU waanza mjini Brussels

Viongozi wa Umoja wa Afrika na wa Umoja wa Ulaya wanakutana mjini Brussels kwa mazungumzo ya siku mbili kuanzia leo, wakiazimia kuimarisha ushirikiano, huku Ulaya ikiahidi uwekezaji mkubwa barani . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Hutawahi Chaguliwa Tena baadhi ya wagombea wa kenya

Mwanaharakati wa kuwatetea wafanyakazi Francis Atwoli amemkashifu Seneta wa Kakamega Cleophas Malala kwa madai ya kutomheshimu licha ya kuchukua jukumu muhimu katika taaluma yake ya kisiasa. Katibu Mk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

“TANESCO ina mtaji hasi wa uendeshaji” PIC

aarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) kuhusu Shughuli za Kamati kwa Mwaka 2021 imeeleza kuwa taarifa za kifedha za shirika la umeme Tanzania (TANESCO) za Mwaka 2 . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Makamu wa rais wa Kenya ajitetea kuhusu ukosefu wa ngombe DR Congo

Naibu rais wa Kenya amejitetea baada ya kuibua hasira katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na matamshi yake ya awali yaliyoashiria kuwa hakuna ngombe nchini humo.William Ruto alise . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Kiongozi wa Kijeshi Aapishwa Kuwa Rais

KIONGOZI wa Kijeshi wa Burkina Faso, Luteni Kanali Paul-Henri Damiba, ameapishwa kuwa rais wa mpito wa taifa hilo. Akiwa amevaa sare za kijeshi, Damiba ameapa kuheshimu katiba katika hafla ndogo il . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Baba Adaiwa Kumpa Mimba Binti Yake

Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Tumaini wilayani Iramba mkoani Singida, amesimamishwa masomo baada ya kubainika kuwa na ujauzito anaodai kupewa na baba yake wa kambo, Abd . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

kilio cha ubadirifu wa fedha za mikopo

 Ni kilio cha ubadirifu wa fedha za mikopo inayotolewa na halmashauri kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika maeneo mengi ya nchi.Wakati wabunge wakipigia kelele ubad . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

“Hakuna mgogoro kati ya Wananchi na Hifadhi Njombe” Naibu Waziri Utalii

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amesema hakuna mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Kata za Inyala, Itewe, Ilungu na Hifadhi ya Kitulo iliyoko mkoani Njombe. Ameyasema . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Ujerumani inapanga kuondoa vizuizi vya Covid-19 mwezi Machi

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz na viongozi wa majimbo 16 wametangaza mipango ya kuondoa vizuizi vya kukabiliana na Covid-19 kufikia mwishoni mwa mwezi Machi. Mipango hiyo itashuhudia vizuizi vin . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Israel yaushambulia mji wa kusini mwa Damascus

Vyombo vya habari vya serikali ya Syria vimeripoti kuwa Israel imeushambulia kwa makombora mji wa kusini mwa Damascus jana jioni, na kusababisha uharibifu wa mali. Hilo ni shambulio la pili la ang . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Marekani yaituhumu Urusi kuongeza wanajeshi mpakani mwa Ukraine

Marekani imetupilia mbali ripoti za Urusi kuondoa wanajeshi wake mpakani mwa Ukraine na badala yake ikaituhumu Moscow kwa kupeleka wanajeshi zaidi. Afisa mmoja mwandamizi katika Ikulu ya White Hou . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Kauli tata ya ubatizo yasababisha Padri ajiuzulu

Padri mmoja nchini Marekani amejiuzulu utumishi wake wa upadri aliotumikia kwa miaka mingi baada ya kufahamika kuwa amekuwa akiwabatiza watoto kwa kauli tata ambayo imebatilishwa na viongozi wa ka . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Mwanafunzi Mwenye Umri Wa Miaka 19 Kumpachika Mimba Mwalimu Wake.

Richard Nana Sam, mwanamume mmoja kutoka Ghana ambaye alihuzunishwa na matukio ya hivi majuzi yaliyotokea nyumbani kwake aliamua kuyasimula kwenye mitandaoni kwa matumaini ya kupata suluhu.Akisimulia . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Mvulana wa Sudan aokolewa baada ya kukwama kwenye lori la tatataka kwa saa nane

Mvulana mwenye umri wa miaka 10-ameokolewa saa nane baada ya kukwama katika lori la takataka katika mji mkuu wa Sudan Khartoum.Mvulana huyo aliyetambuliwa na polisi kama Majed Mubarak Ibrahim . . .

Kurasa 121 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 18 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode