logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Baba wa Polisi aliyejinyonga mahabusu ataka uchunguzi

 Wakati Jeshi la Polisi likieleza jinsi mkaguzi msaidizi wa polisi Grayson Mahembe alivyojinyonga akiwa mahabusu, hatua iliyoibua hisia na maswali kadhaa, baba mzazi wa marehemu Gaitan Mahe . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Uchaguzi WaSpika: Mtia Nia Awaacha Hoi Wabunge

WAKATI wabunge wakiendelea kusikiliza hoja za watia nia wanaowania kurithi mikoba ya Job Ndugai, Bungeni jijini Dodoma, Ndonge Said Ndonge, kutoka Chama cha AAFP huenda akawa ni mtia nia pekee aliei . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 1, 2022

Mwaka mmoja wa mapinduzi ya kijeshi Myanmar waadhimishwa kwa maandamano

Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Myanmar wameadhimisha mwaka mmoja wa mapinduzi ya kijeshi nchini humo kwa mgomo wa kitaifa kuonyesha mshikamano wao, huku jeshi likiendelea kung'ang'ania mad . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Nchi za Kusini mwa Afrika zajiandaa kukabiliana na kimbunga cha pili

Kituo cha Huduma za Hali ya Hewa cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) (CSC) kimeonya juu ya mvua kubwa ambayo inaweza kusababishwa na kimbunga inayokuja, iitwayo Batsirai.CSC ilisem . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

MKUU WA WILAYA SONGWE AKAGUA UJENZI WA BARABARA,AISHUKURU SERIKALI

MKUU wa Wilaya ya Songwe Simon Simalenga amefanya ziara ya kutembelea ujenzi wa barabara yenye kipande cha urefu wa kilomita 7 kutoka Kata ya Kanga kwenda Kata ya Ifwenkenya ambayo inajengwa na . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

KURA ZA SPIKA KUPIGWA LEO

 Bunge la Tanzania limeanza vikao vyake hii leo huko jijini Dodoma, ambapo limeanza shughuli zake kwa kuendesha uchaguzi wa spika mpya atakaeliongoza bunge hilo. Nafasi ya spika iliachwa wazi p . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

ATCL Yapewa Maagizo Bei za Tiketi

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Atupele Mwakibete ameitaka idara ya Masoko ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kufanya tafiti na kuja na mpango madhubuti wa bei za tiketi ili kuruhusu abir . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Kenya yawarudisha nyumbani washukiwa wa mauaji Uingereza

Kenya imewarudisha raia wawili wa Uingereza nchini humo ambako wanasakwa kwa mauaji.Taarifa kutoka kwa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini Kenya inasema wapelelezi walimkamata Mohamud Siy . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Marekani na Urusi zakabiliana katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Balozi wa Marekani Linda Thomas-Greenfield alisema upelekwaji huo ulikuwa mkubwa zaidi Ulaya kuwahi kuonekana katika miongo kadhaa.Mwenzake wa Urusi aliishutumu Marekani kwa kuchochea hali ya wasi . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Familia zaidi zalia watoto kupotea mikononi mwa polisi

 Wingu limetanda katika familia ya Salmin Shame (33) kijana anayedaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu usiku wa Desemba 24 mwaka jana.Kijana huyu akiwa na wenzake wawili, Elis . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

BUTIKU MWENYEKITI MPYA TAASISI YA MWALIM NYERERE

BODI ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), inayomaliza muda wake imemteua Joseph Butiku kuwa mwenyekiti mpya wa bodi hiyo.Hayo yamesemwa na Kaimu Mwenyekiti wa bodi aliyemaliza mud . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

UJENZI WA DARAJA LA MTO RUHUHU WAKAMILIKA, NI LA CHUMA LIMEJENGWA NA WAHANDISI WA TANROADS WA MIKOA 26 TANZANIA

WAKALA wa Barabara nchini (Tanroads) imepiga hatua nyingine, baada ya kukamilisha ujenzi wa daraja la urefu wa mita 98 katika mto Ruhuhu linalounganisha wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma na Ludewa . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

WANANCHI 1000 WAHUDUMIWA NA BRELA NDANI YA SIKU TANO KATIKA VIWANJA VYA MLIMAN CITY

WAKALA wa Usajili wa Biahara na Leseni (BRELA) umesema katika kipindi cha siku tano za mwanzo ambazo wamekuwa wakitoa elimu kuhusu umuhimu wa wananchi kusajili biashara zao pamoja na kutoa hudum . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 1, 2022

Tanzania Na Misri Zakubaliana Ushirikiano Kuimarisha Uwekezaji Sekta Ya Kilimo, Usafiri, Miundombinu Ya Umeme, Maji Na Usafiri

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amekutana na balozi wa Misri nchini Tanzania Mhe. balozi Mohamed Gaber Abulwafa na kujadiliana masuala mbalimbali ya Uwekezaji na . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Harakati ndogo mpakani mwa Rwanda na Uganda baada ya kufunguliwa tena

Kuna harakati kidogo kwenye mpaka wa Gatuna wa Rwanda na Uganda, ambao umefunguliwa tena baada ya karibu miaka mitatu ya kufungwa. Mpaka huo ulifungwa mwaka 2019 kufuatia mvutano kati ya nchi hizo . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Gari la umma lalengwa katika shambulio la bomu kaskazini mwa Kenya

Gari la uchukuzi wa umma limekumbwa na shambulizi la bomu kaskazini mwa Kenya, karibu na mpaka wa Somalia.Waandishi wa habari wa eneo hilo wanasema takriban watu tisa wamefariki na wengine kadhaa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Polisi Watoa Ufafanuzi Tukio La Kujinyoga Askari huko Mtwara

. . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Masauni Aitaka UNHCR Kufuata Sheria, Mwakilishi Mkazi Mpya Ajitambulisha Kwa Waziri

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amelitaka Shirikika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) nchini kufanya kazi kwa kuzingatia sera, sheria na vipaumbele vya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Local chanel ambazo ni Clouds Tv, ITV, Chanel Ten, Star Tv na zingine zarudishwa DStv rasmi

Waziri Nape ameyasema hayo leo januari 31 alipotembelea ofisi za kampuni ya Multichoice Tanzania DStv ikiwa ni sehemu ya ziara zake kwa wadau wa Wizara anayoingoza.Ameongeza kuwa Serikali imefanya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Bodi Ya Utalii Tanzania –TTB Yapokea Maandamano Ya Vijana Wa Ccm Ya Kuhamasisha Utalii Wa Ndani

Bodi ya utalii Tanzania (TTB)  imeapokea maandamano ya Wanachama wa Umoja wa Vijana –UVCCM Tanzania Kata ya Saranga iliyopo katika Jimbo la Kibamba, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Museveni apingana na askofu kuwazuia wasichana wajawazito kurudi shule

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amepinga uamuzi wa Askofu wa kanisa la Uganda la kuwazuia wasichana wajawazito kurudi shuleni baada ya shule kufunguliwa mwezi huu nchini UgandaHii ni kutokana na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

PAKA AKUTANA NA MMILIKI WAKE BAADA YA MIAKA 11

Paka huyu anaitwa Fergus aliyetoweka nyumbani zaidi ya miaka 11 iliyopita kaskazini-mashariki mwa Scotland, ameunganishwa tena na wamiliki wake.Alikutwa umbali wa maili 80 katika mji wa Aberde . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Denmark kuondoa vikosi vyake Mali

Denmark imesema Alhamisi kwamba itaanza kuondoa vikosi vyake nchini Mali baada ya utawala wa kijeshi uliofanya mapinduzi nchini humo mapema wiki hii kuitisha kuondoka kwao likionekana kuwa pigo . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Bashungwa awaagiza ma-RC, atoa siku 14

 Wakuu wa mikoa nchini wamepewa siku 14 kupeleka taarifa za halmashauri zao ambazo zimeshindwa kufikia malengo katika makusanyo ya mapato. Agizo hilo limetolewa leo Ijumaa Januari 28, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Tanzania Itaendelea Kushiriki Kikamilifu Kutekeleza Mkataba Wa AfCFTA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Prof. Godius Kahyarara amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Sekretarieti ya Eneo Huru la Biashara Afrika AfCFTA, Sekta Binafsi na W . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Radi yaua mwanafunzi mmoja, yajeruhi 16

Katavi. Mwanafunzi mmoja amefariki dunia na wengine 16 wamejeruhiwa baada ya kupigwa radi katika shule ya msingi ya Sokoine iliyopo kata ya Katumba Wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi.Akizungumza leo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 28, 2022

Wawili wafa, nane wakijeruhiwa ajali ya Kimara

 Watu wawili wamefariki dunia papohapo na wengine nane kujeruhiwa katika ajali iliyosababishwa na lori lililowafuata abiria katika kituo cha daladala Kimara Suka jijini Dar es Salaam.Akizun . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Karibu watu 80 wauawa katika Dhoruba Ana Kusini mwa Afrika

Idadi ya watu waliokufa kutokana na dhoruba kali iliyopiga kwenye nchi tatu za kusini mwa Afrika imeongezeka. Hadi kufikia leo jumla ya watu 86 wameorodheshwa kuwa wamekufa kutokana na dhoruba h . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso aahidi usalama na utulivu

Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Burkina Faso ameahidi kurejesha usalama, utulivu na umoja katika nchi hiyo iliyomo katika mgogoro. Hata hivyo ameonya kuwa usaliti hautavumiliwa na utawala . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Urusi haitaki vita na Ukraine

Waziri wa Mambo ya kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amesema leo kuwa Moscow haitaki vita na Ukraine, huku akionyesha matumaini kuhusu mapendekezo ya usalama yaliyowasilishwa na Marekani. Lavrov ame . . .

Kurasa 125 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 8 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode