Wakaazi wa jiji la Kinshasa nchini DRC waliojawa na hasira, hapo jana walionesha gadhabu zao kwa Rais Felix Tshisekedi, ambaye alitembelea maeneo yaliyoathiriwa pakubwa na mafuriko ya mwishoni mwa wik . . .
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa Marekani na Iran zitafanya mazungumzo ya moja kwa moja ya ngazi ya juu kuhusu makubaliano ya nyuklia Jumamosi, Aprili 12, 2025, huko Oman. Taarifa hiyo im . . .
Raia walionaswa katika mapigano kwenye mji wa El-Fasher nchini Sudan, wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu, wameonya watetezi wa haki za binadamu ambao wamesema hali kwenye mji huo inazidi kuwa mb . . .
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza diplomasia ya kiuchumi kati ya Tanzania na mataifa mbalimb . . .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yana lengo la kuhamasisha utoaji wa haki za wafanyakazi, kuboresha masharti ya kazi na ustawi wa wafanyakazi kwa ujumla. . . .
Gharama kubwa za matibabu ikiwa ni pamoja na kumuona daktari kwa ajili ya vipimo zimekuwa zikichangia watu kuamua kununua dawa bila kupima na kujua tatizo kabla ya kuanza ‘dozi’.Hayo yameelezwa na . . .
Serikali ya Marekani imefuta visa za takriban wanafunzi 300 wa kigeni kama sehemu ya juhudi za kukabiliana na maandamano ya wanaounga mkono Palestina katika vyuo vikuu, hatua inayotajwa kuwa sehemu ya . . .
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja Jenerali Rajabu Mabele ametoa wito kwa watu wote wanaoghushi vyeti vya mafunzo ya JKT kuacha kufanya hivyo na badala yake wajitokeze kupata mafunzo nafasi zinapotan . . .
Ni miezi miwili sasa tangu pale Jiji la Goma lianguke mikononi mwa kundi la waasi la AFC/M23. Tangu wakati huo, benki zote za biashara zimefungwa kwa maagizo ya mamlaka mjini Kinshasa. Kutokana na hal . . .
Rais wa Burkina Faso, Kapteni #IbrahimTraoré, mwenye umri wa miaka 37, amekataa ongezeko lolote la mshahara, akisisitiza kujitolea kwake kwa wananchi wa nchi hiyo.Traoré, ambaye alichukua madaraka k . . .
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, amesema kuwa wamepata taarifa za kuaminika kuwa taifa la Rwanda linapanga kuishambulia Burundi.Hata hivyo serikali ya Rwanda imekanusha vikali madai ya serikali . . .
Wakala wa Vipimo (WMA) inatarajia kuanza uhakiki wa Taxi meter ambapo umenunua mitambo 12, miwili ya imesimikwa mmoja unaendelea kusimikwa katika kituo cha uhakiki wa Vipimo Misugusugu Mkoa wa Pwani n . . .
WALIMU wa Shule za Sekondari wanaofundisha masomo ya Sayansi na Hisabati,wametakiwa kutumia mbinu za kisasa zinazozingatia mabadiliko ya sayansi na teknolojia ili kuwasaidia wanafunzi kuyapenda masomo . . .
Mamia ya Waislamu na Wakristo huko Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, wameshiriki pamoja dhifa ya futari katika medani ya Place De La Nation, kuadhimisha mwaka wa tatu wa utamaduni huo wa kuhamasi . . .
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Dkt. Charles Msonde amesema daraja la J.P Magufuli (Kigongo Busisi) lenye urefu wa KM 3 litaanza kutumika rasmi Aprili 30 mwaka huu.Hata hivyo, amesema ifikapo April . . .
Kiongozi mkuu wa upinzan nchini Kenya, Raila Odinga amefichua kuwa aliamua kumwokoa Rais William Ruto wakati wa maandamano ya Gen Z ili kuzima mapinduzi ya kijeshi ambayo yalikuwa yamesukwa na yalikuw . . .
Naibu wa Gavana wa Benki Kuu ya Umoja wa Ulaya Luis de Guindos amesema kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump amesababisha kukosekana utulivu katika ghughuli za kiuchumi na rais huyo ni janga baya zaidi . . .
Israel imeapa kuendelea na mapigano katika Ukanda wa Gaza hadi pale ambapo mateka wote wanaoshikiliwa na Hamas wataachia huru.Tangazo la Israel limekuja wakati huu ikitekeleza mojawapo ya mashambulio . . .
Rwanda imetangaza Jumatatu, Machi 17, kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Ubelgiji, ikishutumu serikali ya zamani ya kikoloni kwa "kuunga mkono" Kinshasa "kabla na wakati wa mzozo unaoendelea katika J . . .
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni ya Mkoani Kigoma, imekanusha Picha mjongeo iliyonakilishwa na Mange Kimambi Machi 13, 2025 kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Kijamii wa X, juu ya uwepo wa mgonjwa wa . . .
Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema Tanzania imefanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa mlipuko wa Marburg na ameutangazia Umma wa Watanzania kuwa ugonjwa huo umeisha kutokana na kutokuwepo kwa Mgonjwa mwi . . .
Jeshi la kujenga Taifa (JKT), limesema lipo tayari kutoa ushirikiano kwa Taasisi mbalimbali za ajira, ili kuwachukulia hatua kali Vijana wanaogushi vyeti vya jeshi hilo na kuvitumia kuajiriwa kwenye t . . .
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Iran haipo tayari kwa mazungumzo na Marekani wakati inapewa vitisho na kumtaka Rais Donald Trump ‘kufanya chochote anachoraka’.“Haikubaliki kwetu kwa wao . . .
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetangaza kumalizika kwa majukumu yake ya kupeleka wanajeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Mkutano wa kilele wa kambi hiyo ya kikanda umeam . . .
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amewasili jijini Jeddah, Saudi Arabia na kupokelewa kwa heshima zote na Mrithi wa Kiti cha Ufalme, Mwanamfalme Mohammed bin Salman, katika jumba la kifalme, jana, J . . .
Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amekamatwa kwa hati maalum kutoka Mahakama ya Uhalifu wa Kivita (ICC) kufuatia tuhuma za ukatili dhidi ya binadamu zinazomkabili.Duterte amekamatwa leo Jum . . .
Maafisa wa utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump wamemkamata mwanafunzi raia wa Palestina aliyehitimu ambaye alihusika sana katika maandamano ya Wapalestina ya mwaka jana katika chuo kikuu cha Colu . . .
Rais wa Marekani Donald Trump Alhamisi amechelewesha kwa wiki nne ushuru mpya wa asilimia 25 kwenye bidhaa nyingi kutoka Mexico na Canada kwa mauzo yake kuja Marekani.Hatua hiyo ni sehemu ya mka . . .
Katika kusherehekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, kama ilivyo kawaida yake kupenda takwimu na t . . .
Iran imekamilisha miezi miwili ya mazoezi makali ya kijeshi katika miongo kadhaa huku ikijaribu kuzuia uwezekano wa mashambulizi kutoka kwa mahasimu wake Israel na Marekani.Watafiti hao wenye ma . . .