Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya kujadiliwa kwa bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) baadhi ya Wananchi mkoani Dodoma wamejitokeza kutoa maoni yao kuhusu bajeti hiyo k . . .
Vatican imesema mazishi ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis yatafanyika siku ya Jumamosi.Baadhi ya viongozi ambao wamethibitisha kuhudhuria mazishi yake ni pamoja Rais wa Marekani . . .
Msemaji wa jeshi la Sudan Kusini, amesema kuwa vikosi vya serikali vimeuteka tena mji wa Nasir ambao umekuwa kitovu cha mzozo wa kisiasa ambo umekuwa ukitokota nchini humo.Machafuko katika mji wa Nasi . . .
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amefariki dunia leo Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88, hatua inayofunga ukurasa wa uongozi wake uliojaa changamoto, migawanyiko na juhudi za kulifan . . .
Rais William Ruto amewaonya viongozi dhidi ya siasa za migawanyiko, akisema umoja ndio nguvu ya kweli ya Kenya. Akihutubia waumini wakati wa ibada ya kanisa huko Ntulele, Kaunti ya Narok, Jumapili, Ra . . .
Marekani chini ya uongozi wa rais Donald Trump, inapanga kufunga baadhi ya Balozi zake katika mataifa ya Afrika, kwa mujibu wa ripoti iliyochapishwa na Gazeti la The New York Times.Ripoti hiyo inapend . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima ameeleza kusikitishwa juu ya kitendo cha mabinti kadhaa wa chuo kikuu wakishirikiana kumdhalilisha binti mwingine . . .
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky siku ya Jumamosi, Aprili 19, ameishtumu Urusi kwa kukiuka usitishaji vita ambao Rais wa Urusi Vladimir Putin alikuwa ametangaza tu kwa ajili ya Pasaka na kwamba Ukra . . .
Mjumbe Maalum wa Rais Samia Suluhu Hassan, na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, amehitimisha ziara yake nchini Burkina Faso kwa kukutana na Rais wa nchi hiyo, Kapteni Ibrahim Tr . . .
Bashe alieleza kuwa notisi hiyo itaanza kutekelezwa kuanzia Jumatano wiki ijayo kama serikali isipopata mrejeshoSERIKALI imesema inawasiliana kwa mara ya mwisho na serikali za Afrika Kusini na Malawi . . .
Msemaji wa Ikulu ya White House ametangaza kuwa Rais wa Marekani Donald Trump bado ana nia ya kuiunganisha Canada na ardhi ya nchi hiyo na kuigeuza kuwa jimbo la 51 la Marekani.Katika wiki za karibuni . . .
Tume ya pamoja ya wanahistoria wa Ufaransa na Haiti itachunguza suala lenye utata la kiasi cha pesa ambacho Paris ililazimisha koloni lake la zamani kulipia uhuru wake karne mbili zilizopita na kutoa . . .
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema Wizara yake imepanga kutekeleza vipaumbele 14 katika mpango wa bajeti wa mwaka 2025/26.Akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi k . . .
Rais Mstaafu wa Tanzania na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mazungumzo na Rais wa Niger, Mhe. Jenerali Abdourahamane Tchiani katika Ikulu ya Niamey . . .
“Alikuwa zaidi ya kiongozi alikuwa dira ya maendeleo katika sekta ya nishati.”Katika taifa linalojenga msingi wa maendeleo kupitia nishati endelevu na miundombinu imara, jina la Mhandisi Gisima Ny . . .
Rais wa Togo Faure Gnassingbé, ambaye ni mpatanishi mpya katika mzozo kati Kinshasa na Kigali Rwanda, amekutana na mwenzake wa DRC Félix Tshisekedi katika ziara yake ya kwanza baada ya kuteuliwa kat . . .
DAKTARI wa masuala ya urembo aliyeshtakiwa kumuua mwanamke aliyeenda hospitali kwake kurembeshwa makalio ameachiliwa dhamana ya Sh1 milioni na mdhamini mmoja.Dkt Robert Maweu Mutula anayeshtakiwa pamo . . .
China imeamuru mashirika yake ya ndege kusitisha uwasilishaji wote wa ndege kutoka kwa kampuni ya kutengeneza ndege ya Marekani ya Boeing, huku kukiwa na vita vya kibiashara vinavyozidi kupamba moto n . . .
Baada ya mazungumzo ya zaidi ya miaka mitatu, nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) zimeidhinisha makubaliano ya kihistoria siku Jumatano, Aprili 16, yenye lengo la kujiandaa vyema na kupamb . . .
Habari zilizotufilia hivi punde, zinaeleza kuwa mwanadada Carolina Hawa almaarufu Carina aliyekuwa akitibiwa nchini India, amefariki dunia.Taarifa za awali zinaeleza kuwa Carina alitarajiwa kurejea Ta . . .
Rais wa Awamu ya Nne na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha Ujumbe Maalum kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazzaville), Mhe. COLLIN . . .
Rais wa Awamu ya Nne na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha Ujumbe Maalum kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazzaville), Mhe. COLLIN . . .
Idadi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto nchini Sudan, kuanzia kwenye mauaji hadi utekaji, vimeongezeka kwa zaidi ya asilimia elfu 1 kufuatia vita ya wenywe kwa wenyewe iliyodumu kwa miaka miwili . . .
. . .
Brice Oligui Nguema, ambaye mwaka 2023 aliongoza mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Ali Bongo, ameshinda rasmi uchaguzi wa rais wa Jumamosi kwa zaidi ya asilimia 90 ya kura, kwa mujibu wa matokeo . . .
CHINA Ijumaa ilimjibu Rais Donald Trump kwa kuongeza ushuru kwa bidhaa inazoagiza kutoka Amerika kwa asilimia 125, huku ubabe wa kibiashara kati ya nchi hizo ukiendelea kutikisa ulimwengu kibiashara.R . . .
Wananchi wa Gabon wanajiandaa kupiga kura kesho kumchagua rais, katika uchaguzi wa kwanza katika nchi hiyo ya Afrika ya Kati, baada ya kutokea kwa mapinduzi ya kijeshi mwaka 2023.Siku ya Ijumaa ndio y . . .
Shughuli ya kumuaga nguli wa tasnia ya habari Afrika na duniani, Shaka Ssali inatarajiwa kufanyika leo, April 10, 2025.Shaka, mzaliwa wa Kabale, Uganda alikuwa akifanya kazi kwa muda mrefu katika Shir . . .
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange amesema Serikali imeweka mikakati dhabiti kwaajili ya kujenga kituo cha mabasi katika Halmashauri ya Wila . . .
Hatua zilizopigwa katika kupunguza vifo vya akina mama wakati wa kujifungua, huenda zikaathiriwa kutokana na kupungua kwa ufadhili wa sekta ya afya Duniani.Hayo yamebaijishwa na Umoja wa Mataifa – U . . .