logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Donald Trump Aipa Hamas Onyo la Mwisho Waachieni Mateka Mara Moja

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa kile alichokiita “onyo la mwisho” kwa Hamas kuwaachilia mara moja mateka wote walioko Gaza – hatua iliyokuja saa chache baada ya Ikulu ya White House kuthibi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Marekani kusitisha michango ya moja kwa moja kwenye majukwaa ya UN

Marekani imeweka bayana kwamba haitakuwa ikitoa mchango wa moja kwa moja kwa majukwaa ya Umoja wa Mataifa yakiwemo maendeleo endelevu pamoja na malengo mengine ya kimataifa ikijumuisha kutokomeza umas . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Rais wa Baraza la Taifa na Bunge la Jamhuri ya Cuba Awasili nchini

Rais wa Baraza la Taifa na Bunge la Jamhuri ya Cuba, Esteban Lazo Hernandez, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Sala . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 4, 2025

Wakenya waliotapeliwa nchini Myanmar wemekwama kwenye mpaka wa Thailand

Zaidi ya Wakenya 60 waliookolewa kutoka mikononi mwa makundi ya matapeli wa mtandaoni nchini Myanmar wamekwama kwenye mpaka kati ya nchi hiyo na Thailand wakiishi katika mazingira mabaya, kulingana na . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 4, 2025

Wawili Wafariki Dunia Mkoani Morogoro, Mmoja Ajinyonga Kisa Ugumu wa Maisha

Watu wawili wamepoteza maisha katika matukio mawili tofauti Mkoani Morogoro ambapo mmoja kwa kujinyonga huku mwingine akifariki wakati akiwa anasubiri usafiri wa basi katika kituo kikuu cha mabasi mko . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 2, 2025

Waziri Mkuu Aongoza Kikao Cha Kitaifa Cha Dira Ya Maendeleo 2050

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Kitaifa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Machi 01, 2025 ameongoza kikao cha tano cha Kamati hiyo kwenye ukumbi wa Ofisi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

RC Makonda Atoa Mwezi Mmoja, Takukuru Kuwapata Waliokwapua Milioni 400 Za Waendesha Bodaboda

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda Alhamisi Februari 27, 2025 ameipa mwezi mmoja Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa TAKUKURU mkoa wa Arusha kuhakikisha wanafanya uchunguzi, kuwahoji na . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

Spika wa kaunti ajiuzulu na kuapa kuanika gavana

SPIKA wa Kaunti ya Turkana, Christopher Nakuleu, amejiuzulu kutoka afisini na kuapa kuendelea kumwangazia Gavana Jeremiah Lomorukai na bunge la kaunti.Bw Nakuleu, aliyewahi kuhudumu kwa hatamu mbili k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

Papa Francis anaendelea kupata nafuu hospitalini kulingana na Vatican

Vatican inasema kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis anaendelea vyema hospitalini kwa siku ya pili mfulilizo.Baada ya kulazwa katika hospitali ya Gemelli mjini Rome tarehe 14 ya mwezi Febr . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Mfalme awataka raia wasichinje kondoo Eid-al-Adha

MFALME Mohamed VI wa Morocco jana aliwataka raia wa taifa hilo wajizuie kuwachinja kondoo wakati wa sikukuu ya kuchinja maarufu kama Idd-ul-Adha mwaka huu.Kauli ya Mfalme Mohamed VI inatokana na ukame . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Dkt Slaa afutiwa kesi na kuachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Dkt. Wilbroad Slaa, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.Maamuzi hayo yametolewa leo Februari 27 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Balozi Nchimbi Awasili Namibia Msiba Wa Sam Nujoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, D . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Gambo "Kama Mtu Anataka Ubunge Asubiri Tuingie Uwanjani"

Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amejibu kilichotokea jana February 24,2025 kwenye baraza maalumu la jiji la Arusha la kupitisha bajeti baada ya madiwani kumtaka Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Rais Kiirr Amfuta Kazi Mkuu Wa Usalama

Rais Kiirr amfuta kazi mkuu wa usalama Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wake mpya wa usalama na kumpandisha cheo mshirika wake kuwa makamu wa rais katika kile kinachohisiwa kuwa ni n . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Gachagua amuahidi Raila urais Kenya 2027

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema kwamba anaweza kumfanya kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuwa rais wa Kenya iwapo atakubali kuungana naye na vigogo wengine wa upinzani.Gachagua a . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Kada ataka majibu uhalali wa Lema na Mnyika CDM

Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mwanga Lembrus Mchome, amemuomba Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika, kujibu barua yake ya malalamiko ya kupinga uteuzi wa viongozi nane wa CHADEMA walioteuliwa na M . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

Ngeze "Tusiyakimbie matatizo, tuyakabili "

Mwenyekiti wa Umoja wa Wenyeviti Tanzania (ALAT), Murushid Ngeze amewaasa Wananchi kuacha tabia ya kuwakimbia watu waliopata matatizo kwani ni jambo ambalo haliepukiki na ni vyema kuukabili mthiani hu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

Kiongozi Wa Upinzani Israel Amshutumu Netanyahu

Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kubadilishana mateka na Hamas baada ya kuc . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

ICC imetoa wito kwa makundi ya waasi kuheshimu sheria za kimataifa

Mwendesha mashtaka Mkuu katika Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu ICC, Karim Khan ametoa wito kwa makundi yote yenye silaha mashariki ya DRC kuheshimu sheria za kimataifa.Wito wa Khan unakuja wakati . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 24, 2025

Uongozi Mbaya Wa Rais Tshisekedi Umezidisha Mzozo

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila amesema kuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais Felix Tshisekedi umechangia pakubwa kuzidisha mzozo mashariki mwa nchi hiyo.Kabi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 24, 2025

Ukraine na Marekani zakaribia kufikia makubaliano kuhusu madini ya Ukraine

Marekani na Ukraine Jumapili zimesema zinakaribia kufikia makubaliano kwa Kyiv Kuipa Washington Sehemu kubwa ya madini yake nadra kama malipo ya fidia kwa mabilioni ya dola ya zana za kijeshi ambazo M . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 23, 2025

Polisi Wadaiwa Kujiunga Na M23 Bukavu

Mamia ya askari wa Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanadaiwa kujiunga na waasi wa M23 katika Mji wa Bukavu baada ya kuuteka mji huo.Waasi wa M23 waliingia Bukavu wiki iliyopit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Israeli yaishutumu Hamas kwa kuua watoto wa Bibas na kutokabidhi maiti ya mama yao

Kulingana na msemaji wa jeshi la Israeli, Ariel na Kfir Bibas walikufa wakiwa kizuizini huko Gaza, " ambao waliuawa na magaidi wa Kipalestina mnamo Novemba 2023." Usiku wa Alhamisi tarehe 20 kuamkia I . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Hata Matajiri Wanakimbia Matunzo ya Watoto, Ona Elon Musk Akilalamikiwa na Mama Watoto Wake

Mama wa watoto watatu wa Elon Musk, mwimbaji Grimes amelalamika kwenye mtandao wa X kuwa Elon hapokei simu zake na mtoto wao anaumwa sana na anahitaji matibabu haraka,Grimes ameandika, 'Ninasikitika k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Manusura wa Ajali ya Ndege Iliyopinduka Miguu Juu, Kupewa Milioni 77 Kila Mmoja

Shirika la Ndege la Delta la Nchini Marekani, limesema litawapatia Abiria walionusurika kwenye ajali ya moja ya Ndege zake Nchini Canada kiasi cha dola za kimarekani 30,000 kila mmoja (takriban shilin . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2025

Rais Samia Azindua Tume ya Kutathmini mgogoro wa ardhi Hifadhi ya Ngorongoro

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Tume ya Rais ya Kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro pamoja na Tume ya Rais ya Kutathmini zoezi la uhamaji wa hiari wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Félix Tshisekedi aomba msaada wa kijeshi kutoka Ndjamena

Didier Mazenga, mjumbe maalum wa Rais wa Kongo Félix Tshisekedi, amezuru Chad siku ya Jumanne, Februari 18. Amefanya ziara hii akirejea kutoka mkutano wa kilele wa Umoja wa Afrika, akiwa na ujumbe ku . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Mahakama yaamuru Dkt. Slaa afikishwe Mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dr es Salaam, imeamuru kutolewa kwa amri ya Mwanasiasa Mkongwe, Dkt. Wibroad Slaa (76) kufikishwa mahakamani ifikapo Machi 4, 2025 ili uweze kutolewa uamuzi w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Jaji Amruhusu Elon Musk Kupunguza Wafanyakazi

Jaji wa Mahama nchini Marekani ameruhusu idara inayoongozwa na Elon Musk, inayojulikana kama Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), kuendelea na zoezi lake kufukuza na kupungaza wafanyakazi wa serikali . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Marekani yaongeza maradufu wafungwa wa Guantanamo Bay

Marekani imeongeza maradufu idadi ya wafungwa wanaodhaniwa kuwa tishio kubwa pamoja na wale wanaosubiri kurejeshwa makao kwenye kituo cha jeshi la wanamajaji la Marekani cha Guantanamo Bay nchini Cuba . . .

Kurasa 34 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

    • 11 masaa yaliopita
  • Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

    • 11 masaa yaliopita
  • Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode