KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, amekosa mchakato unaoendelea wa kumfurusha Naibu Rais Rigathi Gachagua akisema wale wa Wiper waliounga hoja hiyo wataadhibiwa.Bw Musyoka aliwakosoa wabung . . .
MAREHEMU wanatakiwa kupumzika kwa amani, angalau ndivyo watu wanavyosema wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu.Lakini katika mji wa Homa Bay Nchini Kenya, makaburi ya umma yamegeuzwa kuwa jaa la taka . . .
Maafisa tisa wa utawala wa kiraia wa Niger uliopinduliwa mnamo Julai 2023 "wamevuliwa" uraia wao, baada ya kushukiwa haswa "ujasusi kwa mataifa ya kigeni" na "njama dhidi ya mamlaka ya serikali", seri . . .
Picha: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akiwa kwenye foleni ya kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura katika Kituo cha Kujiandikisha cha Shule ya Msingi Bulangwa kilichopo . . .
ZAIDI YA MITUNGI YA GESI 1,500 YATOLEWA KWA BEI YA RUZUKU BUKOMBE . . .
HAYA NI MAANDALIZI YA KUKARIBISHA SIKU YA WALIMU DUZIANI . . .
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Bagara, Joel Mariki, aliyedaiwa kupotea tangu Septemba 14, 2024 eneo la Mlima Kwaraa mjini Babati mkoani Manyara, ambapo alikwenda kufanya mafunzo kwa vitendo na kupot . . .
Bunge la Seneti limekutana katika kiako cha dharura kupokea hoja kutoka kwa Kiongozi wa walio wengi Aaron Cheruyot baada ya Baraza la Wawakilishi kupiga kura ya kumuondoa madarakani Gachagua siku ya J . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za mauaji ya Juma Said Mfaume, Miaka 40, Mfanyabiashara na mkazi wa Mbagala Mlandizi.Inadaiwa kuwa tarehe 7/10/2024 katika kitongoji . . .
Mahakama Kuu nchini Kenya kwa mara ya pili imekataa kutoa amri ya kusimamisha kesi ya kumuondoa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua.Suala hilo lilitajwa jana mbele ya Jaji Bahati Mwamuye, aliyeele . . .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa halmashauri nchini kuendelea kuweka mikakati ya kushirikisha sekta binafsi katika mipango ya kimaendeleo.Amesema kuwa kwa kufanya hivyo kutasaidia ku . . .
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga leo Oktoba 6, 2024 ameanza ziara yake ya siku 4 Katika wilaya ya Kiteto Mkoani humo na kukagua mradi wa ujenzi wa tanki la maji Nchinila.Akiwa katika Kat . . .
Wanafunzi 52 waliomaliza darasa la saba katika shule ya Msingi Maendeleo wakimsikiliza Mwenyekiti wa chama cha wachimbaji wadogo wa dhahabu wilaya ya Igunga, Peter Mashili katika mahafali yaliyo . . .
Wakati hali ya usalama ikiwa tete katika eneo la Mashariki ya kati, Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un naye ametishia kutumia silaha za Nyuklia, ili kuisambaratisha Korea Kusini, iwapo nchi hiyo . . .
Ripoti iliyotolewa Jumanne imesema kuwa wakati uchaguzi wa Rais wa Marekani ukikaribia, usalama wa wanahabari haujahakikishwa kwa mujibu wa marekebisho ya kwanza ya Katiba ya Marekani.Wanahabari wa Ma . . .
Iran Jumanne imefanya shambulizi kubwa la makombora dhidi ya Israel, hatua ambayo inaashiria kusambaa kwa mzozo kati ya Israel na mataifa ya Kiislamu ya kieneo.Jeshi la Israel limesema kuwa kombora la . . .
Kampuni ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuwa ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, zinazojulikana kama Skyleader 600, zimeanza rasmi safari zake ndani . . .
Wabunge wanatarajiwa kuwasilisha pendekezo la kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua katika nafasi hiyo, Oktoba 1, 2024 ikielezwa kuwa mchakato wa kukusanya sahihi za kupitisha hoja hiyo unaendeleaMus . . .
Mwanasiasa wa upinzani nchini Ufaransa Marine Le Pen, ambaye alikuwa kiongozi wa muda mrefu wa chama cha siasa za mrengo wa Kulia, National Rally, amefunguliwa mashtaka jijini Paris, kwa madai ya matu . . .
Sehemu ya raia wa Nigeria wametangaza nia yao ya kufanya maandamano siku ya Jumanne, Oktoba 1, wakati taifa hilo la Afrika Magharibi litakapokuwa likiadhimisha miaka 64 ya uhuru wake.Mratibu wa kitaif . . .
Mkazi wa Kijiji cha Sinyaulime Tarafa ya Ngerengere Wilaya na Mkoa wa Morogoro, Kulwa Bosco (27), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Hussein Steven (35), mkazi wa Ngerengere . . .
Jeshi la Polisi mkoani Tanga limefanikiwa kuwatambua watu watatu ambao miili yao ilikutwa imechomwa moto ndani ya gari dogo aina ya IST katika Msitu wa Hifadhi, kijiji cha Sinden, wilayani Handeni.Taa . . .
WAZIRI wa Kawi na Mafuta Opiyo Wandayi amepuuzilia mbali ripoti kuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) ulikumbwa na uhaba wa mafuta ya ndege, hali iliyochelewesha safari za nd . . .
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris Alhamisi aliahidi msaada kwa Ukraine, akimuzungumzia mpinzani wake Donald Trump bila kumtaja jina, akisema wale ambao wanataka Ukraine ibadilishe ardhi yake kw . . .
Algeria, ambayo haina tena uhusiano wa kidiplomasia na Morocco tangu 2021, imeamua mara moja tangu siku ya Alhamisi kuweka visa ya kuingia nchini humo kwa raia wa Morocco. Algiers inaishutumu Rabat kw . . .
Familia moja katika Kijiji cha Akipeneti, Kata Ndogo ya Buteba, Wilaya ya Busia, imefanya mazishi ya ishara kwa mgomba.Hatua hii ilichukuliwa baada ya kutomwona mwanao,Kennedy Were Wanga, kwa miaka mi . . .
Rais Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo ametoa wito kwa Jumuiya ya kimataifa kuchukuwa vikwazo dhidi ya Rwanda kutokana na kile alichokiita kuwaunga mkono waasi wa M2 . . .
Waendesha mashtaka wa Benin Jumatano walisema kwamba watu watatu mashuhuri akiwemo kamanda wa kikosi cha ulinzi wa rais walikamatwa kwa tuhuma za kupanga “mapinduzi” katika taifa hilo dogo la Afri . . .
Nigeria imejiunga kwenye orodha kubwa ya viongozi wa Afrika waliopo kwenye mkutano wa 79 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unaoendelea mjini New York, kutaka mageuzi kwenye Baraza la Usalama.Kwa muda . . .
Rais mpya wa Sri Lanka Anura Kumara Dissanayake alilivunja bunge Jumanne na kuitisha uchaguzi wa bunge ndani ya chini ya wiki tatu katika juhudi za kuimarisha mamlaka yake baada ya ushindi wake kwenye . . .