logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • May 22, 2024

Palestine yakaribisha hatua ya Ireland, Norway na Uhispania kuitambua kama taifa

Mamlaka ya Palestine ambayo kimataifa inatambuliwa kama mwakilishi rasimi wa watu wa Palestine imekaribisha hatua ya nchi za Ireland, Norway na Uhispania kutambua eneo hilo kama taifa, ikisema ni kite . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2024

Baerbock aunga mkono msaada zaidi wa kijeshi kwa Ukraine

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Ujerumani Annalena Baerbock, amesema anaunga mkono wito wa Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius wa kuongezea msaada kwa Ukraine.Mwanadiplomasia huyo wa Ujeru . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

Athari za Mafuriko: Mawaziri watatu matatani kwa uzembe

Dhoruba wakati wa msimu wa mvua si jambo geni lakini kwa mwaka huu, mvua kubwa zimeshuhudiwa kutokana na mfumo wa hali ya hewa wa El-nino, huku Wataalamu wakisema mabadiliko ya tabianchi pia yamechoch . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

Uhispania inamtaka rais wa Argentina aombe msamaha kwa umma kwa maoni ya 'mke fisadi'

Uhispania Jumatatu ilidai "msamaha wa umma" kutoka kwa Rais wa Argentina Javier Milei kwa kumwita mke wa Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez "mfisadi" huku kukiwa na mzozo wa kidiplomasia kati ya w . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

Umoja wa Afrika wakosoa jaribio la mapinduzi la Kongo

Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat, amesema anafuatilia mambo yanavyoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kukosoa jaribio la kuipindua serikali lililotokea h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

China yawekea vikwazo makampuni ya Marekani yanayouza silaha kwa Taiwan

China imeweka vikwazo vipya dhidi ya makampuni matatu ya Kimarekani yanayouza silaha kwa Taiwan, ambapo Rais Lai Ching-te ameapishwa leo Jumatatu, Mei 20, 2024, limeripoti shirika rasmi la Habari la C . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

Mzee ahofia Ziwa Victoria kuumeza Mkoa wa Kagera

Mkazi wa Manispaa ya Bukoba Mzee Pius Ngeze (70), amesema anahofia balaa kubwa kutokea katika Mkoa huo kumezwa na ziwa Victoria, kutokana na kukosekana kwa mikakati mahsusi wala uchunguzi, ili kubaini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 16, 2024

Asili ya Chui katika mila za Congo

Kongo zamani ikifahamika kama Zaire, asili ya jina lake ilizaliwa katika Lugha ya Kikongo ambayo ni ya watu wa Kabila la Wakongo, kwasasa ikifahamika kama Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.Neno Kongo l . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2024

Marekani yakamilisha ujenzi wa bandari ya muda Gaza

Wanajeshi wa Marekani wamekamilisha bandari ya muda katika pwani ya Gaza , iliyokuwa likisubiriwa kwa muda mrefu, ili kuongeza kasi ya kufikisha misaada katika ukanda wa Gaza.Wanajeshi wa Marekani wam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2024

Putin aridhishwa na juhudi za China kumaliza mzozo nchini Ukraine

Rais wa Urusi Vladmir Putin ameeleza kuridhishwa na juhudi za mwenzake wa China Xi Jinping kuhakikisha suluhu ya mzozo wa Ukraine inapatikana.Katika kikao kati ya viongozi hao jijini Beijing, rais wa& . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2024

Marekani imeweka vikwazo kwa raia wa Russia na makampuni kutoka Russia

Marekani imesema makampuni hayo yalijaribu kukwepa vikwazo katika mpango ambao unaweza kuondoa dola bilioni 1.5Wizara ya fedha ya Marekani siku ya Jumanne iliweka vikwazo kwa raia mmoja wa Russia, na . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • May 15, 2024

Wanafunzi 194 Washika Mimba ndani ya mwezi mmoja

Kwa muda wa mwezi mmoja jumla ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wapatao 194 wamebainika kupewa mimba na kukatishwa masomo yao katika wilaya ya Momba Mkoani Songwe.Hayo yamebainishwa na Mkuu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • May 14, 2024

wanachama 1,000 wa Hamas wanapokea matibabu Uturuki

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema zaidi ya wanachama 1,000 wa kundi la Hamas wanapokea matibabu nchini Uturuki.Rais Erdogan ameyasema hayo katika mkutano wa pamoja wa waandishi wa haba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 14, 2024

Aliyekuwa Katibu mkuu wa EAC anatarajiwa kuhojiwa na Kamati ya sheria, haki, na hadhi ya bunge la Jumuiya hiyo

Aliyekuwa Katibu mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dr Peter Mathuki  anatarajiwa kuhojiwa na Kamati  ya sheria, Haki, na Hadhi ya Bunge la Jumuiya  hiyo juu ya tuhuma zilizotolewa dhi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 13, 2024

Mabaki ya Panya yapatikana kwenye mkate, kampuni yatoa agizo

Kampuni moja inayotengeneza mkate maarufu nchini Japani imetoa agizo la kurejeshwa kwa mikate elfu kadhaa na wateja kurejeshewa pesa zao baada ya mabaki ya panya kupatikana kwenye bidhaa hiyo.Takriban . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2024

Putin afanya mabadiliko safu ya ulinzi

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amefanya mabadiliko na kumuondoa Waziri wa ulinzi, lkjaziri Sergei Shoigu ikiwa ni sehemu ya kupanga safu yake wakati huu anapoanza awamu yake ya tano madarakani.Shoigu h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2024

Aaliyepandikizwa Figo ya Nguruwe Amefariki Dunia

 Richard Slayman kutoka Massachusetts aliyepandikizwa figo ya Nguruwe amefariki dunia hii leo Jumapili Mei 12, 2024.Kwa mujibu wa BBC Slayman (62) ambaye ni mtu wa kwanza kupandikizwa figo ya mny . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 9, 2024

Uingereza yakashifiwa kwa kumpongeza mtoto wa rais Museveni

Wanaharakati nchini Uganda pamoja na wanasiasa nchini humo, wamewakosoa maofisa kadhaa wa juu wa Serikali ya Uingereza, kwa kile wamesema upuuzi kwa maofisa hao kumpongeza mtoto wa rais Yoweri Museven . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 9, 2024

Rais Cyril Ramaphosa aita uhaini tangazo la kampeni ya chama cha upinzani

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa alielezea kuwa ni uhaini kwa hatua ya tangazo la kampeni la chama cha upinzani ambalo linaonyesha bendera ya taifa inayowaka moto, huku uhasama kati ya vyama vya . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • May 8, 2024

Wanufakia mikopo Elimu ya Juu kuongezeka

Waziri wa Elimu, Prof. Adolf Mkenda leo, amesema ili kuwezesha na kuimarisha huduma ya utoaji na upatikanaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wenye sifa na uhitaji Serikali itaongeza fursa za m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 8, 2024

Israeli imefungua tena mpaka wa Kerem Shalom kuruhusu misaada kuingia Gaza

Washirika wa Israeli wamekuwa wakionya dhidi ya oparesheni zake katika eneo la Rafah lenye idadi ya raia wa Palestina zadi ya milioni moja wengi wao ambao walitoroka mapigano yanayoendelea kati ya Ham . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 7, 2024

Profesa"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere"

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi, ameiomba serikali kwamba ndege aina ya Boeing 787-8 Dreamliner inayotarajiwa kuwasili nchini mwishoni mwa mwezi huu wa Mei ipewe jina la Baba wa Taifa Mwal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 7, 2024

Putin kutawazwa kama rais wa Urusi kwa muhula wa tano

Vladimir Putin anatarajiwa kuapishwa leo Jumanne kama rais wa Urusi kwa muhula wa tano, ambapo yuko mamlakani kwa muda mrefu bila kupingwa licha ya upinzani uliokandamizwa, katikati ya msukumo wa wana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 7, 2024

MAREKANI yafanyia Majaribio drone yake ya majini inayofanana na Samaki ‘Manta Ray’

MAREKANI yafanyia Majaribio drone yake ya majini inayofanana na Samaki ‘Manta Ray’ . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • May 6, 2024

Hakuna uchawi kwenye Kilimo, Wakulima wafuate taratibu

Kilimo ni moja ya shughuli ya Mwanadamu ambayo humsaidia kupata mazao kwa ajili ya chakula na mazao mengine kwa ajili ya biashara inayoweza kumuingizia kipato kwa ajili ya maisha yake na kupitia kipat . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • May 3, 2024

Sababu Wasichana kuharibu ndoto zao vyuoni yatajwa

Mabadiliko Mfumo wa elimu yametajwa kuwa ni chachu katika kuchangia, kumaliza au kupunguza rushwa ya ngono ambayo imekuwa ikisababisha matatizo kwa Wasichana kwa kuathiri maendeleo na haki zao hasa wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 3, 2024

Wanajeshi 150,000 wa Urusi wameuawa katika vita vya Ukraine

Ufaransa inakadiria kuwa wanajeshi 150,000 wa Urusi wameuawa tangu taifa hilo lilipoivamia Ukraine.Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Stephane Sejourne, amesema hayo kwenye mahojiano na gazeti la Uru . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 3, 2024

Trump aahidi akichaguliwa atarejesha marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi duniani

Mgombea anayaetarajiwa kuwa mteule wa urais wa kupitia chama cha Republican Donald Trump anasema akichaguliwa atarejesha tena marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi katika siku y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 3, 2024

Paul Makonda " Chukueni Vyote ila Mniachie Maria Wangu"

Dunia imebeba Mengi sana ila mimi nimekubali kubebwa nawe kipenzi changu, kwani wewe ndiye Dunia yangu, chochote wachukue lakini waniachie wewe, Maria wangu, mwanamke wa maisha yangu, NAKUPENDA MNOO!! . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2024

Mwasa"Fuatilieni mafao yenu yanapelekwa wapi"

Mkuu wa Mkoa Kagera, Fatma Mwassa amewataka watumishi wa umma ndani ya Mkoa huo kutazama mafao yao kama yanapelekwa kwenye mfuko husika na kujua wameweka kiasi gani na kwamba jambo hilo liwe jukumu la . . .

Kurasa 49 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 19 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 19 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 20 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode