logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Top Story
  • Na Asha Business
  • December 31, 2024

Bondia Afariki Akipigana Dar, Mama’ake Alia

Babu wa bondia Hassan Mgaya aliyefariki dunia hivi karibuni na chanzo kikiwa ni kupata majeraha  kichwani na kupelekea kufariki Dunia.Bondia huyo alifariki dunia baada ya kupigwa TKO katika raund . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • December 29, 2024

Anayedaiwa Kuwaibia Wagonjwa Adakwa Muhimbili Mloganzila

Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata, Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimb . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 27, 2024

Chief Godlove Amlilia ‘Mwanaye’ Grayson Aliyeuawa Kikatili

Mtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini Dodoma anayejulikana kwa jina la Jojo, Graison Kanyenye (6), anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuam . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 26, 2024

Shambulizi la Israel laua wanahabari watano huko Gaza

Madaktari wa Palestina wamesema shambulizi la Israel mapema Alhamisi limewaua wanahabari watano katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Gaza.Kituo cha Televisheni cha Al-Quds, chenye uhusiano na kundi l . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 26, 2024

Ndege yaanguka na kuua Watu Zaidi ya 30 na 28 Kunusurika

Ndege ya Shirika la Ndege la Azerbaijan iliyokuwa imebeba watu 67 imeanguka karibu na mji wa Aktau nchini Kazakhstan na kusababisha vifo vya watu 38 waliokuwa ndani, kwa mujibu wa Mamlaka za Kazakhsta . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 26, 2024

Wafungwa Watoroka Jela Msumbiji Kisa Uchaguzi

Zaidi ya wafungwa 1, 500 wametoroka katika gereza moja nchini Msumbiji, wakitumia fursa ya machafuko ya kisiasa yanayoendelea yaliyochochewa na matokeo ya uchaguzi wenye utata, polisi wamesema.Watu 33 . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 24, 2024

Bwana harusi Apandishwa Kisutu Akituhumiwa Makosa Mawili

Mkazi wa Kigamboni Vicent Masawe(36)maarufu kwa jina la ‘Bwana harusi’ amepandishwa Mahakamani kisutu akikabiliwa na mashtaka mawili.Mshtakiwa huyo.amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kis . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 23, 2024

Polisi waanza uchunguzi kifo cha Mwanafunzi wa UDOM

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza taarifa ya kifo cha mwanafunzi mmoja wa chuo Kikuu cha Dodoma – UDOM, ambaye alifariki kwa maji.Taarifa ya Kamanda w Polisi Mkoani humo, Alex M . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 23, 2024

Zaidi ya wanajeshi 1,100 wa Korea Kaskazini wauawa katika vita vya Ukraine

Zaidi ya wanajeshi 1,000 wa Korea Kaskazini waliuawa au kujeruhiwa katika mapigano dhidi ya vikosi vya Ukraine, kamati ya wakuu wa majeshi ya Korea Kusini (JCS) imesema leo Jumatatu (Desemba 23)."Tuna . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 22, 2024

38 wafariki kwa ajali ya Boti, 100 hawajulikani walipo

Takriban Watu 38 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 100 hawajulikani walipo nchini Kongo, baada ya kivuko walichokuwa wakisafiria kilichozidisha mzigo kupinduka katika mto Busira, wakati wakirudi ny . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 18, 2024

Polisi wawili wauawa kwa risasi Dodoma

Askari Polisi wawili wa wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma, wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo Desemba 18, 2024, katika majibizano ya risasi kati yao na mtuhumiwa wa ujambazi baada ya kufika nyumbani k . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 17, 2024

AKATWA MKONO KISA KUCHELEWA KURUDI NYUMBANI

#HABARI Happyness Khalfan (30) mkazi wa Kata ya Mwendakulima wilayani Kahama mkoani Shinyanga, amekatwa na kitu cha ncha kali katika mkono wake wa kushoto na mumewe Charles Peter mkazi wa Mwendakulima . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • December 17, 2024

Mbwana Harusi Aliyejipoteza Akutwa Kwa Mganga wa Kienyeji Kigamboni

eshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema December 15,2024,lilimpata na kumshiklia Vicent Peter Massawe maarufu Baba Harusi Mkazi wa Kigamboni kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya uda . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • December 16, 2024

Wakazi walivyomchinja mamba na kumtoa mtoto aliyemezwa Isiolo

WAKAZI wa kijiji cha Bulesa, eneo la Merti katika kaunti ya Isiolo wamemuua  mamba  aliyemshambulia na kummeza mvulana mmoja aliyekuwa akilisha mifugo wao karibu ni mto Ewaso Ng’iro.Walipa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 16, 2024

Thelathini na nane wauawa magharibi mwa Darfur

Watu 38 wameuawa Magharibi mwa jimbo la Darfur nchini Sudan, baada ya wanamgambo wa RSF kutumia ndege isiyokuwa na rubani, kutekeleza shambulio hilo.Wanamgambo wa RSF wamerusha makombora manne kuwalen . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 13, 2024

Kijana Adaiwa Kumuua Baba Yake, Mjumbe na Kumjeruhi Mwenyekiti wa Kijiji

Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Zuberi Habibu, Mkazi wa Kijiji cha Mandudumizi B, Kata ya Zombo, Kilosa mkoani Morogoro, anashikiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa tuhuma za mauaji ya w . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 13, 2024

Waandishi hamsini na wanne waliuawa mwaka 2024, theluthi moja yao na Israel, kulingana na RSF

Waandishi wa habari 54 waliuawawakiwa kazini au kwa sababu ya kazi zao duniani kote mwaka 2024, ikiwa ni pamoja na theluthi moja ya jeshi la Israel, hasa huko Gaza, kulingana na ripoti ya kila mwaka y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 11, 2024

Basi lashambuliwa, 22 wauawa

Takribani Watu wasiopungua 127, wengi wao wakiwa ni raia wameuawa nchini Sudan kufuatia mapigano kati ya jeshi na Wanamgambo wa RSF.Taarifa za vyombo vya Habari zinasema wengi wao wameuawa katika mji . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 9, 2024

Watu 184 waliuawa nchini Haiti wikendi iliopita: Umoja wa Mataifa

Mkuu wa Tume ya haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa Volker Turk ameeleza kwamba watu 184 waliuawa wikendi iliopita nchini Haiti wakati magenge yenye silaha yalipoongeza kasi ya vurugu.Utovu wa us . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 6, 2024

Muumini aishi na maiti ya pasta nyumbani miezi miwili akisubiri afufuke

POLISI  nchini Tanzania, wanamzuilia mwanamke mmoja aliyekamatwa kwa kuhifadhi mwili wa pasta wa kanisa lake kwa miezi miwili ndani ya nyumba akisubiri afufuke.Katika tukio lililowaacha wakazi wa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 6, 2024

Wabunge Kadhaa Wajeruhiwa Baada ya Kupata Ajali ya Basi

 wabunge zaidi ya 50 waliokuwa wakisafiri kwa basi kutoka Dodoma kwenda Nchini Kenya kushiriki michezo wamepata ajali eneo la Mbande mkoani Dodoma.Wabunge kadhaa wamepata majeraha ya Mwili kutoka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 4, 2024

Rais wa Korea Kusini aondoa sheria ya kijeshi baada ya kushinikizwa na bunge

Rais wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol amea,gushwa siku ya Jumatano na upinzani na chama chake baada ya kujaribu kuweka sheria ya kijeshi siku ya Jumanne, hatua ambayo alilazimika kufuta kwa shinikizo.Yoo . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 3, 2024

Baba Ajinyonga Baada ya Kumchinja Binti yake

Mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli mkoani Shinyanga, Makoye Mayala (45) amejinyonga hadi kufa baada ya kumjeruhi kwa kisu mtoto wake, Anna Makoye (06) mwanafunzi wa shule ya msingi Mwamagunguli.Chanzo c . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • November 28, 2024

Waduwazwa na Kanisa Ambapo Watu Huruka Mishumaa Kumwona Mchungaji

DRC Congo: Wanamtandao wamefurahishwa na jinsi washarika wanavyolazimishwa kuruka mishumaa inayowaka ili kumwendea mchungaji wao kwa maombi au baraka.wanaume wanaovaa kanzu ndefu na wanawake waliovaa . . .

Kurasa 11 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 14 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • 2 siku zilizopita

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 14 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode