Babu wa bondia Hassan Mgaya aliyefariki dunia hivi karibuni na chanzo kikiwa ni kupata majeraha kichwani na kupelekea kufariki Dunia.Bondia huyo alifariki dunia baada ya kupigwa TKO katika raund . . .
Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imemkamata, Steven K. Julius kwa tuhuma za wizi wa mali za wa wagonjwa ikiwemo simu za wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kwa kujifanya ni mwajiriwa wa Muhimb . . .
Mtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini Dodoma anayejulikana kwa jina la Jojo, Graison Kanyenye (6), anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuam . . .
Madaktari wa Palestina wamesema shambulizi la Israel mapema Alhamisi limewaua wanahabari watano katika kambi ya Nuseirat katikati mwa Gaza.Kituo cha Televisheni cha Al-Quds, chenye uhusiano na kundi l . . .
Ndege ya Shirika la Ndege la Azerbaijan iliyokuwa imebeba watu 67 imeanguka karibu na mji wa Aktau nchini Kazakhstan na kusababisha vifo vya watu 38 waliokuwa ndani, kwa mujibu wa Mamlaka za Kazakhsta . . .
Zaidi ya wafungwa 1, 500 wametoroka katika gereza moja nchini Msumbiji, wakitumia fursa ya machafuko ya kisiasa yanayoendelea yaliyochochewa na matokeo ya uchaguzi wenye utata, polisi wamesema.Watu 33 . . .
Mkazi wa Kigamboni Vicent Masawe(36)maarufu kwa jina la ‘Bwana harusi’ amepandishwa Mahakamani kisutu akikabiliwa na mashtaka mawili.Mshtakiwa huyo.amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kis . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza taarifa ya kifo cha mwanafunzi mmoja wa chuo Kikuu cha Dodoma – UDOM, ambaye alifariki kwa maji.Taarifa ya Kamanda w Polisi Mkoani humo, Alex M . . .
Zaidi ya wanajeshi 1,000 wa Korea Kaskazini waliuawa au kujeruhiwa katika mapigano dhidi ya vikosi vya Ukraine, kamati ya wakuu wa majeshi ya Korea Kusini (JCS) imesema leo Jumatatu (Desemba 23)."Tuna . . .
Takriban Watu 38 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 100 hawajulikani walipo nchini Kongo, baada ya kivuko walichokuwa wakisafiria kilichozidisha mzigo kupinduka katika mto Busira, wakati wakirudi ny . . .
Askari Polisi wawili wa wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma, wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo Desemba 18, 2024, katika majibizano ya risasi kati yao na mtuhumiwa wa ujambazi baada ya kufika nyumbani k . . .
#HABARI Happyness Khalfan (30) mkazi wa Kata ya Mwendakulima wilayani Kahama mkoani Shinyanga, amekatwa na kitu cha ncha kali katika mkono wake wa kushoto na mumewe Charles Peter mkazi wa Mwendakulima . . .
eshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema December 15,2024,lilimpata na kumshiklia Vicent Peter Massawe maarufu Baba Harusi Mkazi wa Kigamboni kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya uda . . .
WAKAZI wa kijiji cha Bulesa, eneo la Merti katika kaunti ya Isiolo wamemuua mamba aliyemshambulia na kummeza mvulana mmoja aliyekuwa akilisha mifugo wao karibu ni mto Ewaso Ng’iro.Walipa . . .
Watu 38 wameuawa Magharibi mwa jimbo la Darfur nchini Sudan, baada ya wanamgambo wa RSF kutumia ndege isiyokuwa na rubani, kutekeleza shambulio hilo.Wanamgambo wa RSF wamerusha makombora manne kuwalen . . .
Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Zuberi Habibu, Mkazi wa Kijiji cha Mandudumizi B, Kata ya Zombo, Kilosa mkoani Morogoro, anashikiliwa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa tuhuma za mauaji ya w . . .
Waandishi wa habari 54 waliuawawakiwa kazini au kwa sababu ya kazi zao duniani kote mwaka 2024, ikiwa ni pamoja na theluthi moja ya jeshi la Israel, hasa huko Gaza, kulingana na ripoti ya kila mwaka y . . .
Takribani Watu wasiopungua 127, wengi wao wakiwa ni raia wameuawa nchini Sudan kufuatia mapigano kati ya jeshi na Wanamgambo wa RSF.Taarifa za vyombo vya Habari zinasema wengi wao wameuawa katika mji . . .
Mkuu wa Tume ya haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa Volker Turk ameeleza kwamba watu 184 waliuawa wikendi iliopita nchini Haiti wakati magenge yenye silaha yalipoongeza kasi ya vurugu.Utovu wa us . . .
POLISI nchini Tanzania, wanamzuilia mwanamke mmoja aliyekamatwa kwa kuhifadhi mwili wa pasta wa kanisa lake kwa miezi miwili ndani ya nyumba akisubiri afufuke.Katika tukio lililowaacha wakazi wa . . .
wabunge zaidi ya 50 waliokuwa wakisafiri kwa basi kutoka Dodoma kwenda Nchini Kenya kushiriki michezo wamepata ajali eneo la Mbande mkoani Dodoma.Wabunge kadhaa wamepata majeraha ya Mwili kutoka . . .
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol amea,gushwa siku ya Jumatano na upinzani na chama chake baada ya kujaribu kuweka sheria ya kijeshi siku ya Jumanne, hatua ambayo alilazimika kufuta kwa shinikizo.Yoo . . .
Mkazi wa Kijiji cha Mwamagunguli mkoani Shinyanga, Makoye Mayala (45) amejinyonga hadi kufa baada ya kumjeruhi kwa kisu mtoto wake, Anna Makoye (06) mwanafunzi wa shule ya msingi Mwamagunguli.Chanzo c . . .
DRC Congo: Wanamtandao wamefurahishwa na jinsi washarika wanavyolazimishwa kuruka mishumaa inayowaka ili kumwendea mchungaji wao kwa maombi au baraka.wanaume wanaovaa kanzu ndefu na wanawake waliovaa . . .