Jeshi la Israel limevamia maghala na majengo mengine ya Shirika la Afya Duniani, WHO, katika Ukanda wa Gaza wakati ikiendesha operesheni zake.Mkuu wa WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kwenye ta . . .
Watu watatu wamefariki dunia wakiwemo wanafunzi wawili wa kidato cha nne, kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha pikipiki yenye namba za usajili MC 534 DYX iliyokuwa ikiendeshwa na Baraka Sajio(22) . . .
Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani linamshikilia Rajabu Hamis (23), mkazi wa Mtaa wa Muheza, wilaya ya Kibaha, kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Hamis Musa (50), katika tukio la kikatili lililotokea us . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam imemuhukumu mfanyabiashara Abubakari Msangi (48), kifungo cha miaka 20 jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na vipande saba vya meno ya tembo na s . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha vikali taarifa zinazoeleza kuwa Mkuu wa Kituo Kidogo cha Polisi Kongowe, Wilaya ya Kibaha, alihusika katika kumkamata kijana Hussein Abdallah Mkama mnamo Mei . . .
Syria imelengwa na mashambulizi mapya ya Israeli wakati wa usiku wa Julai 15 kuamkia Julai 16, hasa dhidi ya miundombinu ya kijeshi. Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amefafanua nia ya Israeli. Shirika l . . .
Wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabab wanaendelea na mashambulizi yao katikati mwa Somalia Tangu mwanzoni mwa mwaka 2025, wamekuwa wakirejea kaskazini mwa Mogadishu, mji mkuu, eneo ambalo walikuwa wamef . . .
Nchini Sudan, wapiganaji wa RSF wameua karibu watu 300 kufuatia mashambulio katika jimbo la Kordofan Kaskazini yaliyoanza siku ya Jumamosi.Kundi la haki za binadamu la Wanasheria wa Dharura, limesema . . .
Chama cha ACTWazalendo kimetoa taarifa kuwa Kiongozi mstaafu wa chama hicho Zitto Kabwe, alishikiliwa na Jeshi la Polisi, Saa Sita Usiku, Julai 14 mwaka huu baada ya kuvamiwa akiwa hotelini, baadaye a . . .
Katika tukio la kushtua lililotokea leo jijini London, ndege aina ya Beech B200 Super King Air imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Southend.Tukio hilo limenaswa kwenye video . . .
OFISA wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Selemani Mbwambo amedai wakati akishuhudia ufungaji wa kielelezo cha dawa za kulevya washtakiwa walikuwa watatu lakini mmoja alifariki ak . . .
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam leo Ijumaa Julai 11, 2025 imepanga kutoa uamuzi wa maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu.Uamuzi huo unatarajiwa kuto . . .
Viongozi wakuu serikali wamekuwa wakiamrisha ulinzi kwa polisi kuhusisu kuwau waandamanaji na kuwalazimu maafisa wa usalama kufuata amri hiyo ya tahadhari baada ya afisa aliyedaiwa kumuua mwanda . . .
Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko makubwa huko Texas, Marekani imeongezeka hadi kufikia watu 119Hata hivyo wasiwasi umezidi kuongezeka kwamba idadi hiyo inaweza kuongezeka maradufu kwa kuwa ha . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe Dkt Dorothy Gwajima ameleleza kufanikiwa kusambaratisha ndoa ya mtoto wa Darasa la Sita iliyokuwa imefungwa katika kata ya Mbarali Ze . . .
Taarifa ya tume hiyo pia imeeleza watu waliojeruhiwa ni 107, wasiojulikana walipo ni 2, huku 532 wamekamatwa na Polisi wa nchi hiyo, na thamani ya uharibifu wa mali bado haijuulikani.Waziri wa usalama . . .
Mahakama moja Nchini Australia imemkuta Mwanamke aitwae Erin Patterson na hatia ya kuwaua Wakwe zake kwa kuwalisha uyoga wenye sumu katika chakula chao cha mchana miaka miwili iliyopita.Imeelezwa kuwa . . .
Machafuko yalitanda mjini Embu wakati wa maandamano ya Saba Saba huku gari la wagonjwa kutoka Hospitali ya Embu Level 5 likipigwa mawe na kuharibiwa na waandamanaji.Kitendo hicho kisicho na uwajibikaj . . .
Vladimirovich Starovoit, aliyekuwa Waziri wa Usafirishaji wa Urusi kati ya mwaka 2024 na 2025, amekutwa amefariki dunia kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kujiua kwa kujipiga risasi, muda mfupi baada ya R . . .
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa picha mjongeo ambayo inaonekana kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha kijana aliyeefungwa mikono huku akipigwa kwa fimbo.Jeshi la Polisi limetoa ufafanu . . .
Mashambulizi kadhaa ya anga ya jeshi la Israel kwenye Ukanda wa Gaza yameuwa takribani watu 30 na kuwajeruhi wengine kadhaa.Kwenye mashambulizi ya hivi karibuni zaidi, watu kumi wameuawa usiku wa kuam . . .
VIJANA waliokuwa na hasira waliteketeza kituo cha polisi cha Mawego katika eneo la Rachuonyo Kaskazini wakati wa ibada ya mazishi ya mwalimu aliyeuawa, Albert Ojwang’.Ambapo awali alikuwa amezuiliwa . . .
MAMILIONI ya watu wanaokimbia mapigano nchini Sudan wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa, huku wakisaka hifadhi katika mataifa jirani ambayo yenyewe tayari yanakumbwa na uhaba wa chakula.Kwa mujibu wa S . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kadudu, Kijiji cha Lupaso, Wilaya ya Masasi kwa tuhuma za mauaji ya kikatili dhidi ya Mchunga . . .