logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2023

Mtoto Afariki Na Watu 23 Hawajulikani Walipo Baada Ya Kiboko Kugonga Mtumbwi Malawi

Mtoto mchanga amefariki na watu wengine 23 hawajulikani walipo baada ya kiboko kugonga mtumbwi waliokuwa wakisafiria katika Mto Shire nchini Malawi, mamlaka ilisema siku ya Jumanne.Polisi wa wilaya ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2023

Vita vyapamba moto Khartoum

Mashambulizi ya anga na mizinga yameongezeka kwa kasi katika mji mkuu wa Sudan siku ya Jumanne asubuhi, wakaazi wa mji huo walisema, wakati jeshi likijaribu kulinda kambi muhimu kutoka kwa wapinzani w . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 16, 2023

Mbwa wazua hofu Ilemela, wanakula mifugo

Wakazi wa kisiwa cha Bezi kilichopo wilayani Ilemela mkoani Mwanza wamekumbwa na hofu kutokana na kusambaa kwa mbwa ambao wamekuwa tishio kwao na kwa mifugo wanayofuga kama mbuzi na bata.Akizungumza k . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 16, 2023

Mkewe Yesu wa Tongaren Sasa Awaomba Wakenya Kuisaidia Familia Yake

Nabii Benjamin, ambaye ni mke wake mhubiri Eliud Wekesa maarufu kama Yesu Wa Tongaren kutoka Bungoma, ameomba msaada kutoka kwa Wakenya. Katika kipande cha video kilichorekodiwa nyumbani kwake, m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2023

Mpinzani mkuu wa Rais wa Tunisia ahukumiwa kifungo kwa mashtaka ya ugaidi

Mahakama moja nchini Tunisia Jumatatu ilimhukumu Rachel Ghannouchi, mmoja wa wapinzani wakuu wa Rais Kais Saied, kifungo cha mwaka mmoja gerezani kwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, vyombo vya habar . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 15, 2023

Jamaa Amnunulia Mbwa Wake Gari Kusherehekea Siku Yake ya Kuzaliwa

Mwanaume mmoja raia wa Nigeria amemwandalia mbwa wake sherehe kubwa ya kufana kusherehekea siku yake ya kuzaliwa na kumnunulia gari lenye thamani ya mamilioni ya pesa. Mwanamume huyo aliyetambuli . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2023

Kimbunga chaleta maafa Myanmar

Maelfu ya watu Jumapili walijificha katika nyumba za ibada na shule wakitafuta makazi kutokana na dhoruba kali iliyopiga pwani ya Myanmar, na kuvunja paa za majengo na kuua watu wasiopungua watatu.Kim . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • May 14, 2023

Aliyedaiwa kujiteka akamatwa

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroard Mutafungwa amesema kijana Kennedy Nyangige (20) mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya Bugando (Cuhas) aliyetoa taarifa za uongo kwa familia yake kwamba ametekwa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Yesu wa Kenya apandishwa kizimbani baada ya kujisalimisha

Eliud Wekesa, maarufu kama “Yesu wa Tongaren” amefikishwa mahakamani mjini Bungoma baada ya kujisalimisha kwa maofisa wa polisi kwa mahojiano alipotakiwa kufanya hivyo hatua inayokuja wakati serik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Sudan: Jeshi na RSF zakubaliana kuwalinda raia wakati huu mapigano yakiendelea

Jeshi na wanamgambo wa RSF nchini Sudan, wametia saini mkataba wa kuheshimu hali ya kibinadamu wakati huu mapigano yakiendelea lakini wameshindwa kukubaliana kuhusu kusitisha vita.Pande hizo mbili zim . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Idadi ya watu waliofariki wakifunga kula imefikia watu 150

Nchini Kenya, idadi ya miili ya watu iliyofukuliwa katika eneo la Shakahola Pwani ya nchi hiyo, inayohusishwa na Mchungaji mwenye utata Paul Mackenzie, anayedaiwa kuwapotosha waumini wake kufunga chak . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Vichanga vyakutwa vikielea juu ya maji, vyaokolewa

Msemaji wa serikali ya Kongo, Patrick Muyaya amesema idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi huko Kalehe imeongezeka na kufikia watu 438 huku muujiza wa watoto wawili wac . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 12, 2023

Wananchi wapiga simu kituoni kuwasalimia Polisi

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewaonya baadhi ya wananchi mkoani humo wanaoipiga namba ya dharura ya 114 kwa ajili ya kuwasalimia askari kama mchezo na kuwataka kuitumia namba hiyo pale . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 11, 2023

Watu wengine kumi wafariki katika maporomoko ya ardhi DRC

Watu kumi wamefariki katika maporomoko ya ardhi baada ya mvua kubwa kunyesha huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa walisema siku ya Jumatano, katika eneo hilo lenye mzozo, mamia . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 9, 2023

Waumini 25 Kanisa la Kibaptist watekwa

Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Kibaptista, Mchungaji Joseph Hayab amesema watu wasiofahamika wakiwa na silaha wameshambulia Kanisa hilo lililopo Bege kaskazini magharibi mwa Nigeria, na kuwateka nyara wau . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 9, 2023

Mafuriko DRC: Idadi ya vifo yafikia zaidi ya watu 500

Idadi ya vifo nchini DRC imefikia zadi ya watu mia tano kutokana na mafuriko na kufunikwa na maporomoko ya matope yaliyosababishwa na mvua kubwa za siku nne mfululizo, huko Nyamukubi Wilayani Kalehe j . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • May 8, 2023

Wanajeshi 7 wa Niger wauawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini

Wanajeshi saba waliuawa Jumapili baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini katika eneo la Tillaberi magharibi mwa Niger, jeshi la Niger limesema.Wanamgambo wa kiislamu hufanya mara kwa mara . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 8, 2023

Mafuriko yaua mamia ya watu DRC

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inaomboleza takribani vifo vya watu 400 waliokufa katika mafuriko kwenye wilaya ya Kalehe jimboni Kivu Kusini taarifa zinasema kuwa hadi sasa watu 300 wamezikwa.Mkuu w . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 5, 2023

Baba ajiua yeye na wanae kisa ugumu wa maisha

Imeelezwa Mzee Amani Madumba aliyekuwa akiishi Kata ya Ruaha Mbuyuni wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro aliyefariki dunia yeye pamoja na watoto wake watatu usiku wa kuamkia leo Mei 5, 2023 kwa kuteketea . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 5, 2023

Tuhuma za siri kwa Urusi kuhusu Ukraine

Mashirika ya kijasusi ya Ukraine yaliripoti wiki hii kwamba yalifichua mpango wa kusafirisha injini za ndege ya kijeshi ya An-74 kutoka Ukraine hadi Iran.wachunguzi wa Ukraine wanadai kwamba Iran imek . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 5, 2023

Ambaka mtoto kwa kumpa ubuyu na 100

Mzee Katembo Mnubi maarufu kama Wajanga mwenye umri wa miaka 81, amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Musoma kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 11 anayesoma katika moja ya shule ya msingi iliyopo . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 3, 2023

Mwanajeshi aliyemuuwa Waziri wa kazi atambuliwa

Mwanajeshi wa Uganda aliyempiga risasi na kumuua Waziri wa Leba, Ajira na Mahusiano ya Viwanda nchini Uganda, Kanali mstaafu Charles Okello Engola ametambuliwa kwa jina la Private Wilson Sabiiti.Taari . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 3, 2023

Maporomoko ya udongo na mafuriko yasababisha maafa

Watu zaidi ya 60 wamethibitishwa kufariki Nchi Uganda  kutokana na mvua kubwa inayoendelea kushuhudiwa katika eneo la magharibi mwa taifa hilo la Afrika mashariki. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 3, 2023

Jamaa Afuta Harusi Yake Baada ya Mchumba Wake Kumpelekea 'EX' Wake

Mwanamke mmoja raia wa Nigeria amejawa na machozi baada ya mchumba wake kufuta harusi yao. Mrembo huyo alianika suala hilo kwenye kundi la Facebook na kuomba ushauri wa wanamtandao Alisema alimte . . .

Kurasa 24 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 14 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 8 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 11 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode