Mtoto mchanga amefariki na watu wengine 23 hawajulikani walipo baada ya kiboko kugonga mtumbwi waliokuwa wakisafiria katika Mto Shire nchini Malawi, mamlaka ilisema siku ya Jumanne.Polisi wa wilaya ya . . .
Mashambulizi ya anga na mizinga yameongezeka kwa kasi katika mji mkuu wa Sudan siku ya Jumanne asubuhi, wakaazi wa mji huo walisema, wakati jeshi likijaribu kulinda kambi muhimu kutoka kwa wapinzani w . . .
Wakazi wa kisiwa cha Bezi kilichopo wilayani Ilemela mkoani Mwanza wamekumbwa na hofu kutokana na kusambaa kwa mbwa ambao wamekuwa tishio kwao na kwa mifugo wanayofuga kama mbuzi na bata.Akizungumza k . . .
Nabii Benjamin, ambaye ni mke wake mhubiri Eliud Wekesa maarufu kama Yesu Wa Tongaren kutoka Bungoma, ameomba msaada kutoka kwa Wakenya. Katika kipande cha video kilichorekodiwa nyumbani kwake, m . . .
Mahakama moja nchini Tunisia Jumatatu ilimhukumu Rachel Ghannouchi, mmoja wa wapinzani wakuu wa Rais Kais Saied, kifungo cha mwaka mmoja gerezani kwa mashtaka yanayohusiana na ugaidi, vyombo vya habar . . .
Mwanaume mmoja raia wa Nigeria amemwandalia mbwa wake sherehe kubwa ya kufana kusherehekea siku yake ya kuzaliwa na kumnunulia gari lenye thamani ya mamilioni ya pesa. Mwanamume huyo aliyetambuli . . .
Maelfu ya watu Jumapili walijificha katika nyumba za ibada na shule wakitafuta makazi kutokana na dhoruba kali iliyopiga pwani ya Myanmar, na kuvunja paa za majengo na kuua watu wasiopungua watatu.Kim . . .
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroard Mutafungwa amesema kijana Kennedy Nyangige (20) mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya Bugando (Cuhas) aliyetoa taarifa za uongo kwa familia yake kwamba ametekwa . . .
Eliud Wekesa, maarufu kama “Yesu wa Tongaren” amefikishwa mahakamani mjini Bungoma baada ya kujisalimisha kwa maofisa wa polisi kwa mahojiano alipotakiwa kufanya hivyo hatua inayokuja wakati serik . . .
Jeshi na wanamgambo wa RSF nchini Sudan, wametia saini mkataba wa kuheshimu hali ya kibinadamu wakati huu mapigano yakiendelea lakini wameshindwa kukubaliana kuhusu kusitisha vita.Pande hizo mbili zim . . .
Nchini Kenya, idadi ya miili ya watu iliyofukuliwa katika eneo la Shakahola Pwani ya nchi hiyo, inayohusishwa na Mchungaji mwenye utata Paul Mackenzie, anayedaiwa kuwapotosha waumini wake kufunga chak . . .
Msemaji wa serikali ya Kongo, Patrick Muyaya amesema idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi huko Kalehe imeongezeka na kufikia watu 438 huku muujiza wa watoto wawili wac . . .
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewaonya baadhi ya wananchi mkoani humo wanaoipiga namba ya dharura ya 114 kwa ajili ya kuwasalimia askari kama mchezo na kuwataka kuitumia namba hiyo pale . . .
Watu kumi wamefariki katika maporomoko ya ardhi baada ya mvua kubwa kunyesha huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa walisema siku ya Jumatano, katika eneo hilo lenye mzozo, mamia . . .
Kiongozi Mkuu wa Kanisa la Kibaptista, Mchungaji Joseph Hayab amesema watu wasiofahamika wakiwa na silaha wameshambulia Kanisa hilo lililopo Bege kaskazini magharibi mwa Nigeria, na kuwateka nyara wau . . .
Idadi ya vifo nchini DRC imefikia zadi ya watu mia tano kutokana na mafuriko na kufunikwa na maporomoko ya matope yaliyosababishwa na mvua kubwa za siku nne mfululizo, huko Nyamukubi Wilayani Kalehe j . . .
Wanajeshi saba waliuawa Jumapili baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini katika eneo la Tillaberi magharibi mwa Niger, jeshi la Niger limesema.Wanamgambo wa kiislamu hufanya mara kwa mara . . .
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inaomboleza takribani vifo vya watu 400 waliokufa katika mafuriko kwenye wilaya ya Kalehe jimboni Kivu Kusini taarifa zinasema kuwa hadi sasa watu 300 wamezikwa.Mkuu w . . .
Imeelezwa Mzee Amani Madumba aliyekuwa akiishi Kata ya Ruaha Mbuyuni wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro aliyefariki dunia yeye pamoja na watoto wake watatu usiku wa kuamkia leo Mei 5, 2023 kwa kuteketea . . .
Mashirika ya kijasusi ya Ukraine yaliripoti wiki hii kwamba yalifichua mpango wa kusafirisha injini za ndege ya kijeshi ya An-74 kutoka Ukraine hadi Iran.wachunguzi wa Ukraine wanadai kwamba Iran imek . . .
Mzee Katembo Mnubi maarufu kama Wajanga mwenye umri wa miaka 81, amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Musoma kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 11 anayesoma katika moja ya shule ya msingi iliyopo . . .
Mwanajeshi wa Uganda aliyempiga risasi na kumuua Waziri wa Leba, Ajira na Mahusiano ya Viwanda nchini Uganda, Kanali mstaafu Charles Okello Engola ametambuliwa kwa jina la Private Wilson Sabiiti.Taari . . .
Watu zaidi ya 60 wamethibitishwa kufariki Nchi Uganda kutokana na mvua kubwa inayoendelea kushuhudiwa katika eneo la magharibi mwa taifa hilo la Afrika mashariki. . . .
Mwanamke mmoja raia wa Nigeria amejawa na machozi baada ya mchumba wake kufuta harusi yao. Mrembo huyo alianika suala hilo kwenye kundi la Facebook na kuomba ushauri wa wanamtandao Alisema alimte . . .