logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Top Story
  • Na Asha Business
  • May 1, 2023

Jeshi la Polisi lamnasa aliyechoma Msikiti

Mtu mmoja, Jackie Rahm Little  (36), anashikiliwa na Polisi wa Minneapolis nchini Marekani, akishukiwa kuwasha moto ulioharibu msikiti jijini humo katika jaribio la kuanzisha vitisho  kwa ja . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • May 1, 2023

Russia yaweka kanuni kali koboresha nidhamu ya vikosi vyake Ukraine

Russia imeanzisha hatua kali sana ili kuboresha nidhamu kwa vikosi vyake nchini Ukraine, kwa mujibu wa wizara ya ulinzi ya Uingereza.Hatua hiyo imefanyika ikiwa kumefanyika mashambulizi kote Ukraine n . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 30, 2023

Mtoto aliyefariki akutwa akiwa hai

Wakazi wa Kijiji cha Salong’we kilichopo wilayani Magu mkoani Mwanza wamekumbwa na taharuki baada ya mtoto aitwaye Mabilika Wilson aliyefariki na kuzikwa tarehe 17 mwezi huu kupatikana akiwa hai kat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 28, 2023

Iran yaikamata meli kutoka visiwa vya Marshall.

Iran hii leo imeikamata meli ya mafuta yenye bendera ya visiwa vya Marshall katika eneo la maji ya kimataifa kwenye Ghuba ya Oman.Iran imeikamata meli ya mafuta yenye bendera ya visiwa vya Marshall ka . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 28, 2023

Nyumba 50 zajaa maji Magomeni

Zaidi ya nyumba 50 zimeingia maji katika eneo la Bondeni lililopo Magomeni Makanya kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es salaam na kusababisha hofu ya kupata magonjwa ya milipuko . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 28, 2023

Polisi yawadaka 132 silaha haramu, mimba za Wanafunzi

Jumla ya watuhumiwa 132 wamekamatwa na kufikishwa Mahakamani na Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga ndani ya mwezi mmoja (Machi 22 –  Aprili 26, 2023), ikiwa ni kati ya kesi 129 zilizoripotiwa na . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 27, 2023

Kukamatwa kwake kumekuja siku moja baada ya kuhojiwa kuhusu madai ya kuwa na uhusiano na Paul Mackenzie ambaye kanisa lake limesababisha vifo vya takriban watu 98 kwa kuwataka waumini wake wasile chakula ili wafe wakamuone Yesu Akithibitisha hilo Kamishna wa Mkoa wa Pwani Rhoda Onyanja amesema Ezekiel amekamatwa kufuatia madai ya vifo ambavyo vimekuwa vikitokea pia katika kanisa lake. Onyanja amesema Kanisa la Ezekiel pia limefungwa kwa muda usiojulikana

Mchungaji wa Kanisa la New Life International Church, Ezekiel Odero lililopo kwenye eneo la Mavueni katika Kaunti ya Kilifi nchini Kenya amekamatwa. Kukamatwa kwake kumekuja siku moja baada ya ku . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 27, 2023

Mchungaji Aliyeshawishi Waumini Kufunga Mpaka Kufa Kenya Akamatwa...Ukutwa na Shilingi Bilioni 5

Jeshi la Polisi nchini Kenya limemkamata Mchungaji mashuhuri nchini humo, Ezekiel Ombok Odero wa kanisa la New Life Prayer Centre lililopo mtaa wa Mavueni mjini Kilifi kwa tuhuma za mauaji. Ofisi ya D . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 27, 2023

Muhudumu wa Ndege Aliyejitoa Uhai wake Kwa Kufa Njaa ili Akutane na Yesu..Inasikitisha

Kisa cha Betty Ajenta Charles (pichani), kinasikitisha na kutafakarisha sana. Mwili wake umefukuliwa baada ya kufunga mpaka kufa katika sakata linaloendelea nchini Kenya la Mchungaji Paul McKenzie amb . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 26, 2023

Mwanamke Afariki Dunia Ndani ya Basi Akielekea Kilifi Kusaka Maombi

Mwanamke mmoja aliyefunga safari kutoka Bungoma kuelekea Mombasa kutafuta maombi, alifariki dunia akiwa ndani ya basi. Kwa mujibu wa ripoti ya polisi ya kituo cha Polisi cha Central, dereva wa ba . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 26, 2023

Mwenyekiti wa CCM ajinyonga kisa Milioni 118, ‘Ameacha Ujumbe kwa Familia imsamehe’

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Mlowo Wilayani Mbozi Mkoani Songwe, Meshack Mwambogolo amekutwa amejinyonga katika msitu uliopo kitongoji cha Iyenga Kijiji cha Shaji Kata ya Mlangali b . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 24, 2023

Miili ya Waumini 21 Waliofunga Mpaka Kufa Yafukuliwa na Polisi Kenya

Jeshi la Polisi nchini Kenya wamefukua miili ya watu 21 ambao ni waumini wa kanisa la News International Church, ambao inadaiwa wamefariki dunia kwa njaa baada ya kufuata maelekezo ya mchungaji wao ya . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 24, 2023

Bilioni 2 zimeibwa ATM

Kikosi maalumu cha Polisi nchini Uganda Flying Squad kinachunguza wizi uliofanyika kwenye mashine za kutoa na kuweka pesa (ATMs) katika vitongoji vinne vya Jiji la Kampala na matokeo yake sh bilioni m . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 21, 2023

Jela miaka 30 kwa kumbaka mwanae

Mchungaji Nurdin Abdallah ambae ni muinjilisti wa vitabu amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake mwenye umri wa miaka 6.Akitoa huk . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 21, 2023

Taa Yagharimu maisha ya mtoto na mke wa polisi

Mke wa Askari Polisi wilayani Kiteto aitwaye Nurya Mkondya, pamoja na mtoto wake Joas Oscar (2) wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 21, 2023, baada ya kutokea kwa shoti ya umeme chumbani iliy . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 21, 2023

Sadaka ya mfungo yaleta maafa, 78 wafariki kwa kukanyagana

Takriban Watu 78 wameuawa kufuatia mkanyagano katika shule moja iliyopo mji mkuu wa Yemen Sanaa, wakati wa hafla ya kusambaza misaada kwa ajili ya ramadhani.Tukio hilo limetokea  katika Jiji la K . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 21, 2023

Maiti zimezagaa kila kona ya Khartoum

Mitaa ya mji mkuu wa Sudan Khartoum imejaa miili ya watu waliouawa katika mapigano yanayoendelea kati ya jeshi la Sudan na vikosi vya Rapid Support Forces (RSF) huku maiti hizo zikitoa harufu mbaya.Wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 20, 2023

MTOTO MCHANGA AGEUKA JIWE

Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kuzua taharuki kubwa, mtoto Amri Hamis mwenye umri wa mwezi mmoja  amefariki dunia na maiti yake kugeuka kuwa jiwe katika mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare Man . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 20, 2023

Binti Afariki Katika Mazishi ya Babake

Msiba ulitokea kwenye hafla ya mazishi katika eneo la Mukumu, kaunti ya Kakamega, baada ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 11 kwa jina Benta kufariki kwenye mazishi ya baba yake. Jamaa wa familia . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 20, 2023

Waziri Afikishwa Kortini Kuhusiana na Wizi wa Mabati

Agnes Nandutu, alikamatwa Jumanne, Aprili 18, alipojisalimisha kwa polisi ili kuhojiwa kuhusiana na sakata ya kutoweka kwa mabati ya Karamoja. RWaziri Nandutu, alifikishwa mbele ya Mahakama ya Kupamba . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 19, 2023

Anayeingiliwa kinyume na maumbile ahukumiwa jela

Mahakama ya wilaya ya Kilwa imemhukumu Muharami Hassan Nayonga, kifungo cha miaka 30 jela baada ya kumkuta na hatia ya kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile na watu mbalimbali.Muharami ambaye ni mli . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 19, 2023

Jela miaka 30 na viboko 6 kwa kubaka bibi

Mahakama ya hakimu mkazi mfawidhi wilaya ya Lindi imemhukumu Said Mohamed (49) mkazi wa chikonji Lindi, kifungo cha miaka 30 jela sambamba na adhabu ya viboko 6 na kulipa fidia ya shilingi laki tano k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2023

Polisi wa Italy wanasa cocainea ikielea baharini

Polisi wa Italy wamepata tani mbili ya dawa za kulevya aina ya cocaine zikielea kwenye bahari karibu na ufukwe wa mashariki mwa kisiwa cha Italy cha Cicily.Polisi wanaoshughulika na masuala ya fedha w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2023

Maporomoko ya ardhi kaskazini mwa Pakistan yafukia malori 20

Malori yapatayo 20 yamefukiwa kwenye mporomoko ya ardhi kaskazini magharibi mwa Pakistan. Hali hiyo ilitokea baada ya barabara kuu inayopitia katika eneo la Khyber kukumbwa na mvua kubwa zilizosababis . . .

Kurasa 25 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Habari
news
  • 15 masaa yaliopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 15 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 15 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 16 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 16 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 10 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 13 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode