logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 24, 2023

Mwanamume Apoteza Nyeti Zake Katika Maandamano Nchini Ufaransa

Mwanamume mmoja anadaiwa kupoteza nyeti zake kufuatia kichapo cha mbwa alichopokezwa katika maandamano ya kupinga mageuzi ya pensheni nchini Ufaransa. Katika maandamano hayo ya Alhamisi, Januari . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Kutekwa wanawake Burkina Faso ilikuwa ni kulipiza kisasi

Wachunguzi wanaamini uvamizi wa wiki iliyopita kwa watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi nchini Burkina Faso, ulisababisha kutekwa kwa takriban wanawake 60, wasichana na watoto, mwendesha mashtaka wa eneo . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • January 20, 2023

Taliban wa Pakistan wafanya shambulizi la kigaidi Pakistan

Serekali ya kaskazini  mwa Pakistani, Alhamisi imesema wanamgambo wamefanya shambulizi la bunduki na bomu kwenye kituo cha polisi, na kuwauwa wanajeshi watatu wa kikosi cha usalama.Kundi lililopi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 18, 2023

MAMA AUAWA, AACHA WATOTO WATANO WADOGO

Sabina Barma (28) mwenye watoto watano ameuawa kwa kuchomwa shingoni kwa kitu Chenye ncha Kali na mtu anayetajwa kuwa ni mumewe.Marehemu ameacha watoto watano wa mwisho akiwa ana umri wa Mwaka mmoja a . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 18, 2023

Mwanajeshi Apigwa RISASI na Jamaa Aliyemuuliza Kwanini Anavuta Bangi Hadharani

Mwanajeshi mmoja anauguza jeraha hospitalini baada ya kupigwa risasi mkononi na mwanaume anayeshukiwa kuwa jambazi kuwa kumuuliza kwa nini alikuwa akivuta bangi hadharani.Timothy Mwangi alikuwa kwenye . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Mume Wa Rubani Mwenza Wa Nepal Pia Afariki Katika Ajali Ya Ndege Miaka 16 Iliyopita

ambalo limeshuhudia mamia ya watu wakifariki katika ajali za ndege katika miongo ya hivi karibuni.Kwa miaka mingi, sababu kadhaa zimelaumiwa kwa rekodi mbaya ya usalama ya mashirika ya ndege ya Nepal. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Wanawake waliotekwa Burkina Faso ni 50

Takriban wanawake 50 wametekwa nchini Burkina Faso na wenye msimamo mkali wa Islamic State katika eneo la Sahel, kaskazini mwa Burkina Faso wiki iliyopoita kwa mujibu wa maafisa wa huko waliozungumza . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • January 16, 2023

KIFUNGO CHA MAISHA JELA KWA KUMLAWITI MTU MZIMA HADHARANI

Mahakama ya wilaya ya Tabora imemuhukumu  mkazi wa Kidatu “B” kata ya Mtendeni Mkoani Tabora Husseni Mashibu (32) kifungo cha maIsha jela baada ya kupatikana na hati ya  kumlaw . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 15, 2023

Watu 67 wamethibitishwa wamefariki katika ajali ya ndege Nepal

Watu 67 wamekufa leo baada ya ndege yenye uwezo wa kubeba abiria 72 kuanguka kwenye korongo wakati ikitua katika uwanja mpya wa ndege uliofunguliwa kwenye mji wa Pokhara nchini Nepal. Kwa mujibu wa af . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 15, 2023

Watu 8 wafariki katika shambulizi la Al-Shabaab nchini Somalia

Polisi wa Somalia wamesema kwamba watu wanane wameuawa katika shambulio la bomu kando ya barabara, huko Buloburde, mji ulipo katika wilaya ya Hiran ambapo vikosi vya serikali na wanamgambo wa ukoo wam . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 15, 2023

Ndege ya Abiria ya Kampuni ya Yeti Airlines Yenye Abiria 72 Yaanguka

Ndege ya abiria ya Kampuni ya Yeti Airlines iliyobeba jumla ya Watu 72 imeanguka leo katika Mji wa Pokhara karibu na uwanja wa ndege wa Mji huo uliopo nchini Nepal, Vikosi vya Uokoaji vinaendelea na u . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 13, 2023

Wanafunzi Wakimbizwa Hospitalini Baada ya Kula Nyoka Shuleni

Wanafunzi kadhaa walilazwa hospitalini Jumatatu, Januari 9, alasiri baada ya kula chakula chao cha mchana uliotolewa na serikali. Wanafunzi hao wa Shule ya Msingi ya Mandalpur, wanaripotiwa kuath . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 12, 2023

Mali yasema wanajeshi wake 14 wameuwawa katika mashambuli mawili ya wanamgambo

Wanajeshi 14 wa Mali wameuwawa na wengine 11 wamejeruhiwa katika mashambulzii mawili tofauti yaliyotokea katikati mwa nchi hiyo baada ya magari waliyokuwa wakitumia kukanyaga mabomu. Hayo yameelezwa n . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 11, 2023

Mama amuua mtoto wake

Jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya, linamshikilia Joyce Matingo (26), mkazi wa Unyamwanga wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya kwa tuhuma za kumuua mtoto wake aitwaye Emily Matingo(9) kwa kumpiga sehemu mbalimba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Polisi ya Brazil yasambaratisha kambi ya wafuasi wa Bolsonaro

 Polisi wa nchini Brazil imeisambaratisha kambi ya waandamanaji nje ya makao makuu ya jeshi la nchi hiyo siku moja baada ya wafuasi wa rais wa zamani Jair Bolsonaro kuyavamia majengo ya utawala k . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 9, 2023

Urusi yadai kuwauwa wanajeshi wa Ukraine ila Ukraine yakanusha

Jeshi la Urusi limedai kufanya mashambulizi ya angani katika kambi ya kijeshi inayotumiwa na majeshi ya Ukraine kama hatua ya kulipiza kisasi kwa vifo vya wanajeshi wa Urusi waliouwawa kutokana na sha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 9, 2023

Mtoto wa umri wa Miaka 6 ampiga risasi mwalimu wake

Mtoto mwenye umri wa miaka sita, anashikiliwa  na polisi baada ya kumpiga risasi mwalimu wake katika jimbo la Virginia nchini Marekani. Kwa mujibu wa ripoti ya maafisa wa polisi, mtoto huyo . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • January 8, 2023

Ukraine Yapokea Silaha Za Kujikinga Na Makombora, Russia Imetengua Ndege Isiyo Na Rubani Ya Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymr Zelenskyy amepongeza msaada wa silaha kutoka Marekani, unaojumuisha magari yenye uwezo wa kurusha makombora ya kuharibu vifaru vya kivita.Zelenskyy amesema kwamba msaada huo u . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • January 6, 2023

Wanajeshi 46 wa Ivory Coast wafikishwa mahakamani Mali

Wanajeshi 46 wa Ivory Coast ambao kuzuiliwa kwao na Mali kulizua mzozo wa kidiplomasia walifikishwa katika mahakama ya rufaa mjini Bamako, Alhamisi, kwa mujibu wa ripota wa AFP. Kuonekana kwao . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 6, 2023

Aua Mke, Mama mkwe, watoto na yeye kujiua

Michael Haight mwenye umri wa miaka 42 nchini Marekani amemuua  mke wake, mama mkwe na watoto wake 5  na yeye kujiua baada ya mke wake kuwasilisha ombi la talaka jambo ambalo yeye hakulitaka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 5, 2023

Mtoto Wa Rais Wa Equatorial Guinea Achunguzwa Kuhusiana Na Madai Ya Utekaji

Mtoto wa kiume wa rais wa muda mrefu wa Equatorial Guinea anachunguzwa kuhusiabna na madai ya utekaji na mateso.Wadadisi wanasema madai hayo yataharibu juhudi za rais huyo kuboresha sifa yake kimataif . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • January 4, 2023

Mmiliki wa Mochari Asukumwa Jela Miaka 20 Kwa Kuuza Viungo vya Miili 560

Mmiliki wa zamani wa makafani katika Jimbo la Colorado, Marekani, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kwa kuwalaghai jamaa za waliofariki na kuuza viungo vya miili ya maiti 560 bila idhini. Mega . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 2, 2023

Familia Ya Watu Sita Yapoteza Maisha Kwenye Ajali Mbaya Ya Gari

Familia ya watu sita akiwemo baba, Khumbulani Togara, mama na watoto wao wanne, akiwemo kichanga, wamefariki dunia katika ajali ya kutisha iliyotokea siku ya Boxing Day, Desemba 26, 2022.Ajali hiyo il . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 2, 2023

Helikopta zagongana angani watu wanne wafariki

Watu wanne wamefariki dunia na wengine 9 kuieruhiwa baada ya helikopta mbili kugongana angani karibu a Seaworld kwenye pwani ya Australia yaGold Coast.Ofisi ya Usalama wa Usafiri wa angani ya Australi . . .

Kurasa 30 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 16 masaa yaliopita

Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

Habari
news
  • 19 masaa yaliopita

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Habari
news
  • 20 masaa yaliopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 21 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 21 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 21 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 21 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 16 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 18 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 19 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode