logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2023

Msajili Aikalia Kooni TLP Nafasi ya Mrema Wapewa Agizo Kufanya Uchaguzi

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekitaka Chama cha Tanzania Labpour Party (TLP), kuitisha uchaguzi wa kujaza nafasi ya mwenyekiti wake taifa, iliyoachwa wazi na Augustino Mrema, aliyefariki duni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 10, 2023

Rais Ali Bongo wa Gabon ametangaza anawania muhula wa tatu madarakani

Bongo mwenye umri wa miaka 64, ambaye alipatwa na kiharusi miaka mitano iliyopita, amekuwa akizungumziwa kuhusu afya yake ikichochewa zaidi na kutoonekana kwake kwa umma au katika shughuli zinazotanga . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 27, 2023

Gabon kufanya uchaguzi Agosti 26

Gabon ni nchi yenye utajiri wa mafuta itaandaa uchaguzi wa rais, wabunge na serikali za mitaa mnamo Agosti 26, nchi hiyo ya Afrika Magharibi ilisema Jumanne, huku Rais Ali Bongo Ondimba akipewa nafasi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2023

ACT kuandamana hadi Ikulu kwa Rais Samia

Mwenyekiti wa ngome ya vijana wa chana cha ACT Wazalendo, Abdul Nondo, amesema kwamba anawakaribisha wananchi katika maandamano ya amani yatakayofanyika kesho Aprili 18, 2023, yatakayoanzia Manzese ku . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 12, 2023

Wabunge wa Ruto kukutana na Upinzani

Serikali ya rais wa Kenya William Ruto, Jumanne, imewatangaza wabunge saba wa Kenya Kwanza watakao shiriki katika mazungumzo na upinzani unaoongozwa Raila Odinga ili kumaliza uhasama wa kisiasa kati y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 10, 2023

Chadema wataka uchunguzi wa Plea Bargaining

Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeitaka serikali kuunda tume ya kijaji kushughulikia sakata la  Plea Bargaining ambalo limetajwa kwenye ripoti ya CAG kuwa zoezi hilo liliendeshwa kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2023

Sierra Leone yapiga marufuku mikutano ya siasa ya barabarani

Serikali ya Sieraa Leone Jumatatu imetangaza kupiga marufuku mikutano ya kisiasa ya mitaani ambayo kwa muda mrefu imetumika kwenye kampeni za uchaguzi, ikiwa imebaki chini ya miezi mitatu kabla ya uch . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 27, 2023

Rais mteule wa Nigeria awashukia wapinzani, ahofia zuio kuapishwa

Rais mteule wa Nigeria, Asiwaju Bola Tinubu ameelezea hofu yake kuhusu njama za baadhi ya wapinzani wake aliowashinda katika uchaguzi Mkuu kutaka kusitisha mchakato wa mpito na maandalizi ya kuapishwa . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 16, 2023

Wapinzani wafanya maandamano kudai unafuu wa maisha

Wanasiasa wa upinzani nchini Kenya, wamesisitiza kuendelea na maandamano ya kitaifa Yatakayo hitimishwa siku ya Jumatatu ijayo (Machi 20, 2023), jijini Nairobi ambayo yanalenga kufikisha ujumbe wao wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2023

Xi Jinping achaguliwa tena kuongoza muhula wa tatu

Rais wa China, Xi Jinping amechaguliwa tena kwa kauli moja kuwa rais wa Taifa hilo hi leo Ijumaa Machi 10, katika kura ya wabunge na ataongoza China kwa muhula wa tatu wa miaka mitano, jambo ambalo ha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guteress yuko Irak

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amerejea nchini na kupokelewa na wafuasi wa chama hicho, ndugu na marafiki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Kiliman . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Uchaguzi wa Nigeria: Bola Ahmed Tinubu Atangazwa Rais-Mteule

Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza rasmi kuwa Asiwaju Bola Ahmed Tinubu wa chama tawala cha All Progressives Congress (APC), ndiye mshindi wa Uchaguzi wa Urais wa Nigeria wa 2023.Mweny . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 28, 2023

ECOWAS yasema Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi Nigeria yashindwa kutimiza ahadi zake

Jumuiya ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) ilisema Jumatatu kwamba Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi Nigeria (INEC) ilishindwa katika ahadi  zake kadhaa  ikiwa ni pamoja na kuchelewa na ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Mwenyekiti wazamani wa CENI azindua chama cha kisiasa Congo

Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Corneille Nangaa alizindua chama chake cha kisiasa, miezi kadhaa kabla ya uchaguzi unaotarajiwa mwezi Disemba.Baada ya kuzi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Uchaguzi Nigeria: Tinubu aongoza matokeo ya awali

Mgombea Urais wa Chama cha All Progressives Congress (APC), Asiwaju Bola Ahmed Tinubu kwa sasa anaongoza dhidi ya wagombea wa vyama vingine vya kisiasa katika Jimbo la Ogun, kutokana na matokeo ya uch . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 19, 2023

Tunarudi enzi za chama kimoja ‘Mtukufu Rais’

Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amesema serikali tawala ya Kenya Kwanza inanuia kurejesha Kenya katika enzi za mfumo wa chama kimoja ambacho kilikuwepo wakati wa utawala wa Rais Moi.Kupitia . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 15, 2023

Jeshi la Uganda limekanusha kumtesa mwanaharakati wa upinzani

Jeshi la Uganda limekanusha tuhuma za kumteka nyara na kumtesa mwanaharakati wa upinzani, siku moja baada ya picha kuibuka zikimuonesha mwathiriwa akiwa na alama za mateso zinazoonekana kifuani mwake. . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 24, 2023

Raila Odinga ataka Wakenya kususia ulipaji kodi

Kiongozi Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amewataka Wakenya kususia kulipa kodi ambayo imeongezeka maradufu tangu kuingia kwa utawala wa Rais William Ruto, huku akitaka matokeo ya uchaguzi wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Ukosefu wa usalama waweza kupelekea kuahirishwa kwa uchaguzi wa Februari-Tume ya uchaguzi

Tume ya uchaguzi nchini Nigeria Jumatatu imesema uchaguzi mkuu wa mwishoni mwa mwezi Februari unaweza kufutwa au kuahirishwa ikiwa ukosefu wa usalama hautashughulikiwa.Rais Muhammadu Buhari ambaye ata . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

CHADEMA waunda bunge lao

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA John Mrema amesema Bunge la Wananchi limeundwa na wanachama wa chama hicho waliogombea ubunge mwaka 2020 na litakuwa linaendeshwa kwa njia ya mtandao na litashughu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

ANC ya Afrika Kusini inafanya mkutano mkuu kuchagua kiongozi wa chama

Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kinafanya mkutano wake mkuu leo ambao unatarijiwa kumchagua kwa mara nyingine rais Cyril Ramaphosa kuwa mwenyekiti licha ya kashfa iliyomchafulia jina kiongozi hu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 9, 2022

CCM yasogeza mbele uchaguzi wa Sekretarieti

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesogeza mbele uchaguzi wa viongozi wa Sektetarieti ya Halmshauri Kuu ya chama hicho hadi itakapotangazwa tena. Akizungumza na waandishi wa Habari mkoani Dodoma baada ya k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 7, 2022

Haji Manara Apitishwa Kugombea NEC

Haji Manara amepitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwenye viti 15 Bara ambapo uchaguzi unatarajiwa kufanyika kesho Dodoma.Haji ambaye pia ni . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Mohamed Ali Mohammed Mwenyekiti Mpya UVCCM Taifa

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wamemchagua Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) kuwa mwenyekiti mpya wa umoja huo. Kawaida ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Kusini Unguja anachukua nafas . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

Kanye West Kugombea urais 2024

Rapa Kanye West amesema ana nia ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2024, licha ya kukabiliwa na kashfa kadhaa kutokana na tabia yake ya hivi karibuni. Nyota huyo ambaye amebadilisha jina lake ki . . .

Kurasa 10 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Matukio
news
  • 6 siku zilizopita

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Matukio
news
  • 6 siku zilizopita

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Matukio
news
  • 6 siku zilizopita

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 13 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode