logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 17, 2024

Trump aelekeza macho kwenye uchaguzi wa New Hampshire, baada ya kushinda Iowa

Kufuatia Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kuibuka mshindi  Jumatatu usiku kwenye uchaguzi wa mapema wa kuidhinisha mgombea urais wa Repablikan, kwa kujipatia asilimia 51 ya kura zilizopigw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 15, 2024

Upinzani wa Comoros walalamikia uchaguzi wa Jumapili

Uchaguzi wa Comoros imefanyika Jumapili, ukitarajiwa kutoa ushindi kwa wa muhula wa nne wa miaka 5 kwa Rais Azari Assoumani.Uchaguzi huo imefanyika wakati wapinzani wake watano wakidai ulijawa na udan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 7, 2024

Tume Ya Uchaguzi Ya DRC Yafuta Kura Za Baadhi Ya Wagombea Wa Ubunge Na Udiwani

Tume ya uchaguzi ya Congo imesema kwamba imefuta kura zilizopigiwa wagombea 82 kati ya 101,000 waliowania viti vya bunge na udiwani, kwenye uchaguzi mkuu uliyofanyika Desemba.Hatua hiyo ni kutokana na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 4, 2024

Trump akata rufaa kuondolewa kwenye karatasi ya kura ya Colorado

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, Jumatano aliiomba Mahakama ya Juu ya Marekani kubatilisha uamuzi wa kuzuia ugombea wake katika jimbo la Colorado, na kuanzisha mzozo wa hali ya juu kuhusu iwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2024

Kinana Awasili Ruangwa, Kuwa Mgeni Rasmi Mkutano Wa CCM Wa Wilaya

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewasili wilayani Ruangwa kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama wa wi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 28, 2023

Polisi DRC wamezuia maandamano yaliyoitishwa na upinzani nchini humo

Polisi mjini Kinshasa walizingira makao makuu ya Martin Fayulu, mmoja wa wapinzani watano wa Rais Felix Tshisekedi wa DRCWatu kadhaa wamejeruhiwa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo si . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 26, 2023

Tshisekedi aongoza matokeo ya awali uchagzi DR Kongo

Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi anaongoza kwa mbali, akifuatiwa na mfanyabiashara Mo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 22, 2023

Warepublikan Walalamikia Uamuzi Wa Colorado Kuondoa Jina La Trump

Warepublikan kote Marekani, wamelalamika uamuzi wa mahakama kuu ya Colorado, wa kuondoa jina la rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republikan wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 21, 2023

Mtoto wa Shetta achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi CCM Taifa

Mtoto wa Msanii wa Bongo Fleva Shetta, Qailah Nurdin Bilal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa 9 wa Chipukizi Taifa uliofanyika katika uk . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 21, 2023

Kura kuendelea leo DRC

Uchelewesho wa kiwango kikubwa katika vituo vya kupigia kura, Jumatano umewalazimisha maafisa kuongeza muda wa kupiga kura katika uchaguzi wa rais mpaka leo Alhamisi.Wapiga kura wengi katika taifa hil . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 20, 2023

DRC yafanya Uchaguzi Mkuu

Takriban wapiga kura milioni 44 wameitwa kumchagua rais wao lakini pia wabunge wao wa kitaifa na mikoa na madiwani wao wa manispaa leo Jumatano. Rais anayemaliza muda wake, Félix Tshisekedi, anatafut . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2023

Idadi ndogo ya wapiga kura wamejitokeza katika uchaguzi wa Jumapili Hong Kong

Wapiga kura ama walikuwa na wasiwasi, au kususia uchaguzi, ambao baadhi ya watu wanaona kama kurudisha nyuma demokrasia ya jiji.Idadi ya wapiga kura waliojitokeza siku ya Jumapili katika uchaguzi wa h . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 1, 2023

Serikali ya Senegal inakataa fedha za amana zilizowasilishwa na mpinzani Sonko

Sonko, ambaye aliondolewa kwenye orodha ya uchaguzi kufuatia hukumu yake mwezi Juni, amekuwa katikati ya mvutano na serikali ambayo imedumu kwa zaidi ya miaka miwili, na kuibua matukio kadhaa ya ghasi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

Wawili wafa baada ya kutangazwa matokeo ya urais Liberia.

Watu wawili wamekufa na wengine kadhaa wamejeruhiwa jana jioni mjini Monrovia baada ya gari kuwagonga wafuasi wa Joseph Boakai, saa chache kabla ya kutangazwa kwake kuwa mshindi wa urais nchini Liberi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Matokeo Ya Uchaguzi Wa Liberia: George Weah Na Joseph Boakai Katika Kinyang’anyiro Kikali

Kiongozi wa upinzani nchini Liberia Joseph Boakai anaongoza kwa asilimia 50.58 dhidi ya Rais George Weah aliye na asilimia 49.42 katika matokeo ya duru ya pili ya uchaguzi wa rais.Asilimia tisini ya k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Zowezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa rais Madagascar linaendelea

Kura zinahesabiwa nchini Madagascar baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa rais ulosusiwa na idadi kubwa ya wapinzani.Uchaguzi umefanyika baada ya wiki kadhaa za ghasia na maandamano, na katika mji mkuu w . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 15, 2023

Makonda Atoa Maagizo Bodaboda Zilizokamtwa ziachiwe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza pikipiki zote zilizokamatwa kwenye kituo cha polisi cha Sirari kilichopo mpakani mwa Tanzania na Kenya ziachiwe haraka.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na U . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

Aliyekuwa mgombe urais Misri kufikishwa mahakamani

Mgombea urais wa zamani wa Misri Ahmed al-Tantawi atakabiliwa na kesi kwa kusambaza fomu za kuidhinisha uchaguzi ujao wa Misri bila idhini, mwanachama wa kampeni na watetezi wa haki alisema Jumanne.Ta . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2023

Mtoto wa Rais achaguliwa kuwa mgombea mwenza

Waziri wa ulinzi wa Indonesia na mgombea wa urais, Prabowo Subianto amemtangaza mtoto wa kiume wa rais anayeondoka madarakani, Joko Widodo kuwa mgombea wake mwenza katika uchaguzi unaotarajia kufanyik . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

CENI yatoa orodha ya Wagombea Urais DRC

Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – DRC, imetangaza rasmi wagombea 24 waliojisajili kwa uchaguzi wa Rais utakaofanyika Desemba 20, 2023 ambapo orodha kamili ya wagombea itacha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 20, 2023

CENI imepokea majina 24 ya wagombea urais kuelekea mchujo

Tume ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kupokea orodha ya wagombea 24 wa urais ambao wamejisajili kuwania katika ucaguzi wa Desemba 20.Licha ya orodha hiyo, wagombea bad . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 16, 2023

ECOWAS yawaonya wagombea urais Liberia

Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi (ECOWAS) imewataka wagombea wa uchaguzi nchini Liberia kujiepusha na kutangaza ushindi kabla ya wakati au kuweka shinikizo lisilofaa kwa Tume ya Taifa ya Uchagu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 9, 2023

Walinda usalama wamezingira afisi za upinzani

Maofisa wa polisi nchini Uganda na wenzao wa jeshi, wameripotiwa kuweka vizuizi katika afisi kuu za chama cha upinzani cha National Unity Platform (NUP), kinachoongozwa na mwanasiasa wa upinzani Bobi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 5, 2023

Milionea wa DRC awasilisha ombi lake la kugombea urais

Kiongozi wa upinzani wa Congo Moise Katumbi amewasilisha ombi lake la kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi utakaofanyika mwezi Desemba ambapo Rais Felix Tshisekedi anawania tena nafasi hiyo kwa muh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 3, 2023

Wagombea urais Madagascar warushiwa mabomu ya kutoa machozi

Maafisa wa usalama wa Madagascar wafyetua gesi ya kutoa machozi kwa wagombea wa upinzani waliokuwa wakiongoza maandamano katika mji mkuu wa Antananarivo siku ya Jumatatu.Waandishi wa habari wa shirika . . .

Kurasa 9 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • January 30, 2026

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Matukio
news
  • January 26, 2026

Zelensky asaka mifumo zaidi ya ulinzi wa anga

Matukio
news
  • January 20, 2026

RSF walitumia makaburi ya pamoja kuficha uhalifu wa kivita

Matukio
news
  • January 17, 2026

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Matukio
news
  • January 15, 2026

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Top Stories
news
  • January 11, 2026

SOMA KWA FURAHA INITIATIVE YAANZA MWAKA 2026 NA CHUMBA CHA TUMAINI ( CHAMBER OF HOPE )

Top Stories
news
  • December 24, 2025

Miaka kumi ya Jembefm

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Uchaguzi wa Japan: Chama cha Takaichi chatabiriwa ushindi

    • Sasa Hivi
  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode