logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Afrika
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Uchaguzi Nigeria: Tinubu aongoza matokeo ya awali

Mgombea Urais wa Chama cha All Progressives Congress (APC), Asiwaju Bola Ahmed Tinubu kwa sasa anaongoza dhidi ya wagombea wa vyama vingine vya kisiasa katika Jimbo la Ogun, kutokana na matokeo ya uch . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 19, 2023

Tunarudi enzi za chama kimoja ‘Mtukufu Rais’

Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amesema serikali tawala ya Kenya Kwanza inanuia kurejesha Kenya katika enzi za mfumo wa chama kimoja ambacho kilikuwepo wakati wa utawala wa Rais Moi.Kupitia . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 15, 2023

Jeshi la Uganda limekanusha kumtesa mwanaharakati wa upinzani

Jeshi la Uganda limekanusha tuhuma za kumteka nyara na kumtesa mwanaharakati wa upinzani, siku moja baada ya picha kuibuka zikimuonesha mwathiriwa akiwa na alama za mateso zinazoonekana kifuani mwake. . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 24, 2023

Raila Odinga ataka Wakenya kususia ulipaji kodi

Kiongozi Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amewataka Wakenya kususia kulipa kodi ambayo imeongezeka maradufu tangu kuingia kwa utawala wa Rais William Ruto, huku akitaka matokeo ya uchaguzi wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 10, 2023

Ukosefu wa usalama waweza kupelekea kuahirishwa kwa uchaguzi wa Februari-Tume ya uchaguzi

Tume ya uchaguzi nchini Nigeria Jumatatu imesema uchaguzi mkuu wa mwishoni mwa mwezi Februari unaweza kufutwa au kuahirishwa ikiwa ukosefu wa usalama hautashughulikiwa.Rais Muhammadu Buhari ambaye ata . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

CHADEMA waunda bunge lao

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa CHADEMA John Mrema amesema Bunge la Wananchi limeundwa na wanachama wa chama hicho waliogombea ubunge mwaka 2020 na litakuwa linaendeshwa kwa njia ya mtandao na litashughu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

ANC ya Afrika Kusini inafanya mkutano mkuu kuchagua kiongozi wa chama

Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kinafanya mkutano wake mkuu leo ambao unatarijiwa kumchagua kwa mara nyingine rais Cyril Ramaphosa kuwa mwenyekiti licha ya kashfa iliyomchafulia jina kiongozi hu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 9, 2022

CCM yasogeza mbele uchaguzi wa Sekretarieti

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesogeza mbele uchaguzi wa viongozi wa Sektetarieti ya Halmshauri Kuu ya chama hicho hadi itakapotangazwa tena. Akizungumza na waandishi wa Habari mkoani Dodoma baada ya k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 7, 2022

Haji Manara Apitishwa Kugombea NEC

Haji Manara amepitishwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwenye viti 15 Bara ambapo uchaguzi unatarajiwa kufanyika kesho Dodoma.Haji ambaye pia ni . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Mohamed Ali Mohammed Mwenyekiti Mpya UVCCM Taifa

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wamemchagua Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) kuwa mwenyekiti mpya wa umoja huo. Kawaida ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Kusini Unguja anachukua nafas . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

Kanye West Kugombea urais 2024

Rapa Kanye West amesema ana nia ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2024, licha ya kukabiliwa na kashfa kadhaa kutokana na tabia yake ya hivi karibuni. Nyota huyo ambaye amebadilisha jina lake ki . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Ndugai achaguliwa kusimamia uchaguzi CCM Dodoma

Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma umemchagu la Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuwa mwenyekiti wa muda wa mkutano huo. Uchaguzi wa Ndugai umekuja kufuatia k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Rais aliyetawala kwa muda mrefu zaidi duniani awania muhula mwingine

Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo wa Guinea ya Ikweta anatarajiwa kuendelea kuitawala nchi hiyo baada ya uchaguzi wa Jumapili. Obiang Nguema ambaye yupo madarakani kwa muda mrefu kuliko kiongoz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 14, 2022

Chama cha Biden chafanya vyema chaguzi za kati ya muhula

Chama cha Democratic kitadumisha udhibiti wa Bunge la Seneti nchini Amerika, baada ya kushinda kura muhimu katika jimbo la Nevada. Hapo jana Jumapili, Seneta Catherine Cortez alitabiriwa kumshinda mp . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 30, 2022

ZANU-PF yampitisha Mnangagwa kuwa mgombea wake 2023

Chama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF jana Jumamosi kimempitisha Rais Emmerson Mnangagwa kuwa mgombea wake kwa uchaguzi mkuu ujao wa 2023. Mnangagwa aliingia madarakani 2017 baada ya majenerali wa kij . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Boris Johnson ajiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta Waziri Mkuu mpya

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Boris Johnson Jana alijiondoa katika kinyang'anyiro cha kumrithi Liz Truss  kama kiongozi wa nchi hiyo inayoendelea kukabiliwa na misukosuko ya kisisasa. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2022

John Mnyika "Kikosi Kazi Kiliundwa ili Kuchelewesha Katiba Mpya"

Katibu Mkuu wa CHADEMA amesema kuundwa kwa Kikosi Kazi ni matumizi mabaya ya Fedha za Watanzania na hivyo Serikali itoke hadharani na iseme kimetumia Fedha kiasi ganiAsema Maoni ya Wananchi kuhusu #Ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

KWIMBA WAAMUA SABANA MALINJA NDIYE MWENYEKITI CCM WILAYA

. . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 4, 2022

Uchaguzi wa Burkina Faso kufanyika 2024

Kiongozi mpya wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore amesema uchaguzi wa nchi hiyo unatarajiwa kufanyika mwaka 2024 au mapema zaidi ya hapo. Akizungumza jana na Shirika la Utangazaji la Uf . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

Somaliland wakataa kuongeza muda wa rais

Viongozi wa upinzani wa jimbo la Somaliland ambalo lilijitangazia uhuru wake kutoka kwa Somalia wamekataa uamuzi usio halali wa kuongezwa muda wa rais kwa miaka miwili zaidi kabla ya kumalizika mwezi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

KIRIA ASHINDA MWENYEKITI WA CCM SIMANJIRO

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Manyara, Kiria Ormemei Kurian Laizer amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Simanjiro.Msimamizi wa uchaguzi huo ambalo umefanyika leo jumapili Oktoba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Muungano wa vyama vya mrengo wa kulia watarajiwa kushinda katika uchaguzi nchini Italia

Muungano wa vyama vinavyoegemea mrengo wa kulia unaoongozwa na chama cha Giorgia Meloni cha Brothers of Italy nchini Italia, unatarajiwa kushinda katika uchaguzi wa serikali mpya nchini humo. Kura za . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 12, 2022

Azimio Walaumu Uhuru Kenyatta Kwa ‘Kumuangusha Raila Odinga

Wanasiasa wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, sasa wameanza kumrushia cheche za lawama Rais Uhuru Kenyatta huku wakidai alisababisha mwaniaji wao wa urais Raila Odinga kuanguka Agosti 9.Baadhi y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 6, 2022

Mahakama ya Angola yatupilia kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi.

Mahakama ya katiba nchini Angola imetupilia mbali madai ya chama cha upinzani UNITA kuyafuta matokeo ya uchaguzi yaliyokipa ushindi chama tawala cha MPLA. UNITA ilipeleka malalamiko yake mahakamani ba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 6, 2022

Rais Museveni Aahidi Kufanya Kazi na Rais Mteule William Ruto.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameahidi kufanya kazi na Rais Mteule William Ruto pamoja na Naibu Rais mteule Rigathi Gachagua, baada ya Rais Uhuru Kenyatta kustaafu hivi karibuni.Kwenye taarifa alioan . . .

Kurasa 11 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • January 30, 2026

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Matukio
news
  • January 26, 2026

Zelensky asaka mifumo zaidi ya ulinzi wa anga

Matukio
news
  • January 20, 2026

RSF walitumia makaburi ya pamoja kuficha uhalifu wa kivita

Matukio
news
  • January 17, 2026

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Matukio
news
  • January 15, 2026

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Top Stories
news
  • January 11, 2026

SOMA KWA FURAHA INITIATIVE YAANZA MWAKA 2026 NA CHUMBA CHA TUMAINI ( CHAMBER OF HOPE )

Top Stories
news
  • December 24, 2025

Miaka kumi ya Jembefm

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode