logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Ndugai achaguliwa kusimamia uchaguzi CCM Dodoma

Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma umemchagu la Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuwa mwenyekiti wa muda wa mkutano huo. Uchaguzi wa Ndugai umekuja kufuatia k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

Rais aliyetawala kwa muda mrefu zaidi duniani awania muhula mwingine

Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo wa Guinea ya Ikweta anatarajiwa kuendelea kuitawala nchi hiyo baada ya uchaguzi wa Jumapili. Obiang Nguema ambaye yupo madarakani kwa muda mrefu kuliko kiongoz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • November 14, 2022

Chama cha Biden chafanya vyema chaguzi za kati ya muhula

Chama cha Democratic kitadumisha udhibiti wa Bunge la Seneti nchini Amerika, baada ya kushinda kura muhimu katika jimbo la Nevada. Hapo jana Jumapili, Seneta Catherine Cortez alitabiriwa kumshinda mp . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 30, 2022

ZANU-PF yampitisha Mnangagwa kuwa mgombea wake 2023

Chama tawala nchini Zimbabwe ZANU-PF jana Jumamosi kimempitisha Rais Emmerson Mnangagwa kuwa mgombea wake kwa uchaguzi mkuu ujao wa 2023. Mnangagwa aliingia madarakani 2017 baada ya majenerali wa kij . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Boris Johnson ajiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta Waziri Mkuu mpya

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Boris Johnson Jana alijiondoa katika kinyang'anyiro cha kumrithi Liz Truss  kama kiongozi wa nchi hiyo inayoendelea kukabiliwa na misukosuko ya kisisasa. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2022

John Mnyika "Kikosi Kazi Kiliundwa ili Kuchelewesha Katiba Mpya"

Katibu Mkuu wa CHADEMA amesema kuundwa kwa Kikosi Kazi ni matumizi mabaya ya Fedha za Watanzania na hivyo Serikali itoke hadharani na iseme kimetumia Fedha kiasi ganiAsema Maoni ya Wananchi kuhusu #Ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

KWIMBA WAAMUA SABANA MALINJA NDIYE MWENYEKITI CCM WILAYA

. . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 4, 2022

Uchaguzi wa Burkina Faso kufanyika 2024

Kiongozi mpya wa kijeshi wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traore amesema uchaguzi wa nchi hiyo unatarajiwa kufanyika mwaka 2024 au mapema zaidi ya hapo. Akizungumza jana na Shirika la Utangazaji la Uf . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

Somaliland wakataa kuongeza muda wa rais

Viongozi wa upinzani wa jimbo la Somaliland ambalo lilijitangazia uhuru wake kutoka kwa Somalia wamekataa uamuzi usio halali wa kuongezwa muda wa rais kwa miaka miwili zaidi kabla ya kumalizika mwezi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

KIRIA ASHINDA MWENYEKITI WA CCM SIMANJIRO

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Manyara, Kiria Ormemei Kurian Laizer amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Simanjiro.Msimamizi wa uchaguzi huo ambalo umefanyika leo jumapili Oktoba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Muungano wa vyama vya mrengo wa kulia watarajiwa kushinda katika uchaguzi nchini Italia

Muungano wa vyama vinavyoegemea mrengo wa kulia unaoongozwa na chama cha Giorgia Meloni cha Brothers of Italy nchini Italia, unatarajiwa kushinda katika uchaguzi wa serikali mpya nchini humo. Kura za . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 12, 2022

Azimio Walaumu Uhuru Kenyatta Kwa ‘Kumuangusha Raila Odinga

Wanasiasa wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, sasa wameanza kumrushia cheche za lawama Rais Uhuru Kenyatta huku wakidai alisababisha mwaniaji wao wa urais Raila Odinga kuanguka Agosti 9.Baadhi y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 6, 2022

Mahakama ya Angola yatupilia kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi.

Mahakama ya katiba nchini Angola imetupilia mbali madai ya chama cha upinzani UNITA kuyafuta matokeo ya uchaguzi yaliyokipa ushindi chama tawala cha MPLA. UNITA ilipeleka malalamiko yake mahakamani ba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 6, 2022

Rais Museveni Aahidi Kufanya Kazi na Rais Mteule William Ruto.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameahidi kufanya kazi na Rais Mteule William Ruto pamoja na Naibu Rais mteule Rigathi Gachagua, baada ya Rais Uhuru Kenyatta kustaafu hivi karibuni.Kwenye taarifa alioan . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 5, 2022

Uamuzi kesi kupinga ushindi wa Ruto kutolewa mchana

Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu leo Jumatatu Septemba 5, 2022 saa sita mchana.Kesi hiyo iliyofunguliwa na Raila Odinga aliyekuw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 4, 2022

CHAMA CHA NCCR- MAGEUZI KUITISHA KIKAO WIKI IJAYOM, MBATIA ANAHUSIKA.

Kwa miezi kadhaa sasa, chama cha NCCR- Mageuzi kimekumbwa na mgogoro uliokigawa makundi mawili, moja linaloungwa mkono na Mwenyekiti Mbatia, la pili ni lile linaloungwa mkono na Katibu Mkuu wake, Mart . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 4, 2022

IEBC yadai timu ya Raila yatoa ushahidi wa uongo.

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya siku ya Ijumaa, ilishutumu timu ya wanasheria ya Muungano wa Azimio kwa kuwasilisha kumbukumbu bandia yaani ‘fake logs’ baada ya uchunguzi wa tovuti ya . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 31, 2022

Wamatangi Azuru Afisi Mbalimbali Za Kaunti Akiahidi Kuimarisha Kiambu

Gavana  mpya wa Kaunti ya Kiambu, Kimani Wamatangi, alizuru afisi za kaunti ndogo ya Thika mnamo Jumanne ili kupata picha halisi ya hali ya kazi.Gavana  huyo aliyeandamana na maafisa wakuu w . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 30, 2022

Majaji 5 Wa Kigeni Kuhudhuria Kesi kupinga matokeao

Majaji watano kutoka mataifa ya kigeni wamefika nchini kufuatilia kesi ya kupinga matokeo ya urais itakayoanza leo saa tano katika Mahakama ya Upeo.Majaji hao wanachama wa Chama cha Majaji wa Afrika ( . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 30, 2022

Macho Yote Sasa Kwa Majaji 7

Majaji saba wa Mahakama ya Upeo wanakabiliwa na kibarua kigumu cha kutambua ukweli ulipo kwenye rundo la maelfu ya nakala za ushahidi ambao umewasilishwa mbele yao na wahusika kwenye kesi ya kupinga m . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 29, 2022

Wapigakura Mombasa, Kakamega Wahimizwa Wajitokeze Kwa Wingi

Shughuli ya upigaji kura kuchagua gavana katika Kaunti ya Mombasa na Kakamega inaendelea.Vituo vilifunguliwa mapema Jumatatu, wakazi katika kaunti hizo wakijitokeza kurusha kura.Kaunti hizo uchaguzi k . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 26, 2022

Mombasa kuchaguwa gavana wao Jumatatu Agosti 29

Uchaguzi wa Ugavana katika mji wa pwani ya Kenya wa Mombasa utafanyika Jumatatu ya Agosti 29. Kampeni za uchaguzi huo uliyoahirishwa mara mbili zinafikia tamati leo. Ushindani mkali katika nafasi hiyo . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 26, 2022

MPLA yashinda uchaguzi mkuu, kulingana na matokeo ya muda.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitoa matokeo yake ya hivi punde Alhamisi jioni. Tayari wamehesabu 97% ya kura. Kwa mara ya kwanza tangu uhuru, chama cha MPLA kimeshinda kwa kura ndogo.Ilikuwa ni mapema ji . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 25, 2022

Rais wa Angola aongoza katika matokeo ya mapema ya uchaguzi

Angola inasubiri kwa hamu matokeo ya uchaguzi ulioshuhudia kinyangan'yiro kikali katika historia yao ya kidemokrasia. Matokeo ya mapema yanaonyesha rais wa sasa Joao Lourenco anaongoza lakini upinzani . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 24, 2022

Angola yafanya Uchaguzi mkuu

Waangola milioni 14 wanafanya Uchaguzi Mkuu Jumatano hii, Agosti 24 kumchagua rais wao mpya na wabunge. Vyama saba vya siasa na muungano vinashiriki kinyang'anyiro hiki. Vita vya kuwania madaraka . . .

Kurasa 11 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Matukio
news
  • 6 siku zilizopita

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 11 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode