logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Afrika
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Raila Odinga " uchaguzi hautafanyika iwapo IEBC haitimizi matwaka yake "

Mgombea wa urais nchini Kenya Raila Odinga, ametishia kutoshiriki uchaguzi mkuu wa mwezi ujao, endapo tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC haitatumia daftari la wapiga kura iliyoandikwa kwa kara . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Sakaja kifua mbele kura zikinukia

MWANIAJI urais kwa tikiti ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga na mgombea mwenza wake Martha Karua, wanaongoza kwa umaarufu katika Kaunti ya Nairobi, utafiti mpya umeonyesha. Ri . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 3, 2022

EACC kutwaa mali ya wenye vyeti ghushi

TUME ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi Nchini (EACC) imeahidi kuwa itatwaa pesa na mali kutoka kwa wale ambao walitumia vyeti ghushi kuwania na kushinda vyeo vya uongozi katika uchaguzi mkuu. Af . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

William Ruto" Haya ndiyo ninayowaahidi Wakenya "

Mgombea urais nchini Kenya kupitia kwa chama cha United Democratic Alliance -UDA, William Ruto amezindua manifesto yake kuelekea uchaguzi mkuu wa Agosti 9 2022. Menifesto hiyo inazingat . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Uteuzi wa vigogo Tume ya Uchaguzi utazamwe upya

Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva ameishauri Serikali kuutazama upya utaratibu wa kupatikana kwa watendaji wakuu wa taasisi hiyo ili kutoa fursa kwa Watazan . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Samboja awindwa tena kuhusu cheti cha chuo kikuu baada ya kuponyoka

MASAIBU yanayomkumba Gavana Granton Samboja yameibuka upya, baada ya mpigakura kujaribu tena kumzuia kutetea kiti hicho katika uchaguzi unaopangiwa kufanyika Agosti. Bw Jeremiah Kiwoi, ameenda ko . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

kina Mdee kortini tena leo

Waliokuwa wanachama 19 wa Chadema, akiwamo Halima Mdee wanaingia katika mchuano na chama hicho wakati wa usikilizwaji wa pingamizi dhidi ya maombi ya amri ya kudumisha hali ilivyo (kulinda ubunge . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 28, 2022

Bunge la Israel lapiga kura ya kulivunja bunge na kufanya uchaguzi mpya

Bunge la Israel kwa kauli moja limeidhinisha muswada wa kulivunja bunge, hatua muhimu ya kisheria ambayo inaisukuma nchi hiyo kuelekea uchaguzi wake wa tano katika muda wa chini ya miaka minne. Ta . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 22, 2022

Maseneta waidhinisha pendekezo la serikali kupandisha kiwango cha mkopo hadi Sh10 trilioni

SERIKALI Kuu sasa imepata idhini ya kuchukua mkopo wa hadi Sh10 trilioni kutoka Sh9 trilioni baada ya maseneta kupitisha pendekezo la Wizara ya Fedha kuhusu suala hilo. Jumla ya maseneta 27 walip . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Uchaguzi wa wabunge Ufaransa: Baadhi ya vyama vyapoteza na vingine vyafaulu

Vyama vikuu vya kisiasa nchini Ufaransa vilikuwa vikicheza dau kubwa kwa uchaguzi huu wa wabunge mwaka wa 2022, lakini matokeo ya hayakukidhi matarajio yote, baada ya kutanga . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 20, 2022

Sakaja " Ajiondoe Debeni Kisha Atasemehewa Makosa Yote "

Seneta wa Nairobi Johson Sakaja ameendeleza makombora yake dhidi ya ‘deep state’ kwa kile anachodai ni njama ya kumfungia nje ya uchaguzi mkuu wa Agosti.Akizungumza katika kanisa la Jesus Winner M . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

Wajumbe wa APC washiriki kura ya mchujo kumchagua mgombea urais

Zaidi ya wajumbe 2,000 wa chama tawala cha Nigeria cha All Progressive Congress wamekusanyika katika mji mkuu Abuja kwa lengo la kumchagua mgombea atakayewania kuiongoza nchi hiyo yenye watu wengi . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

IEBC Yamwidhinisha Rasmi Johnson Sakaja Kuwania Ugavana wa Nairobi

Sasa ni rasmi kuwa Seneta wa Nairobi Johnson Sakaja atapeperusha bendera ya chama cha Uniited Democratic Alliance (UDA) katika kinyang'anyiro cha ugavana wa kaunti ya Nairobi katika uchaguzi wa Agosti . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Mgombea Huru Muthiora Kariara Achoma Kadi Yake ya Kura Kisa Kukataliwa na IEBC

Mwaniaji huru wa urais Muthiora Kariara aliamua kuchoma kadi yake ya kura kwenye ukumbi wa Bomas of Kenya, muda mchache baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kukosa kumuidhinisha.Kariara ali . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Bahati "Anza Kuvalia Kama Mke wa Mheshimiwa" Amwambia mke wake.

Mwanamuziki Kevin Bahati anaonekana kuwa vitani kwa wiki kadhaa sasa na mkewe Diana B kuhusu chaguo lake la mavazi hususan baada ya kuzindua taaluma yake ya kisiasa. Msanii huyo ambaye anale . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Rais wa Tunisia ashutumiwa kwa kudumaza taasisi za kidemokrasia

Rais wa Tunisia, Kais Saied kwa kudumaza taasisi za kidemokrasia za nchi hiyo baada ya kuwafukuza kazi majaji kadhaa huku kukiwa na safu ya hatua ambazo zilionekana kulenga kuunganisha utawala w . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Musyoka arejea Azimio, amuunga mkono Odinga

Musyoka pia amekubali uteuzi wa Waziri mwenye wadhifa wa juu, iwapo Odinga atashinda uchaguzi na kuunda serikali.Aidha,amempongeza Martha Karua kwa kuteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Odinga na kuahidi k . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

EACC Yataja Orodha ya Majina ya Viongozi Walioza Maadili, Wasiofaa Kuongoza Popote Kenya

Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inaitaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuwazuia wagombea 241 kushiriki katika uchaguzi wa Agosti 9.Mnamo Jumatano, Juni 1, tume hiyo ilitoa orod . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Lissu "Serikali imenilipa mafao yangu ya ubunge"

Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu amesema Serikali imemlipa kiinua mgongo chake aliochukuwa anadai baada ya kutumikia nafasi ya ubunge kwa zaidi ya miaka mitatu.Lissu alivuliwa ubun . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Uchaguzi Colombia kwenda duru ya pili Juni

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais nchini Colombia yanaonesha kutakuwa na duru ya pili mnamo mwezi Juni baada ya wagombea sita waliokuwa wakiwania kiti hicho kushindwa kupata asilimia 50 ya kura . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Pinda ajumuishwa kuongeza nguvu kikosi kazi

Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amejumuishwa kwenye kikosi kazi kinachoendelea na shughuli ya kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa.Pinda aliyekuwa Waziri Mkuu kat . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 29, 2022

COLOMBIA : UCHAGUZI WA RAIS UNAFANYIKA LEO .

Raia wa Colombia wanapiga kura leo katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais, huku chama cha mrengo wa kushoto kikielekea kuibuka na ushindi kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo ya Amer . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

CHONGOLA AWAONYA MAKADA WANAOKUA NA FITINA KWA WAGOMBEA

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, amewaonya viongozi waliopewa dhamana na chama hicho, kuacha kueneza fitina na majungu dhidi ya wengine wakati wa uchaguzi wa ndani.Chongolo ameyasema hayo le . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 26, 2022

Imran Khan ataka uchaguzi ndani ya siku sita Pakistan

Waziri mkuu aliyeondolewa madarakani nchini Pakistan, Imran Khan, ameitaka serikali kutangaza uchaguzi mpya ndani ya siku sita kutoka sasa ama aitishe maandamano makubwa ya umma yasiyo kikomo kati . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Chadema Yataka Kukamilika kwa Katiba Mpya Kabla ya 2025

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia kwa Katibu Mkuu wake John Mnyika kimetoa taarifa juu ya mazungumzo ambayo Cham hicho kilifanya hivi karibuni na Ujumbe wa Rais wa Jamhuri ya  . . .

Kurasa 13 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Matukio
news
  • 6 siku zilizopita

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 11 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode