Magari matatu ya abiria (Hiace) na gari moja private yamehusika katika ajali hiyo. Dalali maarufu hapa Mwanza anaefahamika kwa jina la Mzee Shaaban Kumba ndiye mwenye gari private iliyogongwa ambaye amefariki papo hapo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa anashuka na taarifa zaidi kwa kina.