AJALI: BUS NA HIACE ZAGONGANA MWANZA

Ajali imetokea kati ya Bus la Zakaria na Hiace ya Airport - Kisesa ambapo Dereva wa Hiace hiyo amefariki.

Aidha Bus liliacha njia yake na kufuata gari ndogo (Hiace) eneo la Nyamongoro Nanenane Mwanza... 

Taarifa zaidi utaendelea kuzipata kwa kadiri tutakavoendelea kupokea.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii