MWALIMU AJITOLEA KUFUNDISHA MIAKA16,WANANCHI WAMJENGEA NYUMBA

MKazi wa kitongoji Cha Manyara kijiji Cha Twatwatwa wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro Amina Masoud ambaye anataaluma ya uwalimu wa awali amejitolea kufundisha shule ya Msingi Twatwatwa kwa miaka 16 katika shule hiyo akiwa Mwalimu pekee katika shule hiyo.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii