logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Mamlaka ya Benin yazima jaribio la mapinduzi

Mamlaka ya Benin imetangaza Jumapili kuzima jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililolenga kumuondoa madarakani Rais Patrice Talon Umoja wa Afr . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Caren Simba Akanusha Madai ya Kutoka Kimapenzi na Pacome Zouzoua

Mrembo wa mitandao ya kijamii Caren Simba (@caren_simba), amefunguka na kufafanua kuwa hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na kiungo wa Y . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • December 6, 2025

Myenzi atoa wito wa uwazi,uwajibikaji na utoaji huduma bora kwa watumishi wa afya

Desemba 5 mwaka huu mkoani Geita Katika muendelezo wa ziara yake ya kukutana na watumishi wa sekta ya afya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mani . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 6, 2025

Watuhumiwa wanne wakamatwa na madini ya Vito Mahenge

Watu wanne wamekamatwa na madini ya vito katika mtaa wa Togo, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, kufuatia operesheni maalum iliyofanywa na Of . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 6, 2025

Vibali 72 vyatolewa kw a mabasi kuongeza nguvu za safari mwisho wa mwaka

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema mpaka sasa imeshatoa vibali 72 vya kuruhusu wamiliki wa mabasi kuongeza mabasi ya muda y . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Makundi ya Kombe la Dunia 2026 Yatangazwa

Droo ya hatua ya makundi ya kombe la Dunia 2026 imekamilika huko Kennedy Center Jijini Washington, D.C Marekani ljumaa, Desemba 5, 2025 amba . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Taasisi za kimataifa zatakiwa kuiacha mifumo ya kitaifa kufanya kazi yake

SERIKALI imesema imezipokea na kuzifanyia kazi taarifa na matamko mbalimbali yaliyotolewa na nchi rafiki, mashirika ya kimataifa na taasisi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Mapigano yanaendelea kurindima Kivu Kusini licha ya mkataba wa amani wa Washington

Siku moja baada ya kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Kinshasa na Kigali nchini Marekani, mapigano mengi yameendelea kurindima mashariki . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Waziri Ndejembi aitaka TANESCO kusambaza Mita Janja nchi nzima

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amelielekeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha linasambaza mita janja mpya za umeme ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Chalamila Aitaka TANESCO Kuchunguza Kauli ya Padri Kitima

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameielekeza TANESCO kuchukua hatua na kuchunguza kwa kina kauli iliyotolewa na Padri Dk. Ch . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Wanasayansi wapigia debe ulaji wa wadudu

HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Muigizaji Tagawa wa Mortal Kombat afariki dunia

Muigizaji Mkongwe na Producer Cary-Hiroyuki Tagawa amefariki dunia jana Disemba 4, akiwa na miaka 75 Santa Barbara, California Marekani.Taga . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Tshisekedi, Kagame wasaini mkataba wa kumaliza vita

Rais Donald Trump wa Marekani amewapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi na Rais wa Rwanda Paul Kagame kwa uj . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Droo ya Kombe la Dunia kufanyika Ijumaa huko Marekani

Droo ya Kombe la Dunia la Shirikisho la Kandanda Duniani, FIFA, litakalofanyika mwakani huko Marekani, Canada na Mexico itafanyika leo katik . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Putin afanya ziara ya kihistoria India

Rais wa Urusi Vladimir Putin anaanza ziara ya siku mbili nchini India katika juhudi za kuimarisha ushirikiano hususan katika sekta ya ulinzi . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

937,581 kujiunga na kidato cha kwanza

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imesema wanafunzi 937,581 wamechaguliwa kuanza masomo ya kidato cha kw . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Droo kombe la dunia 2026 kufanyika leo Desemba 05

Droo ya Kombe la Dunia la Shirikisho la Kandanda Duniani FIFA litakalochezwa mwakani huko Marekani Canada na Mexico itafanyika leo katika Ki . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Auawa kwa tuhuma za kuiba kuku wa krismas

Mwanaume mmoja auawa na kundi la watu katika kituo cha ununuzi cha Mururi eneo Bunge la Gichugu akaunti ya kirinyanga baada ya kukamatwa aki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Marekani yasaini mkataba wa msaada wa afya na Kenya

Marekani imesaini mkataba wa msaada wa afya wa dola bilioni 2.5 na Kenya, ambao ni mkataba wa kwanza wa aina hiyo wa pande mbili baada ya Ra . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Macron akutana na Xi Jinping Beijing

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekutana na Rais wa China Xi Jinping jijini Beijing, katika ziara ya siku tatu yenye lengo la kusisitiza j . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Athari zinazochangiwa na kutozingatia usafi unapoenda haja kubwa

WANAWAKE wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu nyeti, baadhi yakichangiwa na desturi za kutozingatia usafi.Matumizi ya choo na jin . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Miundombinu ya Internet Isimamiwe na Serikali

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema kuwa miundombinu ya msingi ya internet haipaswi kumilikiwa na makampuni binafsi, akisisitiza kuwa u . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

LATRA yawaita wamiliki wa mabasi kuongeza mabasi kipindi cha sikukuu

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza fursa kwa wamiliki wa mabasi kuwasilisha maombi ya leseni za muda mfupi ili kuongeza . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Madereva watano wa ‘Ambulance’ matatani kwa kupakia abiria

Madereva watano wa magari ya kubebeba wagonjwa (Ambulance) wamekamatwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kubeba abiria kutoka Dar es s . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Waangalizi wasema chaguzi ndogo hazikuwa na uwazi

KUNDI la Waangalizi wa Uchaguzi (ELOG) limetoa ripoti ambayo inasema chaguzi ndogo za Novemba 27 zilizingirwa na ghasia, wizi wa kura, . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Wawakilishi wa wagombea wakutana na Tume Uganda

Mkutano huo ulilenga kutoa hakikisho, na kugusia tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi Uganda inavyoshughulikia upinzani wa kisiasa.Tume ya . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Meta yaondoa akaunti za watoto Australia

Sheria hiyo mpya inawataka watoto walio chini ya umri wa miaka 16 kuwa na akaunti katika majukwaa kama TikTok, Facebook, YouTube na Instagra . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • December 3, 2025

Kilimo Chatangazwa Kama Kituo Kipya cha Mafanikio kwa Vijana

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Said Mtanda ametoa wito mahsusi kwa vijana kujikita katika sekta ya kilimo na kusema kuwa wakati umefika kwa vija . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Rais Samia afanya mazungumzo na Naibu Mwenyekiti wa Biashara Jumuiya ya Madola

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Naibu Mwenyekiti wa Biashara wa Jumuiya ya Madol . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Mbunge Azza awasihi wananchi kulima mazao yanaostahimili ukame

Mbunge wa Itwangi Azza Hillal Hamad, amewasihi wananchi kulima mazao ambayo yanastahimili ukame kutokana na hali ya hewa kutokuwa nzuri,amba . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Niffer, Chavala wafutiwa kesi ya uhani iliyokuwa ikiwakabili

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amemfutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Mwandishi ameripotiwa kuuawa Ukanda wa Gaza

Vyombo vya habari vimeripoti tukio la kuuwawa kwa mwandishi wa habari kulikotokana na shambulizi la Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza,Wak . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Jeshi la DRC na waasi wa M23 watuhumiana kwa ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji vita

Jeshi la DRC na waasi wa M23 wanaosaidiwa na Rwanda, wamerushiana maneno kila mmoja akimtuhumu mwingine kukiuka makubaliano ya usitishaji ma . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Bobi Wine "maisha yangu yako hatarini "

Mgombea urais wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu maarufu Bobi Wine sasa anasema maisha yake yako hatarini na ameamua kuva . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Mudy na Shila kufungwa maisha kwa ubakaji

Hukumu hiyo ya kesi namba 10468/2025 imesomwa Desemba 01, 2025 na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, Fredrick Shayo baada . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 2, 2025

BARAZA LAMCHAGUA SARA NG'HWANI KUWA MEYA

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza limempitisha Diwani wa kata ya Buswelu Bi  Sara Poul Ng'hwani ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 2, 2025

Wanamgambo wa RSF waliteka eneo la Babanusa, jimbo la Kordof

Vikosi vya RSF nchini Sudan vimesema, vimechukua udhibiti kamili wa eneo muhimu la Babanusa, linalotumika pakubwa kwa usafirishaji kusini mw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Mkoa wa Katavi wafungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya Madini

Mkoa wa Katavi umeendelea kuwa kivutio cha wawekezaji kufuatia maboresho makubwa ya miundombinu, usalama na kasi ya utoaji leseni katika Sek . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Waziri wa ulinzi Nigeria ajiuzulu

Waziri wa Ulinzi wa Nigeria Mohammed Badaru Abubakar amejiondoa madarakani wakati taifa hilo likikumbwa na ongezeko la matukio ya kutatanish . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Putin anatarajiwa kukutana na ujumbe maalum wa Marekani kujadili vita ya Ukraine

Rais wa Russia Vladimir Putin anatarajiwa kukutana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff mjini Moscow leo Desemba 2 mwaka huu baada ya . . .

Kurasa 4 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category