logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 6, 2025

Rais Samia Mgeni Rasmi Sherehe Ya Miaka 50 Ya Uhuru Wa Umoja Wa Visiwa Vya Comoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Mgeni Rasmi Madhimisho ya sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Umoja wa Visiwa v . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Trump akiri kutokubaliana na Putin

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa hajapiga hatua yoyote kuhusiana na suala la kusitisha vita nchini Ukraine alipozungumza na mwenza . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Waliompiga Enock wakamatwa

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa picha mjongeo ambayo inaonekana kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha kijana aliyeefungwa mi . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Nico Williams asaini mkataba Athletic mpaka 2035

Winga wa klabu ya Athletic Bilbao, Nico Williams, amesaini mkataba mpya wa miaka 10 wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Salasya amkashifu Ruto kutokana na ripoti kuwa anajenga kanisa Ikuluni

MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Salasya  amemkashifu vikali Rais William Ruto kutokana na ripoti kwamba anajenga Kanisa katika Ikulu y . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Kamati ya Uchaguzi TFF Yamwacha Karia Pekee Urais 2025

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imewatangaza rasmi wagombea watano wa nafasi ya urais kuondolewa katika kinyang’an . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Azam Yamnasa Lamek Lawi Kutoka Coastal Union kwa Mkataba wa Miaka Miwili

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hawataki utani kwa kuwa tayari wameanza kushusha mashine za kazi kuelekea msimu mpya wa 2025/26 kwa kumtambulisha b . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

ACT Wazalendo yasema serikali imeshindwa kumaliza umasikini

Chama cha ACT Wazalendo kimewataka Watanzania kuwahoji na kuwapima watawala kwa msingi wa utekelezaji wa Katiba, hususan kifungu cha kupungu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Hamas kutafakari pendekezo la kusimamisha mapigano Gaza

Kundi la wanamgambo la Hamas limetoa taarifa kuwa, linashauriana na makundi mengine ya Wapalestina kuhusu mapendekezo mapya ya wasuluhishi y . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Wapalestina 30 wauawa na Israel ndani ya masaa 24

Mashambulizi kadhaa ya anga ya jeshi la Israel kwenye Ukanda wa Gaza yameuwa takribani watu 30 na kuwajeruhi wengine kadhaa.Kwenye mashambul . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Waasi wa Congo na M23 kuanza mazungumzo nchini Qatar kwa shinikizo la Trump

Serikali ya Kongo na waasi wa M23, wanaoungwa mkono na Rwanda, wametangaza siku ya Alhamisi kurejea kwa wajumbe wao nchini Qatar kwa mazungu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Karish kumenyana na Njagagua wa UDA uchaguzi mdogo Mbeere North

UCHAGUZI mdogo unaokaribia katika eneo bunge la Mbeere Kaskazini, Kaunti ya Embu, unatarajiwa kuwa wa kusisimua huku upinzani ukimtangaza mw . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Vijana wenye hasira kali wachoma kituo cha polisi

VIJANA waliokuwa na hasira waliteketeza kituo cha polisi cha Mawego katika eneo la Rachuonyo Kaskazini wakati wa ibada ya mazishi ya mwalimu . . .

Uchumi biashara
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Maonyesho ya 49 ya Biashara yaendelea kutoa fursa za ubunifu na uvumbuzi

MAONESHO ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yanaendelea yakitoa fursa kwa washiriki kuonesha bidhaa zao, huduma na teknolojia k . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Mgombea asiyekuwa na udhamini usiopungua watu watano kukosa sifa uchaguzi mkuu TFF

MWENYEKITI wa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Kiomoni Kibamba amesema mgombea asiyekuwa na wadhamini zaidi ya wata . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

CCM Ruangwa yajivunia Majaliwa kuweka historia ya uongozi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi kimesema kinajivunia mwanachama wake, Kassim Majaliwa (64) kuweka historia ya kuwa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Ueledi, ufanisi na maadili vyatakiwa kwa Watumishi wa Umma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Eliakim Maswi, ametoa wito kwa watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao kwa weledi, ufanisi, na . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Tanzania kinara utekelezaji wa Nishati safi ya kupikia

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametajwa kuwa kinara namba moja wa uhamasishaji wa matumizi ya nishati safi ya kupikia Afrika na Mawaziri wanao . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Majali yamwakilishi Rais Samia miaka 10 WCF

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Julai 04, mwaka huu amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya miaka kumi ya Mfuko wa Fidia k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Watuhumiwa mauaji ya kijana kwa kipigo wanaswa Geita

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewakamata watu wawili akiwemo Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Liyobahika, Ferdinand Antony kwa tuhuma za mauaj . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

JWTZ Kushiriki gwaride maadhimisho miaka 50 ya uhuru Comoro

Kikosi cha wanajeshi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimewasili nchini Comoro, ambapo kinatarajiwa kushiriki maadhimisho ya miak . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Waliopiga pesa uchukuaji wa fomu watakiwa kwenda kudai mapema

Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla, amesema idadi ya Wanachama wa CC . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

Nyota wa Liverpool Diogo Jota afariki katika ajali barabarani

MWANASOKA nyota Diogo Jota ameaga dunia baada ya kuhusika katika ajali ya gari kaskazini mwa Uhispania akiwa na umri wa miaka 28, ripoti nch . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

Shigongo Azindua Kivuko Cha MV Mwanza, Aishukuru Serikali kwa Kuimarisha Usafiri Buchosa

KIVUKO kipya cha MV Mwanza Julai 2, 2025 kimepokelewa kwa shangwe kubwa katika Jimbo la Buchosa mnamo Julai 2, 2025, ambapo kitahudumu kati . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

UDOM Wabuni Roketi ya Kupeleka Vitu Angani

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) katika kinachoonekana kupiga hatua katika masuala ya sayansi na teknolojia wamebuni roketi yenye uwezo wa kusaf . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

Serikali Yakanusha Madai ya Njama ya Kumuua Tundu Lissu kwa Sumu

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo, Julai 3, 2025 imekanusha vikali madai yanayosambaa mitandaoni na vyombo vya habari vya kima . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

Mchujo wa wagombea CCM kuanza kesho, uteuzi wa mwisho Julai 19

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya uchujaji wa majina ya watia nia wake inayoanza kesho hadi Julai 19, 2025.Hatua hiyo ni baada . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

"Wagombea 20,000 wajitokeza CCM, uchukuaji fomu wavunja rekodi"

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema waliochukua fomu kuomba ridhaa ya ubunge kupitia majimbo Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar ni wanachama . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 3, 2025

Nderiananga adai miili 2 bado DNA haijakubali

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu), Ummy Nderiananga, amesema bado Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Se . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Mchezaji klabu ya Liverpool Diogo Jota afariki kwa ajili ya gari

Mchezaji wa klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Ureno, Diogo Jota, amefariki dunia kwa ajali ya gari nchini Hispania akiwa na umri wa mia . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Marekani kukutana na viongozi wa Afrika ukumbi wa White house kujadili biashara

RAIS wa Marekani, Donald Trump, anatarajiwa kukutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika wiki ijayo kwa ajili ya majadiliano ya kibi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Marekani yakanusha kusitisha silaha kwenda Ukraine

MAAFISA wa serikali ya Marekani wametupilia mbali taarifa ya awali kutoka Ikulu ya White House inayodai kuwa Washington inazuia usafirishaji . . .

Muziki
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

P DIDDY rumande hadi Oktoba mwaka huu

MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa M . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Wakili azua gumzo mitandao

MAHAKAMA KUU ya Gujarat nchini India imeanza kusikiliza kesi dhidi ya wakili wake mmoja, Bhaskar Tanna, baada ya video inayomuonesha akinywa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Vilio na simanzi kwa ndugu waliofika KCMC kupokea miili ya waliopoteza maisha ajili ya Same

Vilio na simanzi vimetawala katika viwanja vya Hospitali ya KCMC, mkoani Kilimanjaro wakati ndugu wakishuhudia majeneza 36 kati ya 42 yenye . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 3, 2025

Kampeni ya kitaifa ya chanjo na utambuzi wa mifugo yawafikia wafugaji wilayani Longido

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanza utekelezaji wa kampeni ya kitaifa ya chanjo na utambuzi wa mifugo wilayani Lo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Serikali Zanzibar yatoa mbinu kikosi cha polisi kukabiliana na wahalifu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo imesema itahakikisha inawapatia kila aina ya nyezo kikosi cha Polis . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Volker Turk awekewa kizuizi kuingia nchini Venezuela

BUNGE la Venezuela linaloungwa mkono na serikali limemtangaza Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu Volker Turk kuwa mtu asi . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Israel yapanua oparesheni za kijeshi ukanda wa Gaza

JESHI la Israel limepanua operesheni zake za kijeshi katika Ukanda wa Gaza, siku chache kabla ya ziara ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Ne . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Njaa yaua maelfu ya watu Sudani

MAMILIONI ya watu wanaokimbia mapigano nchini Sudan wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa, huku wakisaka hifadhi katika mataifa jirani ambayo y . . .

Kurasa 41 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category