Kada wa Chama cha ACT-Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema katika uchaguzi wa mwaka huu hawamtumi mtoto, badala yake wanaenda wenyewe . . .
Vijana zaidi ya 1,000 kutoka wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wamefanya matembezi ya zaidi ya kilomita 30 kutoka ofisi ya Chama cha Mapindu . . .
Rais Vladimir Putin wa Urusi ameionya Ujerumani kuhusiana na mipango yake ya kuipatia Ukraine makombora ya masafa aina ya Taurus. Amesema M . . .
Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameapa kwamba nchi yake haitoonyesha huruma kwa watawala wa Israel. Matamshi hayo yanakuja&n . . .
Kombora lililorushwa kutoka Iran limelenga jengo la hospitali kuu ya Beersheba iliyopo kusini mwa Israel na kusababisha majeruhi kadhaa, huk . . .
Taasisi ya TAMISA (Tanzania Mining industry suppliers Association) leo imefanya uzinduzi wa kamati ya masoko na mawasiliano ambayo itaongozw . . .
BONIFACE Kariuki, mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano jijini Nairobi Jumanne, angali hai, familia y . . .
NYOTA wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Ally Mayay Tembele, ametangaza rasmi nia ya kuwania nafasi ya Urais wa Shir . . .
Nchini Kenya, mji mkuu wa Nairobi umetikiswa siku ya Jumanne, Juni 17, na makabiliano kati ya waandamanaji, vikosi vya usalama, na makundi y . . .
Mhubiri mwenye utata kutoka Kenya, Gilbert Deya, amefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea Jumanne jioni karibu na mji wa Kisumu . . .
Serikali imeshauriwa kuacha kutoza kodi katika sekta ya gesi asilia na matokeo yake waache wawekezaji waingie, huku ikitafuta vyanzo vingine . . .
Serikali ya Tanzania imeanza kufanya mashauriano na Marekani ili kufanyia kazi maeneo yanayihitaji kuboreshwa ili raia wake wasizuiwe kuingi . . .
SERIKALI imewekeza ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa vya Sh bilioni 1 kwenye sekta ya afya katika Halmashauri ya Mji Handeni na kuimarisha hu . . .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kua . . .
Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imepata hati safi (inayoridhisha) hatua iliochangiwa na uwepo wa . . .
Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Ofisa wa jeshi la Magereza mwenye cheo cha Sajini aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Nyange . . .
Mashambulizi ya kila upande kati ya Israel na Iran yameingai siku ya sita, huku Rais Donald Trump wa Marekani akitoa ujumbe kuhusiana . . .
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesajili askari polisi watarajiwa 4,800 wanaokaribia kumaliza mafunzo yao katika Sh . . .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kua . . .
Mwigizaji na msanii mashuhuri wa muziki, Miley Cyrus, amefunguka kwa kina kuhusu safari yake katika tasnia ya muziki na kueleza namna ambavy . . .
Msanii maarufu kutoka Kenya, KRG The Don, ameweka wazi nia yake ya kuwania kiti cha Ubunge katika Jimbo la Naivasha mwaka wa 2027. Akiwa mge . . .
Mahakama ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imemhukumu Lindwa Clement Balthazari (30) mkazi wa kijiji cha Malya na kinyozi wa saluni ya kiume . . .
Waandamanaji waliokuwa na mabango wanamtaka Naibu Inspekta wa Polisi Eliud lagat kujiuzulu kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanablogu Albe . . .
Katika hotuba yake Dk Mwigulu amewambia Watanzania kupitia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa, Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2025/ . . .
Katika mnada wa hivi karibuni, bei ya juu ilikuwa Sh 2,710 na bei ya chini ilikuwa Sh 2,510 kwa kilogramu moja. Tani 3,000 ziliingizwa . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, limezuia mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliopangwa kufanyika ukumbi wa Milllenium . . .
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ameibua hoja nzito kuhusu malipo na maslahi ya wenyeviti wa serikali za mitaa akisema kundi hilo limekuw . . .
Israel inaamini kuwa kuna tishio kubwa kutoka kwa nguvu za nyuklia za Iran. Inasema lengo kuu la mashambulizi iliyofanya Ijumaa ilikuwa ni k . . .
Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitupilia mbali rufaa iliyokatwa na Guinea ikipinga uamuzi uliofanywa na kam . . .
Shirikisho la Mpira wa Miguu Italia (FIGC) limetaja sifa tatu zilizoishawishi iamue kumpa Gennaro Gattuso nafasi ya ukocha mkuu wa tim . . .
Bunge la taifa nchini DRC limeidhinisha Mwanasheria Mkuu wa Mahakama ya Juu Juni 15, kumfungulia mashitaka Constant Mutamba ambaya alikuwa W . . .
MUAROBAINI wa madereva wanaosababisha msongamano na foleni kwa kutanua na kuzungumza ya simu katika barabara mbalimbali kwenye wilaya mbili . . .
SERIKALI imebani kuwa kiwango cha kuuza nyama nje ya nchi kimeongezeka kutoka tani 1,000 hapo awali hadi 14,000 mwaka 2025.Akizunguma . . .
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Watanzania wenye uwezo wa kifedha kuwekeza ndani ya nchi, akisisitiza kuwa njia hiyo ndiyo mwarobai . . .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Mohamed Mchengerwa ametangaza kuwa mabaraza yote ya madiwani nc . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu hadi Julai 1, 2025 kwa ajili ya ku . . .
Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama kupewa nafasi ya kujitetee mwenyewe huku akitaja sa . . .
Mwimbaji mashuhuri wa Kimataifa, Justin Bieber, ameonekana akijibizana vikali na paparazzi nje ya Soho House, Malibu, California usiku wa Al . . .
Msanii chipukizi mwenye kipaji cha kipekee, JD Young, ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni, ameendelea kupeperusha bendera ya Rwanda kimataifa . . .
Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tan . . .