logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Yemen zaongoza muda wa kusitisha mapigano kwa miezi mingine miwili

Umoja wa Mataifa umesema pande hasimu kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Yemen zimekubaliana kuongeza muda wa mkataba wao wa amani kwa miezi mingine miwili. Awali, serikali inayofadhiliwa na S . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Marekani yaongeza vikwazo kwa watu mashuhuri wa Russia

Marekani Jumanne imeongeza vikwazo vipya, vikilenga watu mashuhuri wa Russia akiemo mwanamke aliyewahi kushiriki kwenye michezo ya Olimpiki ya gymnastics Alina Kabaeva.Kabaeva mwenye umri wa miaka 39, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Ofisi ya mwendesha mashitaka yamchunguza aliyekuwa rais Enrique Peña Nieto

Ofisi ya mwanasheria mkuu wa Mexico imesema Jumanne kuwa inamchunguza Enrique Peña Nieto, ambaye alitawala nchi hiyo kati ya mwaka 2012 na 2018. Anashukiwa kwa uhalifu ikiwa ni pamoja na kujitajirish . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Pelosi awasili Taiwan licha ya onyo la China

Licha ya vitisho kutoka Beijing, Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi, amewasili kwenye kisiwa cha Taiwan. China ilionya kuwa ingelichukuwa hatua kali endapo Pelosi angeliitembelea . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

China yalalamikia vikali ziara ya Pelosi, Taiwan

China Jumanne imelalamikia  balozi wa Marekani mjini Beijing Nicholas Burns, kutokana na ziara ya spika wa bunge la Marekani Nancy Pelosi kwenye kisiwa cha Taiwan kulingana na chombo cha hab . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Magoha Ashangaza Kufunga Shule Ghafla

WAZAZI na walimu nchini Jumatatu walijipata kwenye njiapanda, baada ya Waziri wa Elimu George Magoha kutangaza kuwa wanafunzi wataenda kwenye mapumziko ya muhula wa pili kuanzia leo Jumanne hadi Alham . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Majaliwa" Fuateni na Simamieni Falsafa ya Rais Wetu Samia Suluhu Hassan"

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka washiriki wa kozi fupi ya 13 ya viongozi watambue, wafuate na waisimamie falsafa ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na  Rais Samia Suluhu Hassan iliyo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

India yathibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa homa ya nyani

India imethibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa homa ya nyani hapo jana. Wizara ya Afya katika jimbo la kusini la Kerala imesema mgonjwa aliyefariki alikuwa kijana wa miaka 22. Uhispania iliripoti . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Wasiolipia Chakula Shuleni Kufungwa Jela.

Halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro , imepitisha rasimu ya sheria ndogo inayotaka wazazi watakaoshindwa kuwalipia vyakula watoto wao wakiwa shuleni, wafungwe miaka miwili gerezani.Hayo . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Senegal wapiga kura kuwachagua wabunge.

Wananchi wa Senegal Jumapili wamepiga kura katika uchaguzi wa bunge ambao upinzani una matumaini utalazimisha ushirika na Rais Macky Sall kuunda serikali na kuzuia nia yake ya kuwania muhula wa tatu.S . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Hatari kwa wanawake wanaojifukiza sehemu za siri zatajwa

 Kushamiri kwa biashara ya urembo mtandaoni kumeleta bidhaa ambazo nyingine ni hatari kwa afya ya viungo vya uzazi kwa wanawake.Bidhaa hizo za urembo zimeshamiri kutokana na matangazo yake na has . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Ethiopia Yasema Ipo Tayari Kwa Mazungumzo Na TPLF Bila Masharti.

Katika  hatua isiyo ya kawaida, afisa mmoja wa ngazi ya juu kwenye serikali ya Ethiopia amesema Alhamisi kwamba wako tayari kwa mazungumzo na vikosi hasimu vya  TPLF, vilivyo . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Kinana Akerwa Na Trafiki Kusimamisha Magari Kila Saa.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Komredi Abdulrahman Kinana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Camilius Wambura, kufanya tathimini ili kuona k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Bei za mahitaji ya kila siku nchini Ujerumani zitarajiwa kupungua

Bei za mahitaji ya kila siku nchini Ujerumani zinatarajiwa kupungua katika nusu ya pili ya mwaka baada ya mfumuko wa bei wa miezi kadhaa. Taarifa hiyo imetolewa na taasisi ya Ujerumani inayoshughu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Uchumi wa Marekani wanywea

Uchumi wa Marekani umenywea tena katika robo ya pili ya mwaka, ishara ambayo katika nchi nyingi duniani inazingatiwa kuwa mdororo wa uchumi. Hata hivyo kusinyaa huko kwa kiwango cha asilimia 0.9 k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

CHADEMA WAITWA KWENYE KESI YA KINA MDEE.

Mahakama Kuu ya Tanzania imekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kufika mahakamani kesho katika kesi ya Halima Mdee na wenzake 18 wanaopinga kuvuliwa uanachama wa chama hicho itakay . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

IEBC Kukutana na Wagombea Urais Kuhusu Wasiwasi za Fomu 34A, 34B.

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imewaalika wagombeaji urais kwa mkutano wa mashauriano huku kukiwa na wasiwasi kuhusu imani dhidi ya tume hiyo.tume hiyo ilionyesha kuwa imebainisha wasiwasi uli . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Waziri Wa Zamani Wa Msumbiji Afungwa Jela Miaka 16

Waziri wa zamani nchini Msumbiji amefungwa jela miaka 16 kwa kuhusika na vitendo vya ufisadi. Maria Helena Taipo, mwenye umri wa miaka 60, ambaye pia ni mwanchama wa chama tawala cha . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Biden, na Xi Jingping wakubaliana kuandaa mkutanao wa ana kwa ana

Rais wa Marekani, Joe Biden na mwenzake wa China, Xi Jingping, wamekubaliana kuandaa mkutano wao wa kwanza wa ana kwa ana, wakati huu Beijing ikiionya Washington kutocheza na . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 28, 2022

Ukraine yaanza tena uuzaji wa nafaka kupitia Bahari Nyeusi

Ukraine imeanza tena operesheni za uuzaji nafaka katika miji kadhaa muhimu ya pwani. Bandari za Odesa, Chernomorsk na Piv-dennyi zinatarajiwa kuanza tena usafirishaji wa nafaka kupitia bahari nyeu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 28, 2022

Vita dhidi ya maambukizi ya ukimwi

Vita dhidi ya maambukizi ya ukimwi duniani vimeripotiwa kuathirika pakubwa kutokana na uwepo wa janaga la uviko 19 pamoja na changamoto nyengine zinazoikumba dunia. . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 28, 2022

Hongo kwa wapiga kura yasababisha uhaba wa noti ndogo ndogo kwenye benki za kenya

Benki za Kenya zinakabiliwa na uhaba wa noti ndogo ndogo kwa sababu wanasiasa wanawapa hongo raia kujaribu kupata kura zao kwenye uchaguzi wa mwezi ujao, waziri ma mambo ya ndani ametoa tuhuma h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 27, 2022

Spika wa bunge la Marekani Nancy Pelosi kuzuru Taiwan

China imeionya Marekani kuhusu mpango wa spika wa bunge nchini humo Nancy Pelosi wa kutaka kuzuru Taiwan. Iwapo ziara hii itafanikishwa, kiongozi huyo atakuwa mtu wa ngazi ya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 27, 2022

Asilimia 67.2 wakazi Dar wana uzito kupita kiasi

Asilimia 67.2 ya wakazi wa Dar es Salaam wana uzito kupita kiasi huku wengi wao wakiwa ni wanywaji wa pombe wa mara kwa mara, utafiti wa hivi karibuni umeonyesha. Mkuu wa Idara ya Utafiti n . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 27, 2022

Wakenya wakosa kulipa mikopo ya Sh483 bilioni

Gharama ya maisha inapozidi kulemea Wakenya, imebainika kuwa wengi wamekosa kulipa mikopo yao huku kiasi cha madeni wanayodaiwa kikigonga Sh483 bilioni kufikia mwezi Mei 2022. Takwimu za Benki Ku . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 26, 2022

Waziri Aweso aagiza mkandarasi kufika Kigoma ndani ya saa 24

Waziri wa Maji Mh. Jumaa H. Aweso (Mb) akielekea Buhigwe kwenye ziara ya ukaguzi wa Miradi ya Maji amesimama jimbo la Kigoma Kaskazini na kuzungumza na wananchi wa Vijiji vya Kiganza na Bitale. W . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 26, 2022

Lavrov kukutana na Rais Yoweri Museveni

Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergei Lavrov amewasili nchini Uganda katika ziara yake ya tatu katika nchi za Afrika, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Russia ametangaza Jumatatu. La . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 26, 2022

Wavenezuela" Chebukati abaki kimya".

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Jumatatu iliendelea kubaki kimya kwa siku ya pili mfululizo, baada ya Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) kutoa taarifa ndefu ikiilaumu kwa kutoeleza ukweli ku . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 26, 2022

BoT yachunguza sintofahamu ya sarafu ya Sh 500.

Kuna sintofahamu imeibuka kuhusu sarafu ya Sh500 baada ya kuonekana baadhi zenye alama tofauti kwenye mzunguko ambao unaoneshakuwa sarafu hizo zenye baadhi ya alama tofauti zipo kwenye mzunguko na z . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 25, 2022

Waziri wa Afya ahamasisha uchanjaji wa chanjo ya UVIKO 19

 Waziri wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu na wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva akiwemo Harmonize, Marioo, Sholo Mwamba, Balaa Mcee, Sarafina, Mimi Mars, Mzee wa Bwax wameungana na umma wa Mtwar . . .

Kurasa 99 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Polisi Pwani Wakanusha Taarifa zinazosambaa Mitandaoni

    • 11 masaa yaliopita
  • Serikali Yaendelea Kuimarisha Ustawi wa Wazee Nchini

    • 11 masaa yaliopita
  • Unywaji wa kahawa waweza kukuongezea miaka mitano ya ziada ya ujana

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode