logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 19, 2024

Mzee wa Kanisa Akutwa Amefariki Gesti Akiwa na mwanamke

Uchunguzi unaendelea baada ya mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 60 kupatikana amefariki ndani ya nyumba ya kulala wageni katika eneo la Kapsoit, kaunti ndogo ya Belgut, kaunti ya Kericho.Mwili wa D . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • January 17, 2024

Mchungaji Ampika Mboga Muumini wake ili Asichepuke

Mchungaji mmoja nchini Zambia, ameushangaza umma baada ya kumpika mmoja wa washirika wake wa kiume wakati wa ibada ili aweze kubadilika nankuwa mume mwema.Kitendo hicho kilitokana na Mwanaume huyo kud . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 17, 2024

Sungusungu Dar Wadaiwa Kumuua Kijana Wa ‘Mama Nandy’

Walinzi shirikishi maarufu kama sungusungu, wanadaiwa kumuua kwa kipigo, kijana mmoja mwenye changamoto ya afya ya akili, kwa kumpiga wakimtuhumu kuwa ni mwizi wakati akichota maji usiku.Inaelezwa kuw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 17, 2024

Qatar yatuma dawa kwa mateka wa Israel katika Ukanda wa Gaza

Kufuatia makubaliano yaliyosimamiwa na Qatar kati ya Israel na shirika la wanamgambo wa Palestina Hamas, mateka wa Israel katika Ukanda wa Gaza watapata dawa.Kwa kuongezea, vifaa vya msaada kwa raia v . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 17, 2024

Timu za waokozi zaendelea kusaka majeruhi kutokana na mlipuko wa Ibadan, Nigeria

Timu za waokozi za Nigeria Jumanne usiku zimeendelea kuwasaka watu waliojeruhiwa kufuatia mlipuko mkubwa kwenye jimbo la Oyo, ambao ulitikisa majengo, na kupelekea wakazi kutorokea barabarani.Kwa muji . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 11, 2024

Zaidi ya 6,000 Wafariki Wakijaribu Kwenda Ulaya

Takriban Wahamiaji wasiopunguwa 6,618 walikufa au kutoweka wakijaribu kuingia Uhispania kupitia njia ya bahari mwaka 2023.Shirika la kutetea haki za Wahamiaji Nchini Hipania, limesema idadi hiyo ni ma . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 4, 2024

Mshtakiwa ashindwa kuvumilia amrukia na kumshambulia jaji wakati wa hukumu

Mwanaume mmoja amemshambulia jaji wakati hukumu yake katika chumba cha mahakama cha Nevada, Marekani ikisomwa siku ya Jumatano.Tukio hilo lililonaswa katika kamera za CCTV – linamuonyesha Deobra Red . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 26, 2023

Mapigano vikundi vya Silaha Vifo vyafikia 160

Viongozi katika jimbo la Plateau wamesema idadi ya watu waliopoteza maisha katika mfululizo wa mashambulizi ya Vikundi vya watu wenye silaha katika vijiji kadhaa katikati mwa Nchi ya Nigeria imefikia . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 22, 2023

Idadi ya waliokufa kutokana na moto Guinea yafikia 23

Idadi ya vifo kutokana na mlipuko na moto uliozuka katika kituo cha mafuta kwenye mji mkuu wa Guinea, Conakry imeongezeka hadi watu 23 kutoka 13.Taarifa ya serikali imesema idadi ya waliojeruhiwa imep . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • December 12, 2023

Padre Wa Kanisa Katoliki Nchini Marekani Afariki Baada Ya Kushambuliwa Kanisani

Padre mmoja wa kanisa katoliki amefariki baada ya kushambuliwa katika eneo la kanisa katika jimbo la Nebraska nchini Marekani.Polisi walisema walimpata Mchungaji Stephen Gutgsell na anayedaiwa kumsham . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 7, 2023

Jeshi la Israel ladai kuuzingira mji wa Khan Younes, kusini mwa Gaza

Mapigano makali yanaendelea Alhamisi, Desemba 7, katika Ukanda wa Gaza kati ya Hamas na jeshi la Israel, ambalo liliuchukua mji mkubwa wa Khan Younes ambapo inamsaka mtu inayemdhania kuwa ndiye aliyep . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 5, 2023

Moto Waunguza Maduka Mwenge Jirani na Stand Mpya

Moto ambao bado chanzo chake hakijafahamika umeteketeza baadhi ya maduka yaliyopo hatua chache kutoka Stendi mpya ya Mwenge Jijini Dar es salaam.Wakati wakiendelea kusubiri Jeshi la Zimamoto, tukio li . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 4, 2023

Israel yapanua operesheni zake Gaza wakati hali ya wasiwasi ikiongezeka

Jeshi la Israel linapanua operesheni zake katika Ukanda wa Gaza siku ya Jumatatu, ambapo idadi ya vifo miongoni mwa raia wa Palestina inaongezeka, huku dalili mpya za mzozo zikienea katika eneo hilo n . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 4, 2023

Idadi ya waliofariki Hanang yafikia 49

Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mafuriko yaliyotokea wilayani Hanang mkoa wa Manyara imeongezeka na kufikia watu 49 baada ya kupatikana kwa miili mingine miwili.Kwa mujibu wa Taarifa iliyo . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 4, 2023

Nigeria inatoa wito kuachiliwa kwa Rais wa Niger aliyeondolewa madarakani Bazoum

Nigeria ni mwenyekiti wa sasa wa jumuiya ya uchumi ya nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) ambayo imeiwekea vikwazo Niger kufuatia mapinduzi ya Julai yaliyomuondoa madarakani Bazoum.Nigeria inatoa wito w . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 29, 2023

Watu 120 wamekufa kwa mafuriko nchini Kenya

Idadi ya watu waliokufa kutokana na mafuriko yaliyokumba maeneo kadhaa nchini Kenya imefikia 120 huku maelfu ya makaazi yamesombwa na maji na kuwalazimisha watu kutafuta hifadhi.Takwimu hizo mpya zime . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 29, 2023

Afisa katika chama cha upinzani DRC ameuawa na makundi hasimu ya kisiasa

Ghasia hizo zilimuua Dido Kasingi, wakili na baba wa watoto sita ambaye alikuwa rais wa vijana katika chama cha Katumbi, “Together for the Republic”, msemaji wa chama hicho aliwaambia waandishi wa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 28, 2023

Mwanamume Amuua Mkewe, Azurura Kwenye Baa Mbalimbali na Maiti

Polisi katika kaunti ya Kericho wameanzisha uchunguzi kufuatia mauaji ya kinyama ya mwanamke mmoja huko Belgut. polisi walimkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 46 anayedaiwa kumdunga kisu hadi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 24, 2023

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko inakaribia watu 100

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Somalia inakaribia 100, huku takriban watu milioni mbili wakiathirika, baraza la mawaziri la nchi hiyo limesema siku ya Alhamis ya wiki hii.Somalia, ka . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 23, 2023

Mwili Wa Kijana Dangote Wazikwa Usiku Na Watu 7 Makaburi Ya Njiro, Arusha

MWILI wa kijana maarufu kwa jina Ally Dangote aliyekuwa tishio kutokana na kufanya matukio ya kihalifu ikiwemo mauaji, ubakaji, uporaji na kuwachoma watu jijini Arusha umezikwa usiku wa kuam . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 22, 2023

Vifo vya Upasuaji wa Kuongeza Makalio Vyaongezeka Uturuki

Serikali ya Uingereza imesema itakutana na maafisa nchini Uturuki kujadili kanuni kuhusu utalii wa kimatibabu na urembo, baada ya vifo kadhaa kutokea.Melissa Kerr, 31, alifariki dunia katika Hospitali . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

Mama mbaroni kwa kumuua mwanaye kwa kumzamisha kwenye ndoo ya maji

Mwanamke aliyetambuliwa kwa jina la Johari Mbuma (19), mkazi wa Kigamboni Manispaa ya Iringa anashikiliwa na polisi akituhumiwa kumuua mtoto wake mwenye umri wa miezi saba kwa kumzamisha kwenye ndoo y . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Zaidi ya watu 50 wamefairki katika mafuriko

Kaunti ya Mombasa pwani ya taifa hilo na Tana River huko kaskazini Mashariki ni baadhi ya majimbo yalioathirika.Shirika la msalaba mwekundu nchini humo limesema familia 156 katika eneo la Bandi huko G . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Mwili waokotwa ukiwa umeuawa Mwanza

Kijana mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 hadi 18, amekutwa amefariki eneo la Dampo kata ya Buhongwa Mwanza kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali maeneo mbalimbali ya mwili wake.Kwa mujibu w . . .

Kurasa 18 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 2 masaa yaliopita

Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

Habari
news
  • 5 masaa yaliopita

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Habari
news
  • 6 masaa yaliopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 7 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 8 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbunge wa Ilemela agawa pikipiki kwa vijana

    • 2 masaa yaliopita
  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 5 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode