logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 16, 2023

Watoto watano wafariki kwa kula Chakula chenye sumu

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fatma Mwasa, amesema amepokea kwa masikitiko vifo vya Watoto watano ambao wamefariki katikia Kijiji cha Nyakanazi kilichopo Wilayani Biharamuro, wakisadikika kuwa wamekula chak . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 8, 2023

Shabiki Mwingine Wa Yanga Auawa Geita Na Walinzi

Mfanyabiashara mmoja ambaye pia alikuwa Shabiki wa Yanga, Alex Mayaya (40), mkazi wa Mji mdogo wa Katoro, Geita ameuawa kwa kupigwa rungu na walinzi wa Kampuni ya Samike Security Company akidhaniwa ku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 7, 2023

Walinda amani washambuliwa Mali

Msafara wa wanajeshi wa kikosi cha Umoja wa Mataifa wa Mali ulishambuliwa tena na vilipuzi mwishoni mwa juma, na kuwajeruhi walinda amani 22 zaidi katika harakati za kuondoka nchini humo, msemaji wake . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 6, 2023

Zaidi ya watu 20 wauwawa Sudan

Zaidi ya watu 20 wameuwawa Jumapili, baada ya mashambulizi katika soko la kitongoji cha mji mkuu wa Sudan, Khartoum, kamati ya wanasheria inayopigania demokrasia imesema katika taarifa.Hiyo ni moja mk . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • November 3, 2023

Watatu jela miaka 30 kwa unyang’anyi, ubakaji

Mahakama ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma imewahukumu kifungo cha Miaka 30 Mussa Zuberi Amuri (28) na Saidi Shaibu Saidi (27) wote wakazi wa Kijiji cha Lukumbule Wilaya ya Tunduru baada ya kupatikan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 3, 2023

Umoja wa Mataifa unasema muda unapita wa kuzuia janga la kibinadamu Gaza kutokea

Ujumbe wa waatalamu wa haki za binadam wa Umoja wa Mataifa pamoja na mfuatiliaji maalum wa Umoja wa Mataifa kwenye maeneo yanayokaliwa ya Wapalestina Francesca Albanese, umesema Alhamisi kwamba muda u . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Uganda yamkamata mkuu wa wanamgambo anayetuhumiwa kwa mauaji

Uganda ilisema Alhamisi kuwa imemkamata mkuu wa kikosi cha wanamgambo wanaolaumiwa kwa mauaji ya watalii wawili wa kigeni waliokuwa wakienda honeymoon na kiongozi wao wa ndani katika mbuga ya wanyama . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Mbunge Atekwa na Wasiojulikana, Akutwa Mtupu

Mbunge wa Chama cha Upinzani cha Citizens Coalition for Change – CCC, nchini Zimbabwe, Takudzwa Ngadziore (25), anadaiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana na kisha kutupwa takriban kilomita 50 kas . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Karibia watu 37 wameuawa katika shambulio la Boko Haram nchini Nigeria

Wapiganaji wenye itikadi kali kaskazini mashariki mwa Nigeria wamewauwa takriban wanakijiji 37 katika mashambulio mawili tofauti, kwa mujibu wa wakaazi katika maeneo hayo.Wapiganaji hao wenye itikadi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Hizi Ni Sababu za Moto uliowaka Mwanza Mjini

Sababu za Moto uliowaka Mwanza Mjini,Kamanda Kamila Rabani wa Jeshi la Zimamoto Aweka wazi . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Maisala kwenda jela miaka 20 kisa bangi

Mkazi wa Kisiwa cha Maisome wilayani Sengerema mkoani Mwanza, Maisala Ramadhani (25) ameangua kilio mahakamani baada ya kuhukumiwa jela miaka 20 baada kukiri kosa la kukutwa na dawa za kulenya aina ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 2, 2023

Trafiki Afariki kwa Kugongwa na Gari la Shule

Askari Polisi kitengo cha Usalama Barabarani Sajenti Stella Alphonce, amefariki dunia baada ya kugongwa na gari ya shule asubuhi ya leo Novemba 1, 2023 wakati akitekeleza majukumu yake ya ukaguzi bara . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 31, 2023

Watu zaidi ya 70 hawajulikani walipo baada ya kutokea ajali ya boti

Nchini Nigeria, zaidi ya watu 70 hawajulikani walipo, kufuatia ajali ya boti iliotokea mwishoni mwa juma lililopita katika jimbo la tabara kaskazini mwa nchi hiyo.Wafanyakazi wa uokoaji nchini humo wa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 31, 2023

Mama Mombasa Ahukumiwa Miaka 10 Jela kwa Kumuua Mwanawe Ili Kusafiri Saudi Arabia Kikazi

Mwanamke anayedaiwa kumuua mwanawe wa mwaka mmoja ili kusafiri hadi Umoja wa Falme za Kiarabu kutafuta kazi amepatikana na hatia na Mahakama Kuu mjini Mombasa. Jaji Anne Ong'injo alimpata Happy M . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 31, 2023

Mama Awaua Watoto 2 Kwa Kuwapa Chakula Chenye Sumu, Mtoto wa 3 Anusurika

Mwanamke mmoja amekamatwa baada ya kudaiwa kuwaua watoto wake wawili wa kambo kwa kuwapa chakula chenye sumu.Komuhendo Harriet alikamatwa baada ya watoto hao watatu kupoteza fahamu na kukimbizwa katik . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • October 31, 2023

Watu 7 mbaroni kuteka na kudai Bil. 8.7 kwa wazazi ili wamuachie binti yao

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watuhumiwa 7 kwa tuhuma za kupanga njama, kumtishia kwa silaha, na baadae kumteka mwanamke aliyefahamika kwa jina la Hani Nooh Hussein (29) M . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 30, 2023

Watu 48 wafariki dunia kufuatia kimbunga Otis

Takriban watu 48 wamekufa kufuatia kimbunga Otis kilichopiga pwani ya kusini katika bahari ya Pasifiki nchini Mexico.Mji wa Acapulco ndio ulioathirika zaidi. Viongozi wa Mexico wamesema idadi ya vifo . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 29, 2023

Baba Amnyonga Mwanaye Kwa Kamba Ya Viatu Na Kupiga Naye Selfie

Mkazi wa Mtaa wa Kota, Kata ya Mlandege Mkoani Iringa, Goodluck Mgovano aliyekadiriwa kuwa na umri wa miaka 33 anadaiwa kumuua Mtoto wake Alvini Mgovano mwenye umri wa miaka minne kwa kumnyonga na kam . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 26, 2023

Idadi ya waliofariki ajali ya Vigwaza yaongezeka

Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, ACP Pius Lutumo amesema idadi ya waliofariki katika ajali ya Barabarani iliyosisha magari mawili kugongana uso kwa uso, imeongezeka na kufikia watu wanne kufuatia kifo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 23, 2023

Wanawake na wasichana wa Afghanistan wataabika baada ya tetemeko la ardhi

Wanawake na wasichana wako katika hali mbaya na hatari Afghanistan, kufuatia matetemeko ya ardhi ya hivi karibuni kwa sababu ya migogoro ya kibinadamu na haki za kiraia tangu Taliban kutwaa mamlaka, a . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 16, 2023

Watu 28 wafa maji Mto Kongo

Miili ya watu 28 imepatikana kutoka Mto Kongo baada ya mashua waliyokuwamo kuzama kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Chrispin Mputu, waziri wa mambo ya ndani wa eneo hilo, amethi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 13, 2023

Mwanafunzi aliyeagizwa maji na walimu afia shimoni

Mwanafuzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Gibaso iliyopo wilayani Tarime mkoani Mara, amefariki dunia kwa kutumbukia kwenye shimo wakati akichota maji katika shimo lililochimbwa kwa ajili ya u . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 11, 2023

Idadi ya vifo katika tetemeko Afghanistan yapita 2,400

Idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi la Jumamosi la kipimo cha 6.3, Afghanistan imepita 2,400 huku timu za utafutaji na uokoaji zikiondoa miili zaidi kwenye magofu ya mamia ya nyumba zil . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • October 10, 2023

Mapigano Palestina: Miili 1,500 yapatikana

Mamlaka za usalama za Israel, imesema wameyashambulia maeneo ya kundi la Hamas katika Ukanda wa Gaza na miili ya wanamgambo 1,500 imepatikana katika miji ya kusini iliyokombolewa na jeshi, katika mapa . . .

Kurasa 19 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 3 masaa yaliopita

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Habari
news
  • 5 masaa yaliopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 5 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 6 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 6 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 6 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Makala
news
  • 6 masaa yaliopita

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 3 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 3 masaa yaliopita
  • Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode