logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Afrika
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Kemikali ya Methanol yalaumiwa kwa vifo vya vijana Afrika Kusini

Daktari Litha Matinawe ambaye ni naibu mratibu wa huduma za afya kwenye jimbo la Eastern Cape , Afrika kusini, amesema kwamba ripoti ya kilichosababisha vifo vya vijana hivi karibuni imetolewa. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Takribani abiria 41 wamenusurika katika ajali ya basi la Happy Nation

Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika eneo . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

Afisa wa juu wa Ukraine adai nchi hiyo inajiaandaa kuishambulia Crimea

Naibu waziri wa ulinzi wa Ukraine Volodymyr Havrylov amesema nchi yake inaazimia kuishambulia rasi ya Crimea iliyonyakuliwa na Urusi mwaka 2014, pamoja na jeshi la wanamaji wa Urusi walioko huko. . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 20, 2022

WAHAMIAJI WAFUNGWA KIFUNGO CHA MIAKA 11.

Zaidi ya wahamiaji 30 Jumanne wamehukumiwa nchini Morocco kutokana na kujaribu kuruka uzio wa mpakani na eneo la Uhispania la Melilla mwezi Juni. Kwa mujibu wa shirika la habari la AP. H . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Raia wa China ashtakiwa kwa kusafirisha watoto

Raia wa China ambaye alina . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Wahausa waitisha maandamano mjini Khartoum leo Jumanne

Maelfu ya watu kutoka kabila la Hausa nchini Sudan wameweka vizuizi barabarani na kuzichoma moto ofisi za serikali, baada ya makabiliano makali ya kikabila katika jimbo la Blue Nile. Kufuatia maka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 19, 2022

Joto laendelea kuwa kumbwa mataifa ya ulaya

Mataifa ya Ulaya Magharibi yanakumbwa na joto kubwa, ambalo sasa linaelezwa kuelekea katika mataifa ya Kaskazini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 18, 2022

Mwanahabari wa Marekani azuiliwa Congo 18 Julai, 2022

Afisa wa ngazi ya juu wa serikali  ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya congo amesema Jumapili kwamba idara ya kijasusi ya nchi hiyo , imemkamata  mwanahabari wa Marekani Starvos Nic . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 17, 2022

Urusi yaanza tena mashambulizi nchini Ukraine

Urusi jana ilianzisha tena mashambulizi yake katika eneo la Donbass Mashariki mwa Ukraine baada ya mapumziko ya muda mfupi ili kupanga tena vikosi vyake. Wakati wa ukaguzi wa vikosi vilivyohusika . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • July 17, 2022

Polisi Kariakoo Wapiga Jogging na Wananchi

JESHI la Polisi Wilaya Kipolisi ya Kariakoo, jijini Dar jana Jumamosi limefanya jogging na wananchi wa eneo hilo kumalizia na bonge la tizi wakihamasisha uzalendo na kuimarisha afya zao.Jogging hi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

MVUVI APOTEA ZIWANI WAWILI WAOKOLEWA MKEWE ANAKOROGA UJI ILI APATIKANE

Taarifa mbaya kutoka Ziwa Victoria, zinamhusu mvuvi aliyejulikana kwa jina la Salehe Haruna (42) anatajwa kuzama maji katika eneo la Sweya wilayani Nyamagana mkoani Mwanza,Mkewe Salehe aitwaye Hel . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Jeshi lakiri kuwaua vijana saba na kuomba msamaha

Jeshi nchini Togo limeomba msamaha kwa kuwaua vijana saba ambao linasema lilifikiri ni wanajihadi. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 15, 2022

Mke wa kwanza wa rais wa zamani wa Marekani Donald Trump, afariki

Familia ya Donald Trump imesema mke wa rais huyo wa zamani wa Marekani, Ivana Trump alifariki mjini New York akiwa na umri wa miaka 73. Trump aliandika Alhamisi kwenye mitando ya kijamii . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 14, 2022

MAPACHA WATOROKA NYUMBANI KISA KUPELEKWA SHULE TOFAUTI

Familia moja katika mtaa wa Rupingazi Mji wa Embu imejawa masikitiko na uchungu kufuatia kutoweka kwa watoto wao pacha wenye umri wa miaka 15. Leon Macharia na Ryan Mwenda, waliokuwa kidato cha pili k . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 14, 2022

Urusi inazituhumu nchi za magharibi kwa kuwahami wanajeshi Ukraine

Wizara ya mambo ya kigeni ya Urusi, imeyatuhumu mataifa ya Marekani na Uingereza kwa kuwapa mafunzo wanajeshi wa Ukraine, Urusi ikitaja hatua hiyo ya mataifa ya NATO kama vit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 13, 2022

Marekani inasema imemua mmoja wa viongozi wa IS nchini Syria

Marekani inadai ushindi mwingine dhidi ya kundi la Islamic State, ikisema ilimsaka, kumlenga na kumua mmoja wa viongozi wa tano wa ngazi ya juu wa kundi hilo la kigaidi, wakati wa shambulio la n . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 12, 2022

Mapigano ya risasi kati ya magenge hasimu huko Haiti yamesababisha vifo vya watu 50

Mapigano ya risasi kati ya magenge hasimu yamesababisha vifo vya watu 50 tangu Ijumaa karibu na mji mkuu wa Haiti wa Port-au-Prince, Meya wa eneo hilo alisema Jumatatu huku ghasia zikiendelea ku . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • July 12, 2022

Pacha mmoja aliyetenganishwa Muhimbili afariki

Mmoja kati ya watoto pacha waliotenganishwa Julai Mosi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Neema amefariki dunia wakati akiendelea na matibabu Jumapili Julai 10, 2022.Taarifa iliyotolewa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Islamic States Yathibitisha Kuhusika na Shambulio katika Mji wa Lume, DRC

Kundi la kigaidi la Islamic State limethibitisha kuhusika kwenye shambulio la siku ya Alhamisi ambalo lililenga mji wa Lume, jimbo la Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Watu 15 wauawa katika mashambulizi ya makombora

Maafisa wa Ukraine wamefahamisha kuwa watu 15 wameuawa baada ya majeshi ya Urusi kulishambulia kwa makombora jengo la ghorofa tano katika mji wa mashariki mwa Ukraine wa Chasiv Yar. Gavana wa jimb . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Watu 15 wapigwa risasi katika eneo la Soweto.

Polisi nchini Afrika Kusini, imesema watu 19 wameuawa mwishoni mwa juma lililopita, wakati watu wenye silaha waliposhambulia maeneo mawili tofauti ambayo watu walikuwa wakibu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 11, 2022

Waandamanaji wa Sri Lanka waapa kuendelea kukalia makazi ya rais na waziri mkuu

Waandamanaji wa Sri Lanka Jumapili wamesema wataendelea kukalia makazi rasmi ya rais na waziri mkuu mjini Colombo hadi viongozi hao wawili watakapoondoka mamlakani rasmi . Maelfu ya waand . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Raia wa Tunisia waandamana kupinga kura ya maoni juu ya katiba mpya yenye utata

Polisi ya Tunisia imewazuia mamia ya waandamanaji kufika katika ofisi za tume ya uchaguzi, wakati waandamanaji wakimiminika barabarani kupinga kura ya maoni juu ya katiba mpya yenye utata ambayo i . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 8, 2022

Shinzo Abe afariki dunia baada ya kupigwa risasi

Waziri mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe amefariki baada ya kupigwa risasi wakati akiwa katika mkutano wa kampeni katika mji wa Nara siku ya Ijumaa.Shirika la habari la Japan NHK limeonesha video . . .

Kurasa 39 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 3 masaa yaliopita

Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

Habari
news
  • 5 masaa yaliopita

Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

Habari
news
  • 5 masaa yaliopita

Askofu Bagonza aonya dhidi ya ‘sumu’ zinazokwamisha maridhiano

Habari
news
  • 6 masaa yaliopita

Polisi Babati wachunguza kifo cha mwanaume kijiji cha Mapea

Habari
news
  • 6 masaa yaliopita

RC Mara aagiza kurejeshwa jengo la WAMACU Tarime na Rorya

Makala
news
  • 6 masaa yaliopita

Hii hapa top 10 ya Magari Yaliyonunuliwa Zaidi Tanzania Mwaka 2025

Makala
news
  • 6 masaa yaliopita

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 3 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 3 masaa yaliopita
  • Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

    • 5 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode